PROPHET IPM AIBUA MAPYA YA MREMBO ANAYEISHI NA NYOKA UTAJIRI WA NYOKA UPO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 май 2024

Комментарии • 216

  • @EmanuelJoseph-cx3hz
    @EmanuelJoseph-cx3hz 27 дней назад +10

    Huyu jamaa kafanana na j plus kama na ww umeona hivyo like zenu hapa

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 29 дней назад +18

    Mungu akulinde maisha ni kuchagua uchague ujinga au akili

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 28 дней назад +4

    Upo sawa Mollah mlezi akupe maisha marefu inshallah

  • @AsnatSaid-zp2kr
    @AsnatSaid-zp2kr 28 дней назад +9

    Nmekuelewa sanaa IPM, maisha nikuchagua ila tuptte njia ndefu jamaan

    • @toor8984
      @toor8984 26 дней назад

      Maisha ni mafup unapo patia ndio hapo hapo pakuchumia

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn 28 дней назад +18

    Huyo nyoka ndie mume wake anakula vyombo kila siku nyoka anabalaa huyo

    • @user-jv1ch4tr8q
      @user-jv1ch4tr8q 28 дней назад +1

      NA labda hatozaaga

    • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
      @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 28 дней назад

      I was thinking the same mmm kumbe yaweza kuwa ni kweli

    • @TecklaLozi
      @TecklaLozi 28 дней назад

      Pia mm nafikiri HVO kabsaa

    • @nikrahayubu-sz3pw
      @nikrahayubu-sz3pw 28 дней назад

      Sio nyoka yule ni jini kwhy limevaa mwilin wa nyoka kwhy hyu analala na jini na nafanya nae mapenzi hata akizaaa watt sie binadam wakaiwada hawawez kumuona ila yy ndoo anawaona watt wake akifa mali zake hata ndg hawatoziona so zitapotea bika sababu hyu ni mume wake

    • @badifundi6089
      @badifundi6089 27 дней назад

      Na alivyo mrefu sjui anapenya mpaka kwa kizazi😂

  • @shaibukaskas9594
    @shaibukaskas9594 28 дней назад +8

    uyo dada ni msenge sana

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 28 дней назад +5

    Allah is great for all people Allah will bless you insha-Allah ❤❤❤

  • @johaivenkahabuka5870
    @johaivenkahabuka5870 28 дней назад +6

    Yule mwandishi aliemfanyia interview yule dada hatupo on point.Haiwezekani mtu ashauriwe kudanga akatae kwa sababu yeye ni mtu wa dini then usimuulize vipi ushirikina kwa upande wa imani yake imekaa vp?! I think point yake ilkua ni kupata headline kwenye RUclips na sio kupata details na info au anamfanyia mganga wa Muheza promo

    • @issakimvuli2099
      @issakimvuli2099 28 дней назад +1

      Ndio maana mm niliona ni upuuzi mtupu!

    • @user-xz8mm5kt5m
      @user-xz8mm5kt5m 28 дней назад

      Upo sahihi kabisa. Anachokifanya huyo dada ni zaidi ya zinaa tena kwa mbali sana!. Kulingana na mafundisho ya kiislamu, kuzini ni katika madhambi makubwa lakini ushirikina ni mmbaya zaidi yake kwa kuwa ni katika madhambi saba yenye kuangamiza ambayo mtume (SAW) ametuamrisha kuyaepuka (Sahih Al-Bukhari 2766).
      Hiyo video ni matangazo ya uganga na ushirikina tu!

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 29 дней назад +7

    Nilicho jifunza ishi maisha Yako unacho tumia hauna tulia life to short

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 28 дней назад +6

    WABONGO MNAPEENDA😊,,KALE KADADA KACHAWI MUACHE NJAA

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 29 дней назад +12

    Masharti ya kulala chini na mali unazo sasa za kazi gani hizo pesa bora nioshe vyoo na vyote alivyonavyo yule dada ninavyo ujinga wa akili tu

  • @user-lt7yx2ms7h
    @user-lt7yx2ms7h 29 дней назад +2

    Hata mimi nakupenda sana

  • @bahariawalk
    @bahariawalk 29 дней назад +68

    Dada wa nyoka ni Tapeli tu, hana lolote. Na hakuna utajiri hapo. Kumiliki nyumba ya milioni 30 na gari ya milioni 10 hio kawaida tu. Mbona watu wa utajiri wajuu wako tu tena mali zao halali. Jamani fanyeni kazi kwa bidii na muombeni Mungu

    • @vincentdaud9954
      @vincentdaud9954 28 дней назад +4

      Bro maneno yako ya hekima sana.

