Dr Sule anajichanganya Anasema Allah alipomwambia mtume Muhammad kua atakufa ni future lakini baadae mtume Muhammad alikufa sasa kuna tofauti gani na Mtume Issa na aliambiwa nitakufisha hii pia ni future kwa hiyo baadae na Alikufa hawezekani mtu aishi milele ni ibilisi pekee aliepewa ofa ya kuishi hadi siku ya mwisho
Ukifikiria hivyo ni uchache wa akili yako ndo unakutuma kufikiria hivyo, kama yeye mwenyew Mwenyezi mungu anasema, " Tumekumbeni mataifa na makabila mbali mbali ili mpate kutambuana" akili yako inakutuma kuwa kuna kikomo katika lugha, mwentezi mungu anaamua kitu hiki nataka kiwe hivi, mtu anayo machaguo mawili kufuata au kukaidi ni chaguo lako. Wala haipunguzi kitu kwa mwenyezi mungu, kwaiyo suala la kusali kwa lugha ya kiarabu moja ya sababu ni namna sala inavyofanyika na jinsi quran inavyotakikana kusomwa. Hii ni dini ambayo kila kitu kiko katika utaratibu wake wa kukamilika acha kufananisha na yenu ambayo kila mtu afanta anavyojua maana hamna muongozo nyie
ndoa lugha yetu sote hata wew utake usitake hujiuliz kwanin adhana iwe yakiarabu sio lugha nyengn qur an kiarabu nyinyi hamuon tabu biblia kuwa lugha tofaut tofaut ukienda kwenye nci yawatu jee itafanyaje
Ndivyo ilivyo swala imefundishwa kwa kiarab hata mtume amefundisha hvo so hairuhusiwi kutia maneno yyt isipokuw kiarab hata ukitaka kuomba dua ndn ya swala ni kiarab ukitia lugha yyt pasi na kiarab ndan ya swala!! Swala hyo ni baaatwil haipokelewi.
Mie ninachompendea Ndacha ikiwa wakiristo wamekosea anasema kama mzee upako wakiristo wengi hawasomi Bible lakini kuna mwengine anapinga tu hata kwenye ukweli Mfano kama Mw Daniël mkatoliki
Wajinga Huyu Anaeutwa Mganga Sule Hakusoma Uislam Na Huyu ndacha Namshauri Akasome Kwanza Uislam kwa kujifunza lugha ya asili iliyobeba kitabu cha imani ya Waislam Quran kisha aje kufanya Mijadala
Binafsi huwa nafurahishwa na mijadala yenu hongera sanaa ,Very Calm
Doctor sule ansema ki2 kwaushahidi mashallah someni quran mujuwe dini inasemaje
Haya gani
Ubarikiwe Dr ndacha Mtumishi wa Bwana
Ndacha mbabe wake mazinge TU maana mkaidi vibaya
Hongera sna dr sule kwa elimu nzuru waeleweshe hao makafiri wasiomjua Allah
Sule wako hnakitu
Ndacha hongera
Dr.sule masala Yana khilafu hakuna alie kuwa hai katika manabii wa la mitume allah hakujaalia mtu yoyote kabla ya mtumie kuishi milele
❤
Achana na daawa Dr Tule
Shekh Sule Nakukubalii sanaa
Hatanamipiya namukubal
Ndacha mtukubwa sana sule ye nikucheka cheka 2 haelewi kitu
Dr Sule majini yamekupagawa
Sule mbishi tu... Mch ndacha mbona anaeleweka sana tu
Real battle
Ndacha upo mbioni kuingia kwenye uislam
Inshaallah
Pole sana Ndacha yupo sehemu salama hawezi kuwa wa muislam
Ndacha hataki Majini
Waislamu ni ndugu na majini au shetani 😈
Hii kauli :
"Maombi peke yake hayawezi kumaliza matatizo ya wanadamu"
Aliyeielewa vizuri anifahamishe na mimi
Part2 tahadhali ni habar nzuri hivi
I think you serve what / whom you use.....
