VIDEO: SHUHUDIA MELI YA MV. MWANZA IKISHUSHWA MAJINI KWA MARA YA KWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 окт 2024

Комментарии • 88

  • @benmuberwa2092
    @benmuberwa2092 Год назад +6

    Naomba kuishauri serikali, badala ya kujenga meli za mizigo ambazo zinagharimu hela nyingi na zinachukua muda mrefu, wafikilie kujenga barges (vitasari) vinavyo vutwa na tag ship. Hivi viliwahi kuwepo enzi za ukoloni. Pia usafiri huu unatumika sana kwenye mto wa Mississippi marekani na mto Rhine huko Europe. Hizi hazina gharama kubwa ya uendeshaji na nirahisi kujengwa/kutengenezwa. Barge moja ina weza kuchukua zaidi ya tani 1200 na tag ship inaweza kuvuta zaidi ya barges 10 kwa wakati mmoja.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Год назад +6

    HAYO YOOOTE MAGUFULI ALIYASEMA, NA A LUTAJUWA , NDI MAANA ALIAMUWA MRAD I HUU UFANYIKE. NA HUU MRADI NIKUKUMBUSHE T U SIYO WA RAIS SAMIA. SAMIA ANAMALIZIA TUU YALE MAGUFULI ALIYAANZISHA . KUTOKANA N A AKILI ALIZOKUWA NAZO. MWACHENI MAGUFULI AITWE MAGUFULI. ( BULLDOZER). GENIUS MAN.

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад

    Nyie simkuwa mnasubiri msaada WA WAZUNGU nyinyiiiiii kazi nzuri ya magufuli hyo mnamdanganya naniiiii JPM

  • @lucymussaabinego1753
    @lucymussaabinego1753 Год назад +8

    Badala ya kuonyesha tukio unatuonyrsha mahutuba...
    We vipi

  • @mathewben9983
    @mathewben9983 Год назад +16

    Alaf kuna baadh ya watu wanalazmisha watanzania wote waseme JPM alikua mwovu!!! Kama kuna mabaya alifanya na mema yake ndo haya pia,hela hazkua zake lakn alzisimamia vema.Hongera kwa Samia pia kusimamia kaz iloanzishwa na mtangulizi wako.Kikubwa hii nchi ni yetu sote

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud6648 Год назад +8

    Ulale salama kipenzi cha watanzania

  • @wardakangezi6942
    @wardakangezi6942 Год назад +6

    Asante magufuli

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Год назад +13

    Nashauri iitwe MV JPM

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Год назад +1

    Mama Samia kazi iendeleee chapa kazi mama Walisema kuwa unataka kuyiuza Tanzania hakuna kama mwenyezi mungu ndie anaejuwa kila kitu niya yako kwa kumuomba mwenyezi mungu pamoja na wafanyakazi walio shughulika na kazi mwenyezi mungu kakujalia umemaliza kazi hongera sana pamoja na wananchi mjuwe kuwa mkono mmoja hauvunji chawa

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 Год назад +8

    R.i.p maguful

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад

    Tunakupenda sana rais wetu japo haupo urifanya mambo makubwa ungekuwepo ungetufikisha mbari sana

  • @marianablessed7135
    @marianablessed7135 Год назад +9

    Viva JPM.

  • @amanimsholla3071
    @amanimsholla3071 Год назад +1

    Ukisema simba wa yuda kwa wale wanasoma neno la mungu na matumizi yake wanaelewa nguvu iliyomo kwenye neno hilo magu ni noma

  • @YamunguYb
    @YamunguYb Год назад +5

    Pumzika kwa Aman JPM

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 Год назад

    Atupele Mwakibete siyo Atupile Mwakibete

  • @fettyally8603
    @fettyally8603 Год назад +5

    Rocky City stand up, home sweet home

    • @madirishasimon9692
      @madirishasimon9692 Год назад

      Mwanza itabadilika sana miundo mbinu hii ikiisha na kuna ule mpango wa green city ambao utabadili kabisa taswira ya mwanza

  • @barikimoshi4443
    @barikimoshi4443 Год назад +1

    Mbona video ni tofauti na maelezo uliyotoa!!😟 Unaelwa ulichokua unafanya kweli!!

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Год назад +5

    Nyinyi kwa vile mnatetea kazi zenu ndo maana mnasema eti miradi ga MAma. KUSEMA K WELI M AMA HANA MRADI WOWOTE ZAIDI YA FILAMU YA TOUR. YOOTE YALIYOBAKI NI VIPOLO VYA MAGUFULI.

