Askofu Gwajima aweka wazi namna wachawi wanavyologa watu | UCHAWI UPOO!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
    Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

Комментарии • 84

  • @brendakerora1707
    @brendakerora1707 2 года назад +2

    Im happy I found you in you tube 🇰🇪 unanitia nguvu apostle ubarikiwe

  • @romainebashizi7638
    @romainebashizi7638 3 года назад +5

    Ooooh God! I love this man of God. My life has changed a lot since listining to his sermons. God bless you Bishop Gwajima

  • @MiriamMeshack-k6z
    @MiriamMeshack-k6z 19 дней назад

    Hallelujah tunafuguka mawazo kupitia ii mafuzo

  • @LampadLewandowsk
    @LampadLewandowsk 6 месяцев назад

    Mungu akuinue zaidi

  • @apostlefredricksyengo2002
    @apostlefredricksyengo2002 3 года назад +4

    Hallelujah, kila wakati Askofu wanitia nguvu, moree grace🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @malikaalimwashaka2444
    @malikaalimwashaka2444 3 года назад +1

    Amen amen napokea nuru ya macho ya moyoni ili nilijue tumaini la wito Mungu ndan yangu

  • @salhaeliya8330
    @salhaeliya8330 3 года назад +1

    Amina Bishop nabarikwa saana by agatha

  • @pastanathaniely
    @pastanathaniely 13 дней назад

    Amen

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 года назад +1

    Vimeumbwa na Mungu . Mimi ni mwana na Mungu, sura,matendo nk vyote ni mbegu iliyotengenezwa na Mungu tu. Asante kwa somo Mzee Gwajima.

  • @evagumbo6731
    @evagumbo6731 3 года назад +1

    Ameeeen Mwana wa Mungu nakuelewa sanaaaa,Bwana akutende mema siku zote unatuimarisha mnoo rohoni nakuelewa jina tulilopewa namamlaka tuliyonayo hakika mashaka na hofu havina nafasii kwa jina la Yesu, namshukuru Mungu kwakukuleta Duniani,unaitenda kazi yake vyema kabisaa kwa uaminifu mkubwa na siyo mchoyo wa maarifa

  • @user-cl3he4ps5e
    @user-cl3he4ps5e Год назад

    Tunakufuatilia kutoka Burundi.We love you too much.

  • @heroes1932
    @heroes1932 3 года назад +1

    Asante baba unanibariki sana, kila nikikusikiriza Imani yangu inaongezeka na kukua nakupenda sana Bishop Gwajima am your follower nafata nyayo zako Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu sana

    • @lileoh3893
      @lileoh3893 3 года назад

      Mtaendelea kutumiwa kama punda

  • @rhodamahembe3206
    @rhodamahembe3206 Год назад

    Amen napokea Nuru ya macho ya rohoni katika jina la Yesu

  • @loisndossi9877
    @loisndossi9877 Год назад

    U-mkuu Sana mbele za Mungu na kwetu ni zawadi.

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад +1

    amen

  • @StanleyMwaipopo
    @StanleyMwaipopo Месяц назад

    NAVIPATAJE VITABU VYA MTUMISHI GWAJIMA-NAKITAKA MAOMBI YA KUSHINDANA

  • @jimmyalfa1462
    @jimmyalfa1462 3 года назад +2

    Tuko pamoja mzee wangu

  • @erickaguo2556
    @erickaguo2556 6 месяцев назад

    Asantee baba kwa somo😊

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 8 месяцев назад

    Gwajima kazana kazana yesu ameinuliwa

  • @margaretrukerebula6826
    @margaretrukerebula6826 3 года назад +2

    Shalom my Bishop jemadari was Yesu blessings from Kent uk

  • @mpogomialexandermussa248
    @mpogomialexandermussa248 3 года назад

    Amina mtumishi wa bwana barikiwa sana mtumishi wa bwana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥

  • @favourndila8474
    @favourndila8474 2 года назад

    Ameeen in Jesus Christ Mighty name

  • @adamkiba8082
    @adamkiba8082 3 года назад

    Thanks thanks thanks thanks

  • @happynessgodfrey3678
    @happynessgodfrey3678 3 года назад

    Jamani gwajima ananikosha roho mungu akubariki baba

  • @loiceomwola7451
    @loiceomwola7451 3 года назад +1

    Barikiwa sana Bishop

  • @peterkobaai2639
    @peterkobaai2639 3 года назад

    Barakiwa Sana mtumishi kwa Neno la ukweli

  • @gracekisaka8461
    @gracekisaka8461 3 года назад

    Ameen..Asante kwa maarifa haya..mafundisho ni mafupi mno.

  • @theresiamhina9714
    @theresiamhina9714 3 года назад

    Nimekuelewa Baba 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @alicensabimana7293
    @alicensabimana7293 3 года назад

    Maman
    Karibu siku nyingi
    Ubarikiwe
    Nafurahiya kuku on a

  • @dadaz4653
    @dadaz4653 Год назад

    YESU yu mwema

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 3 года назад +1

    Ameeen daddy Gwajima

  • @rachelmakokha7389
    @rachelmakokha7389 3 года назад

    Amen Amen

  • @pauloteleja7548
    @pauloteleja7548 3 года назад

    Aminaa

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 3 года назад

    Ameen

  • @irenengina233
    @irenengina233 3 года назад

    Mwavuli juuuu...asante Bishop

  • @fettycute3939
    @fettycute3939 3 года назад

    Amen daddy

  • @eliurassa2515
    @eliurassa2515 3 года назад +1

    Kweli Gwajima anlifahamu Gombo

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 3 года назад

    Namuona leo mama leo, siku nyingi sana sijamuona

    • @saudakabogo
      @saudakabogo 3 года назад

      Kumbe na wewe unawaza kama mm nimefurahi sana kumwona mama

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    amen nimepokea

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 2 года назад

    Salute

  • @chengeson
    @chengeson Год назад

    Mke mwema ana toka kwa bwana ila wa bishop ni mzee kuliko yeye

  • @Lucy-nr2sm
    @Lucy-nr2sm 3 года назад

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @bibishemartha4378
    @bibishemartha4378 3 года назад