SULE JITAHIDI KUTUMIA SHEREHE ZA QURAN AYA ZINAPINDISHWA BORA UACHE MJADALA KULIKO AYA ZIPONDWE PONDWE
dr sule allah kampa elimu sana
❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
mkuu wamajini Dr sule
Mchungaji usibishane na watu wamataifa kama huyo dr sule mtu mbaya sana shetani
Dr sule anaongea point uyo pumbu ndacha anaongea pumba
Kikubwa Imani, Tuamini Kuwa MUNGU Ni Mmoja Na Tufanye Yaliyo Mema.
Kweli kikubwa ni imani...lakini imani ya mkristo na muislamu ni tofauti....MUNGU wao Si Mmoja kulingana na madai yako.
Mungu sio Mmoja miungu wapo wengi lakini Mungu wa kweli ni mmoja Mungu mwenye Mungu Mungu wa Biblia Takatifu
W Wacha uongo kama ww sio mu Islam huwezi kukuwa Namungu Moja kukuwa Namungu Moja razima usirim
Kumbuka hata Buddha na wahindu wanaamini Mungu mmoja kama wewe
Mtangazaji unatukosea heshima , "biingereza vya ninini?'
Huyu mtangazaji anajifanya anajua kingereza, mara " speak about:"
Kwa nini usitumie kiswahili lugha yetu.
Dr. Sulle majini
Ndacha kafiri mjinga ngoja kaburi ndio utatamani kurudishwa duniani namda wako unauhaributu
Nice
Dr sulle is a funny happy islam,atabatizwa na ndacha na ataingia choir
😂😂😂😂😂
Dokta Sole no mapepo
Dacha...kemea hizo majini Dr Sulle anazitumia uone akiokoka.
Mandondocha wanamfuata dr sule kwenye comment wamesharogwa
Wewe mtangazaji achana na neno "speaking about"
kwa kweli wewe ni mtaalamu wanajini yamekuharibu
😂😂😂😂 Allah ndacha ana muita araa subhannallah
Mwandishi unaonesha upande hiyo ni tatizo
Sule kwanza namushauli kufanya mazowezi anakitambi kibaya sana
Dr Sule anajichanganya
Anasema Allah alipomwambia mtume Muhammad kua atakufa ni future lakini baadae mtume Muhammad alikufa sasa kuna tofauti gani na Mtume Issa na aliambiwa nitakufisha hii pia ni future kwa hiyo baadae na Alikufa hawezekani mtu aishi milele ni ibilisi pekee aliepewa ofa ya kuishi hadi siku ya mwisho
Ni ww hujaelew
Useless media with poor knowlegde of framing your headline
Haka kamsemo ka watu wa upande wa pili et Kuna majini wema na mabaya huwa sielewi
Jitaidi unapoulizwa maswali acha kutamka"speak about"unarudia sana hadi inaboa
Sule tumekuelewa ndacha ajui kiswaili
Dr Sule unaanza kuelenewa kabla ya mada yenyewe.
Majini yakusaidie 😂
Mimi kama muislamu , haifai kutumia majini kutafuta mali
Sasa kwani unamwonea huyo kwamba awe mwisilamu sababu ya kutokujua kiswahili basi ongea kingereza tuone.
Sule mchawi.ajificha chini ya uislamu
Sule unapoteza watu..
Yohana 6:70
[70]Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?
Sule amekubali anamajini..... waislam mpo kweli?
Kijan ndacha anachekesha kwel
Ndacha anaongea fact sio tatizo
Kwani waislamu hamuendi hospitalini ninyi, acha uongo mzee mtu mzima!
Eti sule anatoa andiko Yohana 6:70 eti mapepo yaliwatii wanafunzi wa Yesu.
Huyu anabahatishaga tu maandiko
Nimemuona pastor kanyali kenya Anawaomba waumini katika tiktok huyo ni sawa ?????
