ACHA KUTOA TAFSIRI ZA UZUSHI KWA MASALAFI | TUACHE KUHARIBU DINI ILIKUFURAHISHA WATU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 июн 2024
  • #zvponlinetv #daressalaam #zanzibar #shkmziwanda
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 85

  • @haidar438
    @haidar438 Месяц назад

    Allahuakbar!❤

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Месяц назад +1

    Ila bachu alipobaisha kuwa maulidi si dini mnakuwa wakali
    Ah hamuko siriasi na mapenzi ya dini acheni kelele

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Месяц назад +2

    Mlisha haribu dini mmeileta mitandaoni kuja kubishana wala sio hata kuelimishana

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Месяц назад +1

    Nyinyi masufi ndo mulisababisha ahlu sunna kutukanwa kwa kupenda kwenu bidaa muiungana na mashia ..sasa mashia wanawatuka wanchuoni wa haki mnalialia uwongo
    Mtoto wenu diwani mganga anamtukana ibni taymia bil sababu

  • @mohammedjabir6128
    @mohammedjabir6128 Месяц назад

    Huyu shekhe hakijui anachokisema au anasema uongo! Allah amuhidi!

  • @halimahussein4248
    @halimahussein4248 26 дней назад

    Nikweli

  • @masoudabdallah7041
    @masoudabdallah7041 28 дней назад

    Hapo shee umetuingiza chaka kutukanwa wa ibn taymia umetaja matusi yenyewe ila kwa abdulkadir hukutaja anatukanwa vp wala huyo barazanji pia hukutaja hapo umetuacha njia panda sio vzr

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Месяц назад +2

    Mashia NI MAKAFIRI TU WANAWATUKANA MASWAHABA WALIOTABIRIWA PEPO NA ALLAH.

    • @AhmedMohamed-mw3ev
      @AhmedMohamed-mw3ev Месяц назад

      Bro mashia makafiri

    • @user-vd6br7vq4z
      @user-vd6br7vq4z Месяц назад

      Nani kawatabiria pepo

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Месяц назад

      Ukisema mashia makafiri nimakosa sio mashia wote watukana maswahaba chunga na mdomo wako

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Месяц назад +1

      @@saba-gv3mj we huwajui mashia kiini chao wanawatukana Abubakar, Omar, othman na ukitaja majina hayo wanasema laana tullah hawasemi kama sisi Radhiallahu An hu. Au na wewe shia nenda zako

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Месяц назад

      ​@@saba-gv3mj wewe mpumbavu kaa kimya hauwajui mashia

  • @xxl5239
    @xxl5239 Месяц назад

    NI SURAT ISRAA SIO TAHA. NA USAHIHI NI HIVI
    { إِذࣰا لَّأَذَقۡنَـٰكَ ضِعۡفَ ٱلۡحَیَوٰةِ وَضِعۡفَ ٱلۡمَمَاتِ ثُمَّ لَا تَجِدُ لَكَ عَلَیۡنَا نَصِیرࣰا }
    [Surah Al-Isrāʾ: 75]
    SIO HIVI
    { إِذࣰا لَّعَضَعْنَاكَ ضِعۡفَ ٱلۡحَیَوٰةِ وَضِعۡفَ ٱلۡمَمَاتِ ثُمَّ لَا تَجِدُ لَكَ عَلَیۡنَا نَصِیرࣰا }

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 Месяц назад +1

    MBONA KAMA UNA CHUKI NA BACHU

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 Месяц назад

    Anakwita Abuu khaula achakelele mjibukijana WA thanawi kakuchapa umekaa kimnya ww NI mjinga tu

  • @bakarkombo3393
    @bakarkombo3393 Месяц назад

    Mbona anaisoma qur-an kimakosa
    Apo kwenye kusoma aya za suratul Israi amechemka

    • @zubeiramlanzi2480
      @zubeiramlanzi2480 Месяц назад

      Murajaa dhaifu

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Месяц назад

      Mashekhe uchwara

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 28 дней назад

      .....haya wewe sheikh kweli USIO kuwa uchwara toa mawaodha yako uwalonhanie watu tukusikie na wewe ​@@SoudShuraim

  • @kitosio
    @kitosio Месяц назад

    Bado vijana hawa kwahiyo wanajifunza. Ila wapo n jitihada

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 Месяц назад +1

    Una chuki binafsi na bacho wewe hao wengine hujawaona umemuona bacho tu 😂😂

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Месяц назад +1

      Sikiza mtume s a w alisema kutakuja watu wakitusi wanazuoni na huyu hajataja bachu ila hao aliowasema moja wao ni bachu na shafi basalam

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Месяц назад

      @@saba-gv3mj simzungumzii shehe mziwanda namzungumzia aliyepost hapo kwenye kichwa Cha habar kaandika nin?
      Halafu halafa jaafar barzanji hajatukanwa na bacho au una tusi lolote unalijua wewe katukanwa

  • @mirajiramadhani8128
    @mirajiramadhani8128 Месяц назад

    Bachhu hana elimu aka some kwa mziwanda

  • @aminahassani-jh5rp
    @aminahassani-jh5rp Месяц назад

    Tuacheni jamani mashekhe wrote mnakosa usingizi kwaajili ya Kijana mdogo uyo mmmmh kwanini hamumuiti mkakaa nae chini mkarekebishana jamani

