Allah atujalie mwisho mwema wenyew kutenda mema inshaallah!!!!@Shukran jazzaq Allahu kheir sheikh Allah azd kukup elmu uzid kutuelimisha n tuwe wenye kuyafat alio tuamrisha y haki n kuyaacha aliyo yakataz kw a kutak Radhi zake Allah 🙏
Naomba mungu atupe hekma na subra pamoja na utulivu tuyasikie mawaidha kutoka shekh wetu Othman ili tupate fursa ilionyooka na tuzingatie tuwe waelewa Kwa wzazi aswa hapo 👍
Masha Allah shekh othumani maalimu Kwa kweli kabisa maneno ya kweli kabisa maana ukiangalia mpaka mambo ya ushoga eti yarusiwe kwa kweli shekh asema kweli kabisa
Shukuran sana shekh othumani maalimu kwani wasema kweli kabisa maana ata ukiangalia eti tumefikia mpaka watu wanataka mambo ya ushoga kwani ni hatari kubwa Kwa kweli shekh ajakosea kusema mwisho wa dunia in shaallah mwenyezi mungu atunusuru la ili janga
Allah atujaalie Mwisho Mwema Inshallah Nakupenda kwajil ya Allah shekh Othman Maalim Allah akulinde 🙏
Alihamdulillah shukrn sana sheikh wetu ALLAH akujaalie umri mrefu ❤
Maashaallah, darsa tamu, Allah akupe afya njema na umri mrefu tufaidike na kipaji chako sheikh wetu mpendwa
Ameen yaraby
Hamiyari Maliki
Ishala
Tio usado
Feiticeiro
In shaallah mwenyezi mungu atufaidhie shekh wetu kipenzi cha watu na akitowa mawaidha kwa kweli kabisa lazima yaguse moyo
Allah atujaalie tuwe na mwisho mwema inshaalah kwa waumin wote dunian.
Aamiin yarabby
May Allah bless you brother........ Napenda mawaidha yako sana ❤❤❤,Mungu afanye tupatane kwa Jannah tukipiga story.....
Shukran Kwa kutukumbush Allah akupe afya njem uzdi kutukumbush
Nakuombea maisha marefu ustadh aki mola akupe kheri na fanaka Kwa darsa unayoyatoa yko sawa kbisaa
Madrasa yako itakuwa imara sana kwa unavyotaka kutupa elimu bora du mashaalah🤲🙏🤗
Mashallah 🤲mungu akupe ujira kwa mafunzo
Sheikh Osman Allah akpe kila unachokitaka fi duniya wal akhera kila siku moyo wako utulie😊
Shukran sana ndugu yetu,tumepata chakula cha roho
Allah atujalie mwisho mwema wenyew kutenda mema inshaallah!!!!@Shukran jazzaq Allahu kheir sheikh Allah azd kukup elmu uzid kutuelimisha n tuwe wenye kuyafat alio tuamrisha y haki n kuyaacha aliyo yakataz kw a kutak Radhi zake Allah 🙏
MashaAllah mahabaib wetu ustadh Athman Maalim
Shukran sana shekhe Othman Maalim, jazakallahu kher, Allah akulipe Jannah firdausi 🙏
Allah akulipe akupe umri murefu
Jamani naombeni namba ya huyu shekhe plz
Haya ndio Maudhui yanayotakiwa sio Matusi na kejeli Mashallahu nasi tusiosoma twafaidika Allah akulipe Kheyr Sheikh Othman Maalim
Naomba mungu atupe hekma na subra pamoja na utulivu tuyasikie mawaidha kutoka shekh wetu Othman ili tupate fursa ilionyooka na tuzingatie tuwe waelewa Kwa wzazi aswa hapo 👍
Mashaallah Sheikh darsa zako nzuri sana na Mashaallah na zaeleweka vizuri
MashaAllah sheikh Allah azidi kukupa umri mrefu inshaallah uzidi kutuelimisha
Mashaallah shekh othmani maalimu nakupenda kwaajili ya Allah yaaa rabby tujalie sisi umati Muhammad mwisho mwema 🤲
Ameen Ya Rabb
Allah akuhifadh Dunian na Akhera
Amin
Allah atujaalie tuwe miongoni mwa wenye kufaidika na darsa hizi na tuwe miongoni mwa wenye kufudhu amiin
Amiin
Sheekh mnakubali sana mawaiza yako alaa akujalie
Allah akupe umree taweel na hekma ya kutupa elimu zaidi Inshaallah Amiin.
