Rais ageuza nia kuhusu ujenzi wa ghorofa Eastleigh

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июн 2024
  • Rais William Ruto amebadilisha msimamo wake kuhusu sheria zinazodhibiti urefu wa majengo karibu na Kambi ya Jeshi la Wanahewa ya Moi Airbase mtaani Eastleigh jijini Nairobi .Hatua hii imejiri kufuatia wasiwasi kwamba majengo marefu huenda yakatumika kama ngome ya maadui. Hata hivyo, Rais ameugeuza msimamo wake mwezi mmoja tu baada ya kuamuru kuondolewa kwa amri iliyokuwa inazuia ujenzi wa majengo yenye ghorofa zaidi ya 12 karibu na kambi ya jeshi. Serfine Achieng’ Ouma ana maelezo zaidi.

Комментарии • 180

  • @JulixYung-kw2tr
    @JulixYung-kw2tr 25 дней назад +52

    Mlisema hanywi pombe basi ni bangi😂😂😂😈

  • @gracemungai2878
    @gracemungai2878 25 дней назад +22

    Mungu atusaidie sana 🙆

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад

      zaidi ya yote, Mungu atuondolee hiki kikombe cha zakayo jameni.

  • @julietambuvi1151
    @julietambuvi1151 25 дней назад +11

    Mueleweni😂 leo alikuwa anaongelesha watu, ile ya 30 floors alikuwa anaongelesha zile mbuzi zake😂

  • @peterkamotho5962
    @peterkamotho5962 25 дней назад +7

    Even mad people cannot vote this confused fellow

  • @tomombui3888
    @tomombui3888 25 дней назад +16

    KIGEUGEU.

  • @moussa8512
    @moussa8512 25 дней назад +13

    Thinking before talking is really important in life. 😂

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад +1

      not to zakayo, zakayo must talk, then think two months later.

  • @thomasteejay5308
    @thomasteejay5308 25 дней назад +30

    Face of double speak

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад +1

      double speak is a major characteristic of the devil.

    • @thomasmackenzie8766
      @thomasmackenzie8766 25 дней назад

      This is a wise decision..I wise leader changes his mind..very good Mr president thank you .

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад

      @@thomasmackenzie8766very biased observation... prohibition of high buildings near military installations is common sense. so ruto is an empty headed puppet.

  • @kilowatts317
    @kilowatts317 25 дней назад +20

    yani raisi mzima hakuona hatari ya manjengo hayo

  • @HassanHalakhe
    @HassanHalakhe 25 дней назад +6

    Kigeugeu as safiin Auma rightly put it!

  • @ring-tone278
    @ring-tone278 25 дней назад +16

    So many things to do in the country and all they can think of is the height of the buildings they can build in Eastleigh?!?! Probably belongs to them and their friends and relatives. Unbelievable. Just wasted five years of my life watching a video about nothing.

  • @johnbrown3235
    @johnbrown3235 25 дней назад +5

    ati commander-in-chief?? kumbe ni commander-of-thieves.

  • @richardkaringuri5557
    @richardkaringuri5557 25 дней назад +12

    Zakayo ni mtu wa guesswork

  • @georgeopiyo609
    @georgeopiyo609 25 дней назад +12

    Kickback manenos

  • @remmykasili2914
    @remmykasili2914 25 дней назад +3

    The law should be followed.

  • @barasasilali9600
    @barasasilali9600 25 дней назад +7

    I wonder!!!

  • @joshuawekesa7094
    @joshuawekesa7094 25 дней назад +3

    Mnatoaga wapi nguvu ya kuita huyu rais ? Very conny guy

  • @1devoch
    @1devoch 25 дней назад +2

    Does he ever consult?

  • @kahuhowanjoki7227
    @kahuhowanjoki7227 25 дней назад +2

    Huyu huwa hajielewi

  • @charleskiptoo6960
    @charleskiptoo6960 25 дней назад +4

    Unfortunate.

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunu 25 дней назад +17

    Hana mpango

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад

      na pia akili hana kabisa.

    • @thomasmackenzie8766
      @thomasmackenzie8766 25 дней назад

      Hio ndio mpango...military base haifai kua na majengo marefu karibu...sababu ya usororaji.

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад

      @@thomasmackenzie8766you and ruto have discovered something which even kindergartners know...well done my boys.

  • @MrKosHosea
    @MrKosHosea 25 дней назад +8

    Why was it authorized in the first case?

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад +1

      hujasikiliza?? huyu mwizi alisema ati yeye ndiye commander of thieves.

  • @johnonyango6069
    @johnonyango6069 25 дней назад +4

    Saa hii ndio ana ona after selling the country

  • @skyloveofficial43
    @skyloveofficial43 25 дней назад +10

    I think he meant height limit of buildings just around base . . . . For security reasons

    • @kaykay5605
      @kaykay5605 25 дней назад +1

      What is your point

    • @soupgod1448
      @soupgod1448 25 дней назад

      ​@@kaykay5605you can't read?

