ZUWENA WA DIAMOND AMLIZA JAMAA ALIYEMTOLEA MANENO YA SHOMBO | HIVI NI KWELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • ZUWENA WA DIAMOND AMLIZA JAMAA ALIYEMTOLEA MANENO YA SHOMBO | HIVI NI KWELI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 838

  • @Johnny-b4i
    @Johnny-b4i Год назад +137

    Binafsi nimempda sana mshikaji kakili tena kwa machozi one love ❤️ man

  • @marthamorris7297
    @marthamorris7297 Год назад +72

    Huyu kaka alicho kua akikiongea hakijatoka lohoni pia anahofu yamungu ❤️❤️❤️

  • @alexjumanne1381
    @alexjumanne1381 Год назад +103

    Mo Town sanya huyu jamaa wakwanza kafanya kipnd kuwa kizuri sana kama umekubali nipe like tujuane

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Год назад +61

    Leo tupo na zuwena ndo habar ya mjin❤❤nampenda sana zuwena

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 Год назад +21

    Jamaa wa kwanza ni very matured 😢😢😢 smart sana daah 😢😢

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 Год назад +95

    Ila huyu dada anahekima sana mungu azidi kukubariki dada endelea na hekima yako hivyo hivyo usije ukabadilika

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 Год назад +13

    Aliesema "kanyata" akaishia kutoa chozi... KANIFURAHISHA SANA. NI MKWELI na busara sana🥰❤👍

  • @ahmedmsangi1653
    @ahmedmsangi1653 Год назад +76

    Huyu jamaa wazazi wake wamefanya kazi kubwa sana kumjenga hofu kujuwa kakosea na kukiri tena kwa chozi sio jambo dogo kajuwa Zuwena nibinadam kiuhakisia kamuumiza nimependa

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 Год назад +53

    Ila mkaka kaonyesha huruma kweli 😀😀😀😀, Zuwena msamehe bule

  • @emmanuelrobina4894
    @emmanuelrobina4894 Год назад +104

    Moral of the story; unapogundua umekosea usikaze fuvu, jishushe omba msamaha yaishe👊🏾
    I liked the first guy what he did

    • @lovvy854
      @lovvy854 Год назад +6

      Hadi ameliya yaani imemuuma zaidia aliye msema alikua anacheka tu

    • @neyney1907
      @neyney1907 Год назад

      the guy did wrong but he killed it,the way amejishusha sanaa

    • @halfanijuma7646
      @halfanijuma7646 Год назад +1

      Apo kwenye mkazo wa fuvu apo

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 Год назад

      Usikaze fuvu 🤣🤣🤣

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 Год назад +169

    kama wew ni shabiki wa Zuwena gonga like ili tuende sawa

  • @kennedkaaya5998
    @kennedkaaya5998 Год назад +70

    "Pita usemwe ila leo mtu ajapita amesimama tu kasemwa" 😂😂😂 ila mm nimemwelewa mwamba saana

  • @halfanijuma7646
    @halfanijuma7646 Год назад +79

    There is sense of humanity for our brother.

  • @emmamga5495
    @emmamga5495 Год назад +34

    Zuwena nachompendea ni humble sana

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 Год назад +58

    Huyu mwamba ni talent ya kwenda kabisa anafaa pia kuwa mchekeshaji mchukueni huyu mwamba

  • @archkeels3753
    @archkeels3753 Год назад +33

    Uyu mshikaji WA ntwara anaujua music kama umemkubali nipe like

  • @Alkibosstz
    @Alkibosstz Год назад +300

    Zuwena mzuri bana wapi like zake 1k ✌

  • @silasila3111
    @silasila3111 Год назад +36

    Nime furahi kwakweli kazi nzuri mo town sanya naku kubali from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @hassanmugire1497
    @hassanmugire1497 Год назад +55

    True meaning of humanity

  • @hemedmtunguja9788
    @hemedmtunguja9788 Год назад +17

    The guy is so talented

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir Год назад +8

    Zuwena chombo bhana ..
    Ni maisha tu ..
    Mungu akubariki sana Dada angu ..