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Месяц назад

      Wanamuogpa hawamuwez

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Месяц назад

      Rejea video ya mombasa kilichomkuta au mnajitoa ufahamu😅 kiti kililowa

    • @aminahassani-jh5rp
      @aminahassani-jh5rp Месяц назад

      @@adamhashim3352 sijui vhochote

  • @drsaeedherbs
    @drsaeedherbs Месяц назад

    Nyie tukaneni tu mungu anawangoja kwahamu nyinyi ndio mmekuwa wakukufurishana kila kukicha

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Месяц назад

      Mawahabi ndio wakufurisha watu na kumuita muisilamu mwenzako kafiri

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Месяц назад

      ​@@saba-gv3mj sio kweli

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Месяц назад

      ​@@abuuaisha6110 ni kweli

    • @mohammedmataucar66
      @mohammedmataucar66 27 дней назад

      ​@@saba-gv3mjmfano sheikh gani ? Kumuita Nan ?

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 27 дней назад

      @@mohammedmataucar66 wengi humeid bachu mafuta Ali bahero wengi mawahabi

  • @hamadiomari7804
    @hamadiomari7804 Месяц назад

    Mm munanikera kwann km mtu amekosea kwann sio mumuite kuliko kwenye mitandao

    • @coyancodavao4004
      @coyancodavao4004 Месяц назад

      Anayekosea mtandaoni hukosolewa mtandaoni ndio utaratibu

  • @KASSIMSAMAMBO
    @KASSIMSAMAMBO Месяц назад

    ungeungan na bachoo mpambane na mshia

  • @hasinaalrahbi6681
    @hasinaalrahbi6681 Месяц назад

    SASA SUUDIA WAMEKUBALI KIWA WAMEKOSEA MUUNDAMO WA NCHI YAO.ILA HAWAITOWI TU MUBASHARA.MNAOIFATA BILANKIWA NA UHAKIKA WA MWEZI MMEKULAMKHASARA

    • @hay3_8kal
      @hay3_8kal Месяц назад

      Una uhakika gani ya unachokiongelelea!?

    • @SheikhYussuf-iv6lo
      @SheikhYussuf-iv6lo Месяц назад

      ww hujielewi Saudia ya kwenu au

    • @seniornyungu9718
      @seniornyungu9718 Месяц назад

      Ww umejuaje?

    • @abuumuhammad8714
      @abuumuhammad8714 Месяц назад

      Tena ndio ukaona uandike kwa herufi kubwa ili watu waone umeongea point. Haya toa ushahidi wako

  • @ShaibmbaroukHemed-mi5rf
    @ShaibmbaroukHemed-mi5rf Месяц назад

    Mziwanda hii chuki yenu kwa huyu kijana bachu itamaliza lini kila mukitoa mwamtukana bacho hamuoni wengine au makosa muonavyo nyinyi yana bachutu nakushangaa sana mziwanda chuki zenu zitawapeleka pabaya

  • @khamisomary7428
    @khamisomary7428 Месяц назад

    Vp naww mziwanda kuwatusi mashia 😂 hayo ndio maadili 😂?

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 Месяц назад

      Ikowa pi akiwa tusima chia an lisema vipi hiyo tusi

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Месяц назад

      Wewe mpumbavu unawajua mashia wewe?

    • @khamisomary7428
      @khamisomary7428 Месяц назад

      @@DonMooSTUDIO_Express kwanza kabisa mpumbavu mamaako mzazi alie zaa mtoto wa zinaa kama ww usie na maadili
      Kisha nakujib kwa kusema NDIO NAWAJUA NA NAIJUA MADH-HAB VYEMA YA AHLUL BAYT

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Месяц назад

      @@khamisomary7428 wewe tahila usiyejua moja na mbili endelea ujuha wako utakufikisha kunoti. Eti shia! Unawajua mashia zezeta wewe?. Mimi naongea na wewe siongei na wazazi wako. Kuhusu kumtukana mama yangu hilo nakuachia wewe na yeye mwenyewe mtalipana siku yoyote siingilii ugomvi uliouweka kwa mama. Mimi namalizana na wewe zezeta usiyewajua mashia halafu unaropoka ropoka

    • @brothermuadhwam890
      @brothermuadhwam890 Месяц назад

      Shia ni watu wasio na mwenendo kaka usiwatete kijna

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Месяц назад +1

    Na wewe huwa unawatukana Mashia na kuwaita makafiri, yaani wote mmekosa maadili

    • @jumachaduma5434
      @jumachaduma5434 Месяц назад +3

      Kwan mashia ni waislam?

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 Месяц назад

      Haja wa hiwatukanq huwa ana wa mbia apana haja wahi waita makafiri

    • @AbdallahBabu-jl8ld
      @AbdallahBabu-jl8ld Месяц назад +2

      Unazijua Mila na itikadi za mashia

    • @AbdallahBabu-jl8ld
      @AbdallahBabu-jl8ld Месяц назад +3

      Kwanini wasiitwe makafiri

    • @SaidJuma-ru7vm
      @SaidJuma-ru7vm Месяц назад

      ​@@jumachaduma5434ndio ni waislamu na wao viongozi wao baada ya Mtume Mohammad ni Ali,Hassan,Hussein na maimamu 12 kutoka katika familia ya Ahalulybayt