PART 1 DR SULLE ASHIKWA PABAYA NA MCH : NDACHA ATAJA JINI LINALOMUENDESHA SULLE ANAPINDISHA BIBLIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 май 2024

Комментарии • 106

  • @joventjohansenmushwaimi1988
    @joventjohansenmushwaimi1988 24 дня назад +8

    Binafsi huwa nafurahishwa na mijadala yenu hongera sanaa ,Very Calm

  • @FarhatIbrahim-zs3qh
    @FarhatIbrahim-zs3qh 22 дня назад +2

    Doctor sule ansema ki2 kwaushahidi mashallah someni quran mujuwe dini inasemaje

  • @AproniusMwinuka
    @AproniusMwinuka 26 дней назад +4

    Ubarikiwe Dr ndacha Mtumishi wa Bwana

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 17 дней назад +2

    Ndacha mbabe wake mazinge TU maana mkaidi vibaya

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t 17 дней назад

    Hongera sna dr sule kwa elimu nzuru waeleweshe hao makafiri wasiomjua Allah

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 18 дней назад

    Ndacha hongera

  • @AhmedAlharithiy-sg5cq
    @AhmedAlharithiy-sg5cq 26 дней назад +2

    Dr.sule masala Yana khilafu hakuna alie kuwa hai katika manabii wa la mitume allah hakujaalia mtu yoyote kabla ya mtumie kuishi milele

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9p 21 день назад

    Achana na daawa Dr Tule

  • @SefuAlyy
    @SefuAlyy 25 дней назад +1

    Shekh Sule Nakukubalii sanaa

  • @barackamosi4116
    @barackamosi4116 23 дня назад

    Ndacha mtukubwa sana sule ye nikucheka cheka 2 haelewi kitu

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 26 дней назад +2

    Dr Sule majini yamekupagawa

  • @davidkamando9630
    @davidkamando9630 24 дня назад +1

    Sule mbishi tu... Mch ndacha mbona anaeleweka sana tu

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 26 дней назад +1

    Real battle

  • @KhalidJuma-rn6ss
    @KhalidJuma-rn6ss 26 дней назад +4

    Ndacha upo mbioni kuingia kwenye uislam

    • @Dafetty
      @Dafetty 26 дней назад +1

      Inshaallah

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 25 дней назад

      Pole sana Ndacha yupo sehemu salama hawezi kuwa wa muislam

    • @user-qy7he6cl8w
      @user-qy7he6cl8w 20 дней назад

      Ndacha hataki Majini

    • @umdtv2749
      @umdtv2749 19 дней назад

      Waislamu ni ndugu na majini au shetani 😈

  • @Mkojani2024
    @Mkojani2024 25 дней назад

    Hii kauli :
    "Maombi peke yake hayawezi kumaliza matatizo ya wanadamu"
    Aliyeielewa vizuri anifahamishe na mimi

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 26 дней назад

    Part2 tahadhali ni habar nzuri hivi

  • @IamLoe
    @IamLoe 26 дней назад +2

    I think you serve what / whom you use.....

  • @KASSIMSAMAMBO
    @KASSIMSAMAMBO 26 дней назад +1

    SULE JITAHIDI KUTUMIA SHEREHE ZA QURAN AYA ZINAPINDISHWA BORA UACHE MJADALA KULIKO AYA ZIPONDWE PONDWE

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 26 дней назад

    dr sule allah kampa elimu sana

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 8 дней назад

    ❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u 24 дня назад

    mkuu wamajini Dr sule

  • @user-kz1bo2zu3c
    @user-kz1bo2zu3c 25 дней назад

    Mchungaji usibishane na watu wamataifa kama huyo dr sule mtu mbaya sana shetani

  • @SwaahibulMakaan
    @SwaahibulMakaan 14 дней назад

    Dr sule anaongea point uyo pumbu ndacha anaongea pumba

  • @user-ml6wl6xi7n
    @user-ml6wl6xi7n 26 дней назад +2

    Kikubwa Imani, Tuamini Kuwa MUNGU Ni Mmoja Na Tufanye Yaliyo Mema.

