Hahaha noma sana 🙌 Kaka naomba tupe moja, Unakwenda kama Nishai alafu ni dereva wa magari makubwa(TRACKER) Congo, Zambia, nk…ambae hajatulia kwenye ndoa yake. Naamini na hii itakuwa noma sana
Hizi ndio tunapendaa...achana na zilee unavaa mavazi ya wanawakee Huwa natamani unirudishie bando ..ila kama hizi nzuri ..weka namba nikutumie buku la SODAAA apo😂😂😂🎉🎉
Kama unamkubali JOTI kutoka kenya naomba like yako
Nilijua tu mambo yange haribika mwishoni 😂😂😂 joti mtu wa hovyo sana
😅😅😅😂❤
Tatizo joty unafeli kututenga yan wewe na mwarabu mnanipasuagakichwa kinoma wamwisho wapili 😂😂❤
Andunje mshenzi kweli😂😂😂😂
😂😂😂 huyu kachizi
Ongeza dakika basi mwanangu jotiii
Andunje Burundi tunampenda sana
Joti mungu akubaliki Sana, unanifurahixha Sana kaka🎉❤
Joti kaenda vizuri tu, mwishoni kaharibu kumchoma mzazi
Baba na Mtoto wote waongo😂😂😂😂
Wamwisho wapili
&😂
Hata Zero napata
Ila joti mungu akupe maisha marefu
😊😅😮😢🎉😂❤ umetishaaa mwambaaaaasss jotiiiiiiiiiuiii babaaaaaaass
Mwanafunzi mwenye ndevu 😅😂
Hahaha noma sana 🙌
Kaka naomba tupe moja, Unakwenda kama Nishai alafu ni dereva wa magari makubwa(TRACKER) Congo, Zambia, nk…ambae hajatulia kwenye ndoa yake. Naamini na hii itakuwa noma sana
Cjachelewaaa sanaa leooo , nimewahiii
Baba mlewa shewele 💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥
Brooo jot umetisha sana
Leo nimekuwa wa 45😂😂 haya VITA YA ADA ILA ANDUNJE JAMANIII 😂😂ILA JOTI KILA SEHEMU YUPO VIZURI 😂😂
Yupo nyuma ya shule hajaenda Dodoma😂😂😂
Eti wa mwisho wa 2😂😂😂 baba naye number nzuri iyooo😂😂😂
Joti mbona mapema hivi 😅
S.M.G semi machine gun🤣
Baba nae muhuni eti namba nzuri hiyoo
Duuh suala la ada linatisha balaaaa,wanaume tuungane kwenye hili
Muungane kufanya nn sasa watoto s mmezaa wenyewe
Yes sure@@nancyfantasia1945
@@nancyfantasia1945😂😂😂
Yes sure@@nancyfantasia1945
@@nancyfantasia1945😂😂😂 hapo sas,zaa watot unaweza kuwalea
Kaka we 🔥🔥🔥
Joti noma sana sio kuchekesha tuu ila kuna funzo😂😂
😂😂😂😂 toto jinga kabisa peleka likawe konda
😂😂😂😂😂joti
Hapo baba umempataaa hahahhaaa
😂😂😂😂 Anduje kiazi sana eti watishe hawo hapo
wamwisho wapili
lidingi: nzuri hiyoo
🤣🤣🤣🤣
Watishe ña hao apo😂😂😂🙌
Hata zero ni namba😂
Ada imerejea mashulen mpaka bas
Nishai mtombangile kitwango mikazo miguno tupo pamoja from Dodoma bungeni
Good Work Mr Joti
Joti unatua matumbo❤❤🎉🎉🎉👍👍👍
Wanaovaa Hizo Nguo Za Blue & White Elimu Si Bure Ada Inahusikaje sasa hapo 😂😂😂
Dak 5 tu..huo ujinga boya wee..
