KISA CHA MAMA KUZAA WATOTO WENYE VICHWA VYA NYANI | SHETANI KATIKA UZAO WA WANADAMU | ASKOFU GWAJIMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 57

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 5 месяцев назад +12

    Askofu.gwajima mm nakupenda tena uzunguke tena Tanzania mm nilianza kufundishwa na wewe 2015.mpaka nikagundua Kuwa nimerogwa.nikakufuata..manyoni nikakukosa nilikufuata.tabora nikakukosa nikiwa narudi kwenye gari nililia sana nikaomba.Mungu jamani Mungu.si.asumani akanifunulia.jinsi.freemason.walichonifanyia nikamuomba.Mungu anifanye nihubiri sana nahubiri.hatari Mungu akuongezee akili.ziwe nyinginyingi mwe.nyingi mwe.ziwe nyingi

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 5 месяцев назад

    Yaani ww askofu Josephat Gwajima huwa nakusikiliza hadi nalia. Amen, umenibariki sana. Nashukuru sana!! Yesu asifiwe milele na milele.

  • @GoodluckAmos
    @GoodluckAmos 5 месяцев назад +1

    Dah Huyu baba huyu ana madini ya ajabu sana anagusa maisha ya mtu moja kwa moja Mungu akutunze baba sema natamani kukaa meza moja na ww nahis umebeba maisha fran kwangu lkn pia hebu ktk bungee endelea na nondo zile za mwanz watanzania wanakutegemea baba

  • @tillapatrick1015
    @tillapatrick1015 5 месяцев назад

    Ameeen

  • @edwinchubwa9712
    @edwinchubwa9712 5 месяцев назад

    Mimi natoka kasulu kigoma, binafsi namkubali sana Askofu gwajima ananifundisha vitu vingi kwenye maisha yangu, yaani sina swali kwake Mungu amsaidie sana,....❤

  • @hbdina
    @hbdina 4 месяца назад

    Gwajima asante sana kwa jina la Yesu Kristu Amina

  • @elishashijashija8472
    @elishashijashija8472 5 месяцев назад

    Asante bishop Baba gwajima KWA injiri yenye uponyaji

  • @EdwinemadrineBara
    @EdwinemadrineBara 5 месяцев назад +1

    Wow that's great preaching Papa

  • @erickassenga2991
    @erickassenga2991 5 месяцев назад +2

    Baba nakupenda sanaaa mnooo❤

  • @elizabethemanuel2122
    @elizabethemanuel2122 5 месяцев назад +1

    Amen kubwa dady j.g

  • @felistamrutu7288
    @felistamrutu7288 5 месяцев назад

    Baba yetu Mungu akubariki sana manyara tunasubiri mkutano wako karibu sana baba

  • @MendradKimario
    @MendradKimario 5 месяцев назад

    Hakika ukweli Mungu azidi kukutunza Mtumishi wa MUNGU Josephat Gwajima wewe ni mgodi unaotembea Natamani sana kukuona ukienda nafasi ya juu sana serikalini

  • @mebo.muchika3667
    @mebo.muchika3667 5 месяцев назад +1

    Aaaamen

  • @MaryAmaiza-th2fo
    @MaryAmaiza-th2fo 5 месяцев назад +1

    Amen umeni tabili hilo tatizo langu 🇰🇪.

  • @Jane-tn5qq
    @Jane-tn5qq 5 месяцев назад

    Amen amen amen MUNGU akubariki

  • @ModesterTutuki
    @ModesterTutuki 4 месяца назад

    Amina🙏

  • @MercySanta
    @MercySanta 3 месяца назад

    Nafundishika sana mafunzo haya

  • @essaukapufi424
    @essaukapufi424 5 месяцев назад +1

    Asante Baba,

  • @Upendosabau
    @Upendosabau 5 месяцев назад

    Amina baba 🙏🙏🙏🙏

  • @Samweliakko
    @Samweliakko 5 месяцев назад

    Kweli.baba.mungu.Kubariki.sana.nakukubali.sana.baba

  • @user-pm3hv8uw5b
    @user-pm3hv8uw5b 5 месяцев назад +1

    nakupenda baba

  • @kunsah2
    @kunsah2 5 месяцев назад

    Amen and amen.