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 26 дней назад

      Kweli kikubwa ni imani...lakini imani ya mkristo na muislamu ni tofauti....MUNGU wao Si Mmoja kulingana na madai yako.

    • @user-qy7he6cl8w
      @user-qy7he6cl8w 20 дней назад

      Mungu sio Mmoja miungu wapo wengi lakini Mungu wa kweli ni mmoja Mungu mwenye Mungu Mungu wa Biblia Takatifu

    • @SurprisedApron-uq7kg
      @SurprisedApron-uq7kg 18 дней назад

      W Wacha uongo kama ww sio mu Islam huwezi kukuwa Namungu Moja kukuwa Namungu Moja razima usirim

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 18 дней назад

      Kumbuka hata Buddha na wahindu wanaamini Mungu mmoja kama wewe

  • @donaldfrancissassa8360
    @donaldfrancissassa8360 23 дня назад

    Mtangazaji unatukosea heshima , "biingereza vya ninini?'

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 25 дней назад

    Huyu mtangazaji anajifanya anajua kingereza, mara " speak about:"
    Kwa nini usitumie kiswahili lugha yetu.

  • @stephenogachi2205
    @stephenogachi2205 23 дня назад

    Dr. Sulle majini

  • @SurprisedApron-uq7kg
    @SurprisedApron-uq7kg 18 дней назад +1

    Ndacha kafiri mjinga ngoja kaburi ndio utatamani kurudishwa duniani namda wako unauhaributu

  • @threebrothers..
    @threebrothers.. 25 дней назад +1

    Dr sulle is a funny happy islam,atabatizwa na ndacha na ataingia choir

  • @SefuAlyy
    @SefuAlyy 25 дней назад

    Dokta Sole no mapepo

  • @bbnthia2055
    @bbnthia2055 26 дней назад

    Dacha...kemea hizo majini Dr Sulle anazitumia uone akiokoka.

  • @user-kz1bo2zu3c
    @user-kz1bo2zu3c 25 дней назад

    Mandondocha wanamfuata dr sule kwenye comment wamesharogwa

  • @ngwalesma3681
    @ngwalesma3681 24 дня назад

    Wewe mtangazaji achana na neno "speaking about"

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u 24 дня назад

    kwa kweli wewe ni mtaalamu wanajini yamekuharibu

  • @Dafetty
    @Dafetty 26 дней назад

    😂😂😂😂 Allah ndacha ana muita araa subhannallah

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 26 дней назад

    Mwandishi unaonesha upande hiyo ni tatizo

  • @user-jt9sl9ll7p
    @user-jt9sl9ll7p 16 дней назад

    Sule kwanza namushauli kufanya mazowezi anakitambi kibaya sana

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 26 дней назад

    Dr Sule anajichanganya
    Anasema Allah alipomwambia mtume Muhammad kua atakufa ni future lakini baadae mtume Muhammad alikufa sasa kuna tofauti gani na Mtume Issa na aliambiwa nitakufisha hii pia ni future kwa hiyo baadae na Alikufa hawezekani mtu aishi milele ni ibilisi pekee aliepewa ofa ya kuishi hadi siku ya mwisho

  • @yusuframadhan8927
    @yusuframadhan8927 25 дней назад

    Useless media with poor knowlegde of framing your headline

  • @user-cy5zv5fb9l
    @user-cy5zv5fb9l 19 дней назад

    Haka kamsemo ka watu wa upande wa pili et Kuna majini wema na mabaya huwa sielewi

  • @piusnkwale
    @piusnkwale 26 дней назад

    Jitaidi unapoulizwa maswali acha kutamka"speak about"unarudia sana hadi inaboa

  • @SwaahibulMakaan
    @SwaahibulMakaan 14 дней назад

    Sule tumekuelewa ndacha ajui kiswaili

  • @Shomariamuri1
    @Shomariamuri1 26 дней назад +1

    Dr Sule unaanza kuelenewa kabla ya mada yenyewe.
    Majini yakusaidie 😂

    • @mariamwanjiku3866
      @mariamwanjiku3866 26 дней назад

      Mimi kama muislamu , haifai kutumia majini kutafuta mali

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 19 дней назад

    Sasa kwani unamwonea huyo kwamba awe mwisilamu sababu ya kutokujua kiswahili basi ongea kingereza tuone.

