Sio nyoka yule ni jini kwhy limevaa mwilin wa nyoka kwhy hyu analala na jini na nafanya nae mapenzi hata akizaaa watt sie binadam wakaiwada hawawez kumuona ila yy ndoo anawaona watt wake akifa mali zake hata ndg hawatoziona so zitapotea bika sababu hyu ni mume wake
Yule mwandishi aliemfanyia interview yule dada hatupo on point.Haiwezekani mtu ashauriwe kudanga akatae kwa sababu yeye ni mtu wa dini then usimuulize vipi ushirikina kwa upande wa imani yake imekaa vp?! I think point yake ilkua ni kupata headline kwenye RUclips na sio kupata details na info au anamfanyia mganga wa Muheza promo
Upo sahihi kabisa. Anachokifanya huyo dada ni zaidi ya zinaa tena kwa mbali sana!. Kulingana na mafundisho ya kiislamu, kuzini ni katika madhambi makubwa lakini ushirikina ni mmbaya zaidi yake kwa kuwa ni katika madhambi saba yenye kuangamiza ambayo mtume (SAW) ametuamrisha kuyaepuka (Sahih Al-Bukhari 2766). Hiyo video ni matangazo ya uganga na ushirikina tu!
Dada wa nyoka ni Tapeli tu, hana lolote. Na hakuna utajiri hapo. Kumiliki nyumba ya milioni 30 na gari ya milioni 10 hio kawaida tu. Mbona watu wa utajiri wajuu wako tu tena mali zao halali. Jamani fanyeni kazi kwa bidii na muombeni Mungu
Kweli usemavyo lakini na wewe umepita short cut umekwenda kwenye pesa tafautiyenu dada anaabudu nyoka weye unaabudu sanamu. Mbwa na Jibwa are the same.
Haya mambo hua yanatesa vizazi vijazo,kwa sababu hua ni madhabahu na hua nilazima yafuatiliwe msipoyafuatilia ndio unakuta watu kwa familia ambao wamezaliwa na hawafatilii hizi itikadi wanateseka kwa njia mbalimbali,Tutafute riziki zilizo za haki.ambazo hazitakuja tesa vizazi vyetu.
Haya mambo ya kusikia sikia ndio yanayo tufikisha hapa kila mtu anasema nilisikia nilisikia lkn mtu kasikia lkn anathinitisha kua ni kweli ila kasikia tu lkn akija kwenye kuthibitisha anasema nikweli 😂😂😂😂😂
Wewe mwenaume usiseme chukua uk8taka huo si ushauri wa kuwaushauri si mzuri lazima kunakafara sio rahisi tu ukae na noka na unapata pesa masharati halafu kuna maisha ya watoto huzai huolewi na ukija ukiwa na watoto uk8ja ukifa watoto atawatafuna
Kweli Kabisa Akuna Mtu Yeyote Mwenye Amli Za Kusema Eti Wewe Kwanini Unasemea Dini Yetu Au Yangu Dini Ya Mungu Na Alieumba Moto Na Pepo Ni Mungu Nasio Mtu Kila Mtu Asome Dini Akuna Cheo Cha Ushee Wala Uchungaji Bali Kila Mtu Asome Kulinagana Na Uwezo Wake Shee Mchungaji Ni Watu Wanaenda Chooni Na Wanaoga Na Mataulo Uchafuka
Watanzania wajue hizo ni laana hao wanaojipatia pesa kwA uganga na uchawi na ufreemasoni wamelaaniwa ni laana Mungu yupo na kila alichokiamuru kitakuwa aliamuru laana.juu.ya.watu.hao .tuwaombee ila tuwambie ukweli watu kuwa.dhambi ya miungu mwingine mbele za Mungu ni.dhambi.ambayo kusamehewa.ni ngumu sana tusilahisishe mliopanga foleni kwA waganga msilahisishe hamtamuona Mungu akikusamehe
Hakuna mtu anaye fuga nyoka akajitangaza hata siku moja haya mambo huwa ni siri na haitakiwi mtu yoyote kujua. kwahiyo huyu dada ni mwongo. huyo ni nyoka wa maonyesho.