    • @artisthusnatalal3099
      @artisthusnatalal3099 25 дней назад

      Exactly...watu hata hawaelewi ni kupapia tu😂😂😂

  • @wambuievelynwaithira
    @wambuievelynwaithira 25 дней назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂sina maoni

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 25 дней назад +4

    Alikua anataka kuonyesha Marais wote ( 4 Presidents hakuna kitu walikua wanajua. But anyway mimi sisemi kitu coz our President ni kigeugeu. 😢

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад

      vile aliwaonyesha ati ni yeye tu anaweza komboa ndege ya 2 million per hour for five days.... huyu ni shetani mwenyewe.

  • @Kipash
    @Kipash 25 дней назад +8

    Jamaa la kufurahisha umati.

  • @salimyahya1727
    @salimyahya1727 25 дней назад +10

    President wa maneno matamu

  • @fredmariita8930
    @fredmariita8930 25 дней назад +4

    Yeah ni kigeugeu na ajielewi😂😂

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад

      yaani zakayo ndiyo mzee tamaa bin matamaa.

  • @thomasmackenzie8766
    @thomasmackenzie8766 25 дней назад +1

    Watu wengine wana machungu na rais kugeuza fikra. Hapo rais amefanya vizuri kubadili fikra..kambi za jeshi hakuhitajiki majengo marefu sababu ya kiusalama. Thank you mr president 🙏

  • @WSonga-espai
    @WSonga-espai 25 дней назад +2

    Hata sina habari kama asharejea kutoka Japan. Non effective per se

  • @johnmurugagacheru444
    @johnmurugagacheru444 25 дней назад +5

    A clear indication of a confused fellow.

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад

      and a foremost fool of all foolish people in the world.

  • @muhamedabumisbah448
    @muhamedabumisbah448 25 дней назад +4

    No no mr rais sema tu ukuweli

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад

      huyu hawezi sema ukweli ata kwa maombi...ni iblis mwenyewe.

  • @LopexReiza
    @LopexReiza 25 дней назад +2

    😂😂😂😂😂 let me laugh in a way that pleases Jehovah

  • @RobertShikanda-eg5oe
    @RobertShikanda-eg5oe 25 дней назад +4

    President of true lies

  • @jairuscr7310
    @jairuscr7310 25 дней назад +4

    😂😂😂 sasa watu wa isilii kesho mfunge virango juu paka aka around anytime

  • @moussa8512
    @moussa8512 25 дней назад +4

    Parrot 😂😂😂

  • @Desamz23
    @Desamz23 25 дней назад +2

    Kigeugeu😂

  • @user-vu7yd3gq1z
    @user-vu7yd3gq1z 25 дней назад +4

    Double speech always

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад +1

      double speak is a major characteristic of the devil.

  • @GathufuKali1
    @GathufuKali1 25 дней назад +18

    Talk talk-talk no action. Kenya politicians are full of bureism

  • @simongacheche2974
    @simongacheche2974 25 дней назад +3

    Master of double speak.regret why we voted for you

  • @peterkamotho5962
    @peterkamotho5962 25 дней назад +2

    Whoever follows this guy is mad

  • @vanpoposkitchen680
    @vanpoposkitchen680 25 дней назад +9

    Master of double standards

  • @paulmbai363
    @paulmbai363 25 дней назад +5

    😂😂😂😂 si uchwai ni maombi

  • @user-yj8pe7gj3x
    @user-yj8pe7gj3x 25 дней назад +2

    This nonsense ya kuongeza gorofa mingi si u build another city .let konza be developed Nairobi is too crowded

  • @veronicahwambui9027
    @veronicahwambui9027 25 дней назад +2

    Tunabebwa kama watoto,leo hivi kesho vile...etc,serikali ya vigeugeu,matangatanga,walafi,waongo,wezi,😂😂😂.Na bado,ngojeni tu kitambo miaka hii ya kwanza tano iishe mtakuwa mkishangaa ya KK ilhali mmesahau ya pharao na Musa😅😅

  • @simonkata5272
    @simonkata5272 25 дней назад +2

    Mursik inalevya

  • @madammagdarlynmuthembi729
    @madammagdarlynmuthembi729 25 дней назад +2

    You talk without thinking both of you. It's very unfortunate

  • @kevinmiles1189
    @kevinmiles1189 25 дней назад +4

    Ni duale sasa ndo anonea hapa

  • @DesmondMutai
    @DesmondMutai 25 дней назад +3

    Hamisha kambi

  • @JeremiahWekesa-mw1zc
    @JeremiahWekesa-mw1zc 25 дней назад +1

    Hapo sawa mkuu umesema ukweli hata mm mwenyewe uwa najungulia ndani wakiwa bared Bomoa zote❤❤❤❤❤❎