    • @khadija5761
      @khadija5761 28 дней назад +1

      Kweli kabsa

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 28 дней назад +2

      Amen Amen MUNGU akuballiki saana nijibu amina basi 🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍🥰🥰🥰🇿🇦

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 28 дней назад +3

      Kweli usemavyo lakini na wewe umepita short cut umekwenda kwenye pesa tafautiyenu dada anaabudu nyoka weye unaabudu sanamu. Mbwa na Jibwa are the same.

    • @bahariawalk
      @bahariawalk 28 дней назад

      @@user-nb6yh2bn9y Amina

  • @calvinmaro6445
    @calvinmaro6445 28 дней назад +4

    Ukweli ni kwamba viti hivo vipo...ila ya huyu dada ni mchongo umetengenezwa na waganga matapeli.

  • @angle3600
    @angle3600 28 дней назад +4

    Haya mambo hua yanatesa vizazi vijazo,kwa sababu hua ni madhabahu na hua nilazima yafuatiliwe msipoyafuatilia ndio unakuta watu kwa familia ambao wamezaliwa na hawafatilii hizi itikadi wanateseka kwa njia mbalimbali,Tutafute riziki zilizo za haki.ambazo hazitakuja tesa vizazi vyetu.

  • @Naziruhashiraf
    @Naziruhashiraf 28 дней назад

    👏👏👏👏👏👏 uko sahihi lp

  • @allexmathias3593
    @allexmathias3593 28 дней назад +5

    YAMEMSHINDA NA NDO MAANA AMEANZA KUONGEA HADHARANI 😂😂😂

    • @beatricesisso8885
      @beatricesisso8885 28 дней назад +2

      Kabisa sio rahisi haendi kwenye sherehe, Hana rafiki, Hana mpenzi yaani tafrani😢😢😢😢

  • @AngeKazege-sy1ok
    @AngeKazege-sy1ok 28 дней назад +3

    Sasa Iyo Nyoka Inanyamba Mahela Wala Linatumika Sielewi Kbs Eh Mungu Wangu Duniya Kuna Mengi Sana Niko Rwanda

  • @MamasIslandKitchen
    @MamasIslandKitchen 28 дней назад +2

    Kweli tuombeane kwa Mungu na tuvumiliane. Ya leo sio ya jana, ya kesho sio ya leo.

  • @fatumajuma8197
    @fatumajuma8197 28 дней назад +2

    Kweli shetsni hana rafiki atakutumia akikuchoka utajuta kuzaliwa

  • @MiriamOnesmo-uw3fy
    @MiriamOnesmo-uw3fy 15 дней назад

    Baba mtumishi Nina kkubar xna

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui4699 23 дня назад +1

    Nyoka asiyekula😂😂😂😂😂

  • @marymohammed-wf8tr
    @marymohammed-wf8tr 28 дней назад +2

    Mungu ndie anakupa nandie anakunyanganya mungu awasame sababu hawajuwi walio yafaa huyo dada amefuraiya kuitwa tajiri duniani shetani hanarafiki

    • @ramakazina170
      @ramakazina170 22 дня назад

      Haya mambo ya kusikia sikia ndio yanayo tufikisha hapa kila mtu anasema nilisikia nilisikia lkn mtu kasikia lkn anathinitisha kua ni kweli ila kasikia tu lkn akija kwenye kuthibitisha anasema nikweli 😂😂😂😂😂

  • @toor8984
    @toor8984 28 дней назад +2

    Kweli kabisa nji unachagua

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 28 дней назад +2

    Wewe mwenaume usiseme chukua uk8taka huo si ushauri wa kuwaushauri si mzuri lazima kunakafara sio rahisi tu ukae na noka na unapata pesa masharati halafu kuna maisha ya watoto huzai huolewi na ukija ukiwa na watoto uk8ja ukifa watoto atawatafuna