Kuna watu wanaishi na nyoka ndan na hujui ndii hao watu washirkina unasikiatuu kwa watu mtu anaishi na chatu mm nawaambia hii nikiki hapo hakuna nyoka wa utajir ndagu ya kisukuma hio mtu nyoka ana kaa kwenye gara au zizi la ng'ombe na humuan labda itokeetu kwa bahat mbaya yan hakuna kitunchaa maajab unaweza kukionyesha hazaran kwanza utajr utaondoka
Yesu Alikuja Kuwaokoa Wenye Zambi Ukimuona Mdada Anauza Sambusa Yake Usimpe Lawama Usimuukumu Bali Mpe Neno Kama Aludi Njia Ipi Sio Kusema Oh Wewe Moto Moto Unamunyooshea Kidole Kimoja Kwako Vinaludi Vidole Vitatu Na Kimoja Kinacheki Mbinguni
Jamaa anajua kujibu ila haya maisha hyatoka zaman hivyo ni vitu vya kurisi tu pia nashauri tu kuwa mungu aliumba vitu viwili tu Duniani heri na shari hivyo utaxhagua wewe kama alivyosema
Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh Mwandishi umejitahidi lakini kidogo ulopokosea Masuali uliyomuuliza,inaonyesha hukufanya utafiti wa kina huyu IPM,kwa kuangalia Clips zote alozungumza.IPM mwanzo alionyesha kupenda Uislamu baadae akasema yeye Alikua Muislamu akatoka na kuritadi yaani akawa Mkristo.Hapo Masheikh ndipo walipokuja juu.Allah akuepushe na Mabalaa na Kupenda Mali Mtangazaji wa Bongo Touch ili usivutike na huyo Dada alochukua kiumbe hatari akakiweka ndani kuna MAUTI jamani.!!!!Allah atupe Mwisho Mwema Na kila alopotea Allah amuongoe.
hawa nyoka huwa kila asubuhi wanalamba sehemu za siri, watu wa hvi ata waume hawana kbs.. kuna kisa kama hiki kilikuwepo ukisearch youtube "MWANAMKE ALIYEKUA ANAFANYA MAPENZI NA MAITI ALIYEOZA KWA MASHARTI YA MGANGA ILI APATE MALI" hiki kisa kinaelezea ao nyoka ni uchafu san
Hata Mimi nakuelewa Sanaa Kwanza tushukulu MTU anaweza fundisha maneno ya mungu kuna nchi hata hawasikilizi maneno ya mungu wapo wapo kama mizombi unakuta inaweza jiuwa tu hawana Imani
13:31 Kuhusu Gaza na Israel kasome buda Israel bila Marekani wale vibwengo alafu kama kuna viumbe wapotofu hapa duniani na wachochezi Wayahudi wanaongoza
Hiyo ni system yakuwavuta watu ili wafanye utapeli tuu nyoka wa michezo yulee ilaa wenye tamaa watamfata ili wapigwe pesaa jamani kuweni makini hizo ninjia za kitapeli
Utajifananishaje namngu alivyo kwa unaweza kuymba ulimwengu na malimwengu na yaliomo ndani yake hata ujifananishe na yeye kwamba mngu kaumba na kupumzija kqani siku za mngu na zenu ni sawa usicganganye watu hapo sasa wachanganya watu
Siku za mwisho biblia inaonyesha roho ya Elia itajaa dunian ko tuangalie Elia alifanya nn nawambieni watanzania kama Elia alichukia uganga basi.uganga utazarauriwa sana Elia alisababisha njaa mvua haikunyesha miaka mitatu ilitukia njaa kubwa watu walikufa utajiri haukuwepo miundo mbinu iliharibika.watu Mungu katuandikia vita uni majaabu yake hatufulahishi anataka tukumbuke.tusilahisishe huyo dada wa nyoka ni vile hajui Mungu miungu mingine ni shida
Kwanza Sina uhakika kama huyo dada kama nimkweli mbona alisema wa muheza Tanga,, nimeona akihojiwa Tena anasema yeye ni wa IRINGA, Au Hawa ni watu wawili tofauti??