    • @berthatz
      @berthatz Год назад +2

      😂😂

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Год назад +2

      @@berthatz
      Valena lete namba Ya Vidapesa nikuwee hela ukanywe Pepsi Ya baridiiiiii.
      Huo ndio ukweli usio pingika kwanza kwa Chuma mwenyewe ni kama hiyo Meli sasa inafanya kazi.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Год назад

    Cerezo yetu ipo au wapigaji wanataka meli waagize nje na sio kutengenezea ktk cerezo yetu ya hapo mwanza

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 Год назад +1

    Ilo meli linakunywa mafuta hio ni sawa na mv mapinduzi 2 yaani wamechukuwa ramani kwenye mapinduzi 2 serikali imesimamisha safari zake kwa sababu ya mafuta hailipi kabisa

  • @onescaniaonescania8227
    @onescaniaonescania8227 Год назад +1

    Uyo mkurugenzi ametafuna Sana Ela za iyo meli mpaka shingoo umekuwaa kama mdudu

    • @stevenkisinda
      @stevenkisinda Год назад

      Aisee hela tamu ivi mtu akivimba nyuma ya shingo tunaita Nini eti

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 Год назад

    Mama wa Africa mashariki,Samia suluu ameonyesha wakina Mama wanaweza abarikiwe kazi nzuri.

    • @makereziron2918
      @makereziron2918 Год назад +1

      We hujui...meli imejengwa kwenye uongozi wa Magufuli huyu anamalizia tu

  • @rashidjuma5385
    @rashidjuma5385 Год назад

    ni nzur

  • @benjaminmayala6375
    @benjaminmayala6375 Год назад +1

    Sasa mbn zoezi halionekan? Inaonekana tu tayal IPO Majin ndo nn sasa

  • @lucymussaabinego1753
    @lucymussaabinego1753 Год назад +2

    Angekuwa Fulani ingekuw tabu leo...lakini ...mwenyewe katulia tuli...kazi iendelee

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Год назад +1

      Wala hasikii vibaya Naibu waziri kwenda kwenye tukio. Serikali Ni moja, mikono ya utekelezaji ni mingi.. taarifa ifikishwe kikaoni. Yule Hadi kituo Cha afya ilikuwa yeye.. saa ngapi hawajamuona Kama mungu?

    • @elizabethnyirato9856
      @elizabethnyirato9856 Год назад +1

      Kwasababu sio maono yake ,yeye yule ni kwasababu alikua anafurahia ndoto zake zikitimia ndio maana alishiriki mara kwa mara

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Год назад +1

      @@elizabethnyirato9856 Daraja la kilombero alijenga yeye? Mbona hakumtaja aliyejenga wakati wa uzinduzi?

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Год назад

      MWENYE MRADI NI MAGUFULI, period

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Год назад +1

      @@mimiraia2531 Eeeee.. Aliondoka ame-fund miradi yake Sasa hv wanasimamia tuu. 🙄🙄

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 Год назад

    Kazi iendelehe mama rais Samia oyee rais mwenye huruma kwa watanzani asiye kuelewa mama shujaa Basi cc tunasonga mbele ili mradi watu tunaona

  • @abdiomarmohamed1103
    @abdiomarmohamed1103 Год назад

    Hoyee kwetu Tanzania yenye Nia!🥊🥊🥊

  • @daressalaampost5785
    @daressalaampost5785 Год назад +1

    Kichwa cha habari na kilichomo vitu viwili tofauti, mbona hatuoni ikishushwa?

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Год назад +6

    Mkurugenzi yuko na afya njema 😂😂

    • @godlovekagoma8339
      @godlovekagoma8339 Год назад +1

      Haki nilikuwa natafuta hii comment

    • @ngailotony
      @ngailotony Год назад +1

      Toka mtoto yupo hivyo namfahamu vizuri sana,sema huko kisogoni ndiyo kumezidi kwa sasa. Lol 😆 🤣 😂

    • @hisanmwakijungu10
      @hisanmwakijungu10 Год назад

      @@ngailotony hahahaha atari na nusu

  • @aizakhabib6373
    @aizakhabib6373 Год назад

    SAFI SANA,👍🏻👍🏻👍🏻

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад

    Hakuna asie ijuwa kazi ya magufuri

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад

    Hakuna mtanzania asie juwa nyinyi hamna MRADI wowote zaidi ya kutuibia,

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Год назад +2

    Hongera Tanganyika kwa maendeleo

    • @husseinmramba
      @husseinmramba Год назад +1

      Mbona unaleta/kuchochea ubaguzi ndugu....Tanganyika ndio nin sasa, ubaguzi kaa nao mwenyw usitake watu wafikirie kama wewe

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 Год назад +1

      @@husseinmramba likifanyika jambo lolote la maendeleo Zanzibar wewe kma wewe utasema hongera Zanzibar kwa maendeleo or utasema hongera Tanzania kwa maendeleo???