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 26 дней назад

    Sule mchawi.ajificha chini ya uislamu

  • @africacoast6841
    @africacoast6841 21 день назад

    Sule unapoteza watu..
    Yohana 6:70
    [70]Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r 15 дней назад

    Sule amekubali anamajini..... waislam mpo kweli?

  • @KASSIMSAMAMBO
    @KASSIMSAMAMBO 26 дней назад

    Kijan ndacha anachekesha kwel

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 19 дней назад

    Kwani waislamu hamuendi hospitalini ninyi, acha uongo mzee mtu mzima!

  • @peterAmiable7
    @peterAmiable7 25 дней назад

    Eti sule anatoa andiko Yohana 6:70 eti mapepo yaliwatii wanafunzi wa Yesu.
    Huyu anabahatishaga tu maandiko

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 19 дней назад

    Nimemuona pastor kanyali kenya Anawaomba waumini katika tiktok huyo ni sawa ?????

  • @muriithijames2225
    @muriithijames2225 26 дней назад +2

    Mbona waislamu lazima watumie lugha ta kiarabu kwa saala zao kwani allah haelewi lugha ingine isipokuwa kiarabu

    • @mariamwanjiku3866
      @mariamwanjiku3866 26 дней назад

      Kuomba dua unaeza omba na lugha yoyote lakini kwenye swala tunaswali namna alivosali mtume Muhammad saw

    • @paschaljuma3312
      @paschaljuma3312 26 дней назад

      Ukifikiria hivyo ni uchache wa akili yako ndo unakutuma kufikiria hivyo, kama yeye mwenyew Mwenyezi mungu anasema, " Tumekumbeni mataifa na makabila mbali mbali ili mpate kutambuana" akili yako inakutuma kuwa kuna kikomo katika lugha, mwentezi mungu anaamua kitu hiki nataka kiwe hivi, mtu anayo machaguo mawili kufuata au kukaidi ni chaguo lako. Wala haipunguzi kitu kwa mwenyezi mungu, kwaiyo suala la kusali kwa lugha ya kiarabu moja ya sababu ni namna sala inavyofanyika na jinsi quran inavyotakikana kusomwa. Hii ni dini ambayo kila kitu kiko katika utaratibu wake wa kukamilika acha kufananisha na yenu ambayo kila mtu afanta anavyojua maana hamna muongozo nyie

    • @arafatali2796
      @arafatali2796 25 дней назад

      ndoa lugha yetu sote hata wew utake usitake hujiuliz kwanin adhana iwe yakiarabu sio lugha nyengn qur an kiarabu nyinyi hamuon tabu biblia kuwa lugha tofaut tofaut ukienda kwenye nci yawatu jee itafanyaje

    • @ramadhanyusuf2401
      @ramadhanyusuf2401 25 дней назад

      Hii ni ishara ya umoja Mungu anapenda umoja

    • @wazirikipanga325
      @wazirikipanga325 25 дней назад

      Ndivyo ilivyo swala imefundishwa kwa kiarab hata mtume amefundisha hvo so hairuhusiwi kutia maneno yyt isipokuw kiarab hata ukitaka kuomba dua ndn ya swala ni kiarab ukitia lugha yyt pasi na kiarab ndan ya swala!! Swala hyo ni baaatwil haipokelewi.

