Mchezaji wa kulipwa ambaye mkataba wake umekwisha kabla ya kipindi cha usajili anaweza kusajiliwa nje ya kipindi cha usajili, TFF itahitaji kujiridhisha juu ya kuaminika kwa hali nzima ya kumalizika huko kwa mkataba na maombi mapya ya usajili yanayokusudiwa, hali hii haitamhusu mchezaji ambaye mkataba wake umesitishwa au umevunjwa.
Mchezaji wa kulipwa ambaye mkataba wake umekwisha kabla ya
kipindi cha usajili anaweza kusajiliwa nje ya kipindi cha usajili, TFF
itahitaji kujiridhisha juu ya kuaminika kwa hali nzima ya kumalizika
huko kwa mkataba na maombi mapya ya usajili yanayokusudiwa, hali
hii haitamhusu mchezaji ambaye mkataba wake umesitishwa au
umevunjwa.
Nimeelewa vyema,
Ayub Tayari siyo mchezaji wa Simba alishatolewa alimpisha Camara SEMA Bado analipwa kama mwajiriwa