    • @husseinmramba
      @husseinmramba Год назад

      @@gangmore9091 wewe una chuki zako binafsi tu nyie watu zanzibar ndio mnaoleta habr za mtarafakano na mnaoleta ubaguzi kumbuka haya maendeleo yote yanayoletwa ni juhudi za serikali ya muungano ila unajarbu kujitenganisha ni dhahiri hutakii mema muungano na unajirb kupandikiz ubinafsi mbele ya umma kwa ujumbe wako wenye ukakasi

    • @jambo3751
      @jambo3751 Год назад +1

      @@husseinmramba Kuitwa Tanganyika ndio ubaguzi ?!!!
      Mbona nyinyi mnatuita WAPEMBA!!!
      Wacheni hizo... Mkataa asili mtumwa... Nyinyi ni waTanganyika.
      UTanzania kwenye muungano.

    • @stephanmanyerere735
      @stephanmanyerere735 Год назад

      Tunashukuru

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Год назад +1

    Magufuli Magufuli Magufuli

  • @stevenkisinda
    @stevenkisinda Год назад

    Msianze kupanda bado kiyoyozi na mtambo wa kuendeshea meli

  • @geey7893
    @geey7893 Год назад

    Imagine Magufuli angeendelea 5 tena?

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Год назад +1

    Saf sana

  • @raiderking4637
    @raiderking4637 Год назад +2

    Nchi tuuze

  • @isakamichael2610
    @isakamichael2610 Год назад

    red vn

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 Год назад

    Kazi ya jpm ? Cc watanzania tujitambue mwacheni jpm apumzke alipofikia rais wa awamu ya 6 kanzia hapo kaitimisha meli imeingia ziwani Nani huyu jpm? Au mama rais Samia ? Jaman tuachen malumbano tuijenge tanzania

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 Год назад +3

    RIP JPM

  • @franktangeki9342
    @franktangeki9342 Год назад +2

    ni MELI ya Abiria au ya kubeba Mizigo ? sababu tumezoea meli za kubeba mizigo hususani magari bandari ya dar es salaam ndio huwa ziko kama hii meli imefungwa pande zote.Jameni meli za abiria ata muki google huwa ziko kama hii ? angalieni usalama wa abiria kwanza musije mukaturudisha tena kwa mv bukoba

    • @berthatz
      @berthatz Год назад

      Nenda Zanzibar ukaone ile meli inayobeba abiria na mizigo kwenda Pema…iko kama hiii..

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Год назад

      Uzuri wa maji ya ziwa huwa hayasabishi vyuma kuchoka kwa haraka ndani ya miaka 30 inayokuja miji yetu itakuwa na watu wengi sana hiyo meli itatusaidia kuvusha watu na mizigo yao bila machovu ya mwili

  • @nguruwekikwete1635
    @nguruwekikwete1635 Год назад

    Jpm

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 Год назад

    Viva JPM RIP

  • @jasiminjasimin7694
    @jasiminjasimin7694 Год назад

    Yani Mimi nitakuwa naichukuwa ya kurara yani furu kulala japo ni nusu saa tu

  • @TANZAFORUM
    @TANZAFORUM Год назад

    ruclips.net/video/h1wze1_GV88/видео.html
    Dkt mwinyi awaibukia wananchi wa mfenesini

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 Год назад

    🙊🙈🙉

  • @juliussanga3234
    @juliussanga3234 Год назад

    Pp

  • @onescaniaonescania8227
    @onescaniaonescania8227 Год назад +1

    Uyo mkurugenzi ametafuna Sana Ela za iyo meli mpaka shingoo umekuwaa kama mdudu

    • @ngailotony
      @ngailotony Год назад

      Huyo ni asili yao ya ukoo wao wote,huyo toka mtoto ni kibonge hivyo hivyo, nimekuwa naye toka utotoni na nikaanza naye darasa la kwanza shule moja na darasa moja. Lol 😆 🤣 😂