Aminia rabbi allamiin
Masha Allah shekh othumani maalimu Kwa kweli kabisa maneno ya kweli kabisa maana ukiangalia mpaka mambo ya ushoga eti yarusiwe kwa kweli shekh asema kweli kabisa
Shukuran sana shekh othumani maalimu kwani wasema kweli kabisa maana ata ukiangalia eti tumefikia mpaka watu wanataka mambo ya ushoga kwani ni hatari kubwa Kwa kweli shekh ajakosea kusema mwisho wa dunia in shaallah mwenyezi mungu atunusuru la ili janga
❤🎉 Amiin
Allah akupe mree taweel na hekma ya kutupa elimu zaid inshaallah
Mashaallah . ahsante Kwa darsa zuri
MashaAllah Sheikh mawaidha yako mazuri sana na yasisimua Allah akubariki pamoja na familia yako❤❤❤❤.
Masha ALLAH jazak ALLAH
Allaa akuongoze katika heri zake
Mashaallah Mungu akufanyie wepesi wa mambo yako na akupe mwisho mwema❤
Mashallah mashallah shukurn sheikh wetu 🤲🤲🤲 Allah akusimamia kwakila hatuwa Amin 🤲🙏
Shukran nakukubali sana sheikh wangu
Jazaack allah kher sllah atujalie mwisho mwema yaaarab.
Shukran Wajazaukum llah khayra
Allahuma Maswali Allah sayidina na Mohammad wala alihi waasabihi wasalim
Kuja Kwa Yesu ndiyo mwisho wa dunia,kama sio hivyo kiama atakuja nani
Msubirie stend anakuja
Mashaallah shkh may Allah bless you always Ameen Yarrab
AMEEN thummar Ameen yarabbil 🤲🏽🤲🏽
Allah atuongoze yarab
JAZAKA LLAHU KHAYRA, ALLAH akujaaliye HEKIMA sauti yako ienee ulimwenguni itunusuru na Moto wa jahannamu, Amiina.
mola akuzidishie ilmu nasi tufaidike kutoka kwako
MashaAllah darsa mzuri maalim
Mashalha
Manshallah, Allah akulipe pamoja na wazazi wako pia waalim wako walio kufundisha endelea kutukumbusha Inshaallah
MashaAllah Allah akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha
Alhamdhulillah yarabi
Alhamdulilah asante Kwa mawaidha..
Shukran wa jazakallahu khayr
mashaAllah ustath othman maalim
Subhanallah
Mashaallah mashaallah mashaallah
Masha Allah, Jazakallahul khayr
Amin Amin Amin!
Allahumma Amin Yaa Rabb 🤲🏽
Allah akuongoze shehe wangu
Allahu akbar
Maashallah
Allaahu Akbar!
Allah Atuzindue kwa rehma Zake!🤲🏽
Amina allah atupe mwisho mwema
ManshaAllah Allah akongezee elim😊
Maisha historia
Maanshaa lalh alalh alalh kupe maisha marefu shekhe wetu
Ubarikiwe. kumbe ndomana wayahudi lazima wawe kume ili waongoze sala kwenye sinagogi Zao !!!
Taki beer
Mashaallah
Sawa
🙏🏻🙏🏻😍🥰🥰🥰🥰
Sadaqta ya habiballah
🙏🙏🙏🙏❤
Asalam alekum hali yako Allah akupe afiya na nguvi na akujaliye kila la kher kwa kututolea darsa
SHUKRAN
Mashaallah shekh
Amiiin
Aaaalllah huma amin
😭😭😭🙏🙏
ruclips.net/video/FAJunBxUYpY/видео.html njoo tujifunze sasa
Maa shaa Allah darasa tam sna huwaga sitosheki kukusikiliza shekhe Othman
Amen shekhe othumani mungu akupe umri mrefu uzidi kutufundisha
Amiin
MashaAllah
Mashaala
Mashallah
Mashallah