Rais ageuza nia kuhusu ujenzi wa ghorofa Eastleigh
HTML-код
- Опубликовано: 7 июн 2024
- Rais William Ruto amebadilisha msimamo wake kuhusu sheria zinazodhibiti urefu wa majengo karibu na Kambi ya Jeshi la Wanahewa ya Moi Airbase mtaani Eastleigh jijini Nairobi .Hatua hii imejiri kufuatia wasiwasi kwamba majengo marefu huenda yakatumika kama ngome ya maadui. Hata hivyo, Rais ameugeuza msimamo wake mwezi mmoja tu baada ya kuamuru kuondolewa kwa amri iliyokuwa inazuia ujenzi wa majengo yenye ghorofa zaidi ya 12 karibu na kambi ya jeshi. Serfine Achieng’ Ouma ana maelezo zaidi.
Mlisema hanywi pombe basi ni bangi😂😂😂😈
Kingine nzito kuliko bangi 🤣🤣🤣🤣🤣
😂🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣
@@veronicaogola1179 ni mapepo
@@Hukufrance1563 Wakali hao 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mungu atusaidie sana 🙆
zaidi ya yote, Mungu atuondolee hiki kikombe cha zakayo jameni.
Mueleweni😂 leo alikuwa anaongelesha watu, ile ya 30 floors alikuwa anaongelesha zile mbuzi zake😂
Even mad people cannot vote this confused fellow
KIGEUGEU.
Thinking before talking is really important in life. 😂
not to zakayo, zakayo must talk, then think two months later.
Face of double speak
double speak is a major characteristic of the devil.
This is a wise decision..I wise leader changes his mind..very good Mr president thank you .
@@thomasmackenzie8766very biased observation... prohibition of high buildings near military installations is common sense. so ruto is an empty headed puppet.
yani raisi mzima hakuona hatari ya manjengo hayo
kaunda uongoman ataona hatari na atadanganya saa ngapi??
Waaah..... huyu jamaa ni kikaragosi
😂😂😂
Kigeugeu as safiin Auma rightly put it!
So many things to do in the country and all they can think of is the height of the buildings they can build in Eastleigh?!?! Probably belongs to them and their friends and relatives. Unbelievable. Just wasted five years of my life watching a video about nothing.
ati commander-in-chief?? kumbe ni commander-of-thieves.
Zakayo ni mtu wa guesswork
Kickback manenos
The law should be followed.
I wonder!!!
Mnatoaga wapi nguvu ya kuita huyu rais ? Very conny guy
Does he ever consult?
Huyu huwa hajielewi
Unfortunate.
Hana mpango
na pia akili hana kabisa.
Hio ndio mpango...military base haifai kua na majengo marefu karibu...sababu ya usororaji.
@@thomasmackenzie8766you and ruto have discovered something which even kindergartners know...well done my boys.
Why was it authorized in the first case?
hujasikiliza?? huyu mwizi alisema ati yeye ndiye commander of thieves.
Saa hii ndio ana ona after selling the country
I think he meant height limit of buildings just around base . . . . For security reasons
What is your point
@@kaykay5605you can't read?
Exactly...watu hata hawaelewi ni kupapia tu😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂sina maoni
Alikua anataka kuonyesha Marais wote ( 4 Presidents hakuna kitu walikua wanajua. But anyway mimi sisemi kitu coz our President ni kigeugeu. 😢
vile aliwaonyesha ati ni yeye tu anaweza komboa ndege ya 2 million per hour for five days.... huyu ni shetani mwenyewe.
Jamaa la kufurahisha umati.
President wa maneno matamu
Yeah ni kigeugeu na ajielewi😂😂
yaani zakayo ndiyo mzee tamaa bin matamaa.
Watu wengine wana machungu na rais kugeuza fikra. Hapo rais amefanya vizuri kubadili fikra..kambi za jeshi hakuhitajiki majengo marefu sababu ya kiusalama. Thank you mr president 🙏
Hata sina habari kama asharejea kutoka Japan. Non effective per se
A clear indication of a confused fellow.
and a foremost fool of all foolish people in the world.
No no mr rais sema tu ukuweli
huyu hawezi sema ukweli ata kwa maombi...ni iblis mwenyewe.
😂😂😂😂😂 let me laugh in a way that pleases Jehovah
President of true lies
😂😂😂 sasa watu wa isilii kesho mfunge virango juu paka aka around anytime
Parrot 😂😂😂
Kigeugeu😂
Double speech always
double speak is a major characteristic of the devil.
