Marioo - Asante (Official Lyrics Music Video)

Поделиться
HTML-код

Комментарии •

  • @MariooOfficialMusic
    @MariooOfficialMusic  10 месяцев назад +805

    I'm here (Chart with me)

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 10 месяцев назад +93

    Nimeirudia mara zaidi ya 15 hadi nimefanya watu wengine kuiulizia ni nani? Ila napata vibe kana kwamba vile nyimbo imetoka muda mrefu vile kumbe nyimbo ndio kwanza ina siku moja ,kama umeielewa kama Mimi gonga like zifike kumi au zaidi nione ukubwa wa familia ya upendo

  • @tinnylibrary8763
    @tinnylibrary8763 10 месяцев назад +32

    Nani kama marioo mpee like zake apa

  • @neemamabiki3923
    @neemamabiki3923 4 месяца назад +16

    Hawa ndio wasanii tunaowataka congratulations brother,wimbo wa maana kabisa.

  • @charitykyalo7518
    @charitykyalo7518 9 месяцев назад +29

    2024 tunavuka na hii ngoma...asante baba kwa kila kitu😭😭

  • @havilahangie1804
    @havilahangie1804 10 месяцев назад +63

    I am blessed by this song @MariooOfficialMusic
    I graduated this year...lost my grandma this year....made my first million this year...A lot of good and bad happened and i choose to be grateful 🙏

    • @PatsonIkula
      @PatsonIkula 10 месяцев назад +3

      Pole na hongera. It's all God's plan

    • @havilahangie1804
      @havilahangie1804 10 месяцев назад

      @Patsonlkula thank you🙏

    • @kaarajunior
      @kaarajunior 10 месяцев назад

      How did you made that million bro
      I'm interested

  • @boazyebei-me9ol
    @boazyebei-me9ol 10 месяцев назад +117

    The fact that it was released on a Sunday, makes the song even more special

  • @frankedenke
    @frankedenke 10 месяцев назад +82

    Apart from the goodness, and the chill vibes the song is really inspiring ⭐❤. I'm always in love with your writing talent my brother from Tz, Kenya Represented.

  • @Innocent635-Tv
    @Innocent635-Tv 10 месяцев назад +17

    Brother nyimbo zote unazo towa zinakuwa hit song lyrics❤❤

  • @cynthiambesa4350
    @cynthiambesa4350 3 месяца назад +7

    Whoooosh! Asante Baba! Asante kwa kila jambo. I can testify God has been good to me ❤ I am grateful

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 10 месяцев назад +26

    Much love from Makkah (Saud Arabia 🇸🇦), I love my country Tanzania 🇹🇿.
    Tunakupenda marioo

  • @GoldenchipsChips
    @GoldenchipsChips 10 месяцев назад +17

    Wimbo zenye roho na uhai wa milele ndio kama hizi ❤daah safi sana ukae kwa misingi hiyo

  • @frankbinadola5816
    @frankbinadola5816 10 месяцев назад +30

    The song should be prescribed for those succeeded in their plans🎹🏝🏝📿📿🙏🙏 Thanks for this masterpiece @Marioo

  • @EdithChepkoech-f2o
    @EdithChepkoech-f2o 8 месяцев назад +8

    My whole family just wakes up singing Marioo 😂much loveee❤❤❤

  • @charityadu9879
    @charityadu9879 9 месяцев назад +12

    in Ghana Asante is a Kingdom used to be an Empire the eord Asante in Twi language means , Because of War, and in swahili asante means Thank You. Love this song especially the chorus Asante

  • @lawboymaker2999
    @lawboymaker2999 10 месяцев назад +18

    Wa kwanza like zenu❤❤❤

  • @em_vee_josh
    @em_vee_josh 10 месяцев назад +27

    The most amazing song to end the year with Thanksgiving 🥳. Thanks Marioo for this jam. Kenya is in the house

