USIKU HUU..!! FOLENI BARABARA ZA DAR BAADA YA MVUA KUNYESHA SIKU NZIMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024

Комментарии • 46

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 года назад +4

    Duuuh 😲 hatar sanaaa hvyo mvua ya cku moja je ikpga ya cku 2 🏃🏃🏃

  • @Winstonfying
    @Winstonfying 4 года назад +1

    Daah, hili jiji sijui wataalamu na serikali miaka yote hii wanakwama wapi. Mvua ya siku moja huwa majanga.

  • @deuscr1843
    @deuscr1843 4 года назад +2

    Duh mpaka saivi niko hapa kwenye foleni,, kumbe unaturecord

    • @AAa-xv2mw
      @AAa-xv2mw 4 года назад

      Duuuh pole sana

    • @deuscr1843
      @deuscr1843 4 года назад

      @@AAa-xv2mw shukran

    • @AAa-xv2mw
      @AAa-xv2mw 4 года назад

      @@deuscr1843 Afwaan kwani mpaka ivi mkingaliki

    • @agent48classified40
      @agent48classified40 4 года назад

      Mie nimetoka posta saa tisa na dk 40 nimefika home tegeta saa tano na dk 7 usiku...
      Hamna ajali ila foleni tu.. yaani gari haziendi utadhani ziko parking.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 года назад +2

    Ni Issue ya Dunia Nzima, huko India, Florida,Texas, Asia hatari saaana. Mwenyezi atusimamie

  • @rithamsacky4655
    @rithamsacky4655 4 года назад

    Tulio jiajiri raha sanaa tumelala zetuuu

  • @gaudiusmenyo8604
    @gaudiusmenyo8604 4 года назад +2

    The need of an suv

  • @agent48classified40
    @agent48classified40 4 года назад

    Si mchezo, leo hadi cdf na convoy yake alikwama kwenye foleni kwenye hiyo barabara licha ya ving'ora...

  • @issaissa8572
    @issaissa8572 4 года назад

    Tunajenga flay ovar miundombinu itakaa sawa msijali au hamjamsikia polepole akiongea kila kona dar itajaa flay ovar

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 4 года назад

    Mungu tuokoe 😭😭😭

  • @josephezekieli8438
    @josephezekieli8438 4 года назад

    Hiii ndio daaa nzuri ya mangufuli

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 4 года назад

    Noma sana

  • @farlesfales918
    @farlesfales918 4 года назад +1

    Si naskia Dar mna flyover

    • @ignassindabaha1813
      @ignassindabaha1813 4 года назад

      Daaa umetishaaa

    • @farlesfales918
      @farlesfales918 4 года назад

      @@ignassindabaha1813 mi nimeulza Kwann msipite kwenye flyover mnakuwa sawa na sisi wa mkoan

  • @esthermwarape3793
    @esthermwarape3793 4 года назад +2

    hii ndio unayosemaga dar kama ulaya hivi uwa unajitoa rahman?

    • @tinamzava834
      @tinamzava834 4 года назад

      Mh

    • @sheryphamwenevalley6124
      @sheryphamwenevalley6124 4 года назад +1

      🤣🤣 hv unadhani ulaya hakuna mafuriko? mafuriko vitu vya kawaida duniani tena ulaya ndio usiseme na America wana vimbunga vya kutosha mafuriko.matetemeko volcano yani matukio km yote, usidhani ulaya ukadhani wako salama hapana wao zaidi kuliko ss

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 года назад

      @@sheryphamwenevalley6124 yaani ata ulaya mpaka kufurike ujue ni Katarina au sjui nani hii sasa ni mvua ya kawaida hapafai je ikiwa yenyewe.Usilinganishe hii sio masika hali tete je babukubwa Mungu atunusuru tu

    • @salmaathuman9156
      @salmaathuman9156 4 года назад

      Ukitembea utajua hii mafuliko haiko tanzania tu tembea muone dunia

    • @sheryphamwenevalley6124
      @sheryphamwenevalley6124 4 года назад

      @@leokamil6284 usidanganye watu juzi tu kulikua na.mvua yameondoka na.majumba na watu na mvua kawaida tu usiangalie nchi nchi zipo nyingi na mamoto kia siku mm pia msafiri naongea ninacho kiona

  • @AbuuTumayrah
    @AbuuTumayrah 4 года назад

    Daah ebwana wee ndo cku 1 to na kesh ikirejea je

  • @ericandrew942
    @ericandrew942 4 года назад

    Atari na nusu

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 4 года назад

    Kama nyumbu

  • @MwarabuTz
    @MwarabuTz 4 года назад

    Ili dsm mafuriko yapungue miundombinu ya nchi nzima ihamishiwe huko

  • @ignassindabaha1813
    @ignassindabaha1813 4 года назад

    Inabidi kama ni fly over zijenge maeneo yote ya dar na wanaoishi mabondeni wahame kwa lazima,ikibidi itengenezwe mitaro mikubwa kwa ajili ya kuyasend maji kwenda baharini na siyo kwenye makazi ya watu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 года назад +1

      Tatizo halmashauri dar haikufuatilia ujenzi wa majumba ebu cheki tu mjini au kkoo migorofa lkn mitaro hakuna na iliyopo haina ukubwa.Na bado mipango miji imezidi kuharibu hadi kwenye maeneo mapya mfano Sinza Mbezi zote 2 na kuendelea hawaweki mikakati ya kuhakikisha wanapima viwanja wanatoa sehemu za maji taka na ya mvua.Wenzetu kabla hawajajenga wanahakikisha kuna sehemu ya kupeleka maji taka wana mitaro kama njia za magari sio rahisi kublock.Lkn sisi mtu awachi ata atua za kuweza kuwekwa njia ya maji ya mvua mara maeneo ya wazi watendaji wameyauza yaani matokeo yake maji hayana njia ya kwenda.Solution ni kuweka makaravat makubwa kupeleka maji baharini na kila mtaa kuwa na mitaro bila hivyo hata barabara hazitadumu maana maeneo mengine maji ya machoo yakijaa wanapump barabarani yanaenda holela

  • @youngflyswahili
    @youngflyswahili 4 года назад

    leo ilikuwa ni sheeeda

  • @Roz923
    @Roz923 4 года назад

    Shidaaa