@@ramsikhamis7083 😂😂😂😂Nakwambia hatokaa aamini watakacho mfanyia utajua asaivi watz siikama wazamani yaani asaivi washajua mbivu na mbichi hapo asione wote wamevaa sale akajua wote niwapiga kula wake hilo asahau ABADAN
Halafu pia mlikosea mahesabu yaani bora uliporudi ungejificha ili utokezee wakati wa kampeni sasa wewe umekuja na kuanza kuzunguka nchi nzima halafu hukua hata na Sera za maana zingekusaidia japo kdg sasa washakuzoea watanzania hawaoni jipya tena wale waliokua wanakuja kukushangaa sasa hv hawajui tena maana hukuwabia chchte cha maana.
Kuteua mgombea mlijichelewesha kurejesha fomu mkajichelewesha kwenye kampeni hamjalaza damu haya bwana Mungu awatangulie wana CHADEMA. #tukutane2020/2021 #millardayo #tbcfm
Nikajua mko wengi kama picha mliyotengeneza kumbe hamna lolote bwana. Sasa kama ufunguzi wa kampeni ndio hv mmekua wachache hv na hapo ni dar salaam nzima mko hapo duuuuh!!!! Kazi mnayo
Mi magu siko pamoja nae,Kama unataka kujua nenda mahakaman,polisi na mahospital utajua,pia elimu bure wakati watoto wao wanasoma ulaya na chunguzi utawala ngazi za juu wanapeana watoto wa viongozi,madege wananunua lakn masikini hana uwezo wa kuyapanda,mtanzania fungus akili na ubongo wako kwa kina
@@wakishuakutokatz4737 uko sawa kimtizamo wako ila ukwl magu kamanda si lazma km ulivyo sema ndomana tuko tofauti na hivyo vema tuombe uchaguz wa Aman ila kuna mtu ata toka na kura za aibu uchaguz huu, lowasa aliteka sana ila huyu ata hajamfikia lowasa bado labda badae
Tupo pamoja sana kamanda✌️✌️✌️
Jukwaa limechoooka kama nyumba ya wenda wazimu😴😴😴😴😴
Ningekuwa na uwezo hizo ela kqmpeni mngezirudisha kwenye benki ili tukope zitusaidie wananchi maana Mqgufuli tena 2020
Nikweli kabisa hill nalo neno tukope zetu
😂😂😂😂😂😂😂
Hizo kampen vigodoro baba yangu JPMchapakazi baba achana nawatu wenye akili fupi...mimi namtambua Lisu ni Raia wa ubeligiji acha wajifurahishe
Toeni Sera za maana basi watanzania wasikie mlichonacho huu sio wakati wa malalamiko ni saa ya kuuza Sera maana kwa stail hii duuuh!!! Sijui !!!!!???
Ila wakati wa lowasa mlikua na vibe kweli ila sasa hv duuuh!! Aibu tupu vibe hamna
Magu Mungu akusimamie akupiganie mpaka uzee huko
Mungu ibariki tanzania
Dalili co nzuri, tunaweza tukaambulia %15 ya kura.
Mungu awabariki hakika inapendeza
🤣🤣🤣Kazi kweli kweli hamna jipya
😂😂😂msidanganyike na watu nyomi hata mimi ningekuwepo ningeenda kushangaa
Jaman kama namuona tundu bovu vire wajumbe wamnyoa nywele mchana kweupe yaani hapo wana mzoom tu akijitapa na kuongea utopolo wake🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️
😀😀😀😀Umenifanya nicheke kiboya saanaaa m2 wanguu
@@ramsikhamis7083 😂😂😂😂Nakwambia hatokaa aamini watakacho mfanyia utajua asaivi watz siikama wazamani yaani asaivi washajua mbivu na mbichi hapo asione wote wamevaa sale akajua wote niwapiga kula wake hilo asahau ABADAN
Rais ni magu tuuuuuuiui we ulie tuuuuu
Hahahahaha dah yan leo tu rais amesha patikana kiulain mzee magu
Huyu Mama anataabu 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 hakika
Wajinga kweli wananimalizia mb zangu halafu utumbo mtupo kweli hawana Viber eti ferstlad hahaaa tunamjuwa mama Janeth Magufuli tu shuuwaini nyie
Magufuli baba lao
Mungu aendelee kukupa uzma mtetezi wetu
Halafu pia mlikosea mahesabu yaani bora uliporudi ungejificha ili utokezee wakati wa kampeni sasa wewe umekuja na kuanza kuzunguka nchi nzima halafu hukua hata na Sera za maana zingekusaidia japo kdg sasa washakuzoea watanzania hawaoni jipya tena wale waliokua wanakuja kukushangaa sasa hv hawajui tena maana hukuwabia chchte cha maana.
