SHANGWE LA MR II "SUGU" NA PROFESA JAY WALIVYOCHANA LAWAINUA MBOWE/LISSU/WABUNGE WAMWAGA HELA
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Kama umegundua sugu anaimba lkn hana uhakika wa kuingia bungeni gonga like tujuane
Kuna watu wachokozi humu hahahahhahaa
Atakoma. Yeye si Sugu msema ovyo?
mm nadhani ww ndio huna uhakika na unachokiandika
Wewe mwenyewe huna Hata uakika wa kula
Kama unamkubali mniga SUGU, achia like chap.
Aisee iko pow imetulia hivii ndivyo vipaji og wenye mziki wao tz wenye busara zao tz mungu azid kuwaweka salama leo na miaka yootee
Chadema raha sana upande wa pili show hiz wanazjua kwel
Ila wew boya asa unaona hio ni show imepooza subiri magu auwashe moto kina zuchu wanakinukisha kina mondi harmo
Kabisaaa
Safi sana
Kwauchache sanaa! Ishara mbaya,
Magufuri babalao 🙋😁
Good good good good good good good good good good wanaona gere.
professor Jay punguza mwili kaka
Warusini na wengine wafanye mikutano yao jamanii
Professor J amenenepa hadi akafanana na brother K
Hapo sawaaa
Pamoja
Chama la wana✌✌✌✌
Huyu jamaa pro. Jaya namuonaga kama mnafiki tu ktk chama kwanini hawezi kutunga nyimbo nzuri za chama kwani vipi na wakati tunamjuwa kabisa kuwa ni mwana hiphop mzuri tu
Hapa umenena nanikweli unamaono
Tunakupenda prof j lakini atukipendi chama cha chadema kwaiyo tunaweza kuku kataa wewe kwaajili ya chadema pia 🤣🤣🤣🤣
Oyooo
Kwa usajili wa Kampuni, Jina la biashara, Nembo ya biashara (Trade Mark), NGO,s, Churches, Barcodes kwa ajili ya bidhaa zako, Kubadili jina la Kampuni/ Biashara, Kubadili wamiliki wa Kampuni (Directors), Annual returns, International NGO,s zinazotaka kufanya kazi hapa Tanzania na mengineyo yahuduyo Kampuni tupigie sasa 0786 660 202 KARIBU SANA TUKUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU SANA NA WELEDI WA HALI YA JUU
Kwel
da...sasa mnarudi kwenye viunga vyenu ati..!!
😂😂😂😂😂😂😂
Tungeni nyimbo mpya bhanaaa... mnaboa
😁😁😁😁😁
Sisi hatuna shangwe ya wasanii wana tutosha hao
Love you✌✌
Daaaaa huku wasanii hakuna kabisaa P,, j kaamua mwenyew polen tundu kalale kuweni makn akipata urais atarud ubeligij
👍
Pamoja sama
Legends
Ni wasaniii ama ni watetezi wa wananchi walio na shida na kero mbalimbali ianafika mahali nasi wananchi tuwe makini unakero ya maji anakugawaisha na wimbo !!!
Makalio wewe
@@masala8099 una huyu nae MBNA unaonekana kama x wanadanga na ww makalio mamaako!!!
Salamba lukali umejua kunifuraisha
😋
Msitufokee🎷🎷🎷😁
Hapo mkweli ni J tu
Kuna mijitu inajifanya inapenda ccm ikiingia matukio ya chadema kazi kuponda tu kwani mmetumwa kutufuatilia event zetu tazama Sasa mnajipanikisha tulieni wasi wanini mbona hamjiamini. Mlishatawala miaka 5 Sasa wKati huu wa kampeni Ni zamu ya wote kaeni pembeni
😄😄
Magufuri oyeeeee
Kabisaaa
Chama cha watu wasiyo jitambua %chache munamuunga mukono Lissu nikuto jitambua October
NAITWA HERO NAOMBA NIKUALIKE
habari naitwa hero Rayzor ni mwanamziki naomba nikualike kutizama video ya mziki wangu mpya nao zindua leo nipe SUBSCRIBE YAKO MOJA TU uwe umechangia mafanikio yangu ntashukuru GUSA HAPA KUONA ruclips.net/video/kHp-9wK9Tyw/видео.html
Chama kubwa chadema chama la wana
Duuuu! Hali tata kiukweli
Malizia maneno chama cha wanawake
Chama la Wana bangi
💪
mmechemka
chama kilichopo mioyoni mwa watu
Wakongwe hawazeeki Katy😄😄😄
Hawa wahuni hawawezi kuongoza nchi.
