Hiii ingekua inaruka kwenye steshen za radio maalufu na tv au ingewekwa insta nafikili ingesaidia sana vijana kubadilika sema anahadithia vizuri kiasi unamuelewa mungu anakupenda sana na alitaka uwe funzo kwa wengine ndo mana mpk leo upo hai
@@fadhiliswalehe9286 🙄🙄🙄Kwani nani kagombana humu siye tunajifurahisha ndugu weye Ndo mshamba maana hata uelewi nini kinaendelea haya siyo masomo eti napata faida ila umenifurahisha bro😎
Kumbe waizi wako hivyo wote hata Kenya anavaa shati mbili akiiba anakimbia anatoa yajuu anaitupa watu wasimuelewee kazi mnayo mm washawai kuniibia lkn ndani alikuta ufunguo nadera yakazi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sim nilijua mm wapi niliweka
Kama umependa anavo sema
Mungu si asumani Ganga like 👍
Ameongea ukwel
Ki ukweli nimependa anavyosimulia😍
Asante kwa muendelezo, barikiwa 🙏
Thanks Davi jama anatumia Lugah ya kikorofi kweli 😅 eti kufinya mara wimbo wa taifa 🤣 halafu Davistar nae hazielewe izo Lugah
Mtu amesikia kumuwekea paipo 😄yakupumuliwa anipe like zangu , tuna ishi na msela kweli😂😂😂
Nimejitahid kuwahi leo nipen like na comment Nipate ujasir ili siku nyingine niwahi 😂 afu msiponipa like na comment uwo niushamba 🤣🤣🤣
Nishakupa😂😂😂😂😂
huyu jamaa anajua kuhadithia kama domo denda, hahahahaha sanitizer, nyimbo ya taifa
Hatar
Yaaah Domo denda
Kabisaaaa 😂😂😂😂
Tena wala hakosei yupo vzr
Alafu yuko fasta😂😂mtuhumiw anataka fegi
hapo pa kuzika hahaha hadi davi umecheka frm kenya love you moto moto story zako
😂😂😂😂daaa ni comedian kweli kweli aisee daaaa
Gongo tamu sio😄😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂amenivunja mbavu eti maiti kuendaa kituo chapolicee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haha yani nyinyi mwachezea mungu kweli
Hiii ingekua inaruka kwenye steshen za radio maalufu na tv au ingewekwa insta nafikili ingesaidia sana vijana kubadilika sema anahadithia vizuri kiasi unamuelewa mungu anakupenda sana na alitaka uwe funzo kwa wengine ndo mana mpk leo upo hai
Mchimba kaburi aingia mwenywe 😁
Daah, huyu jamaa bonge la msela, anafunguka fresh Sana, lugha za kitaa za wahuni, sanitizer, nyimbo ya Taifa hahahahaa
Eti unatembea na pesa
Alafu ujui kutumia acha sisi tukisaidie tuanze kutumia🤣🤣🤣
Inaburudisha inaelimisha pia...😂😂😂 Hachoshi kusikilizwaa...💪🤝👊👊
Good story teller
Sanitizer noma!😁😆😂🤣
😂😂😂
Santaizaaa😀😀😀😀😀
Wallah kaka wewe ni 🔥🔥🔥😂😂😂😂
I like this guy really 😂🤣😂🤣😂
Dogo lang mwenyewe siku 60😂😂😂🤣🤣🤣
Sasa walikua wezi🤣🤣😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Kama umeona ng,ombe inapita gonga like
😂😂😂mbao za two by two hahahaha
Daaah huchoki kumckiliza kwakwe lete vitu Kaka davii
Hii story ya kitabu au movie jamaa anajua kutunga story
Dah sasa hapo si ni mait inayotembea mungu wangu 🙏
2x2zakichwa mpaka anaomba sigara watu wadar mnapiga mwizivizuri nampa nasigara😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😀😀😉😉
Uyu jamaa bhana 🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀🙌🙌🙌🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kumi yenyewe Haha ulidhani pochi nene 🤣
Mm nampenda jamaa bana story yake inanoga sn maana anasemea kwa kichekesho
Kabisaa
😊😍👏🤝✋👍
Leo tunachekeshwa mno😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂san san
Sana tu
Kumbe Tz tuna wimbo wa taifa mwengine🤣🤣🤣🤣
Yani pesa nishetani kweli kirahisi tuu unafungwaa kaa pipi 🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️Subutuu
😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅 uzee ushuzi dooh
Kanz nzuri Davista
Leo na Mimi wa first born 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣fst AMA mwisho
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂first born hiyooo...Ramla umemichekesh kwel
@@ruthjohn4317 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 nile nishibe kweli dooh
