DC MAGOTI AFUNGUKA BAADA YA KUPEWA GARI, 'SASA NYUMBANI SILALI, FURSA KUSIKILIZA WANANCHI'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 66

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam3534 Месяц назад +5

    Ni kweli Mama anafanya kazi sana na tunampenda, lakini muwe mnatushukuru basi na wananchi kwa kulipa kodi. Mama hatoi pesa mfukoni kwake!

    • @haroldtarimo3115
      @haroldtarimo3115 Месяц назад

      Hilo hawalioni mlipa kodi kwao hana thamani kila kitu mama wakati na yeye ni mwajiriwa
      Hili ni gonjwa sugu kweli

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Месяц назад +10

    Sifa zote kwa walipa kodi mnatukamua vizuri mpk mnapata magari mazuri

  • @emmanuelmduda2354
    @emmanuelmduda2354 Месяц назад +6

    Rav 4 Old model n gari imala sana ikifungwa engine ya Subaru kwaajili ya kuongeza speed...

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Месяц назад +4

    Saizi naimani na mother sana kutumbua tumbua ndicho napenda tupo pamoja mother hata ndege wape❤❤❤❤

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 Месяц назад +11

    Wangepewa bajaji ndio inatumia mafuta kidogo..

  • @TumainiMbati
    @TumainiMbati Месяц назад +3

    Mwenye nacho ataongezewa na siyekuwa nacho na kile kidogo atapokonywa badala ya kupunguza matumizi ndioooo kwaaanzaaa wanaongoza matumizi😢

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 Месяц назад +3

    Hivi ingekuwa gari ndogo isingeweza kufika kwa wananchi hadi katika mashina??

  • @sharifgojo878
    @sharifgojo878 Месяц назад +1

    Mungu akufanyie wepes Kila penye uzito inshaa Allah

  • @FelisterAyubu-pk2fl
    @FelisterAyubu-pk2fl Месяц назад

    Asante baba tukumbuke na sumgwi hatuna maji mkuuu

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Месяц назад

    Namshukuru rais kutumia fedha zake kuwanunulia mashangingi wakuu wa wilaya wasiohitajika bali kuongeza mzigo kwa walipa kodi.

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje Месяц назад +2

    Huyu jamaa yuko poa sana muda si mrefu atapewa ukuu wa mkoa, nipo nimekaa hapa

  • @faridikondo3669
    @faridikondo3669 Месяц назад +1

    Mzee Wa First Class

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Месяц назад +4

    Ufanye kazi kweli ilo gali sio lako nikodi zetu ole wako ubebee mkaa😪🇹🇿

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Месяц назад +2

    Mungu tuombe sisi wanyonge atupe uzima

  • @SauliBasso
    @SauliBasso Месяц назад

    Hizi ni kodi zetu sio kila kitu mnashukuru hovyo

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 Месяц назад +2

    😂😂😂 ila Millard hka ka jamaa kama kuka brand unajitahidi

  • @MalakiGerald-bh5jv
    @MalakiGerald-bh5jv Месяц назад +9

    Magoti jitahidi kujua unaongea nini n wapi....itakusaidia kujipambanua vizuri zaidi.

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 Месяц назад +2

      Muache kama alivyo ungekuwa ww ungeweza kupangilia maneno?

    • @MalakiGerald-bh5jv
      @MalakiGerald-bh5jv Месяц назад

      @@philemonmagesa5548 sijamkosoa nampa angalizo maana namkubali sana

    • @RenaldaZeramula
      @RenaldaZeramula Месяц назад

      Awe anaandaluwa hotuba pia utulivu ktk kusikiliza kero ya mwananchi

    • @RenaldaZeramula
      @RenaldaZeramula Месяц назад

      ​@@philemonmagesa5548aajili mtu wa kumuandalia hotuba asome km mama.

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 Месяц назад

    Mungu akufanyie wepesi

  • @FelisterAyubu-pk2fl
    @FelisterAyubu-pk2fl Месяц назад

    Hakika hyu mkuu anastahili usafiri ili aweze kufanya kazi vizuri Zaid kisarawe mm binafsi ninakuombea sana mkuu wa wilaya yetu,kwa sababu nimekuelewa baba

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Месяц назад

    ibraimu traole ananunua matrekta kwa hajili ya wananchi mnapeana magari ya kifahali tu