Huyu jamaa kafanana na j plus kama na ww umeona hivyo like zenu hapa
Mungu akulinde maisha ni kuchagua uchague ujinga au akili
Upo sawa Mollah mlezi akupe maisha marefu inshallah
Nmekuelewa sanaa IPM, maisha nikuchagua ila tuptte njia ndefu jamaan
Maisha ni mafup unapo patia ndio hapo hapo pakuchumia
Huyo nyoka ndie mume wake anakula vyombo kila siku nyoka anabalaa huyo
NA labda hatozaaga
I was thinking the same mmm kumbe yaweza kuwa ni kweli
Pia mm nafikiri HVO kabsaa
Sio nyoka yule ni jini kwhy limevaa mwilin wa nyoka kwhy hyu analala na jini na nafanya nae mapenzi hata akizaaa watt sie binadam wakaiwada hawawez kumuona ila yy ndoo anawaona watt wake akifa mali zake hata ndg hawatoziona so zitapotea bika sababu hyu ni mume wake
Na alivyo mrefu sjui anapenya mpaka kwa kizazi😂
uyo dada ni msenge sana
Allah is great for all people Allah will bless you insha-Allah ❤❤❤
Jesus loves you ❤
Yule mwandishi aliemfanyia interview yule dada hatupo on point.Haiwezekani mtu ashauriwe kudanga akatae kwa sababu yeye ni mtu wa dini then usimuulize vipi ushirikina kwa upande wa imani yake imekaa vp?! I think point yake ilkua ni kupata headline kwenye RUclips na sio kupata details na info au anamfanyia mganga wa Muheza promo
Ndio maana mm niliona ni upuuzi mtupu!
Upo sahihi kabisa. Anachokifanya huyo dada ni zaidi ya zinaa tena kwa mbali sana!. Kulingana na mafundisho ya kiislamu, kuzini ni katika madhambi makubwa lakini ushirikina ni mmbaya zaidi yake kwa kuwa ni katika madhambi saba yenye kuangamiza ambayo mtume (SAW) ametuamrisha kuyaepuka (Sahih Al-Bukhari 2766).
Hiyo video ni matangazo ya uganga na ushirikina tu!
Nilicho jifunza ishi maisha Yako unacho tumia hauna tulia life to short
WABONGO MNAPEENDA😊,,KALE KADADA KACHAWI MUACHE NJAA
Masharti ya kulala chini na mali unazo sasa za kazi gani hizo pesa bora nioshe vyoo na vyote alivyonavyo yule dada ninavyo ujinga wa akili tu
Kabisa
Hata mimi nakupenda sana
Dada wa nyoka ni Tapeli tu, hana lolote. Na hakuna utajiri hapo. Kumiliki nyumba ya milioni 30 na gari ya milioni 10 hio kawaida tu. Mbona watu wa utajiri wajuu wako tu tena mali zao halali. Jamani fanyeni kazi kwa bidii na muombeni Mungu
Bro maneno yako ya hekima sana.
Kweli kabsa
Amen Amen MUNGU akuballiki saana nijibu amina basi 🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍🥰🥰🥰🇿🇦
Kweli usemavyo lakini na wewe umepita short cut umekwenda kwenye pesa tafautiyenu dada anaabudu nyoka weye unaabudu sanamu. Mbwa na Jibwa are the same.
@@user-nb6yh2bn9y Amina
Ukweli ni kwamba viti hivo vipo...ila ya huyu dada ni mchongo umetengenezwa na waganga matapeli.
Haya mambo hua yanatesa vizazi vijazo,kwa sababu hua ni madhabahu na hua nilazima yafuatiliwe msipoyafuatilia ndio unakuta watu kwa familia ambao wamezaliwa na hawafatilii hizi itikadi wanateseka kwa njia mbalimbali,Tutafute riziki zilizo za haki.ambazo hazitakuja tesa vizazi vyetu.
👏👏👏👏👏👏 uko sahihi lp
YAMEMSHINDA NA NDO MAANA AMEANZA KUONGEA HADHARANI 😂😂😂
Kabisa sio rahisi haendi kwenye sherehe, Hana rafiki, Hana mpenzi yaani tafrani😢😢😢😢
Sasa Iyo Nyoka Inanyamba Mahela Wala Linatumika Sielewi Kbs Eh Mungu Wangu Duniya Kuna Mengi Sana Niko Rwanda
Linyamba mihela😂😂
Kweli tuombeane kwa Mungu na tuvumiliane. Ya leo sio ya jana, ya kesho sio ya leo.