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h 25 дней назад +4

    😂 aki wacha tu

  • @yusufkasim9334
    @yusufkasim9334 25 дней назад +1

    DUALE IS TEACHING AND ADVISING THE PRESIDENT WITH CARTELS FROM EASTLEIGH TO BE SHAREHOLDERS WITH THEM

  • @brandonbrandy8648
    @brandonbrandy8648 25 дней назад +2

    Who advises the president 😂😂😂😂??????kigeugeu

  • @johnsilas
    @johnsilas 25 дней назад +2

    The moment you realize that this guy's pronouncements are theme based, utaacha kuumwa na ulcers.

  • @otekskit5094
    @otekskit5094 25 дней назад +5

    no comment

  • @lawrencemuga6366
    @lawrencemuga6366 25 дней назад +1

    Shame. Shame! The president must strive to have consistent direction not change positions with the wind - kigeugeu.

  • @awoweataro9932
    @awoweataro9932 25 дней назад +8

    He sold the land to somali president for AU support for Raila

    • @gambool-
      @gambool- 25 дней назад

      Which land?

    • @petronillahosoro4828
      @petronillahosoro4828 25 дней назад +1

      Penye uko unaota Raila ajana na Rao kabisa

    • @michaelcody3960
      @michaelcody3960 25 дней назад

      The Somalis na Dubai gave him money.There are so many FOREIGNERS sitted in Kenyan public offices there are a YEMENI/ PEMBA ISLAND /SOMALIS who have no interest of Kenya Africans success they are racists.

  • @williamomondi5800
    @williamomondi5800 24 дня назад

    Mt Kenya, kindly let us bear the cross of your error I peace. Ruto tano tena! Shall we?

  • @shadrackmwango7679
    @shadrackmwango7679 25 дней назад +15

    Who advices Ruto😂😂

  • @philiphchamdany118
    @philiphchamdany118 25 дней назад +1

    We are scared of such kugeugeu talks

  • @ianmaina9261
    @ianmaina9261 25 дней назад +1

    For me i think air force wangehama nairobi

    • @nahashonngariuku4346
      @nahashonngariuku4346 25 дней назад

      are you serious? they were put there with a very strategic reason defending critical infrasctructures, this is what would the most premier target for enemy fire

  • @omodesigner
    @omodesigner 25 дней назад +2

    Sometimes we need to use an updated decisions on a daily basis😂😂

  • @funniestvideoscationstvnew1968
    @funniestvideoscationstvnew1968 24 дня назад

    Dawa ya ruto ni citizen tv

  • @vitalisawuor6155
    @vitalisawuor6155 25 дней назад +1

    I think this dude is drunk with power...and confused

  • @jairoombasa289
    @jairoombasa289 25 дней назад +1

    What a weirdo … why can’t he just measure what he says before he says it

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 25 дней назад +1

    Anaongea iki kesho mtu akimfata anabadilisha anaongea chengine, yani kama kuna mtu anaejiita kiongozi mwenye hajitambui basi ni huyu ruto

  • @abdulla201
    @abdulla201 25 дней назад

    Pesa power ya big S

  • @thomazmedia7342
    @thomazmedia7342 23 дня назад

    Cartels doing their best

  • @charlieshawnnjoro3447
    @charlieshawnnjoro3447 24 дня назад

    Mr Trial and error

  • @enockkilele3283
    @enockkilele3283 25 дней назад

    Very Correct

  • @Fitima-ds7kf
    @Fitima-ds7kf 24 дня назад

    Moi air base should be only for minor operations it's cornered from all side.

  • @minagejosephine1627
    @minagejosephine1627 25 дней назад +3

    Ruto apunguze baghi

  • @abdulbari5573
    @abdulbari5573 25 дней назад

    Mawalalo wanataka kununu ardhi ya airforce eastlegh yote mawalalo hoyeeeee

  • @samuelnjugunakimata5576
    @samuelnjugunakimata5576 23 дня назад

    What's happening to the president. He says this today, then changes a week or month later. How then shall we believe what he tells?

  • @enockadieri
    @enockadieri 24 дня назад

    I think I will update my phone,wat is coming out of it nikama iko na virus.

  • @ahmedmohamed-ge2nq
    @ahmedmohamed-ge2nq 25 дней назад +3

    Sasa tunajenga khorofa ya 50 floors

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 25 дней назад

      hizo pesa za zakayo za uizi sasa zitakosa kazi.