  • @DuwaKassim
    @DuwaKassim 24 дня назад

    Dah allah akbar ee mwenyezi mungu tunusuru na pepo huyo

  • @AbedUssi-fl4wg
    @AbedUssi-fl4wg 20 дней назад

    Na mm pia nimependa majibu yako mashaalah

  • @mistahkeytvkenya4211
    @mistahkeytvkenya4211 28 дней назад +1

    Ipm njoo chukua bro wako Truthwatchdog anatusumbua uku Kenya,amegeuka jicho pevu

  • @OthnoShezume
    @OthnoShezume 29 дней назад +4

    Hapa ni mapito lazm tuendane na mfumo wa mngu

  • @user-pj3eb2bo4o
    @user-pj3eb2bo4o 28 дней назад +3

    Hiyo ashitakiwe dada huyo mchawi ngpja amgonge kwa utajiri gani nyumba yenyewe mashaka chizi huyo tapeli

    • @user-tg2mn3xu1y
      @user-tg2mn3xu1y 26 дней назад

      Serikali ya jumua ya mungano Tanzania aiyamini uchawi

  • @ZaharaiHussein
    @ZaharaiHussein 26 дней назад

    Allah ndie arazak.shirki haidumu

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 28 дней назад +2

    Kweli Kabisa Akuna Mtu Yeyote Mwenye Amli Za Kusema Eti Wewe Kwanini Unasemea Dini Yetu Au Yangu Dini Ya Mungu Na Alieumba Moto Na Pepo Ni Mungu Nasio Mtu Kila Mtu Asome Dini Akuna Cheo Cha Ushee Wala Uchungaji Bali Kila Mtu Asome Kulinagana Na Uwezo Wake Shee Mchungaji Ni Watu Wanaenda Chooni Na Wanaoga Na Mataulo Uchafuka

  • @mussayusuph627
    @mussayusuph627 27 дней назад

    Masha'Allah 🎉🎉

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 29 дней назад +3

    Mbona namba za ipm hutupatii??

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 28 дней назад +1

    Watanzania wajue hizo ni laana hao wanaojipatia pesa kwA uganga na uchawi na ufreemasoni wamelaaniwa ni laana Mungu yupo na kila alichokiamuru kitakuwa aliamuru laana.juu.ya.watu.hao .tuwaombee ila tuwambie ukweli watu kuwa.dhambi ya miungu mwingine mbele za Mungu ni.dhambi.ambayo kusamehewa.ni ngumu sana tusilahisishe mliopanga foleni kwA waganga msilahisishe hamtamuona Mungu akikusamehe

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 29 дней назад

    Point

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 29 дней назад +2

    Kaka nashukuru kwakua saut yako umesema kile nilichotamani kusema watu wasikie

  • @OmarAli-vj9kg
    @OmarAli-vj9kg 29 дней назад +7

    Nakubali

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 27 дней назад

    Amen 🙏🏼

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823
    @hshshsshjdjejjejejejej9823 28 дней назад +2

    Maisha ni proses tukae kwenye proses tuache njia ya shot kati

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 28 дней назад +4

    Jamanj ni utapeli hapo chukueni namba zake mtalia ni mchongo wa waganga tapeli

    • @esterMahenge
      @esterMahenge 27 дней назад

      Mi mwenye naona ni mchongo tu yule dada😂😂

  • @mkariwanyota5222
    @mkariwanyota5222 29 дней назад +1

    Kweli maisha ni kuchanguwa

  • @user-gw6zw2px7h
    @user-gw6zw2px7h 28 дней назад +1

    Upo light mkuu Soma na itaje Qur an popote hiko ni kitabu cha uongofu kwa maisha ya bin Adam na we bin Adam...don't discourage

  • @makerebul3650
    @makerebul3650 29 дней назад +16

    Ipm kaka mm nakuombea kwa Allah urejee kwenye njia ilio nyooka,

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 29 дней назад +1

      😂😂😂 umeona ee

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 29 дней назад +3

      Ila anapotosha watu anataka maokoto

    • @lilianmbeyu
      @lilianmbeyu 29 дней назад +8

      njia iliyonyooka ni Yesu alisema "mimi ndimi njia kweli na uzima"we wasema arudi kwa njia ipi?

