Mie nimetoka posta saa tisa na dk 40 nimefika home tegeta saa tano na dk 7 usiku... Hamna ajali ila foleni tu.. yaani gari haziendi utadhani ziko parking.
🤣🤣 hv unadhani ulaya hakuna mafuriko? mafuriko vitu vya kawaida duniani tena ulaya ndio usiseme na America wana vimbunga vya kutosha mafuriko.matetemeko volcano yani matukio km yote, usidhani ulaya ukadhani wako salama hapana wao zaidi kuliko ss
@@sheryphamwenevalley6124 yaani ata ulaya mpaka kufurike ujue ni Katarina au sjui nani hii sasa ni mvua ya kawaida hapafai je ikiwa yenyewe.Usilinganishe hii sio masika hali tete je babukubwa Mungu atunusuru tu
@@leokamil6284 usidanganye watu juzi tu kulikua na.mvua yameondoka na.majumba na watu na mvua kawaida tu usiangalie nchi nchi zipo nyingi na mamoto kia siku mm pia msafiri naongea ninacho kiona
Inabidi kama ni fly over zijenge maeneo yote ya dar na wanaoishi mabondeni wahame kwa lazima,ikibidi itengenezwe mitaro mikubwa kwa ajili ya kuyasend maji kwenda baharini na siyo kwenye makazi ya watu
Tatizo halmashauri dar haikufuatilia ujenzi wa majumba ebu cheki tu mjini au kkoo migorofa lkn mitaro hakuna na iliyopo haina ukubwa.Na bado mipango miji imezidi kuharibu hadi kwenye maeneo mapya mfano Sinza Mbezi zote 2 na kuendelea hawaweki mikakati ya kuhakikisha wanapima viwanja wanatoa sehemu za maji taka na ya mvua.Wenzetu kabla hawajajenga wanahakikisha kuna sehemu ya kupeleka maji taka wana mitaro kama njia za magari sio rahisi kublock.Lkn sisi mtu awachi ata atua za kuweza kuwekwa njia ya maji ya mvua mara maeneo ya wazi watendaji wameyauza yaani matokeo yake maji hayana njia ya kwenda.Solution ni kuweka makaravat makubwa kupeleka maji baharini na kila mtaa kuwa na mitaro bila hivyo hata barabara hazitadumu maana maeneo mengine maji ya machoo yakijaa wanapump barabarani yanaenda holela
Duuuh 😲 hatar sanaaa hvyo mvua ya cku moja je ikpga ya cku 2 🏃🏃🏃
Meli zitahitajika
@@leokamil6284 kwa hal hyo kwel kabsaa
Daah, hili jiji sijui wataalamu na serikali miaka yote hii wanakwama wapi. Mvua ya siku moja huwa majanga.
Duh mpaka saivi niko hapa kwenye foleni,, kumbe unaturecord
Duuuh pole sana
@@AAa-xv2mw shukran
@@deuscr1843 Afwaan kwani mpaka ivi mkingaliki
Mie nimetoka posta saa tisa na dk 40 nimefika home tegeta saa tano na dk 7 usiku...
Hamna ajali ila foleni tu.. yaani gari haziendi utadhani ziko parking.
Ni Issue ya Dunia Nzima, huko India, Florida,Texas, Asia hatari saaana. Mwenyezi atusimamie
Kabisa hii issue iko dunia nzima yaan huku oman ikinyesha mvua mafuliko jaman hatari
Hata UK
Tulio jiajiri raha sanaa tumelala zetuuu
😂😂😂😂
The need of an suv
Si mchezo, leo hadi cdf na convoy yake alikwama kwenye foleni kwenye hiyo barabara licha ya ving'ora...
Tunajenga flay ovar miundombinu itakaa sawa msijali au hamjamsikia polepole akiongea kila kona dar itajaa flay ovar
Mungu tuokoe 😭😭😭
Hiii ndio daaa nzuri ya mangufuli
Noma sana
Si naskia Dar mna flyover
Daaa umetishaaa
@@ignassindabaha1813 mi nimeulza Kwann msipite kwenye flyover mnakuwa sawa na sisi wa mkoan
hii ndio unayosemaga dar kama ulaya hivi uwa unajitoa rahman?
Mh
🤣🤣 hv unadhani ulaya hakuna mafuriko? mafuriko vitu vya kawaida duniani tena ulaya ndio usiseme na America wana vimbunga vya kutosha mafuriko.matetemeko volcano yani matukio km yote, usidhani ulaya ukadhani wako salama hapana wao zaidi kuliko ss
@@sheryphamwenevalley6124 yaani ata ulaya mpaka kufurike ujue ni Katarina au sjui nani hii sasa ni mvua ya kawaida hapafai je ikiwa yenyewe.Usilinganishe hii sio masika hali tete je babukubwa Mungu atunusuru tu
Ukitembea utajua hii mafuliko haiko tanzania tu tembea muone dunia
@@leokamil6284 usidanganye watu juzi tu kulikua na.mvua yameondoka na.majumba na watu na mvua kawaida tu usiangalie nchi nchi zipo nyingi na mamoto kia siku mm pia msafiri naongea ninacho kiona
Daah ebwana wee ndo cku 1 to na kesh ikirejea je
🤦♀️
Atari na nusu
Kama nyumbu
Hahahah
Ili dsm mafuriko yapungue miundombinu ya nchi nzima ihamishiwe huko
Inabidi kama ni fly over zijenge maeneo yote ya dar na wanaoishi mabondeni wahame kwa lazima,ikibidi itengenezwe mitaro mikubwa kwa ajili ya kuyasend maji kwenda baharini na siyo kwenye makazi ya watu
Tatizo halmashauri dar haikufuatilia ujenzi wa majumba ebu cheki tu mjini au kkoo migorofa lkn mitaro hakuna na iliyopo haina ukubwa.Na bado mipango miji imezidi kuharibu hadi kwenye maeneo mapya mfano Sinza Mbezi zote 2 na kuendelea hawaweki mikakati ya kuhakikisha wanapima viwanja wanatoa sehemu za maji taka na ya mvua.Wenzetu kabla hawajajenga wanahakikisha kuna sehemu ya kupeleka maji taka wana mitaro kama njia za magari sio rahisi kublock.Lkn sisi mtu awachi ata atua za kuweza kuwekwa njia ya maji ya mvua mara maeneo ya wazi watendaji wameyauza yaani matokeo yake maji hayana njia ya kwenda.Solution ni kuweka makaravat makubwa kupeleka maji baharini na kila mtaa kuwa na mitaro bila hivyo hata barabara hazitadumu maana maeneo mengine maji ya machoo yakijaa wanapump barabarani yanaenda holela
leo ilikuwa ni sheeeda
Shidaaa