  • @Osianaibrah
    @Osianaibrah 10 месяцев назад +30

    Melody 🔥
    Lyrics 🔥
    Message 🔥

  • @ednacampbell9768
    @ednacampbell9768 9 месяцев назад +13

    Today is December 10th 2023,9:45pm in Rhode Island USA,, ,i just discovered you and your music 30 minutes ago and so far i have listened to 6 of your songs and i like them all...Beautiful voice... I'm from Liberia west Africa

    • @dr.swagztv3559
      @dr.swagztv3559 6 месяцев назад

      Woow nice Africa is our home forever let's be proud

  • @deejaykalonje
    @deejaykalonje 10 месяцев назад +5

    GOD IS GOOD ALL THE TIME!!!!!! BIG UP MARIO VERY INSPIRING

  • @jacksontimothy5530
    @jacksontimothy5530 10 месяцев назад +31

    The great way to start a chilly Sunday 🎉

  • @GuylaineKahumula-vl3mv
    @GuylaineKahumula-vl3mv 10 месяцев назад +41

    J'ai toujours apprécié ta façon de chanter Mr Mario.
    Vit longtemps mon cher ❤

  • @japhetmsafiri
    @japhetmsafiri 2 месяца назад +6

    Yeshua Akbar

  • @ShantelLarissa
    @ShantelLarissa 9 месяцев назад +26

    I just found myself crying and praying 😭😭😭,asante Baba kwa Kila ktu n weng walshndwa

  • @athumanonjula2692
    @athumanonjula2692 10 месяцев назад +16

    🎉..to the all geared fans ...unbothered wth the pain of suffering but strictly oppose the pain of regret.....as we chase for success..still give thanks to the Most HIGH...thanks marioo for this sweet jam❤

  • @joshuandunguofficial
    @joshuandunguofficial 10 месяцев назад +28

    Wooow Mario never disappoints 💥

  • @justinemagige1439
    @justinemagige1439 7 месяцев назад +4

    Asante kwa kila leo, ipi sababu ya mimi kutembea mpaka leo,ipi sababu ya mimi kuiona hii leo,ipi sababu ya mimi kuongea mpaka leo??we ndio sababu ya mimi nadunda mpaka leo! Nikukumbe kwenye raha sio nikiumwa tu ama nikiwa nashida tu! Kama nina miguu miwili umenipa mikono miwili hapa nilipo na macho naona! Mimi ni nani nisiyeweza hata kushuru mimi ni nani nisiwe na shukurani ooooh asanteeee ooooh asanteeee asante baba asantee kwa kila leooooo...25/02/2024🙏❤

  • @arabgandaempire
    @arabgandaempire 10 месяцев назад +25

    *Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*

  • @MaryJuke
    @MaryJuke 9 месяцев назад +5

    I am pure blessed by this wonderful song. Thanks for that

  • @eugenbaraka250
    @eugenbaraka250 10 месяцев назад +9

    Nimekuja mara ya 10 lyrics za hii nyimbo zinanibariki sana🙏🏾

  • @josphatibrahim4136
    @josphatibrahim4136 10 месяцев назад +6

    Marioo has a very bright future. He should concentrate his efforts in this kind of music as opposed to the Bongo Amapiano Shananigans others are tirelessly forcing down the fans throats!

  • @kondwanimwangobora7696
    @kondwanimwangobora7696 10 месяцев назад +12

    Can we take time to appreciate this guy for the talent he got and the great work he's doing, he delivers always #Baaaaaaaaaaad🔥🔥🔥🔥

