TUNDU LISSU, MKEWE WALIVYOPANDA JUKWAANI MBAGALA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2020

Комментарии • 134

  • @denismassawe9255
    @denismassawe9255 3 года назад +9

    Toeni Sera za maana basi watanzania wasikie mlichonacho huu sio wakati wa malalamiko ni saa ya kuuza Sera maana kwa stail hii duuuh!!! Sijui !!!!!???

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 3 года назад +4

    Jukwaa limechoooka kama nyumba ya wenda wazimu😴😴😴😴😴

  • @upendokaswiza9831
    @upendokaswiza9831 3 года назад +4

    Magu Mungu akusimamie akupiganie mpaka uzee huko

  • @stephenmseti5539
    @stephenmseti5539 3 года назад +7

    Ningekuwa na uwezo hizo ela kqmpeni mngezirudisha kwenye benki ili tukope zitusaidie wananchi maana Mqgufuli tena 2020

  • @teddyjohn5339
    @teddyjohn5339 3 года назад +2

    Hizo kampen vigodoro baba yangu JPMchapakazi baba achana nawatu wenye akili fupi...mimi namtambua Lisu ni Raia wa ubeligiji acha wajifurahishe

  • @sarahmarishay6938
    @sarahmarishay6938 3 года назад +7

    Wajinga kweli wananimalizia mb zangu halafu utumbo mtupo kweli hawana Viber eti ferstlad hahaaa tunamjuwa mama Janeth Magufuli tu shuuwaini nyie

  • @sophiaharidi4672
    @sophiaharidi4672 3 года назад

    Tupo pamoja sana kamanda✌️✌️✌️

  • @renatusfbupamba5181
    @renatusfbupamba5181 3 года назад +6

    Kuteua mgombea mlijichelewesha kurejesha fomu mkajichelewesha kwenye kampeni hamjalaza damu haya bwana Mungu awatangulie wana CHADEMA.
    #tukutane2020/2021
    #millardayo
    #tbcfm

  • @denismassawe9255
    @denismassawe9255 3 года назад +2

    Ila wakati wa lowasa mlikua na vibe kweli ila sasa hv duuuh!! Aibu tupu vibe hamna

  • @erickmapunda4231
    @erickmapunda4231 3 года назад

    Dalili co nzuri, tunaweza tukaambulia %15 ya kura.

  • @albeleenalberto158
    @albeleenalberto158 3 года назад +5

    Huyu Mama anataabu 😂😂😂

  • @godhelplatia3044
    @godhelplatia3044 3 года назад +2

    Mungu awabariki hakika inapendeza

  • @abdulabdallah8376
    @abdulabdallah8376 3 года назад +2

    🤣🤣🤣Kazi kweli kweli hamna jipya

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 3 года назад +9

    Mmmh, ni mkutano au kikao maana sielewi

  • @saleheabdalah6535
    @saleheabdalah6535 3 года назад +3

    WATU wachache sanna kwa KWELI ngoja mafuliko ya magu

  • @ModimoMendoza
    @ModimoMendoza 3 года назад +5

    😂😂😂msidanganyike na watu nyomi hata mimi ningekuwepo ningeenda kushangaa

  • @denismassawe9255
    @denismassawe9255 3 года назад +4

    Halafu pia mlikosea mahesabu yaani bora uliporudi ungejificha ili utokezee wakati wa kampeni sasa wewe umekuja na kuanza kuzunguka nchi nzima halafu hukua hata na Sera za maana zingekusaidia japo kdg sasa washakuzoea watanzania hawaoni jipya tena wale waliokua wanakuja kukushangaa sasa hv hawajui tena maana hukuwabia chchte cha maana.

    • @luluamri370
      @luluamri370 3 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣kunywa cola ....ndio maana walimalizia hasira kwa waandishi wa habari

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga4030 3 года назад +2

    Huu wimbo mbona una-reflect kwingineeee. Halafu mwisho wa kampeni mama wa watu anaishia kudhalilika. Mweee Chadema Mungu anawaoña.

