SHANGWE LA MR II "SUGU" NA PROFESA JAY WALIVYOCHANA LAWAINUA MBOWE/LISSU/WABUNGE WAMWAGA HELA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Комментарии • 109

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 4 года назад +12

    Kama umegundua sugu anaimba lkn hana uhakika wa kuingia bungeni gonga like tujuane

  • @isaiahstadius2383
    @isaiahstadius2383 4 года назад +1

    Kama unamkubali mniga SUGU, achia like chap.

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 4 года назад

    Aisee iko pow imetulia hivii ndivyo vipaji og wenye mziki wao tz wenye busara zao tz mungu azid kuwaweka salama leo na miaka yootee

  • @pascleshayo9740
    @pascleshayo9740 4 года назад +3

    Chadema raha sana upande wa pili show hiz wanazjua kwel

    • @emanuelngoya8074
      @emanuelngoya8074 4 года назад +1

      Ila wew boya asa unaona hio ni show imepooza subiri magu auwashe moto kina zuchu wanakinukisha kina mondi harmo

    • @tawfiqissa6123
      @tawfiqissa6123 4 года назад

      Kabisaaa

  • @mussamadali3044
    @mussamadali3044 4 года назад

    Safi sana

  • @hamisimbaruku4989
    @hamisimbaruku4989 4 года назад +5

    Kwauchache sanaa! Ishara mbaya,

  • @kivuyomollel5337
    @kivuyomollel5337 4 года назад +4

    Good good good good good good good good good good wanaona gere.

  • @frankd1156
    @frankd1156 4 года назад +3

    professor Jay punguza mwili kaka

    • @eudosiacharles353
      @eudosiacharles353 4 года назад

      Warusini na wengine wafanye mikutano yao jamanii

  • @lawrencesilas3050
    @lawrencesilas3050 4 года назад +6

    Professor J amenenepa hadi akafanana na brother K

  • @ahmedyussuf5883
    @ahmedyussuf5883 4 года назад +6

    Hapo sawaaa

  • @dannytiggy8610
    @dannytiggy8610 4 года назад +1

    Chama la wana✌✌✌✌

  • @emmanueldottofimbo2815
    @emmanueldottofimbo2815 4 года назад

    Huyu jamaa pro. Jaya namuonaga kama mnafiki tu ktk chama kwanini hawezi kutunga nyimbo nzuri za chama kwani vipi na wakati tunamjuwa kabisa kuwa ni mwana hiphop mzuri tu

  • @peterjohn1969
    @peterjohn1969 4 года назад +2

    Tunakupenda prof j lakini atukipendi chama cha chadema kwaiyo tunaweza kuku kataa wewe kwaajili ya chadema pia 🤣🤣🤣🤣

  • @magrethelisha2220
    @magrethelisha2220 4 года назад

    Oyooo

  • @soundstream2930
    @soundstream2930 4 года назад

    Kwa usajili wa Kampuni, Jina la biashara, Nembo ya biashara (Trade Mark), NGO,s, Churches, Barcodes kwa ajili ya bidhaa zako, Kubadili jina la Kampuni/ Biashara, Kubadili wamiliki wa Kampuni (Directors), Annual returns, International NGO,s zinazotaka kufanya kazi hapa Tanzania na mengineyo yahuduyo Kampuni tupigie sasa 0786 660 202 KARIBU SANA TUKUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU SANA NA WELEDI WA HALI YA JUU

  • @michaelcharles9040
    @michaelcharles9040 4 года назад

    Kwel

  • @keffajacob5265
    @keffajacob5265 4 года назад +4

    da...sasa mnarudi kwenye viunga vyenu ati..!!

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa3575 4 года назад +2

    Tungeni nyimbo mpya bhanaaa... mnaboa

  • @nassornasser3733
    @nassornasser3733 4 года назад

    Sisi hatuna shangwe ya wasanii wana tutosha hao

  • @michaelfrank6525
    @michaelfrank6525 4 года назад

    Love you✌✌

  • @nyangusijohn5805
    @nyangusijohn5805 4 года назад

    Daaaaa huku wasanii hakuna kabisaa P,, j kaamua mwenyew polen tundu kalale kuweni makn akipata urais atarud ubeligij

  • @ahmedyussuf5883
    @ahmedyussuf5883 4 года назад +1

    👍

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 4 года назад +1

    Pamoja sama

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 4 года назад

    Legends

  • @salambalukali216
    @salambalukali216 4 года назад +3

    Ni wasaniii ama ni watetezi wa wananchi walio na shida na kero mbalimbali ianafika mahali nasi wananchi tuwe makini unakero ya maji anakugawaisha na wimbo !!!