    • @ahmedmohamed-ge2nq
      @ahmedmohamed-ge2nq 24 дня назад

      @@johnbrown3235 that is just rumors , try to make money 💰

  • @user-bg8tt3pz9y
    @user-bg8tt3pz9y 25 дней назад +1

    Stop this is best

  • @_lord_cliffe6403
    @_lord_cliffe6403 18 дней назад

    We should never repeat the same mistake we made in 2022

  • @user-xx6ot2du7d
    @user-xx6ot2du7d 24 дня назад

    Lack God counsel,period .if you lack God counsel the other guy takes over.that where we are

  • @alexinamaina794
    @alexinamaina794 24 дня назад

    The worst government in history....the worst selfish, corrupt,useless government ever in history of kenya since independence 😢😢😢😢

  • @margaretwairimu7381
    @margaretwairimu7381 25 дней назад

    The city of eastleign

  • @Nicholas-yr2sq
    @Nicholas-yr2sq 25 дней назад

    Na ni kama huyu jamaa , anakunywanga pombe kama amejifisha🤣🤣

  • @henryapoko9270
    @henryapoko9270 25 дней назад

    hapo Sawa

  • @stanleymungai4569
    @stanleymungai4569 25 дней назад

    Kwani ni zake

  • @zaitunisagwa2082
    @zaitunisagwa2082 25 дней назад +2

    Yaani NTV mnaita Rais "kigeugeu"... You mean there were No other words to used to express your opinions? This is lack of respect to the High Office. You must apologize for this.

    • @its_timm
      @its_timm 25 дней назад

      Hatuombi msamaha we mzee😂 si hata baba aliita gachagua gachietha

    • @kelvingachina
      @kelvingachina 25 дней назад +1

      Truth is Ruto is trying very hard to appear like a visionary leader but he is not,he is clever politicians because Kenyans ni wanjinga sana

    • @its_timm
      @its_timm 25 дней назад

      @@kelvingachina I agree. Classic divide and conquer at work. Ukoloni mambo sasa

    • @kelvingachina
      @kelvingachina 25 дней назад +1

      @@its_timm many will not see he thrives in division, started Tanga Tanga and kieleweke, huslers and dynasty narrative,now employed and those not employed, Middle class and poor people.

    • @its_timm
      @its_timm 24 дня назад

      @@kelvingachina shida ni mkenya atabakia tu mkenya😅 hawaoni mbele wala nyuma

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 18 дней назад

    Kenya mambo ni matatu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @monnisjnr4875
    @monnisjnr4875 7 дней назад

    Huyu ni mjinga akwende nyumbani

  • @jamesgathaiya6450
    @jamesgathaiya6450 25 дней назад

    Hii ni uchawi tulijiletea

  • @dickson1820
    @dickson1820 25 дней назад +2

    Wanajeshi waachekuaribu maendeleo,si waende kambini.

  • @dennismathu2645
    @dennismathu2645 25 дней назад +1

    This guy is a two mouthed we need our sober drunked uhuru

  • @ApynesNzisa
    @ApynesNzisa 15 дней назад

    Uyu journalist sijapenda kauli yake🙄y mwisho

  • @petermuriungi6117
    @petermuriungi6117 25 дней назад +2

    Citizen tv this about buildings was only your News.Negativity tv

  • @TheJoewahome
    @TheJoewahome 25 дней назад

    If you think that is the reason ,like and I will tell you why it is not.

  • @naibei_Tv
    @naibei_Tv 24 дня назад

    😅😅😅😅wow

  • @nelsonbett9677
    @nelsonbett9677 25 дней назад

    No tall buildings should be built around military facilities and it's a law envisioned in the constitution. It's a security risk but most leaders ignore both the civilian and the military.

    • @ahmedkulowabdi821
      @ahmedkulowabdi821 25 дней назад

      We shall relocate Eastleigh base,the town is growing

    • @michaelcody3960
      @michaelcody3960 25 дней назад

      @@ahmedkulowabdi821 move on to mogadishu

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 25 дней назад

    Oj

  • @wawerukamau1260
    @wawerukamau1260 25 дней назад

    He is right.
    Just watch Operation Black Hawk Down movie on how the US army was humiliated by a rag-tag militia in the battle of Mogadishu.

  • @kelvinmuhoro5679
    @kelvinmuhoro5679 25 дней назад +3

    RIP president ruto

    • @johnburuna2847
      @johnburuna2847 25 дней назад +2

      Ety rip uko sawa kweli wew

    • @abuhajj538
      @abuhajj538 25 дней назад

      Eeeeeh yuko sawa ww shida yako nini huyu RIP

  • @ahmedkulowabdi821
    @ahmedkulowabdi821 25 дней назад

    Move the military out of the Business District

  • @isaacjoshua6884
    @isaacjoshua6884 25 дней назад

    Kila mtu ajenge kwao

    • @michaelcody3960
      @michaelcody3960 25 дней назад

      Foreigners who never fought in Kenya for independence can move on let REAL KENYANS ALONE. KENYANS IN FOREIGN COUNTRIES ARE HAVING IT ROUGH AND BEING DEPORTED