BAKHRESA HAJATAKA KUMUACHA NYUMA HARMONIZE AMPA ZAWADI HII KUBWA ILIYOWASHANGAZA WENGI/WCB WATAKOMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #SUBSCRIBE
    KWELI MUNGU NI MWEMA!! HARMONIZE APATA ZAWADI KUBWA KUTOKA KWA BAKHRESA MUDA HUU/WCB KWISHA HABARI

Комментарии • 106

  • @janviermihigo1641
    @janviermihigo1641 2 года назад +12

    ni akili inatosha Wana konde wanayo akili nyingi

  • @christinachriss9231
    @christinachriss9231 2 года назад +8

    Kwani akiimba bure inawauma nini,huu ni mwaka wake bwana

  • @gaalosmwampinga1175
    @gaalosmwampinga1175 2 года назад +1

    Ninacho sema maneno ayauwi muacheni ticha apige kazi yake kama inavo takiwa nasi kama washabinki wake tunasem hivi atukati tama tutamsapot mbaka mwisho wa mziki wetu wa konde geng amani sana niite garis mwapinga au ivo ivo 2 konde geng mafinga karibu sanaa bay bay

  • @fatmajames4342
    @fatmajames4342 2 года назад +8

    Anatumia akili kwanza huyu jamaa ni hatari

  • @cristianorobath42
    @cristianorobath42 2 года назад +6

    Mwaka wake tuu.

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo8993 2 года назад +5

    Kazi zuri ina jiuza siyo kutaka kubunja ndoa zakina lulu uyo siyo sadala uyondo mwenuewe harmonize mwenye mashahirizake 🐘🐘🐘🔥🔥🔥💪💪💪

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 2 года назад

      ☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️💪💪💪💪💪

  • @feristerjames4522
    @feristerjames4522 2 года назад +3

    Na wao watafute ubaloz

  • @habibuspeny3371
    @habibuspeny3371 2 года назад +2

    BAHARESA haitajikuimbiwa nyinyi

    • @yustomlay675
      @yustomlay675 2 года назад

      Kweli barakhesa anaga uo ujinga mnaongea ongea uyu mzee hanaga tabia za kishenzi shenzi ni mzee heshima kabisa

    • @officialljokamctz7034
      @officialljokamctz7034 2 года назад

      Point Yako Iko wap

  • @simonasimiyu5274
    @simonasimiyu5274 2 года назад +5

    Wimbo uko sawa bro

  • @cecyiddi6576
    @cecyiddi6576 2 года назад +4

    Konde gang for everybody 💪💪💪💪

  • @bornifacecharles2
    @bornifacecharles2 2 года назад +2

    Kwani linawaumann hilo tangazo labure

  • @martinsdomingos73
    @martinsdomingos73 2 года назад +3

    harmonize nimakonde-ataly-sana-daimond-anakonda-sasa

    • @zachaamaster5378
      @zachaamaster5378 2 года назад

      #yakonde kwakipi watu wengine kama mnafirwa nababazenu wasenge nyie uwezi mondi kumfananisha namapaka awo machoko nyie

  • @rashidilewa2581
    @rashidilewa2581 2 года назад +2

    Daaaah, kwa kwelii jeshii kila afanyaloo ni zitoo , he neverdisappoint ak, I like his character,,,, yaaani jeshiiiiii, for really needs respect and appreciations,, the vocals reaches the depot, 🔥📛👩‍🚒

  • @joelntiranyibagira7960
    @joelntiranyibagira7960 2 года назад +3

    Sisi wadawu wa jeshiiii tunafurahi

  • @hakimshamte2851
    @hakimshamte2851 2 года назад +2

    Broo unajuwaxana natamanixana sikumoja tuonane broo

  • @mwaissamtumbady5345
    @mwaissamtumbady5345 Год назад

    Ckuzote nilisema Diamond platnumz hakuna atakae mshinda but harmonize Konde boy Nikiboko 🦛 Ya Ya All super star ✨

  • @mustafanamtonya22
    @mustafanamtonya22 2 года назад +3

    JEShiii hakosei🙌🙌🙌

  • @kajinjirashid5590
    @kajinjirashid5590 Год назад

    King poo tv..u take too much time xplaining simple thing..change guys...go straight to the issue or story..save time bro.. repeating..simple story..

