Wabunge waomba msamaha kwa kupitisha mswada wa fedha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Naibu Rais Rigathi Gachagua sasa anawataka vijana ambao wamegadhabishwa na hatua ya wabunge kupitisha mswada tata wa fedha kuwasamehe na kuwaruhusu kutekeleza majukumu yao. Kauli ya naibu rais inajiri baada ya baadhi ya wabunge kutatizwa na wapiga kura wao katika hafla mbalimbali na kuwalazimu wengine kutokwenda nyumbani huku wakiomba msamaha.

Комментарии • 326

  • @bd-no9ti
    @bd-no9ti 3 месяца назад +65

    Endeni mwanzo mfufue walioulia alafu muombe msamaha.Nyinyi bado ni wauwaji na hatujasahau

  • @doubles4945
    @doubles4945 3 месяца назад +43

    This country must be fixed, kila mtu asalamiwe, lazima

  • @Redcatek
    @Redcatek 3 месяца назад +51

    Tafadhali naomba wakenya, never ever! Ever! allow these stupid politicians to come n talk to u!! May the spirit and blood of the young guys that were killed coz of just asking to be heard snc they were hungry haunt all these politicians and their families.. May they never have peace!!

    • @lucymwai7645
      @lucymwai7645 3 месяца назад

      😢😢😢😢😢

    • @margaretmacharia8919
      @margaretmacharia8919 3 месяца назад +2

      The blood of our young people cries out to God like the blood of Abel, and this is what The LORD says;
      It is mine to avenge; I will repay. In due time their foot will slip; their day of disaster is near and their doom rushes upon them." Deutronomy 32.:35.

    • @MosesThuoThiongo-d2q
      @MosesThuoThiongo-d2q 3 месяца назад

      True

    • @abdullahkazungu4025
      @abdullahkazungu4025 3 месяца назад

      True

  • @samsonmuisyo6990
    @samsonmuisyo6990 3 месяца назад +68

    Wamalize waende..no apology.

    • @nehemiakiprop8878
      @nehemiakiprop8878 3 месяца назад +3

      I agree 💯 with you, 2027 we do the necessary, but hii story ya kuresign itatuweka mahali mbaya kama taifa

    • @lucymwai7645
      @lucymwai7645 3 месяца назад +1

      Walifanya watoto wetu kuliwa 😢😢

    • @nehemiakiprop8878
      @nehemiakiprop8878 3 месяца назад +1

      @@lucymwai7645 it's true dear, they have done wrong to the nation, but let's calm down for the sake of young souls and we sent them home 2027

    • @Follow.TruelightJC
      @Follow.TruelightJC 3 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @lecogotze5209
      @lecogotze5209 3 месяца назад +1

      They should leave the office that's the only way watoke kwa izo offisi atutaki watu waku bribiwa

  • @yohanalemaiyan3076
    @yohanalemaiyan3076 3 месяца назад +15

    We're no longer stupid!to hell with this government!...they knew what they were doing!....

  • @annewanjiru818
    @annewanjiru818 3 месяца назад +31

    They should first and urgently return the money they greedily enriched themselves with.
    This is the condition for partial forgiveness, otherwise watoto wetu wataendelea kuwasalimia

  • @eliudjuma9626
    @eliudjuma9626 3 месяца назад +68

    Twawangoja huku mashinani tuwasalmie

  • @msamsa1031
    @msamsa1031 3 месяца назад +21

    Hawa ni mangaa , wakuje ground watusalimie , lazima tuwarekebishe , chuma chao ki motoni , never go against ur boss adhabu ya msaliti ni

  • @beatriceokello3276
    @beatriceokello3276 3 месяца назад +9

    Forgive them ONLY if they bring back to life all the youth who died because of them. Had they listened to you, these youths wouldn't have died.