S.a tupo pamoja jioni jema
Wallet kakuka shilling 10 tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu mieeeeeee. Uwiiiiiii
Yani we acha tu nimejikuta nache kama fara atari sana uyu kaka
@@fatmaalrshdii7615 yani noma duh
Hiyo sanitizer inawatuma vibaya anyway Wacheni ushirikina mwisho utawaponza🤣🤣
Jamaa anafurahisha sana
Mnooo
😂😂😂nakufunga kama pipi🍬
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zanguuuuuuuuuu
@@pilimusa7770 asikwambie mtu😄😄😄
Dah...uyu mwana ananimaliza maana nacheka sanaaaa
Huyu jamaa anakipaji kikibwaa Sana😂😂 kaka kwanini usiwe mchekeshaji ma a na duh sio kes
Mzee wa sanitizer ananifurahisha Sana yaan sichok kumsikiliza
Kabisaa
😂😂😂😂huyu kiboko
Wazee wa kufinya,we unakaa na hela hutumii sisi tunazitaka hizo tukatumie 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣💀☠️🤣
Jamaaa ana roho ya terminator aisee
Hii story nacheka mno😂😂😂😂😂
Mimi ada michozi inanitoka niko oi apa
@@fatmaalrshdii7615 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
swag zako zakibabe mwan
Fest one
Kapigwa two by two😂😂🤣🤣🤣
😂😂jamaa umejuakutu teka skill😂😂😂😂
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Anavyosimulia, mbavu zangu
🤣🤣🤣yaan kazin ucheke
Hahahahahahaha!aisee!nimecheka sana
🇰🇪📣📣📣
Jamaa anavyosimulia Kama Domo denda mm Ni kucheka tu mwanzo mwisho!!!
Part 4
Wa kwanza 😋
Acha ushamba weye Mpaka leo unagombania nafasi ya kwanza kwani yuwapata nn badilika
@@fadhiliswalehe9286 🙄🙄🙄Kwani nani kagombana humu siye tunajifurahisha ndugu weye Ndo mshamba maana hata uelewi nini kinaendelea haya siyo masomo eti napata faida ila umenifurahisha bro😎
Tuneshakula sanitizer zetu!🤣🤣🤣
nice story hahaha
Kumbe waizi wako hivyo wote hata Kenya anavaa shati mbili akiiba anakimbia anatoa yajuu anaitupa watu wasimuelewee kazi mnayo mm washawai kuniibia lkn ndani alikuta ufunguo nadera yakazi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sim nilijua mm wapi niliweka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu. Uwiiiii
@@pilimusa7770 chunga mbavu wewe hazina spair🤣🤣👈👈👈👈👈
@@nurafedrick378 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😁😁😁
Mwizii ndio nyimbo ya Taifa🤔🤣🤣
Nafwatilia 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Et upige chepe untoe😂😂😂
Wimbo wa taifa🤣🤣
Tuned 🇰🇪
Wakenya hii story ya leo szani km mnaelewa kitu mnahitaji mkalimani,najitolea kuwasaidia bure!!😆😆😆😜😜😜
@@abbyadams8691 Umeona Eee 😂😂 Hahaha nimeskia tu wimbo wa taifa na sanitizer haki please Abby you need to translate this story
Top ten
Mnawahi hata hamjaangalia du, 🤣😂🤣
Mwili wangu umecha uko Down, Mama niwekee sanitiser njigili, Vijola km vyote madoni ndiyo sisi
duh hahahaaa noma
😂😂😂🤣🤣🤣 anakoza
leo nimecheka mpaka basi
Mie zaidi😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@pilimusa7770 yani mwanzo mwisho nimekuwa nacheka
@@ashaldinho5465 😂😂😂😂
😘😘😘
Haahaaaaaa yaani nimecheka daaaah
Dhuuu, umeiba unapata buku
Ewe Mola mlezi nakuomba utulinde na madhalali ya madhalim biidhinillah utaallah
Ameen
🤣🤣🤣nyimbo ya taifa
Pili daman upooooooooooooo🤣🤣 xkuon🇪🇭🇪🇭
kitu cha witch-doctor
Davistar leo umepatijana rugha gongana apo
Makin dvstr
dondosha mzigo Mata nyimbo ZA taifa
Jamaa mtata sana huyu
Eti nyimbo ya taifa.
Mupo
Huyo mganga ni tapele
Jamani mm hapa sina mbavu
Mie hivyo hivyo. Nimecheka kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@pilimusa7770 unishindi mimi adi nalia kwa furaa
@@fatmaalrshdii7615 😂😂😂😂😂😂 yani anachekesha mno. Nimecheka balaaa
😂😂😂😂😂🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Nimepekecha nikapgilia
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama domo denda
Tuko na msela
Kweli 😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawajakuzika
Kuchelewa nayo
first born tena mtamboni