    Kabisa

  • @rhodamwita3
    @rhodamwita3 3 года назад +1

    Kweli nimeamini nilpata uvimbe kwenye mfuko wa uzazi baada ya kula vyakula mara kwa mara kwenye ndoto.....mara nyingi nikiota naamka nakemea sijui huwa nakosea wapi au bado rohoni mchanga?nahitaji msaada saidi mimi ni mwana ufufuo mwenzenu

  • @rapkid6929
    @rapkid6929 3 года назад

    Unanibaliki Dana na umenitoa mbali ww ni baba yangu wa kiroho pia vyenye mmesimama na wito moja ya corona mi ni Kenyan but sivaangi barakoa Ila mahalo nitazuiliwa kuingiabila na Nina wahakikishoa ya kwa was he hofu me ni Margaret siogopi pia mm ni mwanaheshi pamoja nanyi God bless you na mnikubuke pia kwa maombi

  • @monicanelisha1299
    @monicanelisha1299 3 года назад

    Halleluyah

  • @josephinewangwe9064
    @josephinewangwe9064 3 года назад

    🙏 🙏 🙏

  • @kibuabigo8467
    @kibuabigo8467 3 года назад +1

    Niliota kaka yangui amejifunga kitenge changu na anachinja kuku anamuachia lkn kuku hajafa ila damu ikamwagika,hicho kitenge si rahisi kujifunga yy kk angu,na wakati huo yy yupo kwnginge na mimi mkoa mwingine,nikapotezea lkn nikikaa wazo la ile ndoto inanijia mara kwa mara ikabid niunganishe matukio maana kunasiku niliota rafiki yangu ambae alikua amefarik amenijia na kunikalia kwenye mbavu nililala kifudifudi sasa yeye akawa anainuka anakaa huku anasema unsringa sana ww utaona,niliumiza kichwa km mwez hivi nikapata fatak za hatr ndipo nikajua zile ndto mbili ni kitu halisia hd walionifanyia hyo mambo nikawajua kutokana na matukio,tuheshim ndoto zinamaana sana,NILIPOWAJUA NILIWAAMBIA WAZIWAZI ASANTE MUNGU KWA KUJUA NA KUNIFUNDISHA KILA SIKU,sasa hv yanawarudia wao sifa kwa ungu

  • @marleysumaty2942
    @marleysumaty2942 3 года назад

    Sema frequency 😄😄😄

  • @user-cl3he4ps5e
    @user-cl3he4ps5e Год назад

    Napenda kupata orodha ya vitabu ulivyo andika ili niweze kuchagua ntakavyo vinunua

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 года назад

    C mpaka hixo hela ziwepo za kuzungusha huku & huko? Yalopita yalikuwa ni Magufuli kupelekwa huku & hukoooo.

  • @johnyty498
    @johnyty498 3 года назад

    iv unaweza kuwa daktari bila ku..practice mambo ya kidaktari??
    GOD is GOD

  • @emmanuelnkombe7228
    @emmanuelnkombe7228 3 года назад

    Type maarifa ya Rohoni MTU wa MUNGU.

  • @mwaumark4372
    @mwaumark4372 3 года назад

    How can I get in touch with man of God? Somebody help me please

    • @yushuaissa467
      @yushuaissa467 3 года назад

      Go to Tanzania. Lookup his church physical location and contacts online.

    • @mwaumark4372
      @mwaumark4372 3 года назад

      @@yushuaissa467 asante yushua

  • @orentosebastian6074
    @orentosebastian6074 Год назад

    bishop samahani naomba unisaidie swali hili roho ikitolewa si huwa mtu anakufa? je hii roho ambayo mchawi anaweza kukuchomelea ndani yako je inakuwaje baada ya mchawi kuitoa hiyo roho mbona mtu hafii?

  • @AAl-xy8kl
    @AAl-xy8kl 3 года назад

    Leo fupi sana

  • @nicolaus4088
    @nicolaus4088 Год назад

    Namininunuliegari ainayakentaniwe nakuleteaviazi

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 3 года назад

    Kanisa linaloingiza kuongelea Mambo ya ushirikina

    • @francismangula2715
      @francismangula2715 3 года назад +3

      Ukijua mbinu za anazotumia adui yako ni rahis kupambana nae...au unaskitika mbinu zenu zinawekwa wazi?

    • @yushuaissa467
      @yushuaissa467 3 года назад

      @@francismangula2715 Art of War by Ssun Tzu

    • @brendakerora1707
      @brendakerora1707 2 года назад

      @@francismangula2715 😆😆😆😆

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 3 года назад

    Eti ngwaji nikwanini Uliiba kura?

    • @rubymasuku7514
      @rubymasuku7514 3 года назад +2

      Seth swali lako ni hopeless ishi Leo SIYO jana😭😭😭😭

  • @rachelmakokha7389
    @rachelmakokha7389 3 года назад

    Amen Amen

  • @jema1232
    @jema1232 3 года назад

    Amen

  • @henryxavery1713
    @henryxavery1713 3 года назад

    Amen

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 3 года назад

    Amin

  • @mainajemima1442
    @mainajemima1442 3 года назад

    Amen

  • @farajamkuchu8458
    @farajamkuchu8458 3 года назад

    Amen

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 3 года назад

    Amen

  • @jigajrphil1344
    @jigajrphil1344 3 года назад

    Amen