ZUWENA WA DIAMOND AMLIZA JAMAA ALIYEMTOLEA MANENO YA SHOMBO | HIVI NI KWELI
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- ZUWENA WA DIAMOND AMLIZA JAMAA ALIYEMTOLEA MANENO YA SHOMBO | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Binafsi nimempda sana mshikaji kakili tena kwa machozi one love ❤️ man
Respected kwake MmakondE
yaani ni vijana wachache sana wanajua kujishusha
Yaani nimecheka hadi basi huyu kaka jamniii
Kabis hata mimi nimependa jamaa ❤
Nimemuonea huruma sana yule kaka alivyolia.
Huyu kaka alicho kua akikiongea hakijatoka lohoni pia anahofu yamungu ❤️❤️❤️
Kweli aliongea kama utani🙏🙏
kweli
Mo Town sanya huyu jamaa wakwanza kafanya kipnd kuwa kizuri sana kama umekubali nipe like tujuane
Leo tupo na zuwena ndo habar ya mjin❤❤nampenda sana zuwena
Jamaa wa kwanza ni very matured 😢😢😢 smart sana daah 😢😢
Ila huyu dada anahekima sana mungu azidi kukubariki dada endelea na hekima yako hivyo hivyo usije ukabadilika
Ameen
Mbaya Zaidi yakitoka hayarudi
Amina
Aliesema "kanyata" akaishia kutoa chozi... KANIFURAHISHA SANA. NI MKWELI na busara sana🥰❤👍
Huyu jamaa wazazi wake wamefanya kazi kubwa sana kumjenga hofu kujuwa kakosea na kukiri tena kwa chozi sio jambo dogo kajuwa Zuwena nibinadam kiuhakisia kamuumiza nimependa
Uwakika bro
Ila mkaka kaonyesha huruma kweli 😀😀😀😀, Zuwena msamehe bule
Moral of the story; unapogundua umekosea usikaze fuvu, jishushe omba msamaha yaishe👊🏾
I liked the first guy what he did
Hadi ameliya yaani imemuuma zaidia aliye msema alikua anacheka tu
the guy did wrong but he killed it,the way amejishusha sanaa
Apo kwenye mkazo wa fuvu apo
Usikaze fuvu 🤣🤣🤣
kama wew ni shabiki wa Zuwena gonga like ili tuende sawa
🥰🥰
@@shanibaniyas6308 saf sana
"Pita usemwe ila leo mtu ajapita amesimama tu kasemwa" 😂😂😂 ila mm nimemwelewa mwamba saana
hii imeniua kwa kucheka
There is sense of humanity for our brother.
Hatawi sema mtu tena
😃😃
True
Zuwena nachompendea ni humble sana
Huyu mwamba ni talent ya kwenda kabisa anafaa pia kuwa mchekeshaji mchukueni huyu mwamba
Uyu mshikaji WA ntwara anaujua music kama umemkubali nipe like
Zuwena mzuri bana wapi like zake 1k ✌
we tulia
Ntengeze nae nzikii hivyo hivyo ntu kanyata kweli
We kaka pombe uliyokunywa usirudie kunywa tena 😂😂
@@rabiaiddi2884 ukweli bana
Mmmm 👀
Nime furahi kwakweli kazi nzuri mo town sanya naku kubali from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
True meaning of humanity
The guy is so talented
Zuwena chombo bhana ..
Ni maisha tu ..
Mungu akubariki sana Dada angu ..