Kweli shetsni hana rafiki atakutumia akikuchoka utajuta kuzaliwa
Baba mtumishi Nina kkubar xna
Nyoka asiyekula😂😂😂😂😂
Mungu ndie anakupa nandie anakunyanganya mungu awasame sababu hawajuwi walio yafaa huyo dada amefuraiya kuitwa tajiri duniani shetani hanarafiki
Haya mambo ya kusikia sikia ndio yanayo tufikisha hapa kila mtu anasema nilisikia nilisikia lkn mtu kasikia lkn anathinitisha kua ni kweli ila kasikia tu lkn akija kwenye kuthibitisha anasema nikweli 😂😂😂😂😂
Kweli kabisa nji unachagua
Wewe mwenaume usiseme chukua uk8taka huo si ushauri wa kuwaushauri si mzuri lazima kunakafara sio rahisi tu ukae na noka na unapata pesa masharati halafu kuna maisha ya watoto huzai huolewi na ukija ukiwa na watoto uk8ja ukifa watoto atawatafuna
Dah allah akbar ee mwenyezi mungu tunusuru na pepo huyo
Na mm pia nimependa majibu yako mashaalah
Ipm njoo chukua bro wako Truthwatchdog anatusumbua uku Kenya,amegeuka jicho pevu
Hapa ni mapito lazm tuendane na mfumo wa mngu
Hiyo ashitakiwe dada huyo mchawi ngpja amgonge kwa utajiri gani nyumba yenyewe mashaka chizi huyo tapeli
Serikali ya jumua ya mungano Tanzania aiyamini uchawi
Allah ndie arazak.shirki haidumu
Kweli Kabisa Akuna Mtu Yeyote Mwenye Amli Za Kusema Eti Wewe Kwanini Unasemea Dini Yetu Au Yangu Dini Ya Mungu Na Alieumba Moto Na Pepo Ni Mungu Nasio Mtu Kila Mtu Asome Dini Akuna Cheo Cha Ushee Wala Uchungaji Bali Kila Mtu Asome Kulinagana Na Uwezo Wake Shee Mchungaji Ni Watu Wanaenda Chooni Na Wanaoga Na Mataulo Uchafuka
😂😂😂 🙌 🙌
Mungu atunusuru..
Masha'Allah 🎉🎉
Mbona namba za ipm hutupatii??
Watanzania wajue hizo ni laana hao wanaojipatia pesa kwA uganga na uchawi na ufreemasoni wamelaaniwa ni laana Mungu yupo na kila alichokiamuru kitakuwa aliamuru laana.juu.ya.watu.hao .tuwaombee ila tuwambie ukweli watu kuwa.dhambi ya miungu mwingine mbele za Mungu ni.dhambi.ambayo kusamehewa.ni ngumu sana tusilahisishe mliopanga foleni kwA waganga msilahisishe hamtamuona Mungu akikusamehe
Point
Kaka nashukuru kwakua saut yako umesema kile nilichotamani kusema watu wasikie
Nakubali
Amen 🙏🏼
Maisha ni proses tukae kwenye proses tuache njia ya shot kati
Jamanj ni utapeli hapo chukueni namba zake mtalia ni mchongo wa waganga tapeli
Mi mwenye naona ni mchongo tu yule dada😂😂
Kweli maisha ni kuchanguwa
Upo light mkuu Soma na itaje Qur an popote hiko ni kitabu cha uongofu kwa maisha ya bin Adam na we bin Adam...don't discourage
Ipm kaka mm nakuombea kwa Allah urejee kwenye njia ilio nyooka,
😂😂😂 umeona ee
Ila anapotosha watu anataka maokoto
njia iliyonyooka ni Yesu alisema "mimi ndimi njia kweli na uzima"we wasema arudi kwa njia ipi?
Mingu ni mmoja,
@@lilianmbeyuYesu sio Njia iliyonyooka Mwenyezi Mungu ndio Njia iliyonyooka Dada
Huyo dada ana pepo likemewe sizani kama anajua kuna kifo
Hana pepo wala kinvuli 😂😂 matangazo yabiashara tu
@@Mina.15😂😂upo
@@fathiyahmuzney7367 😂😂😂 wamekazana likemewe 😂😂 chupi kitenge ako kazini
Aha kumbe nishajua kumbe hili lilikua tangazo la uyo mchungaji.........