  • @nehemiavictor5743
    @nehemiavictor5743 Год назад +36

    He truly repented! 'the heart of King David 🤴

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 Год назад +66

    Nmeumia sana jamaa ana hofu ya mungu

  • @yanickmustafa7221
    @yanickmustafa7221 Год назад +19

    Diamond platinumz 🙌🙌👑👑

  • @kingsika8138
    @kingsika8138 Год назад +9

    Jamaa wakwanza nimempenda sana anajua kuishi nawatu huyo jamaa inaonekana anaweza kuish nakila mtu alf so mtu wakumkwaza mwenzie kirahs one love kwantwala boy 😁🥰

  • @yotehapatv7705
    @yotehapatv7705 Год назад +34

    Huyu makonde kanogesha game today, plz usimuache mtupu... #MoTownSanya

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Год назад +102

    Nampenda zuwena 🙏🙏🙏🙏❤❤ila kiukweli inauma sanaaa kumsema mtu kumbe yupo inauma sanaaa nawapenda wamtwala wanavyo ongea😂😂😂😂😂🙏

    • @zahraaabdulmark9407
      @zahraaabdulmark9407 Год назад

      😂😂😂

    • @hadiadaoman1981
      @hadiadaoman1981 Год назад +1

      We ndio mm me napenda wanavyoongea jaman nasikia raha kuwasikiliza

    • @neyney1907
      @neyney1907 Год назад +1

      hahahh usiombe ikukute jmn

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @berthatz
      @berthatz Год назад +1

      😂😂Kaka kasema pita usemwe ila yaliyokea leo kasimama akasemwa🤣🤣😊

  • @hamadimatano4503
    @hamadimatano4503 Год назад +61

    yani hata mm pia nimelia jamaa inamuuma kwa maneno yake 😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 Год назад +15

    Upendo mkubwa sana😢😢❤❤

  • @swabrinaidassy865
    @swabrinaidassy865 Год назад +20

    MO TOWN SANYA❤❤
    NEMBO YA MTAA❤❤

  • @nzizajovinpaul4955
    @nzizajovinpaul4955 Год назад +10

    Zuwena anaroho nzuri" ❤️❤️❤️

  • @msabahafarijara2656
    @msabahafarijara2656 Год назад +9

    Wajukuu wa mzee nchonga 😍😍 huyu jamaa anaupendo sanaa ila alitelezaa tyu

  • @panchovalentino3576
    @panchovalentino3576 Год назад +6

    Zuwenaa Noumaaa saàna Video queen star Kwa SASA toka mbeya city kyelA zuwenaa 💥💫⭐🌟

  • @isackmwinuka9274
    @isackmwinuka9274 Год назад +3

    Daah! Nimeinjoy sana hii intaw ya makonde kiasi hata mm nimejiskia simanzi sema sanya hapa umetisha salute kwako

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Год назад +3

    mie tungekuwa tunabadilishana mwili..ningemuomba mwili wake..athletic mbaya sana Zuwena..mwili mzuri mno

  • @hamzahassan021
    @hamzahassan021 Год назад +21

    Daaaaaaah uyu jamaa mmakonde kauwa leo 💪💪❤️

  • @grolykimario26
    @grolykimario26 Год назад +3

    Hii nchi hapana Kwa kwel! More love zuwena

  • @pamelaimani9071
    @pamelaimani9071 Год назад +21

    Uyo jamaa wa kwanza, anakipaji musimuache♥️♥️

  • @esthercharles5945
    @esthercharles5945 Год назад +12

    Zuwena mstarabu Sana

  • @Guillaumebalemba-qu9hg
    @Guillaumebalemba-qu9hg Год назад +4

    Salut grand j'aime beaucoup votre émission

  • @zdyomondi4321
    @zdyomondi4321 Год назад +6

    Aki jamaa amejiskia vibaya sure but zuwena amebarikiwa na roho ya utu I love you zuwena.......

  • @jonikisomo_19969
    @jonikisomo_19969 Год назад +5

    Chochote nachokipenda kuhusu watu wa mikoa ya kusini is their honesty.

  • @HilaryGaston
    @HilaryGaston Год назад

    Genuine person that first one...too genuine yani...ubinadamu 101...peace sana popote ulipo bro👍🏾

  • @suleimanmohammed2436
    @suleimanmohammed2436 Год назад +85

    Mwamba anachekesha na anasikitisha kwa wakati mmoja daah😢😢

  • @godcheudandy2534
    @godcheudandy2534 Год назад +24

    Eti mmakonde anasema diamond nae kutuletea vitu gan hv adi tunalopoka 😂😂

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Год назад +3

    Jamaa Kafurahisha Sanaa na Kaondoka Kiuzuni na Nimuelewa Kaomba Samahani

  • @gracepatric4371
    @gracepatric4371 Год назад +4

    He made my day hakii😃😀😀😂😀😀😀🤣😂😂😂😅😅😅😆😆😆😆😆😆😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌

  • @imanimwashilindi8615
    @imanimwashilindi8615 Год назад +53

    Bahati humpata mtu kwa wakati wake

  • @Johnny-b4i
    @Johnny-b4i Год назад +31

    Oya more nitafute yule jamaa alie toa machozi ninaelufu hamsini yako nimekubari sana narudia rudia kuicheki kwa ajiri yake nasema kweli sitanii