🤣🤣🤣🤣kunywa cola ....ndio maana walimalizia hasira kwa waandishi wa habari
Huu wimbo mbona una-reflect kwingineeee. Halafu mwisho wa kampeni mama wa watu anaishia kudhalilika. Mweee Chadema Mungu anawaoña.
Kuteua mgombea mlijichelewesha kurejesha fomu mkajichelewesha kwenye kampeni hamjalaza damu haya bwana Mungu awatangulie wana CHADEMA.
#tukutane2020/2021
#millardayo
#tbcfm
Sema kwasababu upinzani lazima wawepo vinginevyo mngeacha tu
Tundu lissu for change .......💪💪
WATU wachache sanna kwa KWELI ngoja mafuliko ya magu
Mmmh, ni mkutano au kikao maana sielewi
Utaelewa tu, kama ulipata 0 subiri
Chama cha mapumbavu mtateseka sana Chadema juuuuu
Mapumbumbavu ni chadema au ccm? Nyie ndo mtapata tabu sana
Wamenipotezea mb zangu za bure hawa....hata hoja Hawana😂😂
Maskini daah!! Hadi huruma hahhh,,Magundi oyeee
Naona kelele tu!Subirini 28 October tutakavyowanyoosha kwenye sanduku la kura
Sio rahs
Na hcho kijukwaa🤭ety ndo mleta maendeleo hovyooo kaa tulia
Chamtoto. Angalieni kule dodoma baba lao anavyokinbizaaaa. Weraaaa weraaaa
Mweshimiwa lisu oyee
Anavyocheza basi watu wanaumiaaa😂😂
Chadema bhana hapo mmeshakunywa mnazi wenu mnajiona dunia yote yenu
Toa miguu yako hapo huna sera hata chembe
Chadema wanawake wote macho mabovu kila mwanamke anavaa miwani
mvishe mkeo ushungi bn ni alama nzur kwaupande wetu pia
Mbona ni yeye imepotea
Mungu ibariki chadema
Amn
Bado sijaona kama lowasa
Kama wapo kwa mjumbe Kideu
HARUSI YA NANI HIYO
President
President?🙄🙄🙄
Wadada wa kibongo ndio wadada Pekee ambao huhitaji mume mwema wakati wakitumiwa Nauli wanakula Afu wanabebeshwa mimba na visharobaro.🤣🤣😂
Tunataka sera siyo matusi
Siasa bwana.
kutokana na vitimbwi vyote lkn bado mtu nyomii
ccm muwe makini sana vingnevyoo mnaweza kubaki mdomo waziii
Milad acha figisu mbona hujachukua camera ya juu?ili watu waonekane wachache unatumia camera ya chini tu?
Aibu hii bora ya lowasa
Ikulu mtaisikia
Aisee
Mbona watu wachache sana hivyo yaan hapana matumaini hapo
mbona wapo weng sanaa dada angu hukuangaalia vizur video hii
Ata waliopo naona wameenda kushangaa tu ata hawaelewi kinachoendelea
Hata Nyie online tv mngefurushwa tu kama tbc maan mnazingua tu
Biashara zako kwishinei
Mnakosea kumwita makamu wa rais hata uchaguzi bado
HATA HAELEKEI. HALI MBAYA MASIKINI. WATAWEZA KWELI?
CCM mnapata tabu kwani VIP .......nacheka kwa zarau... iz kmnt znu
Hata msafala Wa gwajima mkubwa luliko hata
Mtapata tabu Sana.