Tujuwe kama mungu ameumba tajiri na masikini kamawewe nimasikini kubali matokeo hauwogopi kamadunia imeisha ,shetani anaga rafiki kumbukailo😭😭
Hakuna mtu anaye fuga nyoka akajitangaza hata siku moja haya mambo huwa ni siri na haitakiwi mtu yoyote kujua. kwahiyo huyu dada ni mwongo. huyo ni nyoka wa maonyesho.
Prothet unajua kweli umeongea pwenti muda ndio utaongea
Brown Nataka urudi tena kwa huile Kaka aliye kuwa napete kasema wana ita majini kwamba kivipi anaweza tufunza WhatsApp
Mie siamini kabisaaaaa😅😅😅😅
Watu tunamiliki trillions of dollars na zote halali.
Ubarikiwe
kweli kabisa
Trillion of dollars hata Eron mask hana! we muongo xn!
Pesa ya majini
Kuna watu wanaishi na nyoka ndan na hujui ndii hao watu washirkina unasikiatuu kwa watu mtu anaishi na chatu mm nawaambia hii nikiki hapo hakuna nyoka wa utajir ndagu ya kisukuma hio mtu nyoka ana kaa kwenye gara au zizi la ng'ombe na humuan labda itokeetu kwa bahat mbaya yan hakuna kitunchaa maajab unaweza kukionyesha hazaran kwanza utajr utaondoka
Kweli kabisa Nyoka sio kiumbe cha kawaida Ata km Sijui hana meno Huyo Mtangazaji alikuwa Kijasho chembamba kinamtoka IPM
Yesu Alikuja Kuwaokoa Wenye Zambi Ukimuona Mdada Anauza Sambusa Yake Usimpe Lawama Usimuukumu Bali Mpe Neno Kama Aludi Njia Ipi Sio Kusema Oh Wewe Moto Moto Unamunyooshea Kidole Kimoja Kwako Vinaludi Vidole Vitatu Na Kimoja Kinacheki Mbinguni
Kabisaa
Jamaa anajua kujibu ila haya maisha hyatoka zaman hivyo ni vitu vya kurisi tu pia nashauri tu kuwa mungu aliumba vitu viwili tu Duniani heri na shari hivyo utaxhagua wewe kama alivyosema
daaa nimestahajabu sana
utajiri naheshima zinatoka kwake MUNGU alie hai sio kwa nyoka mana huyoo kaumbwa MUNGU piaa
Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh Mwandishi umejitahidi lakini kidogo ulopokosea Masuali uliyomuuliza,inaonyesha hukufanya utafiti wa kina huyu IPM,kwa kuangalia Clips zote alozungumza.IPM mwanzo alionyesha kupenda Uislamu baadae akasema yeye Alikua Muislamu akatoka na kuritadi yaani akawa Mkristo.Hapo Masheikh ndipo walipokuja juu.Allah akuepushe na Mabalaa na Kupenda Mali Mtangazaji wa Bongo Touch ili usivutike na huyo Dada alochukua kiumbe hatari akakiweka ndani kuna MAUTI jamani.!!!!Allah atupe Mwisho Mwema Na kila alopotea Allah amuongoe.
Asate Sana prophet
Si umpe muda no umshauri umkataze wengine kama huwaambi watazidi kufanya mabaya
Kheri nifemasikini
Mimi.acha wa nyoka ata wa mende siutaki😂
😂😂😂,aaaaweeeeh ata mbu sitaki
hawa nyoka huwa kila asubuhi wanalamba sehemu za siri, watu wa hvi ata waume hawana kbs.. kuna kisa kama hiki kilikuwepo ukisearch youtube "MWANAMKE ALIYEKUA ANAFANYA MAPENZI NA MAITI ALIYEOZA KWA MASHARTI YA MGANGA ILI APATE MALI" hiki kisa kinaelezea ao nyoka ni uchafu san
Watoto Ana wapaje wakat Ana lala na nyoka?
Hata Mimi nakuelewa Sanaa Kwanza tushukulu MTU anaweza fundisha maneno ya mungu kuna nchi hata hawasikilizi maneno ya mungu wapo wapo kama mizombi unakuta inaweza jiuwa tu hawana Imani
Mazombie tu😂😂😂,hawajui😊
IPM acha tamaa za maisha ya duniani. Tubu na urejee katika dini ya UISLAM.