    • @joycemaige6838
      @joycemaige6838 Год назад

      Mtafuteni yupo makumbusho kona ni deleva wa boda boda

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Год назад +18

    Ww ndo zuchu kweli mwenye nyimbo zile nzuri nzuri😄😄😄😄

  • @mokajoli4928
    @mokajoli4928 Год назад +15

    Oyu jamaa ana ofu ya mungu sana

  • @omarihaji5671
    @omarihaji5671 3 месяца назад

    Mo town sanya NEMB YA MTAA ishi Sanaa familia yang mung azid kukupa innovation ili kipindi kizid kuwa 🔥

  • @fatumaissa1165
    @fatumaissa1165 Год назад +21

    4:22 wamokendeee wotee wanafkiiii💁🖐️ daimond alifungwa kitambaa

  • @miami0925
    @miami0925 Год назад

    Nimekubal kazi yake uyo mchizi kinoma noma toka wasafi wanzishe iki kipindi huyu jama kakinogesh kw mara ya kwnza na Ana ubinadam bdala kujua ka fail roho yake haikumpa kuondk bila kumuomba msamaha zuena na hongera zuena kuonesha ubinadam kwake 🔥🔥🔥🔥

  • @cobramwaweza961
    @cobramwaweza961 Год назад +4

    duh kitambo Sana mwamba naipenda kaz yako nsanya unanigusa nikiwa Zambia 🤣💖✌️🎉🎉🎉✨✨✨

  • @stinaismail846
    @stinaismail846 Год назад +4

    😂😂😂😂 nimecheka kifala sana zuwena nakukubali sana ♥️♥️♥️

  • @hawakorobeh7003
    @hawakorobeh7003 Год назад +4

    ooooooooooooiiiiiii any way wamakonde popote mlipoo nawapenda kinoouuuma the way ongea yenu❤️❤️🔥🔥
    Ila nmemkubal San huy mshikaj amekili kutoka kwenye moyo aisee naijua hyo situation aliyo nayo aiseee 🔥🔥👊👊👊

  • @hansika4225
    @hansika4225 Год назад +12

    No town sanya mm niko Oman nafatilia vizuri vipindi vyako mama muokota makopo kwakweli kaniliza sana

  • @saidbakar2307
    @saidbakar2307 Год назад +1

    Katika interview zote hii nice kabisa funzo sana kwa watanzania

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Год назад +6

    Zuwena❤️❤️❤️

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Год назад +29

    Huyu jaamaa hadi nimetokea kulia

  • @AnzadiYoussouf
    @AnzadiYoussouf Год назад

    Mo leo ume ticha sana kutoka Comoro nime furahi sana kweli ❤❤❤❤❤

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 Год назад +20

    Dunia inamengi sana ati kulopoka jamaa kajutia sana.umesamehewa

  • @gastosalehe3658
    @gastosalehe3658 Год назад +2

    Mmakonde katisha kinoma,,kanivunja mbavu,big up sana konde boy

  • @kaburamelikiadi4722
    @kaburamelikiadi4722 Год назад

    Mo Sanyanya from Tanzania 🇹🇿 to Burundu 🇧🇮 wanna see u Hommy Zuwena she my so beautiful sister Welcome to Rock Island Illinois 🇺🇲 big up to u guys ✌️

  • @abdallahmbaruku6007
    @abdallahmbaruku6007 Год назад +1

    Yuko vizuri sana zuuu

  • @Ruganzu.
    @Ruganzu. Год назад +1

    Binadam wapo bado wenye roho za utu ambazo zimepunguka sana kwa watu wa kawaida, kati ya watu elfu tano ivi huenda ukampata mmoja kama huyu ivi ama hata uka kosa, amewafanya wengi wakatoa machozi,,,,,,Bigup sana.

  • @linetnyiro9374
    @linetnyiro9374 Год назад

    Imetishaa

  • @kibwanakizulege4632
    @kibwanakizulege4632 Год назад +4

    Show imebamba kinouuma....BIG UP MO TOWN.....BIG UP MONDI @ SIMBA

    • @neymaabdulaimu
      @neymaabdulaimu Год назад

      Siku moja aje mtwara aje c tuna vipaji uku 🤣🤣🤣

  • @alimahmud1228
    @alimahmud1228 Год назад +1

    Huyo brother ana ubinadamu sana mimi na mkubali wote hata dada zuena Yuko sawa

  • @irakozeraliah2947
    @irakozeraliah2947 Год назад +5

    Moo jamaniii una rombaya 😂😅but I like it ❤love from 🇧🇮 burundi

  • @eliaelias6506
    @eliaelias6506 Год назад +3

    Zuwena ni mkali sanaaaaa🌺🌺🌺

    • @rizikifalidy8495
      @rizikifalidy8495 Год назад

      Uyo mmakonde wetu ana kipaji Sana Cha uchekeshaji 🔥🔥

  • @mohamedmusa2279
    @mohamedmusa2279 Год назад +2

    Huyu jamaa hatawahi sengenya mtu kwa maisha yake tena na pia roho yake imemuhukuma sana.hofu ya Mungu ipo hapa kwa kweli