  • @jacksonjohn7378
    @jacksonjohn7378 3 года назад

    Mungu aendelee kukupa uzma mtetezi wetu

  • @mweshimiwaraisshikiliahapo8405
    @mweshimiwaraisshikiliahapo8405 3 года назад +13

    Rais ni magu tuuuuuuiui we ulie tuuuuu

  • @rashidkambi3070
    @rashidkambi3070 3 года назад +6

    Hahahahaha dah yan leo tu rais amesha patikana kiulain mzee magu

  • @crispinedward3352
    @crispinedward3352 3 года назад +1

    Tundu lissu for change .......💪💪

  • @wambulamatiko9906
    @wambulamatiko9906 3 года назад +5

    Bado sijaona kama lowasa

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 3 года назад +2

    Jaman kama namuona tundu bovu vire wajumbe wamnyoa nywele mchana kweupe yaani hapo wana mzoom tu akijitapa na kuongea utopolo wake🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @ramsikhamis7083
      @ramsikhamis7083 3 года назад

      😀😀😀😀Umenifanya nicheke kiboya saanaaa m2 wanguu

    • @rahmaoman5122
      @rahmaoman5122 3 года назад

      @@ramsikhamis7083 😂😂😂😂Nakwambia hatokaa aamini watakacho mfanyia utajua asaivi watz siikama wazamani yaani asaivi washajua mbivu na mbichi hapo asione wote wamevaa sale akajua wote niwapiga kula wake hilo asahau ABADAN

  • @bongomaudaku4826
    @bongomaudaku4826 3 года назад

    Na hcho kijukwaa🤭ety ndo mleta maendeleo hovyooo kaa tulia

  • @mariumpeter6147
    @mariumpeter6147 3 года назад

    Chadema bhana hapo mmeshakunywa mnazi wenu mnajiona dunia yote yenu

  • @jullipusoe7838
    @jullipusoe7838 3 года назад

    Kama wapo kwa mjumbe Kideu

  • @batulimwasisime9160
    @batulimwasisime9160 3 года назад

    Chadema wanawake wote macho mabovu kila mwanamke anavaa miwani

  • @solomoniyakobotuwapatavizu3953
    @solomoniyakobotuwapatavizu3953 3 года назад +6

    Mweshimiwa lisu oyee

  • @khassimmisake9463
    @khassimmisake9463 3 года назад

    mvishe mkeo ushungi bn ni alama nzur kwaupande wetu pia

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 3 года назад +6

    Naona kelele tu!Subirini 28 October tutakavyowanyoosha kwenye sanduku la kura

  • @albeleenalberto158
    @albeleenalberto158 3 года назад +7

    Sema kwasababu upinzani lazima wawepo vinginevyo mngeacha tu

  • @bobuizdoli8796
    @bobuizdoli8796 3 года назад

    Maskini daah!! Hadi huruma hahhh,,Magundi oyeee

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 3 года назад

    Anavyocheza basi watu wanaumiaaa😂😂

  • @mweshimiwaraisshikiliahapo8405
    @mweshimiwaraisshikiliahapo8405 3 года назад +7

    Toa miguu yako hapo huna sera hata chembe

  • @hadijanoro5547
    @hadijanoro5547 3 года назад +15

    Magufuli baba lao

  • @dearnamypastime2435
    @dearnamypastime2435 3 года назад +1

    Mbona ni yeye imepotea

  • @janekichonge4957
    @janekichonge4957 3 года назад

    Tunataka sera siyo matusi

  • @kwambokamkisii3870
    @kwambokamkisii3870 3 года назад +6

    Chamtoto. Angalieni kule dodoma baba lao anavyokinbizaaaa. Weraaaa weraaaa

  • @simonfundi3609
    @simonfundi3609 3 года назад

    Chama cha mapumbavu mtateseka sana Chadema juuuuu

    • @stephanokanyika6321
      @stephanokanyika6321 3 года назад

      Mapumbumbavu ni chadema au ccm? Nyie ndo mtapata tabu sana

  • @cmpacomplex7981
    @cmpacomplex7981 3 года назад

    Wamenipotezea mb zangu za bure hawa....hata hoja Hawana😂😂

  • @DenrichStar
    @DenrichStar 3 года назад +3

    Mungu ibariki chadema

  • @sarahmarishay6938
    @sarahmarishay6938 3 года назад

    Aisee

  • @mweshimiwaraisshikiliahapo8405
    @mweshimiwaraisshikiliahapo8405 3 года назад +3

    Biashara zako kwishinei

  • @deograsiamgeni5716
    @deograsiamgeni5716 3 года назад

    Siasa bwana.

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir7 3 года назад

    Ikulu mtaisikia

  • @pancrasshirima
    @pancrasshirima 3 года назад

    Hata Nyie online tv mngefurushwa tu kama tbc maan mnazingua tu

  • @muzneali387
    @muzneali387 3 года назад +2

    😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @ramadhanally4207
    @ramadhanally4207 3 года назад

    HARUSI YA NANI HIYO

  • @abuubakarmohamed1615
    @abuubakarmohamed1615 3 года назад +1

    President

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 3 года назад +2

    Mnakosea kumwita makamu wa rais hata uchaguzi bado

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 3 года назад

      HATA HAELEKEI. HALI MBAYA MASIKINI. WATAWEZA KWELI?

