SHEIKH PONDA AJILIPUA BAADA YA MAANDAMANO YA CHADEMA KUFELI/AWATUPIA LAWAMA NZITO JESHI LA POLISI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 48

  • @JustiniDavidi
    @JustiniDavidi 3 дня назад +2

    Mzee heshima yako ukweli unaponya watu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MachinjaShabani-n8m
    @MachinjaShabani-n8m 3 дня назад +2

    Mtu yeyote asipo juwa haki hake, anakiwa muoga sana.
    Hivyo nafasi hiyo watawala huita na kujigamba tuna amani. Kumbe zulma inakithiri

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 3 дня назад +2

    Shekhe Ponda Barikiwa mpaka ushangae. Upo vizuri

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 3 дня назад +2

    DAH SHEKHE KAONGEA KWELIKWELI 👏🏼👏🏼👏🏼👊👊👊

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 3 дня назад +2

    Allah akubariki sheikh Ponda kwa jitihada uzifanyazo kwa ajili ya wananchi japo masheikh wengi wamelala kazi yao ni kusoma maulidi tu na malumbano kuhusu maulidi yanafaa ama ni bidaa

  • @chidampiri1012
    @chidampiri1012 3 дня назад +1

    Sheikh Ponda uko vizuri

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 3 дня назад

    Upo vizuri sana ndugu Pond. Ni sheikh moja mwenye ukweli, mzalendo, maadili na hekima nyingi. Una msimamo huru na unamwogopa Mungu. Hujawahi kuwa chawa kama viongozi wengine wa duni. Tunawahitaji wengi Masheik wa namna hii kwanza tuttatoa ünini Tanzania na kibali Watanzania wa moja bila ukabila, udini wala usiasa(uchama)

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @salimamani6672
    @salimamani6672 2 дня назад

    Sijawahi kujutia kukusikiliza sheikh ponda ALLAH akulinde❤

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  2 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi День назад

    TANZANIA INAVIONGOZI WAZURI SANA KAMA HUYU SHEKHE, TATIZO TUNA VIONGOZI WAOGA.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @EliasOwilly
    @EliasOwilly 3 дня назад

    Siku zote huyu mzee hajawahi kuongea vitu vya hovyo, hakika ww ni mjumbe wa Mungu wa kweli, wengine njaa na uwonga inawaponza na kujipendekeza kwa wakubwa wa nchi siku ya kiama utaulizwa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @msongojumbe486
    @msongojumbe486 3 дня назад +1

    Sh ponda uko vizuri

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @JosephEmanuel-py4bp
    @JosephEmanuel-py4bp 3 дня назад +1

    Shekh kweli.

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 3 дня назад

      YES lakini mtangazaji ni kimeo maswali yake yana mlengo wa kiccm ccm

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 3 дня назад +1

    ASANTE MWANDISHI MASWALI YAKO YANALETA MAJIBU HALALI...HONGERA

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 3 дня назад

    Hukuwasikia wanasema kuwa atafanya maandamano ili kumtoa Samia na mawaziri kwani samia kauwa au wenyewe kwa wenyewe mnauwana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  2 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 3 дня назад

    🎉🎉🎉🎉🎉huyu shehe namuelewaga sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 3 дня назад

    Shekh angalia usije ukakufuru kwa posho za chadema na hicho chama unachokipigia chepuo ni chama cha kanisa shauri yako

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @abuuaidh6500
      @abuuaidh6500 3 дня назад

      Kwani kipi Chama Cha kiislam

    • @MiriamAziz-z5t
      @MiriamAziz-z5t 3 дня назад

      BADO TUNA WATANZANIA 'MUFLISI' VICHWANI!

  • @TheodosiaSangka
    @TheodosiaSangka 3 дня назад

    Sheik Ponda umesema kweli tupu ya kwamba " ulinzi mkubwa ule ungetumika kuzuia uhalifu wenyewe " 🙏👏🤝

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 3 дня назад +1

    Hy Sheikh sijawahi kumwona kuyumba ktk misimamo yake

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @2003hintay
    @2003hintay 3 дня назад +2

    Sheikh ili uwe sheikh ni lazima ufundishe uwe na wanafunzi. Huyu kamfundisha nani elimu? Huwa tunamuoŋa kama mwanaharakati si zaidi ya hapo. Kufanya ibada tu ndo uwe sheikh

    • @chihoma-m4f
      @chihoma-m4f 3 дня назад

      kafundisha kivutu chako mtu akiogea ukweli muna nuna hebu kalale

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 3 дня назад

      inggekuwa anaimba mashairi ya kumsifu bibi chinja chinja na ccm yako najua ungemsifu sana

    • @gwajimagwajima
      @gwajimagwajima 3 дня назад

      Kamfundisha mama yako chumbani inatosha😂

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @MiriamAziz-z5t
      @MiriamAziz-z5t 3 дня назад

      SHEKH SIO LAZIMA AWE NA VIGEZO UNAVYOTAKA WEWE!