Amiin
He truly repented! 'the heart of King David 🤴
Nmeumia sana jamaa ana hofu ya mungu
Sanaaa
Kweli Ana hofu ya MUNGU
Diamond platinumz 🙌🙌👑👑
Hapa dunian hakuna mtu mubaya jaman
Jamaa wakwanza nimempenda sana anajua kuishi nawatu huyo jamaa inaonekana anaweza kuish nakila mtu alf so mtu wakumkwaza mwenzie kirahs one love kwantwala boy 😁🥰
Asante 🙏
Huyu makonde kanogesha game today, plz usimuache mtupu... #MoTownSanya
Nampenda zuwena 🙏🙏🙏🙏❤❤ila kiukweli inauma sanaaa kumsema mtu kumbe yupo inauma sanaaa nawapenda wamtwala wanavyo ongea😂😂😂😂😂🙏
😂😂😂
We ndio mm me napenda wanavyoongea jaman nasikia raha kuwasikiliza
hahahh usiombe ikukute jmn
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂Kaka kasema pita usemwe ila yaliyokea leo kasimama akasemwa🤣🤣😊
yani hata mm pia nimelia jamaa inamuuma kwa maneno yake 😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Upendo mkubwa sana😢😢❤❤
MO TOWN SANYA❤❤
NEMBO YA MTAA❤❤
Zuwena anaroho nzuri" ❤️❤️❤️
Wajukuu wa mzee nchonga 😍😍 huyu jamaa anaupendo sanaa ila alitelezaa tyu
😂😂😂😂
Zuwenaa Noumaaa saàna Video queen star Kwa SASA toka mbeya city kyelA zuwenaa 💥💫⭐🌟
Daah! Nimeinjoy sana hii intaw ya makonde kiasi hata mm nimejiskia simanzi sema sanya hapa umetisha salute kwako
mie tungekuwa tunabadilishana mwili..ningemuomba mwili wake..athletic mbaya sana Zuwena..mwili mzuri mno
Daaaaaaah uyu jamaa mmakonde kauwa leo 💪💪❤️
Hii nchi hapana Kwa kwel! More love zuwena
Uyo jamaa wa kwanza, anakipaji musimuache♥️♥️
😂😂😂😂😂
Zuwena mstarabu Sana
Salut grand j'aime beaucoup votre émission
Aki jamaa amejiskia vibaya sure but zuwena amebarikiwa na roho ya utu I love you zuwena.......
Chochote nachokipenda kuhusu watu wa mikoa ya kusini is their honesty.
Genuine person that first one...too genuine yani...ubinadamu 101...peace sana popote ulipo bro👍🏾
Mwamba anachekesha na anasikitisha kwa wakati mmoja daah😢😢
kumbe umeliona hilo na wewe
Banaaa
😀😀😀 nimecheka sana na nimesikitika pia
Nikweli 😂😂😂😂
Nimechekaaa
Eti mmakonde anasema diamond nae kutuletea vitu gan hv adi tunalopoka 😂😂
Jamaa Kafurahisha Sanaa na Kaondoka Kiuzuni na Nimuelewa Kaomba Samahani
He made my day hakii😃😀😀😂😀😀😀🤣😂😂😂😅😅😅😆😆😆😆😆😆😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌
Bahati humpata mtu kwa wakati wake
Oya more nitafute yule jamaa alie toa machozi ninaelufu hamsini yako nimekubari sana narudia rudia kuicheki kwa ajiri yake nasema kweli sitanii
Mtafuteni yupo makumbusho kona ni deleva wa boda boda
Ww ndo zuchu kweli mwenye nyimbo zile nzuri nzuri😄😄😄😄
Oyu jamaa ana ofu ya mungu sana
Yeah mtu mzuri jamani
Mo town sanya NEMB YA MTAA ishi Sanaa familia yang mung azid kukupa innovation ili kipindi kizid kuwa 🔥
4:22 wamokendeee wotee wanafkiiii💁🖐️ daimond alifungwa kitambaa
Mnafiki ww mshenzi
Wa kunyata wewe kima
Unamkumbuk konde 😂mbwa yule
Nimekubal kazi yake uyo mchizi kinoma noma toka wasafi wanzishe iki kipindi huyu jama kakinogesh kw mara ya kwnza na Ana ubinadam bdala kujua ka fail roho yake haikumpa kuondk bila kumuomba msamaha zuena na hongera zuena kuonesha ubinadam kwake 🔥🔥🔥🔥
duh kitambo Sana mwamba naipenda kaz yako nsanya unanigusa nikiwa Zambia 🤣💖✌️🎉🎉🎉✨✨✨
😂😂😂😂 nimecheka kifala sana zuwena nakukubali sana ♥️♥️♥️
ooooooooooooiiiiiii any way wamakonde popote mlipoo nawapenda kinoouuuma the way ongea yenu❤️❤️🔥🔥
Ila nmemkubal San huy mshikaj amekili kutoka kwenye moyo aisee naijua hyo situation aliyo nayo aiseee 🔥🔥👊👊👊
No town sanya mm niko Oman nafatilia vizuri vipindi vyako mama muokota makopo kwakweli kaniliza sana
Katika interview zote hii nice kabisa funzo sana kwa watanzania
Zuwena❤️❤️❤️
Huyu jaamaa hadi nimetokea kulia
Mo leo ume ticha sana kutoka Comoro nime furahi sana kweli ❤❤❤❤❤
Dunia inamengi sana ati kulopoka jamaa kajutia sana.umesamehewa
Mmakonde katisha kinoma,,kanivunja mbavu,big up sana konde boy
Mo Sanyanya from Tanzania 🇹🇿 to Burundu 🇧🇮 wanna see u Hommy Zuwena she my so beautiful sister Welcome to Rock Island Illinois 🇺🇲 big up to u guys ✌️
Yuko vizuri sana zuuu
Binadam wapo bado wenye roho za utu ambazo zimepunguka sana kwa watu wa kawaida, kati ya watu elfu tano ivi huenda ukampata mmoja kama huyu ivi ama hata uka kosa, amewafanya wengi wakatoa machozi,,,,,,Bigup sana.