    • @patriciacarlo7236
      @patriciacarlo7236 28 дней назад

      Mingu ni mmoja,

    • @alimwadima254
      @alimwadima254 28 дней назад +3

      ​@@lilianmbeyuYesu sio Njia iliyonyooka Mwenyezi Mungu ndio Njia iliyonyooka Dada

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u 28 дней назад +4

    Huyo dada ana pepo likemewe sizani kama anajua kuna kifo

    • @Mina.15
      @Mina.15 28 дней назад

      Hana pepo wala kinvuli 😂😂 matangazo yabiashara tu

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 28 дней назад

      ​@@Mina.15😂😂upo

    • @Mina.15
      @Mina.15 28 дней назад +1

      @@fathiyahmuzney7367 😂😂😂 wamekazana likemewe 😂😂 chupi kitenge ako kazini

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 28 дней назад +1

    Aha kumbe nishajua kumbe hili lilikua tangazo la uyo mchungaji.........

  • @marymohammed-wf8tr
    @marymohammed-wf8tr 28 дней назад

    Tujuwe kama mungu ameumba tajiri na masikini kamawewe nimasikini kubali matokeo hauwogopi kamadunia imeisha ,shetani anaga rafiki kumbukailo😭😭

  • @AlbertRemmy
    @AlbertRemmy 28 дней назад +1

    Hakuna mtu anaye fuga nyoka akajitangaza hata siku moja haya mambo huwa ni siri na haitakiwi mtu yoyote kujua. kwahiyo huyu dada ni mwongo. huyo ni nyoka wa maonyesho.

  • @DismasOguda
    @DismasOguda 28 дней назад

    Prothet unajua kweli umeongea pwenti muda ndio utaongea

  • @BenjaminKiza-mf1ki
    @BenjaminKiza-mf1ki 28 дней назад +1

    Brown Nataka urudi tena kwa huile Kaka aliye kuwa napete kasema wana ita majini kwamba kivipi anaweza tufunza WhatsApp

  • @AnastaziaSayi
    @AnastaziaSayi 27 дней назад +1

    Mie siamini kabisaaaaa😅😅😅😅

  • @berry4726
    @berry4726 28 дней назад +3

    Watu tunamiliki trillions of dollars na zote halali.

  • @laddymghana
    @laddymghana 28 дней назад +1

    Kuna watu wanaishi na nyoka ndan na hujui ndii hao watu washirkina unasikiatuu kwa watu mtu anaishi na chatu mm nawaambia hii nikiki hapo hakuna nyoka wa utajir ndagu ya kisukuma hio mtu nyoka ana kaa kwenye gara au zizi la ng'ombe na humuan labda itokeetu kwa bahat mbaya yan hakuna kitunchaa maajab unaweza kukionyesha hazaran kwanza utajr utaondoka

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 28 дней назад

    Kweli kabisa Nyoka sio kiumbe cha kawaida Ata km Sijui hana meno Huyo Mtangazaji alikuwa Kijasho chembamba kinamtoka IPM

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 28 дней назад +2

    Yesu Alikuja Kuwaokoa Wenye Zambi Ukimuona Mdada Anauza Sambusa Yake Usimpe Lawama Usimuukumu Bali Mpe Neno Kama Aludi Njia Ipi Sio Kusema Oh Wewe Moto Moto Unamunyooshea Kidole Kimoja Kwako Vinaludi Vidole Vitatu Na Kimoja Kinacheki Mbinguni

  • @iddymatere5075
    @iddymatere5075 28 дней назад

    Jamaa anajua kujibu ila haya maisha hyatoka zaman hivyo ni vitu vya kurisi tu pia nashauri tu kuwa mungu aliumba vitu viwili tu Duniani heri na shari hivyo utaxhagua wewe kama alivyosema

  • @UmmuSallama-ej4eh
    @UmmuSallama-ej4eh 23 дня назад

    daaa nimestahajabu sana

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 28 дней назад +1

    utajiri naheshima zinatoka kwake MUNGU alie hai sio kwa nyoka mana huyoo kaumbwa MUNGU piaa

  • @mamuamtoto
    @mamuamtoto 28 дней назад +1

    Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh Mwandishi umejitahidi lakini kidogo ulopokosea Masuali uliyomuuliza,inaonyesha hukufanya utafiti wa kina huyu IPM,kwa kuangalia Clips zote alozungumza.IPM mwanzo alionyesha kupenda Uislamu baadae akasema yeye Alikua Muislamu akatoka na kuritadi yaani akawa Mkristo.Hapo Masheikh ndipo walipokuja juu.Allah akuepushe na Mabalaa na Kupenda Mali Mtangazaji wa Bongo Touch ili usivutike na huyo Dada alochukua kiumbe hatari akakiweka ndani kuna MAUTI jamani.!!!!Allah atupe Mwisho Mwema Na kila alopotea Allah amuongoe.