  • @fettymshindo1642
    @fettymshindo1642 2 года назад +2

    Nampenda Sana mjesshiiii❤️❤️❤️

  • @genwinshirima6033
    @genwinshirima6033 2 года назад

    Kaka harmonaize mimi nipo aruxha usaliva naitwa Devis mitaji juma tafadhali naomba san kak isipuuzie tafadhali niko napitia maixha magumu lakin kaka naomba nisaidie plz sinakaz yoyot naomb nisaidie kak hata ukinisaidia kazi yoyote iyo nitafanya kak

  • @joelntiranyibagira7960
    @joelntiranyibagira7960 2 года назад +2

    Jeshiiii harmonize unaweza

  • @diegochelsea9014
    @diegochelsea9014 Год назад

    Kifupi anajipendekeza ila sio v baya kujiweka karibu na bossss

  • @jamwasike5189
    @jamwasike5189 2 года назад +1

    Hii si the same car empaaaa Kajala jameni!!!????

  • @tonnymasizi3331
    @tonnymasizi3331 2 года назад +3

    🙏🙏🏻🙏🙏🏻🙏🐘

  • @vitallepetit-li7xy
    @vitallepetit-li7xy Год назад

    Gari nzuri kwa jeshi,endelea baba usirudi nyuma

  • @noelkabaila3284
    @noelkabaila3284 2 года назад +3

    🐘🐘🐘🐘🔥🔥🔥

  • @clintonbrighton9699
    @clintonbrighton9699 2 года назад

    Mm naitwa brayton nipo tabata namkubal sana hamor

  • @abdullabdalah574
    @abdullabdalah574 2 года назад

    Hamoniz ni msanii huo ni Ubunifu aliokuanao

  • @alfansaid3381
    @alfansaid3381 2 года назад +1

    Harmonize the king tz

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Год назад

    Maneno mengi !
    Wala hakuna la maana.

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 года назад +2

    Sasa atafanyaje akiimba vieers hapati..shoo hazijai..amefikia Hadi kuimba ktk viwanja vya shule tabata watu hawaingii. Sasa hela kununulia gari la maana atalipata wapi.
    Kamuimbia bosi kuu kapewa gari...mwakani atamuimbia Mo atapewa nyumba maisha yanakwenda

  • @mishekmasila2746
    @mishekmasila2746 2 года назад

    Good deeds are always rewarding. Big up bro Harmonize bakheresa ni ushauri tosha SI sifa pekee at mi nikifanikiwa nikiwa 254 nitafuata nyayo za bakheresa

  • @ndriipatis9057
    @ndriipatis9057 2 года назад +1

    Konde ni Genius.

  • @fuadshell5188
    @fuadshell5188 2 года назад +1

    Harmonize golden boyAlways the best.konde gang forever

  • @hasani9586
    @hasani9586 Год назад

    Hotmonize hatariiiiiiiiiiiiiiii

  • @guccinemwel
    @guccinemwel 2 года назад

    harmonize ako sawa...aendelee kupiga kazi safi hivo

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 года назад

    Wewe mtangazaji pumba kwelikwa nini ampe pesa kwenye bag asifanye bank transfer??