  • @cleo4782
    @cleo4782 3 месяца назад +4

    The same guys who later on voted for KDF to be deployed on the streets....smh

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 3 месяца назад +3

    Watoto wetu mwenye Alikufa, Mungu iwekewe Roho zao pahali pema peponi. Walikufa kama Babu zao wa Freedom fighters. We salute them. Even if we're not okay. Nyinyi politicians mukijua vile roho zetu ziko na mchunguu.

  • @AzizaJuma-p7x
    @AzizaJuma-p7x 3 месяца назад +12

    Lazima wasalimiwe wapate funzo

  • @josephkimondo1315
    @josephkimondo1315 3 месяца назад +12

    Na wale mmeua nayo tutamusamehe aje sasa malizeni muende

  • @RobinOyie
    @RobinOyie 3 месяца назад +16

    Genz power 💪💪🔥

  • @labolabo8875
    @labolabo8875 3 месяца назад +13

    Ni salamu hakuna kitu ingine

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 3 месяца назад +11

    Gachagwa waache hao wanaviburi waendw kabisa

  • @robertmarwa2750
    @robertmarwa2750 3 месяца назад +8

    It's too late for them.

  • @Hellisreall-g8o
    @Hellisreall-g8o 3 месяца назад +11

    Msamaha wa nini?
    Waishi Nairobi .

  • @filexingutia3620
    @filexingutia3620 3 месяца назад +29

    Lazima Emmanuel Wangwe, Ikana na Aseka wasalimiwe😂😂😂

    • @Follow.TruelightJC
      @Follow.TruelightJC 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @flilechi
      @flilechi 3 месяца назад

      Hapo sawa kiongos

    • @wafulacollins6010
      @wafulacollins6010 3 месяца назад

      Unasahau Malulu Injendi😂😂

    • @filexingutia3620
      @filexingutia3620 3 месяца назад

      @@flilechi Ambieni MP wa Lurambi Bishop Khamala Niko na KDF yake 💪💓💓💓

    • @filexingutia3620
      @filexingutia3620 3 месяца назад

      @@wafulacollins6010 Hawa ndo watu tutamulika 2027... Aah Wangwe kiboko yake alikuwa Hayati Hamisi Muganda

  • @bwari01
    @bwari01 3 месяца назад +1

    They did not listen to their constituents! They have never listened. They should step down!

  • @denisruno6028
    @denisruno6028 3 месяца назад +12

    No more dirty games😅😅😮

  • @mumbiwachira9397
    @mumbiwachira9397 3 месяца назад +8

    Voters are not foolish no one needs you right apologies .. The ship has already sank poleni sana

  • @henrythiongo8297
    @henrythiongo8297 3 месяца назад +11

    Mtatusikiza vizuri 2027

  • @mumbiwachira9397
    @mumbiwachira9397 3 месяца назад +17

    😅😅😅 let them stay in hotels

  • @JOHNSONNYAGAKA
    @JOHNSONNYAGAKA 3 месяца назад +3

    THE BIG QUESTION IS, WHOM DO THEY REPRESENT IN PARLIAMENT? KENYANS DONT BE LIED TO! OUR COUNTRY IS ROTTEN IN THE HANDS OF THESE LEADERS! A CHAMELEON REMAINS A CHAMELEON

  • @samsonmutwiri4888
    @samsonmutwiri4888 3 месяца назад +12

    No apology

  • @janendegwa5462
    @janendegwa5462 3 месяца назад +3

    gachagua should go home with his boss he keeps annoying us by singing about him and he massacred women girls children in githurai hiding bodies to hide evidence we want justice women in the market were not at any maadamano duale must go to icc

  • @susanmugo6570
    @susanmugo6570 3 месяца назад +6

    No apologies they failed us big time.They can't be forgiven at all costs.gikaris awache conmanship

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 3 месяца назад +18

    Hatutaki waende nyumbani na raisi wao

  • @sponsalfaThedjalfani
    @sponsalfaThedjalfani 3 месяца назад +8

    They should resigh 🙄

  • @msamsa1031
    @msamsa1031 3 месяца назад +7

    Hawa ni mangaa , wakuje ground watusaimie

  • @purityvesh171
    @purityvesh171 3 месяца назад +9

    Asente Kwa kutuonyesha Hawa ni km tulikuwa tumewasahau,we gonna deal with them very bad

  • @DanielMwendwa-w4y
    @DanielMwendwa-w4y 3 месяца назад +5

    Msamaha n mbinguni

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 3 месяца назад +8

    Hatuwezi wasamehee coz walifanya watoto wetu wauliwe. Our Hearts are bleeding 😭😭😭😭😭 Munaua Kizaazi chetu. Manashughulikia tu Matumbo zenyu.