  • @lightnessmbaga8222
    @lightnessmbaga8222 6 месяцев назад +3

    ❤❤❤❤ Umetukumbusha kushukuru kuliko kulalamika

  • @erycah
    @erycah 9 месяцев назад +9

    A wonderful Thanksgiving song for the end of the year ❤🙏

  • @lifewithmary519
    @lifewithmary519 4 месяца назад +2

    Asante MUNGU kwa kunipa mtoto wa kiume uzao wa kifalme, wakati nikiwa mjamzito niliumwa sana mpk kuna kipindi nilikuwa nawapigia ndugu zangu nikiona kama maisha yangu ndo yanaishia nilibadilika kila kitu nilikuwa najiangalia😢 kwenye kioo nasema huyu sio Mimi, nashukuru kunipa mwanaume ambae hakua anatoka upande wangu hata nikiwa na mashaka aliniambia utavuka, MUNGU ni mwema leo tunamshukuru MUNGU miaka mitatu ya mtoto wetu Peter, katika dunia iliojawa uharibifu wa vitu vyema na familia zenye ushuhuda MUNGU akulinde na mabaya yote baba yangu🌎🙏👦

  • @Hotensia
    @Hotensia 10 месяцев назад +35

    This song will be on repeat until 31st december❤❤❤

  • @kibinda
    @kibinda 10 месяцев назад +6

    Asante sana mwenyezi mungu kwa kumkumbusha ndugu Omari kutupa huu ujumbe wako ✍️

  • @DadaUmulisa
    @DadaUmulisa 7 месяцев назад +16

    Nice song kweli Mungu wetu ni mwema sanaaaa 💗💯

  • @nivigan
    @nivigan 10 месяцев назад +1

    AMENUNUA VIEWERS 😂😂HOW COMES AKO NA 6 LIKES OUT OF 200K AJE ??????????🤔🤔🤔🤔 EBU MNIAMBIE

  • @OthanMedia_
    @OthanMedia_ 10 месяцев назад +5

    Asante kwa hii ngoma 🙏 Mungu akuweke kwenye viwango vya juu sana... InshAllah 🤲

  • @IrakozeAlexis-x6w
    @IrakozeAlexis-x6w 10 месяцев назад +7

    Waooo much respect my brother. Love from Burundian military artist sailo soldier boy

  • @nassorissa8499
    @nassorissa8499 10 месяцев назад +7

    I am blessed with this song guys this young boy is very talented keep on going Marioo🥰🥰🥰🥰😍😍

  • @HedayaMwaitenda
    @HedayaMwaitenda Месяц назад +3

    Kwa Mara ya kwanza nimesikia huu wimbo baada ya max zingeli kuweka background
    What a blessing

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 10 месяцев назад +3

    AHSANTE MUNGU...go son

  • @billswagthapalo4658
    @billswagthapalo4658 10 месяцев назад +8

    im from zambia and no homo but marrioo can sing damn underrated artist

  • @shukuruandre6875
    @shukuruandre6875 10 месяцев назад +5

    Nipeni like zangu from 🇨🇩🇨🇩 shukurani kwa baba God💪💪

  • @chummakeup77
    @chummakeup77 10 месяцев назад +33

    Asante MUNGU kwa nafasi nyingne 🙏🏼Asante kwa wakati huuu asante cha maumvu😢kwa furaha🙏🏼kwa kunipa maadui na wanafki ili nijifunze asante

  • @leahwanjiku5466
    @leahwanjiku5466 10 месяцев назад +12

    You are not pregnant but you deliver, much love from Kenya ❣️🥰❣️❣️🥰

  • @johnmuli4015
    @johnmuli4015 13 дней назад +1

    nikukumbuke kwenye raha sio nikiumwa tu ama nikiwa na shida tu🤗🤗

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w Месяц назад +1

    ❤ ASANTE MUNGU wangu 🙏NAKUSHUKURU ila hii nyimbo umewagusa wengi broh mario

  • @djwenz
    @djwenz 10 месяцев назад +7

    This will be a major hit next year, more than 30m views next year.. 💥💥💗💗🇰🇪🇰🇪

  • @Hotensia
    @Hotensia 10 месяцев назад +5

    Bad❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @marymushi5938
    @marymushi5938 7 месяцев назад +3