  • @RonaldSings-cg6rx
    @RonaldSings-cg6rx Год назад

    Congratulations 🎉

  • @mussabuildingpempegroup6766
    @mussabuildingpempegroup6766 2 года назад

    Wee nae kumbe gala sana

  • @crayzyescrazy9295
    @crayzyescrazy9295 2 года назад

    Kuma wewe elekwa mada

  • @aubreychuma5449
    @aubreychuma5449 2 года назад

    Kwenda huko

  • @ommymichael3053
    @ommymichael3053 2 года назад

    Akuna kitu apo

  • @mohamedmacha
    @mohamedmacha 2 года назад +1

    Ndugu mtangazaji unazingua, maneno hayanyooki, unachanganya L na R, thamani/samani... N.K
    Kama unaishia hapa ni sawa. Lakini kama unataka kifika mbali, jipange

    • @KingPoTv
      @KingPoTv  2 года назад +1

      Saafi nitakupa chance uwe mwariri wangu

    • @mohamedmacha
      @mohamedmacha 2 года назад

      @@KingPoTv tunaanza lini King poo?

    • @saleemadhiyabalkhatri7800
      @saleemadhiyabalkhatri7800 2 года назад +1

      @@KingPoTv hampendi ukweli lugha inakupiga changa r na l inakupa shida sio balesa bakharesa au story sio stoli niaibu lugha yako na huijui

    • @oii6zlaboshelby17
      @oii6zlaboshelby17 2 года назад +1

      Mohamed usimlaumu sana Watanganyika hawawezi kutangaza lunga ya kiswahili kwa ufasaha ingawa wanaona kama kiswahili kimetokea Tanganyika .

    • @mohamedmacha
      @mohamedmacha 2 года назад

      @@oii6zlaboshelby17 Sawa ndugu.
      Kuwepo kwa sehemu ya kutoa maoni hapa ni nafasi ya msomaji kutoa maoni. Hivyo basi, tutarajie kupokea maoni tofauti ila yakiwa na lengo la kuboresha

  • @shukurumasantura3643
    @shukurumasantura3643 2 года назад

    I am very good

  • @ValentimJide-wk2qw
    @ValentimJide-wk2qw Год назад

    Good🔥🔥🔥🔥🔥

  • @franksimfukwe8764
    @franksimfukwe8764 2 года назад

    Uongo mtupu

  • @hafidhmajengo1451
    @hafidhmajengo1451 2 года назад

    Bata sana.

  • @doctorkimbunga1606
    @doctorkimbunga1606 2 года назад

    Kuma

  • @yusuphhassan8281
    @yusuphhassan8281 2 года назад

    We kichaaaaa

  • @kacheboymusician969
    @kacheboymusician969 2 года назад

    Kuma nyie

  • @speedbaba3211
    @speedbaba3211 2 года назад

    Kazinzuri

  • @paulrobert624
    @paulrobert624 2 года назад

    Akiri akiri

  • @wemaally5011
    @wemaally5011 2 года назад +1

    ongera sana wacha waseme

  • @talibanbeka2641
    @talibanbeka2641 2 года назад

    Jeshiiii

  • @yahyashaibu23
    @yahyashaibu23 2 года назад

    Tembo

  • @masizitony9800
    @masizitony9800 Год назад

    Ok ok

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 года назад

    Mimi mwenyewe namtafuta harmonize anigawie pesa lakini nadhani hatambui watu malofa

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 2 года назад

    Pesa haibebwi hivyo km mnatoka kununua jeans karume,,

  • @hatungimanathierry3417
    @hatungimanathierry3417 2 года назад

    BaKhrsa tuko nyuma yako and front of jechi ni jechi

  • @danny-boydaniel1274
    @danny-boydaniel1274 2 года назад

    Like

  • @salumuledy8682
    @salumuledy8682 2 года назад

    Bg up

  • @kotongomunkupahlombe8169
    @kotongomunkupahlombe8169 2 года назад +1

    💥🐘🐘🐘🐘🐘🔥🔥🔥💪💪💪💯🌴

  • @innocentbugobola2234
    @innocentbugobola2234 2 года назад

    Pumbav 😂 toa Maneno ya Kuambiwa au kuibiana mb tu .....