  • @Bestboytzbackflip
    @Bestboytzbackflip 28 дней назад

    Asate Sana prophet

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 28 дней назад +1

    Si umpe muda no umshauri umkataze wengine kama huwaambi watazidi kufanya mabaya

  • @user-ek7pb1bj1l
    @user-ek7pb1bj1l 28 дней назад

    Kheri nifemasikini

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 28 дней назад +1

    Mimi.acha wa nyoka ata wa mende siutaki😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 28 дней назад

      😂😂😂,aaaaweeeeh ata mbu sitaki

  • @juliusbrush3202
    @juliusbrush3202 28 дней назад +1

    hawa nyoka huwa kila asubuhi wanalamba sehemu za siri, watu wa hvi ata waume hawana kbs.. kuna kisa kama hiki kilikuwepo ukisearch youtube "MWANAMKE ALIYEKUA ANAFANYA MAPENZI NA MAITI ALIYEOZA KWA MASHARTI YA MGANGA ILI APATE MALI" hiki kisa kinaelezea ao nyoka ni uchafu san

  • @sirvesterndahani5638
    @sirvesterndahani5638 28 дней назад +1

    Watoto Ana wapaje wakat Ana lala na nyoka?

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 28 дней назад

    Hata Mimi nakuelewa Sanaa Kwanza tushukulu MTU anaweza fundisha maneno ya mungu kuna nchi hata hawasikilizi maneno ya mungu wapo wapo kama mizombi unakuta inaweza jiuwa tu hawana Imani

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 28 дней назад

      Mazombie tu😂😂😂,hawajui😊

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 26 дней назад

    IPM acha tamaa za maisha ya duniani. Tubu na urejee katika dini ya UISLAM.

    • @milakauli
      @milakauli 25 дней назад

      Huyo atarudu elewa neno mpe mtu muda usihukumu haraka 🤣🤣🤣🤣

  • @officialcandleboy6923
    @officialcandleboy6923 28 дней назад +1

    Huyo binti mwenyewe sioni hata huo utajiri alionao maana naona hana ganga njaa tu

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 28 дней назад

      Kamekondeana,huzuni...hana rorosi😂😂😂

  • @mosesmutharimi5837
    @mosesmutharimi5837 26 дней назад

    Dada ni muislamu

  • @ibrahimseif4631
    @ibrahimseif4631 28 дней назад

    Mungu hachoki bwege ww

  • @albertpike6208
    @albertpike6208 25 дней назад

    13:31
    Kuhusu Gaza na Israel kasome buda Israel bila Marekani wale vibwengo alafu kama kuna viumbe wapotofu hapa duniani na wachochezi Wayahudi wanaongoza

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 29 дней назад +1

    Kuna watu humu wataka kuunganishwa na yule Dada ya Raby😭🤔

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 24 дня назад

    Kweli maish kuchgua hata wew naon umechagua bila kujali kesho yako

  • @phiahofficialtv7140
    @phiahofficialtv7140 28 дней назад

    Prophet anaogopa nyoka 🤣🤣🤣🤣🤣 chitaki mimi

  • @ErastoKabuje
    @ErastoKabuje 26 дней назад

    Unaeleweka sana IPM ila unafanana sa na J BULASI muigiza ila mazungumzo yako yamenyoka sana

  • @abwooliajuna4204
    @abwooliajuna4204 28 дней назад +1

    Translate in English

  • @sulumsalehebadulusaid1515
    @sulumsalehebadulusaid1515 29 дней назад +2

    Jamani nipeni namba ya yule dada namimi anipeleke

    • @NabosJuma
      @NabosJuma 29 дней назад +1

      😂😂😂

    • @elijahchegere4974
      @elijahchegere4974 28 дней назад +2

      Kuwa makini na matapeli huwezi kupewa masharti ukayaongea hadharini kuna upigaji hela unataka kufanyika

    • @EvansGodfrey-tj5op
      @EvansGodfrey-tj5op 28 дней назад +1

      😂😂😂😂😂😂😊

  • @saidsalim4524
    @saidsalim4524 28 дней назад

    Hiyo ni system yakuwavuta watu ili wafanye utapeli tuu nyoka wa michezo yulee ilaa wenye tamaa watamfata ili wapigwe pesaa jamani kuweni makini hizo ninjia za kitapeli