    Mimiiii ni yupiiii nisiewezaaa, nisijeuaaaa hata shukurani❤

  • @Allybest5official
    @Allybest5official 3 месяца назад

    Nice work

  • @EsterSowoy-ud3xf
    @EsterSowoy-ud3xf 10 месяцев назад +1

    Iv kwa mfano akatokea Mt bong anafany mzk wak kwa saut y marioo tutaichukuliaj hii

  • @RoseThomas-n2y
    @RoseThomas-n2y 10 месяцев назад +3

    Mwimbo mzur sana

  • @FauxmadaOg
    @FauxmadaOg 10 месяцев назад +4

    Zinga Tia Sana kushukuru🎉🎉

  • @essaywolf
    @essaywolf 10 месяцев назад +19

    I listened to this song yesterday and I played it throughout the night.
    Leo nimerauka church after a very long time.
    Thank you for this treasure Marioo

  • @oliverabwoga8602
    @oliverabwoga8602 24 дня назад +1

    I'll leave this comment here so as when someone likes it I'll be reminded to give thanks to the Almighty ❤

  • @gibbstuvahtheegibbs7530
    @gibbstuvahtheegibbs7530 10 месяцев назад +2

    Nice one Marioo

  • @jaelkitwa1621
    @jaelkitwa1621 10 месяцев назад +6

    Harmonize single again 🔥

  • @StewartMwanjala-n9e
    @StewartMwanjala-n9e 9 месяцев назад +3

    Great job Marioo❤

  • @tanzaniakenyacelebrityarti5280
    @tanzaniakenyacelebrityarti5280 10 месяцев назад +3

    @marioo❤ bad nation like 😊

  • @Benxon-hc3kr
    @Benxon-hc3kr 10 месяцев назад +2

    Ngoma kali

  • @rakossrakossbrown8715
    @rakossrakossbrown8715 10 месяцев назад +2

    Kali ya week ❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @adamsiyame2748
    @adamsiyame2748 10 месяцев назад +3

    Asante God 🎉🙏

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 10 месяцев назад +6

    Today is sunday the day to worship and thank GOD ❤ this for this hit man.