  • @mariaismail5556
    @mariaismail5556 5 месяцев назад

    Baba asante mungu akuongezee miaka mingi utusaidie wanyonge❤
    20:07 20:39

  • @dusesebaseba1623
    @dusesebaseba1623 5 месяцев назад

    Tunakuitaji uku Moçambique 🇲🇿 mkoo wa mueda

  • @magenichips4972
    @magenichips4972 5 месяцев назад

    Amina

  • @ambwenedanda3282
    @ambwenedanda3282 5 месяцев назад

    Hakika mungu aendelee kukupa maarifa ili tuendelee kuyajua mengi zaidi

  • @user-rb6il4sn2e
    @user-rb6il4sn2e 5 месяцев назад

    Baba Askofu gwajima Mungu aendeley kukulinda ili siku 1 uje Burundi ili na sisi tufunguliwe na inchi yetu

  • @user-lb7bl5wq6b
    @user-lb7bl5wq6b 5 месяцев назад

    ❤❤❤ baba yangu wakiroho

  • @joshuamilele4198
    @joshuamilele4198 5 месяцев назад

    Hallelujah hallelujah hallelujah

  • @felixsanga
    @felixsanga 5 месяцев назад

    Mtumishi ni robo tatu ya tunaoishi nao,tunafanya kazi nao,tunasali nao na wengine tulidhani tumezaa nao watoto kumbe waume zao wako kuzimu.Unalala na mtu anaingiza wanaume kichawi,unawaona ndotoni na baadaye unakuja kuthibitisha ana mahusiano na watu hao kimwili hata mchana kweupe!Mungu anatisha sana.

  • @mazikumathew8873
    @mazikumathew8873 5 месяцев назад

    Ziara yako ya kuzunguka nchi nzima inaanza Tena lini maana unatusaidiaga Sana sisi w huku vijijini fanya ziara mtumishi mungu kakupa hizo rasilimali ulizonazo ili utudaidie

  • @trophistadickson485
    @trophistadickson485 5 месяцев назад

    Amen

  • @user-tw6zi6ky8n
    @user-tw6zi6ky8n 5 месяцев назад

    Jasusi la mbinguni💪🏾💪🏾

  • @user-rd7yi1jo8k
    @user-rd7yi1jo8k 5 месяцев назад

    ameni

  • @eliatowela4484
    @eliatowela4484 5 месяцев назад

    🎉

  • @peterlukali9649
    @peterlukali9649 5 месяцев назад

    Come Zambia

  • @MamaLio475
    @MamaLio475 5 месяцев назад +2

    Muendelezo

  • @stephenson1106
    @stephenson1106 5 месяцев назад

    Mtumishi wa Mungu mimi kila nikianza kuombaa au kuombew huwa napiga miayoo 😢 shida inakuwa ni nin?

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ErastoAndrea-yb1oq
    @ErastoAndrea-yb1oq 5 месяцев назад

    Baba nisamehe naitwa Erasto Niko mwanza nasoma chuo cha Bible kinacho itwa Grass intranational Bible University ( GIBU) ila nimepungukiwa ada ya masomo naomba Kama inawezekana unisaidie tu Mungu akubariki baba

    • @EdesiaKatamba-wv7bu
      @EdesiaKatamba-wv7bu 5 месяцев назад +1

      Kaka ungemtafuta baba askof private ivi siyo rahisi Kuna ombi lako mpaka apitie comment

    • @ErastoAndrea-yb1oq
      @ErastoAndrea-yb1oq 5 месяцев назад

      @@EdesiaKatamba-wv7bu dah shida ni kwamba Niko mbali Niko mwanza yeye yupo dar

    • @user-oi5tw8zi2f
      @user-oi5tw8zi2f 5 месяцев назад

      Ada shi ngapi na ukimaliza chuo unampango gani

  • @Samweliakko
    @Samweliakko 5 месяцев назад

    Unafraid.kuwa.Raisi.wa.Tanzania

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 5 месяцев назад

    Mchumba huyo😂😂😂😂❤❤

  • @user-vp7fs1tz6n
    @user-vp7fs1tz6n 5 месяцев назад

    Nilipanda dala dala wiki iliopita, kumbe mtu niliokaanae alikuwa uchi, konda alimwambia gari lilivyo simama akakimbia

  • @vanjemanirkiza3684
    @vanjemanirkiza3684 5 месяцев назад

    😂😂😂🙏🙏

  • @Chef_Ammytz
    @Chef_Ammytz 5 месяцев назад

    Story nyingi hakuna injiri hapo

    • @godlistengipson7268
      @godlistengipson7268 5 месяцев назад

      Pia kupitia shuhuda ni injili pia

    • @tarithalusola4458
      @tarithalusola4458 5 месяцев назад

      Kwani umelazimishwa kusikiliza

    • @erickassenga2991
      @erickassenga2991 5 месяцев назад

      Ww ulitaka injili gan, si kila kitu utakacho sikia lazima kiwe kama unavyo taka.

    • @filbertleonoratv1304
      @filbertleonoratv1304 5 месяцев назад

      Wewe unatak injil gn ndg

    • @elinamadalali1800
      @elinamadalali1800 5 месяцев назад

      III ndo injili tuliyoizoea Wana ufufuo atujazoea kuhubiriwa utajiri tu ila tunapata chakula halisi Cha mbinguni yesu mwenyew alifundisha kwa kutumia mifano

  • @trophistadickson485
    @trophistadickson485 5 месяцев назад

    Amen