Joti amna kitu daha 😅😅😅
Etii watisheee
Hizi ndio tunapendaa...achana na zilee unavaa mavazi ya wanawakee Huwa natamani unirudishie bando ..ila kama hizi nzuri ..weka namba nikutumie buku la SODAAA apo😂😂😂🎉🎉
ruclips.net/video/3K3LRGqQljw/видео.htmlsi=f8NSlH8oCqY6YdOV❤
Mtumie mpenzii wako kwanzaa 😂😂😂
@@malemajaneth4092😂😂😂😂😂 au bas
@habibaalfarsy739 ahahaha 😂 🤣 😆 😅 😄
Wazi chagua Moja dada shughuli
😁😁😁Ada lakini❤❤❤
😂😂😂😂😂 Ijumaa kareem
Hela wamemaliza kwenye sherehe za mwaka mpya😂
Ila andunje et wa mwisho wa pili😂
ruclips.net/video/3K3LRGqQljw/видео.htmlsi=f8NSlH8oCqY6YdOV
Mi nixhammisss kiboga hahahha
ruclips.net/video/3K3LRGqQljw/видео.htmlsi=f8NSlH8oCqY6YdOV
😂😂😂😂😂kazi kweli kweli😅
Wamwisho wapili😂😂
Andunje ww😂😂😂
Dogo anazinguwa huyu 🤣🤣🤣🤣
Mimi naomba munijibu:KWA WATOTO HAWASOMI BURE TANZANIA?
Wanasoma bure
Labda kwa shule za private
@@josephinekazikuboma2897 asante sana kwa majibu ndugu yangu.
@@josephinekazikuboma2897hakuna cha bure wanaagizwa vitu kibawo..Sema Mama samia kasem wasio wanarudishwa nyumbn
Wanasoma bure shule gani juu Mimi nasomesha na Ada nalipa
Wanasoma buri Kwa shule za serikali na Kuna michango mdgo midgo
Joti Daimaa unatoa kazi Njemaa
motto wa
Baba
😂jotii
NANGAAAAAAAAAA🎉🎉🎉🎉
"Tunatafuta kazi serikalini tukijua ela hzitutoshi" Sasa hapo jiongeze kidogo kwa maana mbuzi hula urefu WA kamba yake
Joti never disappointed 😂😂Much love from USA❤
WA Kwanza Mimi Leo
Tafuta hela
Eb lala😂
Andunje Hana akili😅😅😅😅
Joti fundi wa😅😅😅
ruclips.net/video/3K3LRGqQljw/видео.htmlsi=f8NSlH8oCqY6YdOV
Joti mambo ya ende VIZURI HADI MWISHO KISHA as ya haribu,::huyo SIe joti la zima MWISHO mambo Aya haribu
Kasheshe😂😂😂😂
wanasoje bule na hzo bukubuku watapata mda gam....
Kama unamkubar anduje weka like apa
أللهم إني أعوذبك من البرص والجنون والجذام ومن سيء ألقسام
ألسقام*
Joti 😂😂😂😂
Good good 👍🏾
ruclips.net/video/3K3LRGqQljw/видео.htmlsi=f8NSlH8oCqY6YdOV
joti ms ng
Dakika zinakwenda dakika
😊😊😊😊😊
Nimeona huruma Baba anakula kachori ila anapambana mwanaye asome ila mtoto mshenzi sana
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪
Mimi ndio yule mtoto wa haki elimu
Mwanafunzi gani kasuka? Alafu hata siyo international school
Joti vaa uhusika punguza mazoea
Joti,❤❤
vita "vya" ada
Kumbe kutoka dar had dodoma unaenda kwa miguu tu tena dakika 😂😂😂😂😂
Boooomboocraaa
ruclips.net/video/3K3LRGqQljw/видео.htmlsi=f8NSlH8oCqY6YdOV
Sana
Ambao tunagalia huku tukinywa chai tujuane
Haha😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂🙌🏻
Weeh kweli ni vita ya ada😂😂
Wa mwisho wa pili 😂😂😂
🔥🔥
Watu WA system
cro or crwling
🤣🤣🤣🤣
ruclips.net/video/3K3LRGqQljw/видео.htmlsi=f8NSlH8oCqY6YdOV
😂😂😂😂😂😂😂🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Jamn wapil Leo like old na mazawad
Unataka kushenyetwa ama tulishakubaliana wanaomba like wanatoa jicho😂😂😂😂
Baki home wenzako wakielewana na wazaZi wao waseme uongo wewe hutaku
😂
joti 🎉
😅😅😅😅😅😂
Kwa kwanza
😂😂😂😂
😅😅😅