  • @melannalias4707
    @melannalias4707 3 месяца назад +11

    😂😂,ameharibu kabisaa.

  • @farajomar8678
    @farajomar8678 3 месяца назад +3

    Hatuezi sahau wale watu waliuawa kama kuku our fellow gen Z

  • @leonardseur3717
    @leonardseur3717 3 месяца назад +1

    Ombeni Mungu msamaha, yetu imeungua.
    Sisi tuko site lazima mtii.

  • @rogerslubanga5955
    @rogerslubanga5955 3 месяца назад +4

    Hata wewe gachagua hakuna mtu atakupigia kura

  • @mercymulwa8917
    @mercymulwa8917 3 месяца назад +4

    Watoto waliokufa

  • @kilowatts317
    @kilowatts317 3 месяца назад +12

    watu wazima wasamehewe na nani

  • @SylviaGilloh
    @SylviaGilloh 3 месяца назад +4

    😂😂😂Kenya ni filamu

  • @Forhumanity-r7x
    @Forhumanity-r7x 3 месяца назад +4

    Wameaza kuchora cartoon

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 3 месяца назад +4

    Kumbe akili zenu hazifanyi kazi hadi viboko?

  • @samsonmutwiri4888
    @samsonmutwiri4888 3 месяца назад +13

    Na kama atungetoka tungefuckiwa na hiyo financial bill yenu

    • @Spectre-Turner20
      @Spectre-Turner20 3 месяца назад

      Ask those who get a f***. They enjoy immensely. Be decent bro.

  • @bernardoduke5496
    @bernardoduke5496 3 месяца назад +3

    Kenya will change now

  • @Sibabi101
    @Sibabi101 3 месяца назад +3

    Reverse psychology

  • @farajomar8678
    @farajomar8678 3 месяца назад +2

    No apology we want wamalize waende will never forget

  • @jabezjedidiah1429
    @jabezjedidiah1429 3 месяца назад +2

    You had your say, let us have our way. We reject you in totality. You have clearly proven to us that we don't matter cos of cheap handouts. Tutawasalimia one by one.

  • @mercyserem1821
    @mercyserem1821 3 месяца назад +1

    Release all abducted young people you have taken.
    Hakuna msamaha , mpaka kila kitu kisawazishwe!

  • @johntoo8867
    @johntoo8867 3 месяца назад +2

    Every decision has a consequence wamalize waende

  • @doubles4945
    @doubles4945 3 месяца назад +2

    Rigathi asking Kenyans to be fair, shame on you, so many innocent soul were murdered like dogs

  • @nebacomedy
    @nebacomedy 3 месяца назад +3

    We can't forgive Since tumbo yenu do inatamaa,,, dustbin

  • @LarryPrimo-i7c
    @LarryPrimo-i7c 3 месяца назад +1

    They should not be apologizing but explaining to the people why they voted yes.This a country apologizing make me feel more disgusted than ever!

  • @kingbornb3174
    @kingbornb3174 3 месяца назад +3

    hawa hawarudi hatuwataki

  • @t.c7915
    @t.c7915 3 месяца назад +2

    Wafanye kazi ama waendelee na wizi? YOU ARE ALL FIRED 🔥!

