NANDY: ASLAY /MPENZI WANGU/ TUNAFANYA USIKU/ NATAMANI MTOTO
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Nandy alishuka kwenye #TimesBox na kupiga stori na mshikaji wetu TEMIDAYO ( @temidayo_gm on IG) #Nandy alizungumza uhusu life style yake na mambo mengine yanayomuhusu kwa sasa, kuhusu muziki wake kwa ujumla. Unawea acha comments zako hapo chini.
Instagram: @timesfmtz
Twitter: @timesfm_live
RUclips: Timesfmtz
Facebook: Timesfmtz
Kituo Namba 1 kwa Interviews kali na za kipekee Afrka Mashariki na Kati. Hakikisha hupitwi kwa ku subscribe kama bado.
TimesFMTZ Hicho kivazi hatari
TimesFMTZ
Walaaah nakupenda bureee nandy
Duh! kizazi hiki! tumwachieni mungu tu.
Yasini Mnyonge
Kweli mkali
hongera dogo so nice
Nandy kwer ilo neno tamu ati siez kua tegemez kwa mwanaume leo umenipea somo asate
James ngunda kikuku ni pambo la mwanamke km shanga kiunoni au kidani shingoni na bangili n.k.na mwanamme akivaa mapambo,hayo huwa kajifananisha na mwanamke tu lkn km kuna zaid ni tafsiri,ya mapenzi ya mtu tu
Kama humkibali nandy pita ivi matuc y nn kwakee jmn hakun mkamilifu dunian saw alikosea lkn why iwe ndo sourc y kumtuc jmn.....
Maswali yamekuwa magumu! Mwacheni mtoto wa watu ajichokore pua mara kumi kumi. Ata mimi at the biginig niliona nandi awezi bila aslay ila baadae niligundua kuwa anajiweza ila wakifanya ushirikiano huwa wanatengeneza vitu vizuri zaidi na it's true bila asly nisingemjua nandi.
Hayat Mohammed
Magdalena Aloyce my name
namkubar thana nandy
lkn umeniudhi ki2kimoja2mrmbo
Hayat Mohammed )
nandy mwizi Uyo kwa njia ya mtandao
Hataki kuwa tegemez kwa mwanaume kwa ujumla huyo hayupo kwenye swala zima la kukaa na mwanaume ndan yupo kiwizi wizi tu
ebhana nandi ana fomas yakutosha tu pia amauwezo tu hongera sana
Nandi is not scared of the camera kanatoa tu kitu kwa pua lol😂😂😂
Margaret Wangare
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nandi nimependa ila kusema mondi kuvaa kikukuu duh
mwacheni Nandy jamani 'no body is perfect"kwahyo nawaombeni kausha
shikamoo vikuku ad wew👄👄
Kazi ndo heshima sio maneno
Nand uko vzr sn dada hbu tujibu ht sms zt tupt kckia rah kuw nand leo katujb
Nakupenda bure
Mm nimekuelewa nakubali unaweza
Nmekuelewa sana
Instagram
nandy uko mzuri bana
duuuh alaaaaah!!!
nandy noma
Poa nandi
Mmmmmh! Jaman mimi napita tu
Hhahaha nimecheka mambo ya chumbani mmmmmm kwamimi siwezi kujibu kwani nawazazi
nandy nice
Duuh! mwacheni bhana
Nimekpnd buree nandy
Mmmmmmh ww nandy kikuku Eti ni urembo kwa wanaume wacha weeeeee.....
Kizazi sana
mhhhh we nandy umri umeenda Fanya mpango upate family kwan watoto n muhim kuliko pesa
kikuku kwa mwanaume c urembo ni upuuz, ushoga na ushenz na ujnga
Hahaahahahh
Hahahahah
stupid questions huna haya kuuliza
Mambo ya binadamu hayo
Shikomoo mapenzi jamani tobaaaa
nawaahidi hamtajutia kusubscribe
uko vizuri
klyan mbake ndo nan tena?
Nandy nicheki in box please
nc
Jmn
Hivii Mmhh unawazazi na watu unaowaheshimu wanakuangalia alafu unakutana na swali ambalo ni private la chumbani na mpenzi utalijibu vipi? Dah kiukweli mnawahitaji sana media lakini maadili ndio yanazidi kuondoka
kibongo bongo kkutombana
Tisha sana
Kwrli kabisa Nandi kaongea.hawashangai kuvaa herini wanashangaa kikuku.mwanaume anaruhusiwa kuvaa herini? au kusuka mnyoosho lkn wanajaji kikuku.hereni a.a.a.
Nc
acha ujinga wewe mbavu wewe anaeuliza maswari naye wale wale mbavu chenji nyinyi
Nandi anajishauwa tuu ana lolote
Hahahahahahahahaha
Mpumbavu herini kwa mwanamme ni urembo?
Hio saut kwema!
Ivi Nandy kabila gani?!!!
Kiafrica kikuku ni kiashilio cha ushoga na usagaji
Fikra potofu. Jifunze kiswahili kwanza sio KIASHILIO ni "ISHARA"
Kizazi sana
James Ngunda Teresia kwa ulaya je?
Kumbe uyo dada ni mbaya hivo nilijua mzuli kumbe picha tuu ana rorote
Roida tadey Roida tadey uliomuumba wako mzuri tuonyesheeeeee
ujinga ujinga tu
Duh
Allah awafahamishe maana nahis imebak jua kutoka magharib --masharik nayule mnyma kuwasemesha watu mmmmmmm innalillah wainnaillah rajun
Uwakirishe wanaume gn ww fala tu
Toka zako ww machupi tu huna lolote
.
simkubal Nandy kabisa
Hadija Yahaya
kibaya kwako kizuri kwa mwenzio
Kweliiiiii
nice nandy
Kumbe uyo dada ni mbaya hivo nilijua mzuli kumbe picha tuu ana rorote
Kuril ana
Ako poa hana maringo kaa yule anasemanga its normal