Talk talk-talk no action. Kenya politicians are full of bureism
Master of double speak.regret why we voted for you
Whoever follows this guy is mad
Master of double standards
Double speak
@@BigCheech-cw1rk yes
😂😂😂😂 si uchwai ni maombi
This nonsense ya kuongeza gorofa mingi si u build another city .let konza be developed Nairobi is too crowded
Tunabebwa kama watoto,leo hivi kesho vile...etc,serikali ya vigeugeu,matangatanga,walafi,waongo,wezi,😂😂😂.Na bado,ngojeni tu kitambo miaka hii ya kwanza tano iishe mtakuwa mkishangaa ya KK ilhali mmesahau ya pharao na Musa😅😅
Mursik inalevya
You talk without thinking both of you. It's very unfortunate
Ni duale sasa ndo anonea hapa
Hamisha kambi
Hapo sawa mkuu umesema ukweli hata mm mwenyewe uwa najungulia ndani wakiwa bared Bomoa zote❤❤❤❤❤❎
Wivu mbaya
@@shuaibalula9003MOVE ON
😂 aki wacha tu
DUALE IS TEACHING AND ADVISING THE PRESIDENT WITH CARTELS FROM EASTLEIGH TO BE SHAREHOLDERS WITH THEM
Who advises the president 😂😂😂😂??????kigeugeu
The moment you realize that this guy's pronouncements are theme based, utaacha kuumwa na ulcers.
no comment
Shame. Shame! The president must strive to have consistent direction not change positions with the wind - kigeugeu.
He sold the land to somali president for AU support for Raila
Which land?
Penye uko unaota Raila ajana na Rao kabisa
The Somalis na Dubai gave him money.There are so many FOREIGNERS sitted in Kenyan public offices there are a YEMENI/ PEMBA ISLAND /SOMALIS who have no interest of Kenya Africans success they are racists.
Mt Kenya, kindly let us bear the cross of your error I peace. Ruto tano tena! Shall we?
Who advices Ruto😂😂
himself he is a sell out not a patriot
Sudi
@@tamaduni 😂😂😂😂😂😂😂
@@tamadunikweli ni sudi
Gachagwa
We are scared of such kugeugeu talks
For me i think air force wangehama nairobi
are you serious? they were put there with a very strategic reason defending critical infrasctructures, this is what would the most premier target for enemy fire
Sometimes we need to use an updated decisions on a daily basis😂😂
Dawa ya ruto ni citizen tv
I think this dude is drunk with power...and confused
What a weirdo … why can’t he just measure what he says before he says it
Anaongea iki kesho mtu akimfata anabadilisha anaongea chengine, yani kama kuna mtu anaejiita kiongozi mwenye hajitambui basi ni huyu ruto
Pesa power ya big S
Cartels doing their best
Mr Trial and error
Very Correct
Moi air base should be only for minor operations it's cornered from all side.
Ruto apunguze baghi
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mawalalo wanataka kununu ardhi ya airforce eastlegh yote mawalalo hoyeeeee
What's happening to the president. He says this today, then changes a week or month later. How then shall we believe what he tells?
I think I will update my phone,wat is coming out of it nikama iko na virus.
Sasa tunajenga khorofa ya 50 floors
hizo pesa za zakayo za uizi sasa zitakosa kazi.
@@johnbrown3235 that is just rumors , try to make money 💰
Stop this is best
We should never repeat the same mistake we made in 2022
Lack God counsel,period .if you lack God counsel the other guy takes over.that where we are
The worst government in history....the worst selfish, corrupt,useless government ever in history of kenya since independence 😢😢😢😢
The city of eastleign
Na ni kama huyu jamaa , anakunywanga pombe kama amejifisha🤣🤣
hapo Sawa
Kwani ni zake
Yaani NTV mnaita Rais "kigeugeu"... You mean there were No other words to used to express your opinions? This is lack of respect to the High Office. You must apologize for this.
Hatuombi msamaha we mzee😂 si hata baba aliita gachagua gachietha
Truth is Ruto is trying very hard to appear like a visionary leader but he is not,he is clever politicians because Kenyans ni wanjinga sana
@@kelvingachina I agree. Classic divide and conquer at work. Ukoloni mambo sasa
@@its_timm many will not see he thrives in division, started Tanga Tanga and kieleweke, huslers and dynasty narrative,now employed and those not employed, Middle class and poor people.
@@kelvingachina shida ni mkenya atabakia tu mkenya😅 hawaoni mbele wala nyuma
Kenya mambo ni matatu 😂😂😂😂😂😂😂
Huyu ni mjinga akwende nyumbani
Hii ni uchawi tulijiletea
Wanajeshi waachekuaribu maendeleo,si waende kambini.
This guy is a two mouthed we need our sober drunked uhuru
Uyu journalist sijapenda kauli yake🙄y mwisho
Citizen tv this about buildings was only your News.Negativity tv
If you think that is the reason ,like and I will tell you why it is not.
😅😅😅😅wow
No tall buildings should be built around military facilities and it's a law envisioned in the constitution. It's a security risk but most leaders ignore both the civilian and the military.
We shall relocate Eastleigh base,the town is growing
@@ahmedkulowabdi821 move on to mogadishu
Oj
He is right.
Just watch Operation Black Hawk Down movie on how the US army was humiliated by a rag-tag militia in the battle of Mogadishu.
I know the movie👍
RIP president ruto
Ety rip uko sawa kweli wew
Eeeeeh yuko sawa ww shida yako nini huyu RIP
Move the military out of the Business District
Go and do so in MOGADISHU
Kila mtu ajenge kwao
Foreigners who never fought in Kenya for independence can move on let REAL KENYANS ALONE. KENYANS IN FOREIGN COUNTRIES ARE HAVING IT ROUGH AND BEING DEPORTED