TBA KUJENGA NYUMBA 370 DAR ES SALAAM WANANCHI KUNUFAIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2024
  • Wakala wa Majengo Tanzania TBA imesema miradi mikubwa wanayoifanya itawanufaisha watumishi wa serikali na wananchi kwa ujumla.hivyo ni vyema wakaungwa mkono kwa yale wanayoyafanya.
    Akizungumza na waandishi wa habari katika banda la TBA kwenye maonesho ya Kimataifa ya kibiashara Sabasaba jijini Dar es Salaam,Fredrick Kalinga Kaimu meneja wa mawasiliano na masoko TBA amesema lengo la wao kuwepo katika maonesho ni kuonesha umma namna ambavyo serikali kupitia Rais Samia Suluhu Hassan ipo na mikakati mikubwa ya kuijenga Tanzania kuwa bora zaidi katika miradi ya kimaendeleo.
    #ikulu #ikulumawasiliano

Комментарии •