Imetishaa
Show imebamba kinouuma....BIG UP MO TOWN.....BIG UP MONDI @ SIMBA
Siku moja aje mtwara aje c tuna vipaji uku 🤣🤣🤣
Huyo brother ana ubinadamu sana mimi na mkubali wote hata dada zuena Yuko sawa
Moo jamaniii una rombaya 😂😅but I like it ❤love from 🇧🇮 burundi
Zuwena ni mkali sanaaaaa🌺🌺🌺
Uyo mmakonde wetu ana kipaji Sana Cha uchekeshaji 🔥🔥
Huyu jamaa hatawahi sengenya mtu kwa maisha yake tena na pia roho yake imemuhukuma sana.hofu ya Mungu ipo hapa kwa kweli
Zuwena ipo love🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Zuwena mzuri,kwenye mziki alivaa uhusika
manshalla zuwena msitatabu nakupenda bure mngu anisaidie namm nikutane nae❤❤❤❤
"Amenyataaa, bwanaa amenogaa bwana! Huu ntego huu! machozi yanantiririka maneno niliyokaongea haya😃" Mmwera mwenzangu OG wa kula pitiku
Wanasema pita usemwe..sasa huyu ntu kasemwa yupo hapa hapa😂😂
Why did I get emotional about this 😢
Huyu jamaa amejutia sana Ana hofu ya mungu sana
Jamaa nafsi inamsuta sana.
Waah my upo
@@cliffordmjibu2836 yah
Zuwena mzuri marshallah
😭😭😭😭dah mmemzingua sana huyu muuni💔🙌
The man he’s a human 🤦🏾🙏🏾
Huyo jamaa wa mtwara anakitu wallah 😢😢
Huyu nae apewe kazi nayeye, zuwena yuko vizuri tuu mbona, kazi nzuri kaka 😄😄
Mwamba anahofu kubwa saaana hatak kumkosea mtu huyu Mungu akutunze
Mazee the guy he's talented
Mooh unafeli wapi nowadays tunamisi Sana hivi ni kweli Kaka jitahidi Sana 😅😅😅😅😅😅😅 jamani usiwe ivyo
Hivi nimkweli kwani hiki nikipindi gani?
Kipindi kinarushwa wasafi Tv kila jumanne saa3
Mtafute Jamaa nimpe zawadi nipo 🇬🇧 thx
Mtanzania mwenzangu unanisema!😭😰😰
Monta sanya 💪💪💪💪 afu zuena makali nakukubali kweli
Zuwena wow😘😘
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila zuwena…”baba unaupiga mwingi baba”😂😂😂
Zuwena katisha kiukweli Ana cofdec ya kutosha napenda ivyo kiukweli kaka yangu Kuna kitu kaji funza zaidi naimani ndipo bina dam tulivyo kama serekari ingejua tulivyo wanafiki basi wasi pate tabu kutuongoza ndivyo bina dam tulivyo ongera zuwena
Daahh mwambaa huyuuuu apaaaa😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾....!! Nimempendaaaa bhnaa huyuu kaka anguh Wanyumbanii♥️
Tanzania 🇹🇿 ndo channel ya vichekesho mbinguni
😁😁😁😁
😂 😂 😂 😂 😂 nimecheka kama Mazuri kiukweli
Daaah nmecheka sana😃😃😃😃😃😃
Hongera xn mwamba
jamaa wa kwanza he is mostly talented
Hy wa njano mnafiki kwl 😁😁 dkk 21:00
Huu kaka nimstarab manshallaah