  • @aloycekasase6630
    @aloycekasase6630 3 года назад +2

    Camera inaonyeshwa chin tu 🙄🙄

  • @salumsaleh6186
    @salumsaleh6186 3 года назад +1

    😂😂😂😂

  • @jumannekhalifa7761
    @jumannekhalifa7761 3 года назад

    Kamela mani msenge unaonyeshaje ,kamela yako mbona huitendei haki make naona unamlika miguuutu ofyo sana

  • @godfreymichael7658
    @godfreymichael7658 3 года назад

    Aibu hii bora ya lowasa

  • @africa7479
    @africa7479 3 года назад +1

    Siasa

  • @saidijafari2812
    @saidijafari2812 3 года назад +4

    Watu wenyewe wawili tu

  • @karanijunior1257
    @karanijunior1257 3 года назад

    Auka. Itu

  • @luluamri370
    @luluamri370 3 года назад

    Watu wako kwa zuchu na van

  • @adamally8791
    @adamally8791 3 года назад +1

    Kigodoro

  • @milhajiabdallah2787
    @milhajiabdallah2787 3 года назад

    Wakwenu huyo chabema

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 года назад

    Rais wa wanyonge

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 3 года назад +2

    Hapo tu hakuna watu je jangwani mtapaweza?

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 3 года назад +2

    kutokana na vitimbwi vyote lkn bado mtu nyomii
    ccm muwe makini sana vingnevyoo mnaweza kubaki mdomo waziii

    • @khalilkhusair1045
      @khalilkhusair1045 3 года назад

      Milad acha figisu mbona hujachukua camera ya juu?ili watu waonekane wachache unatumia camera ya chini tu?

  • @zawadikitime233
    @zawadikitime233 3 года назад

    Haaaaassaaasaaaaaaaaaaa

  • @salomemlagila5757
    @salomemlagila5757 3 года назад +4

    Mbona watu wachache sana hivyo yaan hapana matumaini hapo

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 3 года назад

      mbona wapo weng sanaa dada angu hukuangaalia vizur video hii

    • @physicsmathstutor.704
      @physicsmathstutor.704 3 года назад

      Ata waliopo naona wameenda kushangaa tu ata hawaelewi kinachoendelea

  • @agathamnyambwa3003
    @agathamnyambwa3003 3 года назад

    Tukopamojamzewetu

  • @hamisimussa2228
    @hamisimussa2228 3 года назад +3

    Subilini sanduku la kula

    • @wakishuakutokatz4737
      @wakishuakutokatz4737 3 года назад

      Kweli we kilaza, kwa jinsi hali ilivyo bado we uko ccm

    • @mzakirurashidi9066
      @mzakirurashidi9066 3 года назад

      Mungu wetu uliye juu nusuru taifa letu kampeni ziishe salama kwani yote yako mikoni mwako

    • @promisetenson7258
      @promisetenson7258 3 года назад

      ww mbona hata haujui matumizi ya herufi upuuzi ww?andika sanduku la kura sio kula.

    • @rahmaoman5122
      @rahmaoman5122 3 года назад

      @@promisetenson7258 🤣🤣🤣🤣

    • @florencmussa4706
      @florencmussa4706 3 года назад

      Tutapigia pesa sio njaa vyuma vimekaza

  • @kaundamwangalaba629
    @kaundamwangalaba629 3 года назад

    Rais wa watu

  • @muzneali387
    @muzneali387 3 года назад +1

    Naona wengi kama WAJUMBEEEE

    • @jumaramadhani1486
      @jumaramadhani1486 3 года назад +1

      😁😁umekosa imani nao

    • @muzneali387
      @muzneali387 3 года назад +1

      @@jumaramadhani1486 kabisaaa inatisha Sana wanakuamnisha kisha wanakukimbia

    • @rahmaoman5122
      @rahmaoman5122 3 года назад +1

      @@muzneali387 Kabisaa hapo ni wajumbe tu ndo wana mzuga lakn hata wajumbe wanajua kabisa maji yako shingoni 🤣🤣🤣🤣🤚🤚