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 24 дня назад

    Utajifananishaje namngu alivyo kwa unaweza kuymba ulimwengu na malimwengu na yaliomo ndani yake hata ujifananishe na yeye kwamba mngu kaumba na kupumzija kqani siku za mngu na zenu ni sawa usicganganye watu hapo sasa wachanganya watu

  • @user-ot1ym4fy5o
    @user-ot1ym4fy5o 27 дней назад

    Huyo Dada hana Dini ,walahajui kunakiama

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 28 дней назад

    Watu kwa macho yakawaida tunnaona nyoka lile nijini uyu dada nahilo jini niwapenI ndoma nyumba yote anaishi pekeyake

  • @S__Official24
    @S__Official24 14 дней назад

    Kwahy mmeifuta ile video ya dd wa nyoka shenzi zenu kupenda kuwapa watu taaluki tu 😂😂😂

  • @MariamMganga-ss9mm
    @MariamMganga-ss9mm 27 дней назад

    Wanataka kumzuia Nini wakati wao wanakazi yakukashifu Kila siku,, mbona mazinge hawamzuiiiii, waache ubinafsi

  • @user-nl7ob8pv9n
    @user-nl7ob8pv9n 28 дней назад

    Siku moja iyo nyoka itamgeuka tu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 28 дней назад

    Siku za mwisho biblia inaonyesha roho ya Elia itajaa dunian ko tuangalie Elia alifanya nn nawambieni watanzania kama Elia alichukia uganga basi.uganga utazarauriwa sana Elia alisababisha njaa mvua haikunyesha miaka mitatu ilitukia njaa kubwa watu walikufa utajiri haukuwepo miundo mbinu iliharibika.watu Mungu katuandikia vita uni majaabu yake hatufulahishi anataka tukumbuke.tusilahisishe huyo dada wa nyoka ni vile hajui Mungu miungu mingine ni shida

  • @safiam5338
    @safiam5338 29 дней назад +1

    Miye nahisi ule nyoka kuna siku atamumeza

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 28 дней назад

    Kafiri ni kafiri tu, eti mungu alipumzka!!! Hahahah pole sana

  • @albertpike6208
    @albertpike6208 25 дней назад

    9:53 eti Mungu alipumzika??? Mwenyezi Mungu hachoki wala hapumziki bali alitawala katika Himaya yake.Wacheni UBWEGE

  • @joycekaphevemba7215
    @joycekaphevemba7215 23 дня назад

    Huyu pasta hajiamini kabisaa nimeanza kumshuku

  • @user-ex1wy6xd9z
    @user-ex1wy6xd9z 26 дней назад

    Huyo dada namfahami ni Kiki tu hakuna nyoka wala nini.

  • @scholasticashayo1728
    @scholasticashayo1728 28 дней назад

    Wale wale t

  • @Cosmasmumba-gx6xq
    @Cosmasmumba-gx6xq 27 дней назад

    Maisha nikuchagua

  • @aloycemabula8649
    @aloycemabula8649 28 дней назад

    Nyoks wana madhara sana

  • @EdnahMutindi
    @EdnahMutindi 27 дней назад

    Hakuna utajiri hapo,,,,nitamaa anayo huyu dada.

  • @brownschmidt4532
    @brownschmidt4532 27 дней назад

    Hakuna kitu kama hicho. Huyo dada amepangwa afanye hivyo. Ni utapeli huo.

  • @MariamMganga-ss9mm
    @MariamMganga-ss9mm 27 дней назад

    Kwanza Sina uhakika kama huyo dada kama nimkweli mbona alisema wa muheza Tanga,, nimeona akihojiwa Tena anasema yeye ni wa IRINGA, Au Hawa ni watu wawili tofauti??

  • @hawamaulidi787
    @hawamaulidi787 28 дней назад

    Muacheni huyu dada IPO siku yake itafika siku ifika ndo atajua hajui

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 28 дней назад

      Sipati picha endapo ataolewa awe na familia yake itakuwaje??

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 28 дней назад

    ah! huyu anaongea na kunukuu kirarabu eti? alikuwaga muislam ndugu zangu au? nauliza tuu

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 28 дней назад

    Shetani adui yake mkubwa ni muisilamu kuliko yeyote

  • @Hawaa-cw6fl
    @Hawaa-cw6fl 26 дней назад

    Sio wa kristo hata waislam shetani au jini hana rafiki