Allah akubariki sheikh Ponda kwa jitihada uzifanyazo kwa ajili ya wananchi japo masheikh wengi wamelala kazi yao ni kusoma maulidi tu na malumbano kuhusu maulidi yanafaa ama ni bidaa
Upo vizuri sana ndugu Pond. Ni sheikh moja mwenye ukweli, mzalendo, maadili na hekima nyingi. Una msimamo huru na unamwogopa Mungu. Hujawahi kuwa chawa kama viongozi wengine wa duni. Tunawahitaji wengi Masheik wa namna hii kwanza tuttatoa ünini Tanzania na kibali Watanzania wa moja bila ukabila, udini wala usiasa(uchama)
Siku zote huyu mzee hajawahi kuongea vitu vya hovyo, hakika ww ni mjumbe wa Mungu wa kweli, wengine njaa na uwonga inawaponza na kujipendekeza kwa wakubwa wa nchi siku ya kiama utaulizwa
Sheikh ili uwe sheikh ni lazima ufundishe uwe na wanafunzi. Huyu kamfundisha nani elimu? Huwa tunamuoŋa kama mwanaharakati si zaidi ya hapo. Kufanya ibada tu ndo uwe sheikh
Mzee heshima yako ukweli unaponya watu
Asante Kwa Kutufuatilia
Mtu yeyote asipo juwa haki hake, anakiwa muoga sana.
Hivyo nafasi hiyo watawala huita na kujigamba tuna amani. Kumbe zulma inakithiri
Asante Kwa Kutufuatilia
Shekhe Ponda Barikiwa mpaka ushangae. Upo vizuri
Asante Kwa Kutufuatilia
DAH SHEKHE KAONGEA KWELIKWELI 👏🏼👏🏼👏🏼👊👊👊
Asante Kwa Kutufuatilia
Allah akubariki sheikh Ponda kwa jitihada uzifanyazo kwa ajili ya wananchi japo masheikh wengi wamelala kazi yao ni kusoma maulidi tu na malumbano kuhusu maulidi yanafaa ama ni bidaa
Asante Kwa Kutufuatilia
Asant kwakutupatia taarifa muhim@@ICONTVTZ
Sheikh Ponda uko vizuri
Asante Kwa Kutufuatilia
Upo vizuri sana ndugu Pond. Ni sheikh moja mwenye ukweli, mzalendo, maadili na hekima nyingi. Una msimamo huru na unamwogopa Mungu. Hujawahi kuwa chawa kama viongozi wengine wa duni. Tunawahitaji wengi Masheik wa namna hii kwanza tuttatoa ünini Tanzania na kibali Watanzania wa moja bila ukabila, udini wala usiasa(uchama)
Asante Kwa Kutufuatilia
Sijawahi kujutia kukusikiliza sheikh ponda ALLAH akulinde❤
Asante Kwa Kutufuatilia
TANZANIA INAVIONGOZI WAZURI SANA KAMA HUYU SHEKHE, TATIZO TUNA VIONGOZI WAOGA.
Asante Kwa Kutufuatilia
Siku zote huyu mzee hajawahi kuongea vitu vya hovyo, hakika ww ni mjumbe wa Mungu wa kweli, wengine njaa na uwonga inawaponza na kujipendekeza kwa wakubwa wa nchi siku ya kiama utaulizwa
Asante Kwa Kutufuatilia
Sh ponda uko vizuri
Asante Kwa Kutufuatilia
Shekh kweli.
YES lakini mtangazaji ni kimeo maswali yake yana mlengo wa kiccm ccm
Asante Kwa Kutufuatilia
ASANTE MWANDISHI MASWALI YAKO YANALETA MAJIBU HALALI...HONGERA
Asante Kwa Kutufuatilia
Hukuwasikia wanasema kuwa atafanya maandamano ili kumtoa Samia na mawaziri kwani samia kauwa au wenyewe kwa wenyewe mnauwana
Asante Kwa Kutufuatilia
🎉🎉🎉🎉🎉huyu shehe namuelewaga sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Shekh angalia usije ukakufuru kwa posho za chadema na hicho chama unachokipigia chepuo ni chama cha kanisa shauri yako
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwani kipi Chama Cha kiislam
BADO TUNA WATANZANIA 'MUFLISI' VICHWANI!
Sheik Ponda umesema kweli tupu ya kwamba " ulinzi mkubwa ule ungetumika kuzuia uhalifu wenyewe " 🙏👏🤝
Asante Kwa Kutufuatilia
Hy Sheikh sijawahi kumwona kuyumba ktk misimamo yake
Asante Kwa Kutufuatilia
Sheikh ili uwe sheikh ni lazima ufundishe uwe na wanafunzi. Huyu kamfundisha nani elimu? Huwa tunamuoŋa kama mwanaharakati si zaidi ya hapo. Kufanya ibada tu ndo uwe sheikh
kafundisha kivutu chako mtu akiogea ukweli muna nuna hebu kalale
inggekuwa anaimba mashairi ya kumsifu bibi chinja chinja na ccm yako najua ungemsifu sana
Kamfundisha mama yako chumbani inatosha😂
Asante Kwa Kutufuatilia
SHEKH SIO LAZIMA AWE NA VIGEZO UNAVYOTAKA WEWE!