  • @shabankolia8204
    @shabankolia8204 3 месяца назад +2

    Lazima tusalimiane walai

  • @jacksonmiano3651
    @jacksonmiano3651 3 месяца назад +1

    Sisi sio wajinga...we can see through the lies

  • @rukiahajj9913
    @rukiahajj9913 3 месяца назад +1

    Let them go to the parliament and make a vote of no confidence to Batman then we will think to forgive them after that

  • @missbecky-jh7kd
    @missbecky-jh7kd 3 месяца назад +3

    hakuna msamaha hapo, ni kujifanya tu, tupatane mashinani

  • @peterkoinange1904
    @peterkoinange1904 3 месяца назад +2

    Lazima wafunzwe adabu na jinsi ya kuheshimu wananchi waliowapa kazi sio kufurahisha wakubwa wao ambao hawana haja na wakenya

  • @Candys9096
    @Candys9096 3 месяца назад +1

    When Trust is Broken Sorry Means Nothing

  • @1_TOONCH
    @1_TOONCH 3 месяца назад +1

    Fool me once, shame on me. Fool me twice, shame on YOU

  • @mercynatechowekesa
    @mercynatechowekesa 3 месяца назад +2

    Hypocrisy

  • @Theurbanniccurr
    @Theurbanniccurr 3 месяца назад +1

    Too late for them , they shall face the wrath !!!!

  • @AmelliahSimeons
    @AmelliahSimeons 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Majuto Ni Mjuku...

  • @9843ish
    @9843ish 3 месяца назад

    😂😂😂😂wameogopa salamu TU!!!😂

  • @zakayomwamba7475
    @zakayomwamba7475 3 месяца назад

    Nani alimfanya huyu Sharehoder sanitizer.He is also our problem.

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 3 месяца назад +2

    Bado ruwaida obo watu walamu muache kulala gen_z no way for another chance

  • @wainainarita6759
    @wainainarita6759 3 месяца назад

    Too little too late..innocent lives were lost! An apology won’t do!

  • @tida3727
    @tida3727 3 месяца назад

    Hao wabunge waede kabisa..
    Kwani hawakuwa wanajua wanamaliza wakenya..
    Wakakae statehouse

  • @PrincessAdugo
    @PrincessAdugo 3 месяца назад

    Gen.z.oyee 💪💪💪

  • @sirski51
    @sirski51 3 месяца назад

    They should just resign and go home.. who are they representing in parliament ? .. hii kuburi yao iishe..

  • @henlay8240
    @henlay8240 3 месяца назад

    Hawa watu hatuwezi kuwasamehea. Kuwasamehea ni kuresign kwao

  • @AntonyOkumu-uv2ho
    @AntonyOkumu-uv2ho 3 месяца назад

    They did not vote "here and there," they did vote in parliament; I hear it's called August house or something

  • @PoulineSelina
    @PoulineSelina 3 месяца назад

    Youths tunajuwa ni Game plan 🏃🏃🏼‍♀️

  • @christinemkolo468
    @christinemkolo468 3 месяца назад +2

    wasamehewe nini ,
    Saitan

  • @MwenjeBoaz
    @MwenjeBoaz 3 месяца назад +2

    Lazima wapewe Hi

  • @TremorProductions
    @TremorProductions 3 месяца назад +3

    WE WILL NEVER FORGET !!!

  • @bikosteve6674
    @bikosteve6674 3 месяца назад

    Lazima wasalimiwe. There is nothing like forgiving those fools.

  • @martins.k3359
    @martins.k3359 3 месяца назад +1

    Hakuna cha makundi tayari wameshasema wanacho taka kuteua wawakilishi nikutafuta kumaliza watetezi wa wanyonge kabisa.

  • @christine848
    @christine848 3 месяца назад

    Meeting at Nyayo Stadium with GEN Zs and the 5th Regime accompanied with all MPs who voted YES. Follow the GEN Zs success strategies😂

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484 3 месяца назад

    Wambunge wanaomba musamaha wafufue vinjana waliopigwa risasi la sivyo waache kukijeli wakenya

  • @Omayio
    @Omayio 3 месяца назад

    We demand that the parliament is dissolved then you can be able to seek forgiveness

  • @theoreticalbutfun2816
    @theoreticalbutfun2816 3 месяца назад +1

    Akuna msamaha waende mafisi wao

  • @gilbertchebii6804
    @gilbertchebii6804 3 месяца назад

    Warudishie ruto Hella zake !wasaliti wao!wapy makilap mp wa baringo ?

