GOD YANGA BILA UOGA AMPA MAKAVU LIVE MZEE MAGOMA | DUH AMEYATIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 33

  • @user-yd1pc8uy8x
    @user-yd1pc8uy8x Месяц назад +8

    Kaka umenikosha sana god God namba yako naihitaji sana😂😂

  • @jovinusmutabuzi4647
    @jovinusmutabuzi4647 Месяц назад +3

    Nimeona tawi la yanga south Africa.
    Huyu mzee anakazi

  • @MaryamKhan-zz6dh
    @MaryamKhan-zz6dh Месяц назад +2

    Nimekupenda bure❤❤

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 Месяц назад +5

    Hii kwenye uwekezaji wa mioyo nimelielewa mno waandishi msifanye masihara hili tukio ukute kuna watu wapo wodini sasa kwa mshtuko

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot Месяц назад +1

    Pumbav ww God yanga hujui mpila

  • @sandpardegera7246
    @sandpardegera7246 Месяц назад +1

    Waambie waandishi watamponza

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад +2

    Wanasubili nn kusukuma ndani magoma jamañi amegushi sahihi kanikera vibaya

  • @kilambanyuchi5731
    @kilambanyuchi5731 Месяц назад +3

    Mleteni Kenya huyo magoma gody yanga tumalizane naye nyinyi mnambembeleza

  • @gubijuma
    @gubijuma Месяц назад +1

    Kuna mashetani wa aina mbili yupo shetani wa kijini na yupo shetani wa kibinadamu na huyu mzee ni shetani wa kibinadamu 7:33

  • @MohammedShatu
    @MohammedShatu Месяц назад +3

    Kwann kabla yakwenda mahakamani asikutane na wazee wenzio ni mchongo huo

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot Месяц назад +1

    Kenge ww

  • @gubijuma
    @gubijuma Месяц назад +1

    Kuna mashetani wa aina mbili yupo shetani wa kijini na yupo shetani wa kibinadamu na huyu mzee ni shetani wa kibinadamu

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Месяц назад +1

    Amekutana na Gez - family

  • @AAbubakariSharif
    @AAbubakariSharif Месяц назад

    We mtoto mdogo ujuwi kitu we unataka furaha tu bila aki

  • @ExaverymganiMgani
    @ExaverymganiMgani Месяц назад

    Magoma kayakanyaha

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 Месяц назад +1

    Magoma ni wakufunguliwa kesi kadhaa za madai,asionewe haya.

  • @paulotemba8881
    @paulotemba8881 Месяц назад

    Godi upo sahihi mwanangu Magoma ametia aibu kubwa Yanga mmekabiziwa nyie vijana. Namshauri Magoma awaombe msamaha wananchi pia ajue vijana ndio nguvu kazi ya Taifa

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe Месяц назад +1

    Huyo mleteni huku mabibo hostel tumnyonye damu

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Месяц назад

    Hakuna kosa social media mnachotukosea sisi wazee ni kumwita Magoma MZEE! Kumuita mtu MZEE ni heshima anayopewa mtu kwa umri wake akithaminiwa hekima, busara na uadilifu wake katika jamii, si kila mtu mwenye umri mkubwa ni Mzee, tusiharibu lugha ya kiswahili na utamaduni wetu. MAGOMA ni mhuni wa tandale...!

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Месяц назад

    Mashabiki hoya hoya..ndo wanaomchukia Magoma

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Месяц назад

    God angalia usijekuwa unaongea Pumba..MAGOMA anasema kipengele cha Wanacham kuondoshwa kwa Kigezo cha kuwa hakuna sehemu ya kufanyia Mkutano..kisiwekwe hiyo ndo hoja yake..wewe unasema kuwa kwenye Ukumbi siku ya Mkutano mlikuwa elf 10...kuna ukumbi gani unaweza kuingiza watu elf 10..? Punguza Wenge mdogo wangu..yaani wewe na MAGOMA hamna Tofauti.

  • @RobertMsukwa-r6u
    @RobertMsukwa-r6u Месяц назад

    Mee magoma Hana akiri ajifikiriekwanza

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад

    Wanamchekewesha nn kumweka ndani magoma hali

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Месяц назад

    Sasa ww kuma mpira ni hela km hela hakuna huna uwezo wakuendesha mpira Acha ushabiki makolo

  • @jovinusmutabuzi4647
    @jovinusmutabuzi4647 Месяц назад

    Nisaidieni.FIFA Haruhusu serikali kuingilia club ikifanya hivyo TFF inafungiwa.
    Utekelezaji wa amri ya mahakama utafanyika je bila kuhusisha serikali ikiwa yanga itagomakutoa ofisi?

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Месяц назад

    Ww god .mwalimu yanga.na wengine ni machawa wa hersi. Acheni uzezeta .watu wanapiga pesa ww unapewa vijisenti.acha ujinga.magoma yuko sahihi .tumsikilize ndo utaelewa.acha ushabiki unazi

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Месяц назад

      We kenge unamuona magoma yupo sawa mchukueni nyie kolokwinyo mbwa nyie MO kabandika, matangazo ya biashara mpaka kwenye matako ta wachezaji pesa mnajua inaenda wapi kama siyo ya ukoo wa dewj mzee kiolomoni kampa makavu MO tena kacheza mpira simba na kaongoza simba mnamdharau huyu magoma hajacheza yanga wala hajawahi kuwa kiongozi ni muhuni mmoja omba omba kwa viongozi ndo kula yake sasa hivi mwanachama utoe pesa ununue jezi ulipe kingilio siyo zamani tiketi hununui unataka kuingia bure uwanjani Yanga imetoka huko kenge we. Naona makolo mmepata kombe mnasherekea Magoma cup hongera.

  • @gubijuma
    @gubijuma Месяц назад +1

    Kuna mashetani wa aina mbili yupo shetani wa kijini na yupo shetani wa kibinadamu na huyu mzee ni shetani wa kibinadamu