Hakika hyu mkuu anastahili usafiri ili aweze kufanya kazi vizuri Zaid kisarawe mm binafsi ninakuombea sana mkuu wa wilaya yetu,kwa sababu nimekuelewa baba
Kweri kabxa mueshimiwa wangarie hasa wananchi wa wiraya ya kibti hukonako kunalafunyingi za viongozi kuwafanyia wananchi wanyonge na niombe tu kama kunakiongozi asiye wahudumia wananchi na kuwahujumu bx atumbulie watu wanakosa amani kwenye nchi yao kutokana na viongozi wasio na utu kwenye madalaka angazia jicho eneo wiraya ya kibiti na viunga vyake kunamaozea chungumbovu
Ni kweli Mama anafanya kazi sana na tunampenda, lakini muwe mnatushukuru basi na wananchi kwa kulipa kodi. Mama hatoi pesa mfukoni kwake!
Hilo hawalioni mlipa kodi kwao hana thamani kila kitu mama wakati na yeye ni mwajiriwa
Hili ni gonjwa sugu kweli
Sifa zote kwa walipa kodi mnatukamua vizuri mpk mnapata magari mazuri
Rav 4 Old model n gari imala sana ikifungwa engine ya Subaru kwaajili ya kuongeza speed...
Saizi naimani na mother sana kutumbua tumbua ndicho napenda tupo pamoja mother hata ndege wape❤❤❤❤
Wangepewa bajaji ndio inatumia mafuta kidogo..
Bajaji Ya nyoko tumia akili mtu anaongoza wilaya afu aishi kimasikini Acha wivu Dismas
Kwahyo ukiongoza wilaya ndo inakuaje@@simonmalegesi414
😂😂😂😂
Mwenye nacho ataongezewa na siyekuwa nacho na kile kidogo atapokonywa badala ya kupunguza matumizi ndioooo kwaaanzaaa wanaongoza matumizi😢
Hivi ingekuwa gari ndogo isingeweza kufika kwa wananchi hadi katika mashina??
Mungu akufanyie wepes Kila penye uzito inshaa Allah
Asante baba tukumbuke na sumgwi hatuna maji mkuuu
Namshukuru rais kutumia fedha zake kuwanunulia mashangingi wakuu wa wilaya wasiohitajika bali kuongeza mzigo kwa walipa kodi.
Huyu jamaa yuko poa sana muda si mrefu atapewa ukuu wa mkoa, nipo nimekaa hapa
Mzee Wa First Class
Ufanye kazi kweli ilo gali sio lako nikodi zetu ole wako ubebee mkaa😪🇹🇿
😅😅😅😅 umenichekesha ujue
😅😅😅😅😅 hiii jamani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu tuombe sisi wanyonge atupe uzima
Hizi ni kodi zetu sio kila kitu mnashukuru hovyo
😂😂😂 ila Millard hka ka jamaa kama kuka brand unajitahidi
Magoti jitahidi kujua unaongea nini n wapi....itakusaidia kujipambanua vizuri zaidi.
Muache kama alivyo ungekuwa ww ungeweza kupangilia maneno?
@@philemonmagesa5548 sijamkosoa nampa angalizo maana namkubali sana
Awe anaandaluwa hotuba pia utulivu ktk kusikiliza kero ya mwananchi
@@philemonmagesa5548aajili mtu wa kumuandalia hotuba asome km mama.
Mungu akufanyie wepesi
Hakika hyu mkuu anastahili usafiri ili aweze kufanya kazi vizuri Zaid kisarawe mm binafsi ninakuombea sana mkuu wa wilaya yetu,kwa sababu nimekuelewa baba
ibraimu traole ananunua matrekta kwa hajili ya wananchi mnapeana magari ya kifahali tu
Mimi nawapenda kwadhati wananchi wangu
Alikuwa anatumia pick up 😂
Mh rais kwani hizo pesa kazitowa mfukoni kwake hizo ni kodi za wananchi
Wakuu wa wilaya magari makubwa nchi hii ina pesa kasoro tu wananchi wake ndio kweli wanafaa kuitwa wanyonge siamin Kama kunasiku unyonge utatoka
Tafuta pesa mnyonge unamikono na miguu
Unyonge utatokaje nawakati watu wamekaliwa kichwani, hawa wenyewe kutatua kero hawa wezi maana wenyewe hawa nikero tuu
Hapo Mama Samia kapunguza garama kwa Wakuu wa Wilaya kuwapa Prado make wengine baadhi walikuwa wakitumia Land Cruiser v8
Fanya kazi
Iko siku wananchi naowatakulabata
Father KUNENGE piga kazi
Hongereni
Duhuuu yaserekari
Sawa mkuu🎉
Yaani hutu dc magoti toka nimemjua clip zake sizikosi ananifurahisha sana😂!
Jina ARISON
Kweri kabxa mueshimiwa wangarie hasa wananchi wa wiraya ya kibti hukonako kunalafunyingi za viongozi kuwafanyia wananchi wanyonge na niombe tu kama kunakiongozi asiye wahudumia wananchi na kuwahujumu bx atumbulie watu wanakosa amani kwenye nchi yao kutokana na viongozi wasio na utu kwenye madalaka angazia jicho eneo wiraya ya kibiti na viunga vyake kunamaozea chungumbovu
Fanyeni kazi sio maneno viongozi
Wazo langu ni kwamba sisi walipa kodi ndiyo tumetoa gari hilo siyo Raisi.
Miwani sasa jamani 😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣😂
Sisi wananchi tunakupenda Mh magoti
Madam dc umenoga
Magot oyeee
Hela ya mafuta atapata wapi?
Magot yupo moto
Madaraka matamu sana... unauhakika wa maisha mazuri... huduma sa kiafya, elimu kwa watoto, milo na ulinzi
Kwa hiyo ulikuwa unalala
Safi
Mfanye kama askari police wa ifakara mjini anatemberea baiskeri kutatuwa kelo za wananch cyo plado
😅😅😅😅😅🤦
Acha mbwewe
Kwani rav4 au landrover si economy ma prado ya nn
Vitu juu maprado ya nanunuriwa
Kuchwa cha habari
Kumbe uyu ndo mkuu wa mkoa wa pwani🥺🥺