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 2 года назад

    Hapo ni Biashara inaendelea zaidi ya Biashra but hacha maisha yaendelee ukipata chance pambania wakati ni ukuta
    Salute kwa mwana Harmonize

  • @nbtsband4020
    @nbtsband4020 2 года назад

    pôle Sana kwawana wcb watamuoneya gère kond

  • @jeremiekambale23
    @jeremiekambale23 2 года назад

    Nani hajuwe Tena sii uni mwaka wake bwana

  • @reddysanois
    @reddysanois 2 года назад

    Hamonaize kwa kweli mwaka awke uhu

  • @orestemanenomaneno7726
    @orestemanenomaneno7726 2 года назад +1

    🔥🔥🔥🇲🇿

  • @enockokunja4420
    @enockokunja4420 2 года назад

    Diamond wcb wachafu sai c wasaf n wachafu

  • @monicaalbano6785
    @monicaalbano6785 2 года назад

    Nanzikubali sana nyimbo zako

  • @giftzixiboymsambya2734
    @giftzixiboymsambya2734 2 года назад

    Akili nyingi sana teacher wa ma teachers

  • @oswaldmikawa3541
    @oswaldmikawa3541 2 года назад

    Mwendo wakunyoosha2

  • @methuselamarco7108
    @methuselamarco7108 2 года назад

    Fala we

  • @tonicroos2052
    @tonicroos2052 2 года назад

    Nimshamba tu uyo broo

  • @jacksonalex6366
    @jacksonalex6366 2 года назад

    Of nampenda

  • @mghassan6217
    @mghassan6217 2 года назад

    Lazima wa2bu

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 2 года назад +2

    Hivi kuna tangazo LA biashara gani alilofanya? Matangazo ya biashara tunayaona lakini hiyo nyimbo imezungumzia MTU na sio bidhaa yoyote. MTU analipwa Kwa kutangaza biashara Fulani Kwa mkataba maalum .Bakhresa anapatikana kirahisi hivyo??

  • @innocentdioniz7077
    @innocentdioniz7077 2 года назад

    Nyiee niwaongooo mbwa

  • @atufigwegedavid6123
    @atufigwegedavid6123 2 года назад

    Big up dogo hamo.

  • @kelvinmassawe4070
    @kelvinmassawe4070 2 года назад

    Safi sanaaa konde geng

  • @hamisimuta5190
    @hamisimuta5190 2 года назад

    Nice

  • @alvinkyalo8679
    @alvinkyalo8679 2 года назад

    🔥Kondeboy🔥

  • @charlesmatesorehani5012
    @charlesmatesorehani5012 2 года назад

    Acana na WCB

  • @shaibundunduru9890
    @shaibundunduru9890 2 года назад

    Loves my brother

  • @dorachalesi7479
    @dorachalesi7479 2 года назад

    🔥🔥🔥

  • @okaladizeafroman3332
    @okaladizeafroman3332 2 года назад

    Blessed tembo

  • @cyrusasila9259
    @cyrusasila9259 2 года назад

    🐘🔥🔥🔥

  • @dollydolly9778
    @dollydolly9778 2 года назад +2

    Congrats harmonize 🔥

  • @oii6zlaboshelby17
    @oii6zlaboshelby17 2 года назад

    Nyimbo ya Bakharesa ni fumbo la Diamond tatizo watu wengi hawajui maana ya Msaanii , ni mtu anaetumia lugha ya mafumbo . Nyimbo haikuimbwa kuwa kumpromot Bakharesa wala kutafuta usponsor bali hile nyimbo ni fumbo tena ni la Diamond , ila tu ndo ishakwendea upande wa Bakharesa kwa sababu jina la nyimbo ni lake yy lkn ukiisikiliza kwa makini hii nyimbo ni fumbo bhana . Hakumuimbia Bakharesa hii imetokezea watu kufahamu hivyo tu

  • @amourharoub1160
    @amourharoub1160 2 года назад

    Huyu jamaaa kweli pimbi sasa nd muamini kua huyu anaishi kw kivuli cha diamond Dangote, miaka mingi linajulikana nayy anajita bakharesa hahahahaha