  • @lucyoyiela6718
    @lucyoyiela6718 3 месяца назад

    Akuna musamaha hapo vile walilipwa 2m kwakila mmoja mbona hawakukataa hizo pesa waende wawalipie wale wenye mahandamano ili wa ffect kenyatta hospital bill , hizo ni pesa za uma nizatumika vibaya . Gez shikilie tu hapo hapo

  • @naishoruamooke
    @naishoruamooke 3 месяца назад

    No No No,You Recently voted for KDF To do the operation, Luckily Our Armed forces are such a discipline and humane force.Gen Z kindly Visit All of them

  • @benjaminosura7665
    @benjaminosura7665 3 месяца назад

    HUYO GASAGWA PIA NI HAKUNA KITU ANAFAA KUTUAMBIA MKORA MKUBWA PRETENDER. HATA ILE ALIKYA ANAJIFANYA ETI WAMEKOSANA NA BOSS WAKE NDIE ATUINGIZE BOX , UKWELI WA MAMBO NI KWAMBA ENTIRELY KK REGIME ARE THE SAME...

  • @user-Doktari7wanywele1
    @user-Doktari7wanywele1 3 месяца назад +1

    Hakuna msamaha lazima tumasalimie kuja nyumbani tutajua venye iko na Genz Z izo matumbo zenu mlipeka kwa president kama yeye ndiye alikuchangua mkasahau ya kwamba raia ndio waliwasidia ukafika apo so kuwa tayari kusalamiwa na Genz Z

  • @rosenjuki4132
    @rosenjuki4132 3 месяца назад

    Refund the sh2, 000,000 before we accept your apology, to pay for the jss teachers. Stop goggling with our, lives.

  • @geraldngirimo8773
    @geraldngirimo8773 3 месяца назад

    Let the not be allowed in their constituency...Waende wakae Kwa Zakayo sugoi..

  • @jetrocallison530
    @jetrocallison530 3 месяца назад

    Hiyo pole tell your wife children and sidechicks coz come 2027 no more high table. Karma is warming up

  • @monicahnjoroge8168
    @monicahnjoroge8168 3 месяца назад

    They didn't listen to the people in the first place. Pride was too high, they thought power belonged to them. It's sickening to vote for someone to represent you but they ignore you and go ahead and do what favours them as an individuals. Hapa hakuna leaders, tumbocrats too. Bure kabisa

  • @63hdhdbilwo
    @63hdhdbilwo 3 месяца назад +7

    Shauri yaoo

  • @None-d4f
    @None-d4f 3 месяца назад

    A bunch of thieves. Hakuna nafasi watapewa. Ata wewe mwongo kama boss wako tu. Wote nyumbani. Gen. Zs - stay alert. Don’t give them peace.

  • @anthonywaithaka8936
    @anthonywaithaka8936 3 месяца назад

    Shida ni ata apology zao ni uwongo tupu nextweek back to default settings hatutaki. RecallyourMP

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm 3 месяца назад

    It is too little and too late. The damage has already been done. A tragic number of young lives have been lost due to the foolishness, arrogance, and obstinacy displayed by our stupid MPs. Shame on you, we will not forgive you.

  • @sarahdeweerdt6792
    @sarahdeweerdt6792 3 месяца назад

    Instead of renovating statehouse, ruto should build extra rooms for them and their families, they'll be safe there

  • @drdee2012
    @drdee2012 3 месяца назад

    MPs terms should be reduced to 3 years. Warudi waombe kura wajue wanafanyia wananchi kazi sio president!!

  • @barasaraoh8182
    @barasaraoh8182 3 месяца назад

    The problem is expenditure, most share not on productive projects and expect better terms of trade?
    Leave alone that corruption! Really kills us