  • @zephaniapaul4437
    @zephaniapaul4437 3 года назад

    Hadi raha

  • @kingfocustzog
    @kingfocustzog 3 года назад +1

    Wadada wa kibongo ndio wadada Pekee ambao huhitaji mume mwema wakati wakitumiwa Nauli wanakula Afu wanabebeshwa mimba na visharobaro.🤣🤣😂

  • @jacksonrabson6439
    @jacksonrabson6439 3 года назад

    Naww ulielipya kuima huo utupolo Mungu anakuona

  • @lucykileo2853
    @lucykileo2853 3 года назад +3

    Tutashinda hakika

  • @furahacleo6128
    @furahacleo6128 3 года назад +4

    Nimeandaa kitoa adhabu sisemi sana October, Yes Maguful

    • @wakishuakutokatz4737
      @wakishuakutokatz4737 3 года назад +1

      Mi magu siko pamoja nae,Kama unataka kujua nenda mahakaman,polisi na mahospital utajua,pia elimu bure wakati watoto wao wanasoma ulaya na chunguzi utawala ngazi za juu wanapeana watoto wa viongozi,madege wananunua lakn masikini hana uwezo wa kuyapanda,mtanzania fungus akili na ubongo wako kwa kina

    • @romualdmadeniromuald525
      @romualdmadeniromuald525 3 года назад +1

      Kwan umekatazwa kumpeleka mtoto wako shule ya kulipua?

    • @furahacleo6128
      @furahacleo6128 3 года назад +1

      @@wakishuakutokatz4737 uko sawa kimtizamo wako ila ukwl magu kamanda si lazma km ulivyo sema ndomana tuko tofauti na hivyo vema tuombe uchaguz wa Aman ila kuna mtu ata toka na kura za aibu uchaguz huu, lowasa aliteka sana ila huyu ata hajamfikia lowasa bado labda badae

    • @jamesmasome359
      @jamesmasome359 3 года назад

      @@wakishuakutokatz4737 wehu bana shida kwelikwei

    • @upendolaizer761
      @upendolaizer761 3 года назад

      Hapa kazi jamani hamna kitu hapo ni ili ccm tusijisahau tachape kazi mabeberu wanakutumia achia ngazi hata ubunge usingeupata urahisi ni ndoto

  • @denismassawe9255
    @denismassawe9255 3 года назад +2

    Nikajua mko wengi kama picha mliyotengeneza kumbe hamna lolote bwana. Sasa kama ufunguzi wa kampeni ndio hv mmekua wachache hv na hapo ni dar salaam nzima mko hapo duuuuh!!!! Kazi mnayo

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 года назад +2

    Ufunguzi au sengeri?

    • @namandamzuma5478
      @namandamzuma5478 3 года назад

      Ni wivu tu. Kwan jipya lipi la kukushangaza hapo!

  • @janethmurow327
    @janethmurow327 3 года назад +2

    CCM mnapata tabu kwani VIP .......nacheka kwa zarau... iz kmnt znu

    • @fancebtz1071
      @fancebtz1071 3 года назад +3

      Hata msafala Wa gwajima mkubwa luliko hata

    • @janethmurow327
      @janethmurow327 3 года назад +1

      Mtapata tabu Sana.

    • @rahmaoman5122
      @rahmaoman5122 3 года назад +2

      Mnajifariji tu subirini wajumbe watakavyo wanyoa mchana kweupe🤣🤣🤣

    • @janethmurow327
      @janethmurow327 3 года назад

      Wajumbe wapi mnasema hivyo ili badae mkishafanya yenu 😲😲

  • @wakishuakutokatz4737
    @wakishuakutokatz4737 3 года назад +2

    Hakika hali ni mbaya mtaani,yaan pesa hakuna.

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 3 года назад +3

      Pesa zilizokuwa mitaani zilikuwa za wizi. Badala ya kujenga hospital zilimwaga mitaani kwa watu wachache. Mnaona bara bara? Fan yenu kazi acheni uvivu

    • @chugachugambuli8879
      @chugachugambuli8879 3 года назад +1

      Ukimchagua shoga lisu , mkawa mashoga wote mtazipata

    • @wakishuakutokatz4737
      @wakishuakutokatz4737 3 года назад

      @@gracemima5234 kumbe nabishina na mwanamke,nisamehe kiraza mkubwa

    • @wakishuakutokatz4737
      @wakishuakutokatz4737 3 года назад

      @@chugachugambuli8879 shoga baba yako na ukoo wako mzima

    • @rahmaoman5122
      @rahmaoman5122 3 года назад +1

      @@wakishuakutokatz4737 Ukwer lazima ukuume😂😂😂🤣🤣pore yako