  • @Mamake559
    @Mamake559 Год назад +1

    Zuwena ipo love🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ashabakari6066
    @ashabakari6066 Год назад +6

    Zuwena mzuri,kwenye mziki alivaa uhusika

  • @cheffo8121
    @cheffo8121 Год назад

    manshalla zuwena msitatabu nakupenda bure mngu anisaidie namm nikutane nae❤❤❤❤

  • @dreusebiusjmikongoti248
    @dreusebiusjmikongoti248 Год назад +4

    "Amenyataaa, bwanaa amenogaa bwana! Huu ntego huu! machozi yanantiririka maneno niliyokaongea haya😃" Mmwera mwenzangu OG wa kula pitiku

    • @emmysam7938
      @emmysam7938 Год назад

      Wanasema pita usemwe..sasa huyu ntu kasemwa yupo hapa hapa😂😂

  • @ItsKabs_
    @ItsKabs_ Год назад +8

    Why did I get emotional about this 😢

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Год назад +3

    Huyu jamaa amejutia sana Ana hofu ya mungu sana

  • @leymanleyman7426
    @leymanleyman7426 Год назад +50

    Jamaa nafsi inamsuta sana.

  • @hamidangitu227
    @hamidangitu227 Год назад +1

    Zuwena mzuri marshallah

  • @emapoziofficial6023
    @emapoziofficial6023 Год назад +8

    😭😭😭😭dah mmemzingua sana huyu muuni💔🙌

  • @Titostanzaniasafaris
    @Titostanzaniasafaris Год назад +4

    The man he’s a human 🤦🏾🙏🏾

  • @kaisamjunior3692
    @kaisamjunior3692 Год назад +11

    Huyo jamaa wa mtwara anakitu wallah 😢😢

  • @vero57
    @vero57 Год назад +4

    Huyu nae apewe kazi nayeye, zuwena yuko vizuri tuu mbona, kazi nzuri kaka 😄😄

    • @raurentkorosso2014
      @raurentkorosso2014 Год назад

      Mwamba anahofu kubwa saaana hatak kumkosea mtu huyu Mungu akutunze

  • @rahimanzai5505
    @rahimanzai5505 Год назад +1

    Mazee the guy he's talented

  • @Captain_shiii
    @Captain_shiii Год назад +22

    Mooh unafeli wapi nowadays tunamisi Sana hivi ni kweli Kaka jitahidi Sana 😅😅😅😅😅😅😅 jamani usiwe ivyo

  • @sosom14
    @sosom14 Год назад +1

    Mtafute Jamaa nimpe zawadi nipo 🇬🇧 thx

  • @yotehapatv7705
    @yotehapatv7705 Год назад +14

    Mtanzania mwenzangu unanisema!😭😰😰

  • @josephsimba3007
    @josephsimba3007 Год назад

    Monta sanya 💪💪💪💪 afu zuena makali nakukubali kweli

  • @joleal7941
    @joleal7941 Год назад +1

    Zuwena wow😘😘

  • @Heal-with-Dodo
    @Heal-with-Dodo Год назад +7

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila zuwena…”baba unaupiga mwingi baba”😂😂😂

  • @ulimwenguswed6394
    @ulimwenguswed6394 Год назад +4

    Zuwena katisha kiukweli Ana cofdec ya kutosha napenda ivyo kiukweli kaka yangu Kuna kitu kaji funza zaidi naimani ndipo bina dam tulivyo kama serekari ingejua tulivyo wanafiki basi wasi pate tabu kutuongoza ndivyo bina dam tulivyo ongera zuwena

  • @zulpharashidy-qu6qz
    @zulpharashidy-qu6qz Год назад

    Daahh mwambaa huyuuuu apaaaa😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾....!! Nimempendaaaa bhnaa huyuu kaka anguh Wanyumbanii♥️

  • @gradnessrojas8343
    @gradnessrojas8343 Год назад +20

    Tanzania 🇹🇿 ndo channel ya vichekesho mbinguni

  • @devothastive8007
    @devothastive8007 Год назад +6

    Daaah nmecheka sana😃😃😃😃😃😃

  • @sixytntongambele3038
    @sixytntongambele3038 Год назад +1

    Hongera xn mwamba

  • @georgeascona5457
    @georgeascona5457 Год назад

    jamaa wa kwanza he is mostly talented

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад +1

    Hy wa njano mnafiki kwl 😁😁 dkk 21:00

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Год назад

    Huu kaka nimstarab manshallaah