Kabadili kauli kk maisha Yana badilika uc ongee ivooo
.
Uuuuuuuuyyyyyyy✌✌✌✋✋✋✋✋✋✌✌✋✌
Kumbe Tundulisu ndo alivyo duh link hiyo jione
ruclips.net/video/U5Ca3QHTrfc/видео.html
Sasa na nyie zamu yenu ya kuiba imefika mshukuruni Lisu, na mkikamata dola tu msiiachie 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂
✌✌✌✌✌✌
Hawa watu wame kosa wasanii imebidi wabunge wajiimbie
Ni wabunge na pia ni wasanii bora wa mda wote, hakuna rapper wa Tanzania aliewahi kutoa Hits song nyingi kama professor jay
@@hkmeme5437 nenda na mwana fa unamweka wapi ww.
Arif 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@gracejohn886 nakwambia Tanzania balaa mtu anajiimbia apigiwe kura hio kali sana
@@ufahamuoriginal4092 mwana fa amfikii professor jay, jay alihit Tanzania na inje ya Tanzania, mwanafa anajulijana Tanzania na Mombasa pekeake,
Mumetisha sugu na professor munatukumbusha enz zenu
Kwanini nani kakuambia mbunge hapaswi kuimba ni msanii bado ni mbunge shida iko wap
Lazima mludi kwenyemzik bungeni no
Ndoto za mchana kaka
Kumaamako
@@masala8099 ndio hivyo hata utukane
@@masala8099 haendi mtu tena
@@masala8099 kumbuka ukitukana hivyo umetukana adi wazazi wako dada zako na ndugu zako wote wa kike siasa tu jamani ndo umtukanie mwenzio mamaake unajilaani mwenyewe
Ndo shida ya kuchagua mwakilishi mwanamziki bungeni muda mwingi anafikiria mziki kuliko kero za wananchi, bora warudi kutuburudisha kwenye mziki, huku tunahitaji wachapa kaaaazi,.
Umeonaaeee
Bwana Yesu asifiwe, wapendwa katika Bwana najua mpo katika hali ya maombolezo ya kufiwa kwa Rais Mstafu wa awamu ya tatu Mheshimiwa Benjamin William Mkapa, nawapeni pole sana katika kipindi hiki kijana wenu Alex Mkamanga nimewaleteeni wimbo utakao wafariji katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo hivyo karibu kuusikiliza kwani utapata faraja tele maisha mwako na hutojuta🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu akubariki, unaruhusiwa kulike,comment na kusubscribe
Nawapenda saaaana
❤️❤️❤️
💪💪💪💪
🔥🔥🔥🔥
Nawapende woote🙏🙏🙏🙏
ruclips.net/video/uXPfI23YYs8/видео.html
Mbeya tulibugi 10 years, sasa baaaasi !
Katulia Akson tuuuu sugu andaa nyimbo
Hatuna rajabu abdul mbeya wewe ni mtu wa Tanga.Mbeya cili hatujawahi kubugi kwa Mh.Sugu forever
Sugu hilo jembe....tulia akatulie tu huko .....
@@jaksonjulius9010 sokangapo bakajahapo byisalam ku mbeya gwe! Ulintungulu, gwa nkaja ugwe! Nkete kumaso asee!
@@nassororamadhan2515 nyoo.... Pamo ulinikighiri ugwe abhombie fiki gwa makambo ujo?sokangapo aseee!
tisha sana kaka mkubwa prof j. naitwa chadyp nimsanii chipukiz wamziki kizazi kipya nina audio RUclips nahitaji subscribe yako mpendwa ili niweze kupiga hatua pia unaweza kusikiliza kupitia ruclips.net/video/EZtFnnJYOXI/видео.html
Nyimbo inaitwa katoto simpo imeimbwa namimi mwenyewe chadyp.
✌✌✌✌✌
Kumbe Tundulisu ndo alivyo duh link hiyo jione
ruclips.net/video/U5Ca3QHTrfc/видео.html
NAITWA HERO NAOMBA NIKUALIKE
habari naitwa hero Rayzor ni mwanamziki naomba nikualike kutizama video ya mziki wangu mpya nao zindua leo nipe SUBSCRIBE YAKO MOJA TU uwe umechangia mafanikio yangu ntashukuru GUSA HAPA KUONA ruclips.net/video/kHp-9wK9Tyw/видео.html
Alaf iweje