Huyo atarudu elewa neno mpe mtu muda usihukumu haraka 🤣🤣🤣🤣
Huyo binti mwenyewe sioni hata huo utajiri alionao maana naona hana ganga njaa tu
Kamekondeana,huzuni...hana rorosi😂😂😂
Dada ni muislamu
Mungu hachoki bwege ww
13:31
Kuhusu Gaza na Israel kasome buda Israel bila Marekani wale vibwengo alafu kama kuna viumbe wapotofu hapa duniani na wachochezi Wayahudi wanaongoza
Kuna watu humu wataka kuunganishwa na yule Dada ya Raby😭🤔
Kweli maish kuchgua hata wew naon umechagua bila kujali kesho yako
Prophet anaogopa nyoka 🤣🤣🤣🤣🤣 chitaki mimi
Unaeleweka sana IPM ila unafanana sa na J BULASI muigiza ila mazungumzo yako yamenyoka sana
Translate in English
Jamani nipeni namba ya yule dada namimi anipeleke
😂😂😂
Kuwa makini na matapeli huwezi kupewa masharti ukayaongea hadharini kuna upigaji hela unataka kufanyika
😂😂😂😂😂😂😊
Hiyo ni system yakuwavuta watu ili wafanye utapeli tuu nyoka wa michezo yulee ilaa wenye tamaa watamfata ili wapigwe pesaa jamani kuweni makini hizo ninjia za kitapeli
Utajifananishaje namngu alivyo kwa unaweza kuymba ulimwengu na malimwengu na yaliomo ndani yake hata ujifananishe na yeye kwamba mngu kaumba na kupumzija kqani siku za mngu na zenu ni sawa usicganganye watu hapo sasa wachanganya watu
Huyo Dada hana Dini ,walahajui kunakiama
Watu kwa macho yakawaida tunnaona nyoka lile nijini uyu dada nahilo jini niwapenI ndoma nyumba yote anaishi pekeyake
Kwahy mmeifuta ile video ya dd wa nyoka shenzi zenu kupenda kuwapa watu taaluki tu 😂😂😂
Wanataka kumzuia Nini wakati wao wanakazi yakukashifu Kila siku,, mbona mazinge hawamzuiiiii, waache ubinafsi
Siku moja iyo nyoka itamgeuka tu
Siku za mwisho biblia inaonyesha roho ya Elia itajaa dunian ko tuangalie Elia alifanya nn nawambieni watanzania kama Elia alichukia uganga basi.uganga utazarauriwa sana Elia alisababisha njaa mvua haikunyesha miaka mitatu ilitukia njaa kubwa watu walikufa utajiri haukuwepo miundo mbinu iliharibika.watu Mungu katuandikia vita uni majaabu yake hatufulahishi anataka tukumbuke.tusilahisishe huyo dada wa nyoka ni vile hajui Mungu miungu mingine ni shida
Miye nahisi ule nyoka kuna siku atamumeza
Uyo ni mume wake
Kafiri ni kafiri tu, eti mungu alipumzka!!! Hahahah pole sana
Kupumzika Ina maana ya kustarehe siyo kuchoka kama wewe kafiri
9:53 eti Mungu alipumzika??? Mwenyezi Mungu hachoki wala hapumziki bali alitawala katika Himaya yake.Wacheni UBWEGE
Huyu pasta hajiamini kabisaa nimeanza kumshuku
Huyo dada namfahami ni Kiki tu hakuna nyoka wala nini.
Wale wale t
Maisha nikuchagua
Nyoks wana madhara sana
Hakuna utajiri hapo,,,,nitamaa anayo huyu dada.
Hakuna kitu kama hicho. Huyo dada amepangwa afanye hivyo. Ni utapeli huo.
Kwanza Sina uhakika kama huyo dada kama nimkweli mbona alisema wa muheza Tanga,, nimeona akihojiwa Tena anasema yeye ni wa IRINGA, Au Hawa ni watu wawili tofauti??
Muacheni huyu dada IPO siku yake itafika siku ifika ndo atajua hajui
Sipati picha endapo ataolewa awe na familia yake itakuwaje??
ah! huyu anaongea na kunukuu kirarabu eti? alikuwaga muislam ndugu zangu au? nauliza tuu
Shetani adui yake mkubwa ni muisilamu kuliko yeyote
Sio wa kristo hata waislam shetani au jini hana rafiki