happy umefanya vzr saaana kwene hii serie na nakupa namba moja...endelea kufanya kazi kwa kumtanguliza Mungu wako....nilitamani hadi nipate mtu kama wewe ofcoz unaweza saana mdogo wangu/ dada yangu......work hard , passion and God first... kazi nzuri kwa wote
Happy akika nime wakubali saaaana mna tufunza vizuri sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
happy umefanya vzr saaana kwene hii serie na nakupa namba moja...endelea kufanya kazi kwa kumtanguliza Mungu wako....nilitamani hadi nipate mtu kama wewe ofcoz unaweza saana mdogo wangu/ dada yangu......work hard , passion and God first...
kazi nzuri kwa wote
Director maya nakubali sana 🎉🎉
Nakupenda dada unaweza sana mungu akutangulie katika safari yako
Sema happy as umetokea kijijin flan hv 🤣😁😂.. Ila unajua congrats 👏
Hakika happy nimetokeya kumpenda sana, piya namuomba mwenyezi Mungu anipe mwanamuke kama yeye, jamani mupeni hongera zangu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
hata mm nampenda🤣
Da umetisha Sana happy 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Napenda character yako mie n fan wenu tokea🇰🇪
Uyo dada anajuwa andi anajuwa ten ❤❤❤❤❤❤
My dada unajua sana maana ulivaa uhusika na ulihutendea kazi kweli❤❤❤❤❤❤❤
Lakini unaonekana ni wa mungu kabisa❤❤
Eeee dear siz,u played your role so well in love bite...eee,i felt encouraged.
Sema happy alitaka kunifanya nilie 😅😅
Unafanyiwa interview unataka kuanza kulia
Kwenye mitandao ya kijamii anatumia jina gani
Director Maya creator
Mmmm kwan mlikuwa munaigiza ama walikufa kweli
Allah s.w akuongoze akujalie uingie ktk uislam yan ulvoigiza nimependa
Aammiyn ❤
Tuna shukuru dadayetu❤❤❤❤❤❤❤❤
happy unajua sana kpnz hongera sana
Nakuja kukupa maua yako
Utatengwaje kanisani wakati wanajua we mwigizaji walokoke sijui mpoje ni kutengana tu kutengan tu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 maua yako pokea
Fb unajiita nani
Kaka Mayaa 😒😂😂😂
Unaongea kama shangaz tedy hadith
lakini hilo wig sasa mbona hivyo lakini nakupenda tu sana
Umeonaaaaaaaaaa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