UTATOKWA MACHOZ! MGANGA ATOA HISTORIA YA MAISHA YAKE YA KUSIKITISHA UTAMUONEA HURUMA/NILICHOMWA KISU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #SUBSCRIBE

Комментарии • 55

  • @zubeydazubeyda804
    @zubeydazubeyda804 2 года назад +5

    Mustafa pole sana. ALLAH KAREEM🇰🇪

  • @hidayajuma3068
    @hidayajuma3068 2 года назад +2

    Pole sana musitafa usikate tamaaa

  • @sulumashaaban4407
    @sulumashaaban4407 2 года назад +5

    Pole sana bro Allah akuongoze kaka mustapha

  • @hidayajuma3068
    @hidayajuma3068 2 года назад +2

    Pole sana musitafa usikate tamaaa

  • @dorcasofficial1698
    @dorcasofficial1698 2 года назад +2

    Poleni sana musta iposiku utafanyikiwa

  • @lukmanihussain6981
    @lukmanihussain6981 2 года назад +2

    Pole sana

  • @adijashaban4793
    @adijashaban4793 2 года назад +4

    Pole sana never give up my brother 🙏

  • @jackyjacky2046
    @jackyjacky2046 2 года назад +4

    Don't judge the book by its cover pole sana mustafa

  • @alicewanyanya279
    @alicewanyanya279 2 года назад +1

    Pole sana kaka with God everything is possible and never give up

  • @estherbatumike2495
    @estherbatumike2495 2 года назад +1

    Pole sana never give up Mustafa mungu ata kusaidiya

  • @abednegokioko2685
    @abednegokioko2685 2 года назад +3

    Pole Sana aise Mwenyezi Mungu akupe neema , baraka na Maisha yenye mafanikio

  • @stellawanjiru4278
    @stellawanjiru4278 2 года назад +2

    Mganga alisema eti aliridhi uganga kwa babu so hizi story ni fake

  • @francoisemashimango8177
    @francoisemashimango8177 2 года назад +1

    pole sana kaka yangu Mungu azidi kuwa faraja kwa maisha yako neema ya Mungu ikuangaziye sana

  • @roydahnachona1594
    @roydahnachona1594 2 года назад +3

    Pole sana mustafa

  • @hazrathassan1134
    @hazrathassan1134 2 года назад +3

    Dah pole sana kaka

  • @aliciakerubo9657
    @aliciakerubo9657 2 года назад +2

    Pole sana kaka mungu atakusaidia katika maisha yako yote in Jesus name 🙏

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 2 года назад +3

    kazi ya bodaboda ni stress maisha Yako unaiweka kwa Mungu

  • @mariamdama7892
    @mariamdama7892 2 года назад +2

    Pole sana

  • @mpmp3195
    @mpmp3195 Год назад +1

    ☹️☹️😭😭😭😭😭Wallah.pol sana

  • @totooz5853
    @totooz5853 2 года назад +1

    Pole sana mustafa..ukiona mtoto wa kiume yuwalia jua kaguswa..pole sanaa

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 2 года назад +2

    Pole sana Mustafa kwa magumu Ulopitia

  • @emilykuvunakonzi4276
    @emilykuvunakonzi4276 2 года назад +1

    Pole sana kaka🙏😭😭😭😭😭

  • @janety_b4564
    @janety_b4564 2 года назад +1

    Eeee mungu wangu Kaka Mustafa pole Sana mungu upo na 😢🙏😅😞😭😆😢wewe kaka

  • @sulumashaaban4407
    @sulumashaaban4407 2 года назад +2

    Ndio maana alitaka uganga jmn ulipita magumu kwa kwel

  • @fahmaali8945
    @fahmaali8945 2 года назад +2

    Pole sana.msitafa

  • @douglasvernon9492
    @douglasvernon9492 2 года назад +1

    So sad to hear that 😂😂😂

  • @spthso2404
    @spthso2404 2 года назад +1

    pole and don't give up kila kitu kitakuwa sawa

  • @mahalkomahalko8995
    @mahalkomahalko8995 2 года назад +1

    Mustafa.pole.sana.tu.kaka.karimbu.kenya.tu🇰🇪

  • @mc_stivu9007
    @mc_stivu9007 Год назад

    Pole ndug yang umeniliza Sana
    Yani mungu akusimamie
    Nabinadam wote wabaya
    Wazibiwe upanga was mungu

  • @satarasatara6820
    @satarasatara6820 2 года назад +2

    Mimi stara Mustaf ,nakupa pole kwa matatizo yote uliopita usivunjike moyo utawini katika maisha yako kwa sababu unaradhi za waziri wako mana umefanya ulicho ambiwa kuhusu mdogo wako pambano utashinda

    • @nezumaally5104
      @nezumaally5104 2 года назад

      Inshalla mungu atakufanyia wepes usichoke

  • @selmaselma8452
    @selmaselma8452 2 года назад

    Asante Mustafa
    Tumejua vp mnateswa wafanya kazi wa ndani Tanzania

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 2 года назад

    Pole sana kaka yote mipango yake mungu kumbe wewe ndugu yetu tulia utapata mwanamke sahihi atakae kupa faraja ya moyo wako 🤲🙏

  • @kaylamakenaa6798
    @kaylamakenaa6798 Год назад

    Pole sana kaka Mungu yupo pamoja.nawewe

  • @jemimasifa6056
    @jemimasifa6056 2 года назад +1

    Pole sana 😢 😭😭😭😭😭😭😭

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 2 года назад +1

    Pole Mustafa

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 года назад

    Sema unatafuta pes huna kingine

  • @jackyjacky2046
    @jackyjacky2046 2 года назад +1

    Keep up kingpoo good job tunafurahi kuona mganga kapendeza kweri.

  • @hidayajuma3068
    @hidayajuma3068 2 года назад

    Pole tena natena. Walitaka kukuuwa

  • @manasadunia3458
    @manasadunia3458 2 года назад

    Pole sana kwa mitihani

  • @billamuristambul1642
    @billamuristambul1642 2 года назад +1

    Wakwetu kumbee weee

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 года назад +1

    Duuh pole sn broo

  • @adijashaban4793
    @adijashaban4793 2 года назад +1

    Manshaallah u look nice my brother

  • @esperancesudi2842
    @esperancesudi2842 2 года назад

    To be continued

  • @omarhome2260
    @omarhome2260 2 года назад

    🤔🤔🤔🤔🙆🙆🙆🙆mmmh jmn huwo mwaka unaoutaja ni juzi 2 jmn duuh

  • @florencenjeru4129
    @florencenjeru4129 2 года назад +2

    Pole sana Mustafa umepitia mengi ndugu yangu mungu akujalie, Bora umwamini mungu Kwa kila Jambo na utafaulu

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 2 года назад

    Wee ee

  • @yuriaudi9746
    @yuriaudi9746 2 года назад

    Mwk gan

  • @GULF444
    @GULF444 2 года назад

    Pole braza

  • @نجمةكينيا
    @نجمةكينيا 2 года назад +1

    Pole

    • @hamidakahindi9336
      @hamidakahindi9336 2 года назад

      Pole Sana broo from kenya

    • @rhodaeddy4556
      @rhodaeddy4556 2 года назад

      Pole Sana mwanangu, najuta kuangalia jiki kipindi huku napata lunch, kwa kweli ladha ya chakula imegeuka kuwa mbaya, duuh! Ama kweli maisha Ni kitu duni hunyauka Kama ua.

  • @yuriaudi9746
    @yuriaudi9746 2 года назад

    Muong hy shing himekwisha tumika zaman hy mwaka elfumbili na sit juz tuu kk acha uwong huuuu