  • @zablonnyanda6095
    @zablonnyanda6095 4 года назад

    Hapo mkweli ni J tu

  • @masala8099
    @masala8099 4 года назад +5

    Kuna mijitu inajifanya inapenda ccm ikiingia matukio ya chadema kazi kuponda tu kwani mmetumwa kutufuatilia event zetu tazama Sasa mnajipanikisha tulieni wasi wanini mbona hamjiamini. Mlishatawala miaka 5 Sasa wKati huu wa kampeni Ni zamu ya wote kaeni pembeni

  • @ommygoldene3636
    @ommygoldene3636 4 года назад +1

    NAITWA HERO NAOMBA NIKUALIKE
    habari naitwa hero Rayzor ni mwanamziki naomba nikualike kutizama video ya mziki wangu mpya nao zindua leo nipe SUBSCRIBE YAKO MOJA TU uwe umechangia mafanikio yangu ntashukuru GUSA HAPA KUONA ruclips.net/video/kHp-9wK9Tyw/видео.html

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu7449 4 года назад +1

    Chama kubwa chadema chama la wana

  • @halimapigasimba3.0yusufu7
    @halimapigasimba3.0yusufu7 4 года назад +2

    mmechemka

  • @yohanidimoso3711
    @yohanidimoso3711 4 года назад +4

    chama kilichopo mioyoni mwa watu

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 4 года назад

    Wakongwe hawazeeki Katy😄😄😄

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 4 года назад +3

    Hawa wahuni hawawezi kuongoza nchi.

    • @tawfiqissa6123
      @tawfiqissa6123 4 года назад

      Kabadili kauli kk maisha Yana badilika uc ongee ivooo

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 4 года назад

    .

  • @juliasmollel5176
    @juliasmollel5176 4 года назад

    Uuuuuuuuyyyyyyy✌✌✌✋✋✋✋✋✋✌✌✋✌

  • @odith_odith
    @odith_odith 4 года назад

    Kumbe Tundulisu ndo alivyo duh link hiyo jione
    ruclips.net/video/U5Ca3QHTrfc/видео.html

  • @teddyoscar6876
    @teddyoscar6876 4 года назад +2

    Sasa na nyie zamu yenu ya kuiba imefika mshukuruni Lisu, na mkikamata dola tu msiiachie 🤣🤣🤣

    • @gracejohn886
      @gracejohn886 4 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @stanleypaulo3457
    @stanleypaulo3457 4 года назад

    ✌✌✌✌✌✌

  • @ains1122
    @ains1122 4 года назад +4

    Hawa watu wame kosa wasanii imebidi wabunge wajiimbie

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 года назад +1

      Ni wabunge na pia ni wasanii bora wa mda wote, hakuna rapper wa Tanzania aliewahi kutoa Hits song nyingi kama professor jay

    • @ufahamuoriginal4092
      @ufahamuoriginal4092 4 года назад

      @@hkmeme5437 nenda na mwana fa unamweka wapi ww.

    • @gracejohn886
      @gracejohn886 4 года назад +1

      Arif 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ains1122
      @ains1122 4 года назад +1

      @@gracejohn886 nakwambia Tanzania balaa mtu anajiimbia apigiwe kura hio kali sana

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 года назад

      @@ufahamuoriginal4092 mwana fa amfikii professor jay, jay alihit Tanzania na inje ya Tanzania, mwanafa anajulijana Tanzania na Mombasa pekeake,

  • @sniperboy7098
    @sniperboy7098 4 года назад +1

    Mumetisha sugu na professor munatukumbusha enz zenu

    • @mosessimon2669
      @mosessimon2669 4 года назад

      Kwanini nani kakuambia mbunge hapaswi kuimba ni msanii bado ni mbunge shida iko wap