  • @ErickMacha-sb2ot
    @ErickMacha-sb2ot 9 дней назад

    Mimi nawapenda kwadhati wananchi wangu

  • @RickyHabib-by4im
    @RickyHabib-by4im Месяц назад +3

    Alikuwa anatumia pick up 😂

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t Месяц назад +1

    Mh rais kwani hizo pesa kazitowa mfukoni kwake hizo ni kodi za wananchi

  • @VenaEliki
    @VenaEliki Месяц назад +4

    Wakuu wa wilaya magari makubwa nchi hii ina pesa kasoro tu wananchi wake ndio kweli wanafaa kuitwa wanyonge siamin Kama kunasiku unyonge utatoka

    • @simonmalegesi414
      @simonmalegesi414 Месяц назад +2

      Tafuta pesa mnyonge unamikono na miguu

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv Месяц назад +4

      Unyonge utatokaje nawakati watu wamekaliwa kichwani, hawa wenyewe kutatua kero hawa wezi maana wenyewe hawa nikero tuu

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 Месяц назад +1

      Hapo Mama Samia kapunguza garama kwa Wakuu wa Wilaya kuwapa Prado make wengine baadhi walikuwa wakitumia Land Cruiser v8

    • @nasrikhoja9664
      @nasrikhoja9664 Месяц назад +1

      Fanya kazi

  • @ErickMacha-sb2ot
    @ErickMacha-sb2ot 9 дней назад

    Iko siku wananchi naowatakulabata

  • @adudeswalehe8724
    @adudeswalehe8724 Месяц назад +1

    Father KUNENGE piga kazi

  • @SilajiYusuph
    @SilajiYusuph Месяц назад

    Hongereni

  • @MehmetMtonga
    @MehmetMtonga Месяц назад

    Duhuuu yaserekari

  • @MezdDimoso-j1j
    @MezdDimoso-j1j Месяц назад

    Sawa mkuu🎉

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад

    Yaani hutu dc magoti toka nimemjua clip zake sizikosi ananifurahisha sana😂!

  • @sonmchina
    @sonmchina Месяц назад

    Jina ARISON

  • @user-yb6ut9in5c
    @user-yb6ut9in5c Месяц назад

    Kweri kabxa mueshimiwa wangarie hasa wananchi wa wiraya ya kibti hukonako kunalafunyingi za viongozi kuwafanyia wananchi wanyonge na niombe tu kama kunakiongozi asiye wahudumia wananchi na kuwahujumu bx atumbulie watu wanakosa amani kwenye nchi yao kutokana na viongozi wasio na utu kwenye madalaka angazia jicho eneo wiraya ya kibiti na viunga vyake kunamaozea chungumbovu

  • @KUPASteven
    @KUPASteven Месяц назад

    Fanyeni kazi sio maneno viongozi

  • @isayakiyeyeu6295
    @isayakiyeyeu6295 Месяц назад

    Wazo langu ni kwamba sisi walipa kodi ndiyo tumetoa gari hilo siyo Raisi.

  • @COMPASSIONMEDIA
    @COMPASSIONMEDIA Месяц назад +1

    Miwani sasa jamani 😅

    • @JJTSUPERCLEANER
      @JJTSUPERCLEANER Месяц назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣😂

  • @user-kv8sq6qz7g
    @user-kv8sq6qz7g Месяц назад

    Sisi wananchi tunakupenda Mh magoti

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 Месяц назад

    Madam dc umenoga

  • @aloycesingano1352
    @aloycesingano1352 Месяц назад

    Magot oyeee

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Месяц назад

    Hela ya mafuta atapata wapi?

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Месяц назад

    Magot yupo moto

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 Месяц назад

    Madaraka matamu sana... unauhakika wa maisha mazuri... huduma sa kiafya, elimu kwa watoto, milo na ulinzi

  • @athumanmbululo3980
    @athumanmbululo3980 Месяц назад

    Kwa hiyo ulikuwa unalala

  • @fridolinefrance1353
    @fridolinefrance1353 Месяц назад

    Safi

  • @MehmetMtonga
    @MehmetMtonga Месяц назад

    Mfanye kama askari police wa ifakara mjini anatemberea baiskeri kutatuwa kelo za wananch cyo plado

  • @MehmetMtonga
    @MehmetMtonga Месяц назад

    Acha mbwewe

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 Месяц назад +1

    Kwani rav4 au landrover si economy ma prado ya nn

  • @MehmetMtonga
    @MehmetMtonga Месяц назад

    Vitu juu maprado ya nanunuriwa

  • @yudatadeimdoe9215
    @yudatadeimdoe9215 Месяц назад

    Kumbe uyu ndo mkuu wa mkoa wa pwani🥺🥺