  • @Dr_Cayden_Official
    @Dr_Cayden_Official 10 месяцев назад +7

    BAD I'M HERE NOW❤
    COMING SOON 💿🎵

  • @dushimenick3160
    @dushimenick3160 10 месяцев назад +1

    ♥️🎶🌍🙏🏽

  • @JosephLutambi-pe5zz
    @JosephLutambi-pe5zz 9 месяцев назад +2

    Nakubali xanaa marioo unanipafura kila nyimbo

  • @AlexBANDA-xj4ex
    @AlexBANDA-xj4ex 10 месяцев назад +7

    Marioo is always on point . Asante🙏🔥

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 10 месяцев назад +9

    Marioo never disappoint 🔥🔥🔥

  • @SAMWELI1995
    @SAMWELI1995 10 месяцев назад +8

    Wow,this Asante song is a vibe💯🙏

  • @atupelemsago2761
    @atupelemsago2761 9 месяцев назад +1

    You are my broo nakukubal Sana marioo :careen kutokea pande za dar

  • @RehemaMaumbi-ic2kn
    @RehemaMaumbi-ic2kn 10 месяцев назад +2

    Nice brother

  • @gracetvonline3001
    @gracetvonline3001 10 месяцев назад +6

    Nipeni like kama una Mkubali Marioo❤😢

  • @shaddywanni
    @shaddywanni 10 месяцев назад +2

    #Diit 🗣️
    Ni Moto 🔥🔥🔥
    Supported 👉 Shaddy Wanni

  • @stevenbasesa1746
    @stevenbasesa1746 10 месяцев назад +5

    Akitoka diamond,harmonize,nafasi ya tatu ni yako mkuu.. big up sana

  • @floramarco255
    @floramarco255 10 месяцев назад +2

    Thanks to God 🙏

  • @YohanaMwitagula-zj9cs
    @YohanaMwitagula-zj9cs 10 месяцев назад +1

    Kakar kazi nzuri sir good akublexx san

  • @yahayabakari9387
    @yahayabakari9387 10 месяцев назад +5

    It is rudiculous when you see marioo singing ❤

  • @kokijabbyofficial
    @kokijabbyofficial 10 месяцев назад +4

    i just approved the song without payments...😅😅the song is just amaizing

  • @BenaVictor_254
    @BenaVictor_254 10 месяцев назад +2

    Kali sanaaa🔥💯🙌
    I've been listening on repeat since yesterday ✨

  • @rafikiwamarioo7450
    @rafikiwamarioo7450 10 месяцев назад +2

    Nzurii

  • @ShokoaMjape-l3q
    @ShokoaMjape-l3q 10 месяцев назад +1

    Nakubali Mariooo hubahatishi vitu zako

  • @EdgarSamwel
    @EdgarSamwel 10 месяцев назад +4

    Bad killed it 🔥🔥 very emotional

  • @kelvinashiely5488
    @kelvinashiely5488 10 месяцев назад +6

    Marioo to the world ❤

  • @Mikekings-k5p
    @Mikekings-k5p 10 месяцев назад +5

    Wow good music ❤❤❤

  • @swalehathumanisembwana7222
    @swalehathumanisembwana7222 6 месяцев назад +1

    Song hili limenifanya nizidi kuwa jasiri nakuzidi kukushukuru MUNGU wangu Kwa kila jambo

  • @rafikiwamarioo7450
    @rafikiwamarioo7450 10 месяцев назад +1

    Kali sanaa

  • @ElizaDanniel
    @ElizaDanniel 4 месяца назад +5

    asante kwa wema wako my God

  • @GrâceNdayizeye-q3t
    @GrâceNdayizeye-q3t 9 месяцев назад +4

    Nimeipenda sana kwl iko bien sana muda mwengine tunastahili kukaa tunafkiria kiasi gani mungu anatupenda❤❤ubarikiwe bro unatufukish pengine

  • @jacintamutanu
    @jacintamutanu 10 месяцев назад +6

    Marioo you never disappoint ❤😊🎉

  • @ndavukaisamwel1125
    @ndavukaisamwel1125 10 месяцев назад +1

    Marioo congrats

  • @irenejames1485
    @irenejames1485 18 дней назад +1

    Safi sana marioo❤❤❤❤❤

  • @FrankNgolu
    @FrankNgolu 10 месяцев назад +5

    Aaaaah Marioo wewe unajuwa sana kuimba sana Mungu akubariki zaidi sana

  • @IrinaDanilova-x9d
    @IrinaDanilova-x9d 10 месяцев назад +9

    Я не понимаю о чём поется в песне, но мне нравится ваше исполнение. Спасибо ❤

    • @khonan5736
      @khonan5736 10 месяцев назад +2

      He's talented

    • @Ammarloliso
      @Ammarloliso 10 месяцев назад +1

      Ubarikiwe 🎉

    • @lovenessvisent9408
      @lovenessvisent9408 10 месяцев назад +2

      Kama ulivyosema Asante ndio jina la wimbo huu

    • @VintanDismas
      @VintanDismas 10 месяцев назад +2

      WiFi ya bure inakuchanganya

  • @ObwogeMeshack
    @ObwogeMeshack 10 месяцев назад +4

    This is a real blessing from God ❤❤🇰🇪👍🔥💯

  • @QueenAntony-l4z
    @QueenAntony-l4z 10 месяцев назад +1

    Unanikuna sana na nyimbo zako

  • @esthermakeupstudio9754
    @esthermakeupstudio9754 10 месяцев назад +1

    inabidi ushukuru san broo nakukubaliga sana