Mbona waislamu lazima watumie lugha ta kiarabu kwa saala zao kwani allah haelewi lugha ingine isipokuwa kiarabu
Kuomba dua unaeza omba na lugha yoyote lakini kwenye swala tunaswali namna alivosali mtume Muhammad saw
Ukifikiria hivyo ni uchache wa akili yako ndo unakutuma kufikiria hivyo, kama yeye mwenyew Mwenyezi mungu anasema, " Tumekumbeni mataifa na makabila mbali mbali ili mpate kutambuana" akili yako inakutuma kuwa kuna kikomo katika lugha, mwentezi mungu anaamua kitu hiki nataka kiwe hivi, mtu anayo machaguo mawili kufuata au kukaidi ni chaguo lako. Wala haipunguzi kitu kwa mwenyezi mungu, kwaiyo suala la kusali kwa lugha ya kiarabu moja ya sababu ni namna sala inavyofanyika na jinsi quran inavyotakikana kusomwa. Hii ni dini ambayo kila kitu kiko katika utaratibu wake wa kukamilika acha kufananisha na yenu ambayo kila mtu afanta anavyojua maana hamna muongozo nyie
ndoa lugha yetu sote hata wew utake usitake hujiuliz kwanin adhana iwe yakiarabu sio lugha nyengn qur an kiarabu nyinyi hamuon tabu biblia kuwa lugha tofaut tofaut ukienda kwenye nci yawatu jee itafanyaje
Hii ni ishara ya umoja Mungu anapenda umoja
Ndivyo ilivyo swala imefundishwa kwa kiarab hata mtume amefundisha hvo so hairuhusiwi kutia maneno yyt isipokuw kiarab hata ukitaka kuomba dua ndn ya swala ni kiarab ukitia lugha yyt pasi na kiarab ndan ya swala!! Swala hyo ni baaatwil haipokelewi.
Mpaka wakiristo wanakudhihaki kwa tamaa zako
😂😂😂
wote makafiri
😂😂😂😂wote kafiri
Sule wepeke sio muisilam ww ni mswaili, ww unatumia majini kwenye matatizo yako 😂😂😂, ndacha na yeye wote niwamoja
Ndg mtangazaji hilo neno la speak about umejifunza jipya?😢😢kha
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hawa wa jamaa mbona Kama ni marafiki poa tu ilamitandao ndio inaongea vitu vingi
Labda kwamajin so maandiko nyiwenyew mwamngoja yesu sasa atabadili kwalip nyoo
We Kuma nn mkundu wa bibi Yako kipapa wew
@@ahmedimakope sasa matusi ya nini jamani tumuogope Allah zungunmza maneno yalio sawa au unyamaze kimya kwa mujibu wa mafundisho ya Mtume wetu
Ndacha mara hii utasilimu tu ukirudi kenya 🇰🇪 uwailumishe wafuasi wako
Imagine naisi Mwenyezi Mungu ndio usukuma ndacha kujua haki, hata mimi nilikuwa naupiga uislamu lakini ckuacha kudiscuse uislamu
Hakuna mwislm wa kusimama na ndacha hapo
😂😂😂ndacha hawez kua muislam jishikilie😅
Sule na majini ndugu kabisa 😂😂😂😂😂
Mafuta ya nazii
Acheni ubishi dini yakiislam nd dini yahaki achen ushamba
Unataka tufuge majini🥺🥺🥺🥺😊
Mwezimungu ameishusha kurani kwamaneno ya kurani ndio tukatumia
Nani kaiwka kwa maadishi maana muhamad hakujua kusoma na kuandika?
Kwanin Allah alisema" tukamuumba "kwan wangapi waliumba?
Mie ninachompendea Ndacha ikiwa wakiristo wamekosea anasema kama mzee upako wakiristo wengi hawasomi Bible lakini kuna mwengine anapinga tu hata kwenye ukweli Mfano kama Mw Daniël mkatoliki
Hakika ndacha ingia wi islamu mbio❤
Wajinga
Huyu Anaeutwa Mganga Sule Hakusoma Uislam
Na Huyu ndacha Namshauri Akasome Kwanza Uislam kwa kujifunza lugha ya asili iliyobeba kitabu cha imani ya Waislam
Quran kisha aje kufanya Mijadala
Gufu 😂 au nguvu?
Sio adi atamke kama wewe ya muhimu nikumwelewa. Ata kingereza watu wanatamka tofauti sasa usijifanye yakwako ndio sahihi.
Ubarikiwe Dr ndacha Mtumishi wa Bwana