  • @shabaniathumani1789
    @shabaniathumani1789 4 года назад +4

    Lazima mludi kwenyemzik bungeni no

    • @masterajuayeking3691
      @masterajuayeking3691 4 года назад

      Ndoto za mchana kaka

    • @masala8099
      @masala8099 4 года назад

      Kumaamako

    • @shabaniathumani1789
      @shabaniathumani1789 4 года назад

      @@masala8099 ndio hivyo hata utukane

    • @shabaniathumani1789
      @shabaniathumani1789 4 года назад

      @@masala8099 haendi mtu tena

    • @gracejohn886
      @gracejohn886 4 года назад

      @@masala8099 kumbuka ukitukana hivyo umetukana adi wazazi wako dada zako na ndugu zako wote wa kike siasa tu jamani ndo umtukanie mwenzio mamaake unajilaani mwenyewe

  • @rajababdul8383
    @rajababdul8383 4 года назад +3

    Ndo shida ya kuchagua mwakilishi mwanamziki bungeni muda mwingi anafikiria mziki kuliko kero za wananchi, bora warudi kutuburudisha kwenye mziki, huku tunahitaji wachapa kaaaazi,.

  • @mchandsometz2644
    @mchandsometz2644 4 года назад +2

    Bwana Yesu asifiwe, wapendwa katika Bwana najua mpo katika hali ya maombolezo ya kufiwa kwa Rais Mstafu wa awamu ya tatu Mheshimiwa Benjamin William Mkapa, nawapeni pole sana katika kipindi hiki kijana wenu Alex Mkamanga nimewaleteeni wimbo utakao wafariji katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo hivyo karibu kuusikiliza kwani utapata faraja tele maisha mwako na hutojuta🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu akubariki, unaruhusiwa kulike,comment na kusubscribe
    Nawapenda saaaana
    ❤️❤️❤️
    💪💪💪💪
    🔥🔥🔥🔥
    Nawapende woote🙏🙏🙏🙏
    ruclips.net/video/uXPfI23YYs8/видео.html

  • @rajababdul8383
    @rajababdul8383 4 года назад +3

    Mbeya tulibugi 10 years, sasa baaaasi !

    • @shabaniathumani1789
      @shabaniathumani1789 4 года назад +1

      Katulia Akson tuuuu sugu andaa nyimbo

    • @jaksonjulius9010
      @jaksonjulius9010 4 года назад

      Hatuna rajabu abdul mbeya wewe ni mtu wa Tanga.Mbeya cili hatujawahi kubugi kwa Mh.Sugu forever

    • @nassororamadhan2515
      @nassororamadhan2515 4 года назад

      Sugu hilo jembe....tulia akatulie tu huko .....

    • @rajababdul8383
      @rajababdul8383 4 года назад

      @@jaksonjulius9010 sokangapo bakajahapo byisalam ku mbeya gwe! Ulintungulu, gwa nkaja ugwe! Nkete kumaso asee!

    • @rajababdul8383
      @rajababdul8383 4 года назад

      @@nassororamadhan2515 nyoo.... Pamo ulinikighiri ugwe abhombie fiki gwa makambo ujo?sokangapo aseee!

  • @chadypkipawa4031
    @chadypkipawa4031 4 года назад

    tisha sana kaka mkubwa prof j. naitwa chadyp nimsanii chipukiz wamziki kizazi kipya nina audio RUclips nahitaji subscribe yako mpendwa ili niweze kupiga hatua pia unaweza kusikiliza kupitia ruclips.net/video/EZtFnnJYOXI/видео.html
    Nyimbo inaitwa katoto simpo imeimbwa namimi mwenyewe chadyp.

  • @isakamahelela5577
    @isakamahelela5577 4 года назад

    ✌✌✌✌✌

  • @odith_odith
    @odith_odith 4 года назад

    Kumbe Tundulisu ndo alivyo duh link hiyo jione
    ruclips.net/video/U5Ca3QHTrfc/видео.html

  • @ommygoldene3636
    @ommygoldene3636 4 года назад

    NAITWA HERO NAOMBA NIKUALIKE
    habari naitwa hero Rayzor ni mwanamziki naomba nikualike kutizama video ya mziki wangu mpya nao zindua leo nipe SUBSCRIBE YAKO MOJA TU uwe umechangia mafanikio yangu ntashukuru GUSA HAPA KUONA ruclips.net/video/kHp-9wK9Tyw/видео.html