Mnajifariji tu subirini wajumbe watakavyo wanyoa mchana kweupe🤣🤣🤣
Wajumbe wapi mnasema hivyo ili badae mkishafanya yenu 😲😲
Watu wenyewe wawili tu
Saidi wingi wa kamasi siyo ukubwa wa pua
Kamela mani msenge unaonyeshaje ,kamela yako mbona huitendei haki make naona unamlika miguuutu ofyo sana
Nikajua mko wengi kama picha mliyotengeneza kumbe hamna lolote bwana. Sasa kama ufunguzi wa kampeni ndio hv mmekua wachache hv na hapo ni dar salaam nzima mko hapo duuuuh!!!! Kazi mnayo
Rais wa wanyonge
Hakika hali ni mbaya mtaani,yaan pesa hakuna.
Pesa zilizokuwa mitaani zilikuwa za wizi. Badala ya kujenga hospital zilimwaga mitaani kwa watu wachache. Mnaona bara bara? Fan yenu kazi acheni uvivu
Ukimchagua shoga lisu , mkawa mashoga wote mtazipata
@@gracemima5234 kumbe nabishina na mwanamke,nisamehe kiraza mkubwa
@@chugachugambuli8879 shoga baba yako na ukoo wako mzima
@@wakishuakutokatz4737 Ukwer lazima ukuume😂😂😂🤣🤣pore yako
Siasa
Watu wako kwa zuchu na van
Subilini sanduku la kula
Kweli we kilaza, kwa jinsi hali ilivyo bado we uko ccm
Mungu wetu uliye juu nusuru taifa letu kampeni ziishe salama kwani yote yako mikoni mwako
ww mbona hata haujui matumizi ya herufi upuuzi ww?andika sanduku la kura sio kula.
@@promisetenson7258 🤣🤣🤣🤣
Tutapigia pesa sio njaa vyuma vimekaza
Kigodoro
Camera inaonyeshwa chin tu 🙄🙄
😂😂😂😂😂 aibu
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Auka. Itu
Rais wa watu
Hadi raha
😂😂😂😂
Wakwenu huyo chabema
Nimeandaa kitoa adhabu sisemi sana October, Yes Maguful
Mi magu siko pamoja nae,Kama unataka kujua nenda mahakaman,polisi na mahospital utajua,pia elimu bure wakati watoto wao wanasoma ulaya na chunguzi utawala ngazi za juu wanapeana watoto wa viongozi,madege wananunua lakn masikini hana uwezo wa kuyapanda,mtanzania fungus akili na ubongo wako kwa kina
Kwan umekatazwa kumpeleka mtoto wako shule ya kulipua?
@@wakishuakutokatz4737 uko sawa kimtizamo wako ila ukwl magu kamanda si lazma km ulivyo sema ndomana tuko tofauti na hivyo vema tuombe uchaguz wa Aman ila kuna mtu ata toka na kura za aibu uchaguz huu, lowasa aliteka sana ila huyu ata hajamfikia lowasa bado labda badae
@@wakishuakutokatz4737 wehu bana shida kwelikwei
Hapa kazi jamani hamna kitu hapo ni ili ccm tusijisahau tachape kazi mabeberu wanakutumia achia ngazi hata ubunge usingeupata urahisi ni ndoto
Naona wengi kama WAJUMBEEEE
😁😁umekosa imani nao
@@jumaramadhani1486 kabisaaa inatisha Sana wanakuamnisha kisha wanakukimbia
@@muzneali387 Kabisaa hapo ni wajumbe tu ndo wana mzuga lakn hata wajumbe wanajua kabisa maji yako shingoni 🤣🤣🤣🤣🤚🤚
Tukopamojamzewetu
Hapo tu hakuna watu je jangwani mtapaweza?
Haaaaassaaasaaaaaaaaaaa
Tutashinda hakika
Naww ulielipya kuima huo utupolo Mungu anakuona
Ufunguzi au sengeri?
Ni wivu tu. Kwan jipya lipi la kukushangaza hapo!