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz 26 дней назад

    Mpaka wakiristo wanakudhihaki kwa tamaa zako

  • @user-pg2tw8yt4l
    @user-pg2tw8yt4l 26 дней назад

    😂😂😂

  • @user-rq3vu1zy6c
    @user-rq3vu1zy6c 26 дней назад

    wote makafiri

  • @user-id1gz3ng3k
    @user-id1gz3ng3k 25 дней назад

    Sule wepeke sio muisilam ww ni mswaili, ww unatumia majini kwenye matatizo yako 😂😂😂, ndacha na yeye wote niwamoja

  • @judithminja770
    @judithminja770 18 дней назад

    Ndg mtangazaji hilo neno la speak about umejifunza jipya?😢😢kha

  • @kiulajoseph9194
    @kiulajoseph9194 25 дней назад

    Hawa wa jamaa mbona Kama ni marafiki poa tu ilamitandao ndio inaongea vitu vingi

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q 26 дней назад

    Labda kwamajin so maandiko nyiwenyew mwamngoja yesu sasa atabadili kwalip nyoo

    • @ahmedimakope
      @ahmedimakope 26 дней назад

      We Kuma nn mkundu wa bibi Yako kipapa wew

    • @awatifsubeit4007
      @awatifsubeit4007 26 дней назад

      @@ahmedimakope sasa matusi ya nini jamani tumuogope Allah zungunmza maneno yalio sawa au unyamaze kimya kwa mujibu wa mafundisho ya Mtume wetu

  • @SaidWaKonde
    @SaidWaKonde 26 дней назад

    Ndacha mara hii utasilimu tu ukirudi kenya 🇰🇪 uwailumishe wafuasi wako

    • @shakila3982
      @shakila3982 26 дней назад

      Imagine naisi Mwenyezi Mungu ndio usukuma ndacha kujua haki, hata mimi nilikuwa naupiga uislamu lakini ckuacha kudiscuse uislamu

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 26 дней назад

      Hakuna mwislm wa kusimama na ndacha hapo

    • @annymacher3829
      @annymacher3829 20 дней назад

      😂😂😂ndacha hawez kua muislam jishikilie😅

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero6469 25 дней назад

    Sule na majini ndugu kabisa 😂😂😂😂😂

  • @SefuAlyy
    @SefuAlyy 25 дней назад

    Mafuta ya nazii

  • @FarhatIbrahim-zs3qh
    @FarhatIbrahim-zs3qh 22 дня назад

    Acheni ubishi dini yakiislam nd dini yahaki achen ushamba

    • @user-qy7he6cl8w
      @user-qy7he6cl8w 20 дней назад

      Unataka tufuge majini🥺🥺🥺🥺😊

  • @FahmyHassan-uf6hf
    @FahmyHassan-uf6hf 23 дня назад

    Mwezimungu ameishusha kurani kwamaneno ya kurani ndio tukatumia

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 26 дней назад

    Mie ninachompendea Ndacha ikiwa wakiristo wamekosea anasema kama mzee upako wakiristo wengi hawasomi Bible lakini kuna mwengine anapinga tu hata kwenye ukweli Mfano kama Mw Daniël mkatoliki

  • @ZoroSharifu
    @ZoroSharifu 24 дня назад

    Hakika ndacha ingia wi islamu mbio❤

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 20 дней назад

    Wajinga
    Huyu Anaeutwa Mganga Sule Hakusoma Uislam
    Na Huyu ndacha Namshauri Akasome Kwanza Uislam kwa kujifunza lugha ya asili iliyobeba kitabu cha imani ya Waislam
    Quran kisha aje kufanya Mijadala

  • @MussaHaji-zu4en
    @MussaHaji-zu4en 26 дней назад

    Gufu 😂 au nguvu?

    • @thelonewolf4429
      @thelonewolf4429 26 дней назад +1

      Sio adi atamke kama wewe ya muhimu nikumwelewa. Ata kingereza watu wanatamka tofauti sasa usijifanye yakwako ndio sahihi.

  • @AproniusMwinuka
    @AproniusMwinuka 26 дней назад

    Ubarikiwe Dr ndacha Mtumishi wa Bwana