NANI KUMISHA MPANZU SIMBA? WACHEZAJI WA KIGENI LAZIMA WAUNGUE KUKIDHI MATAKWA YA TFF

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 3

  • @agripamwakapala
    @agripamwakapala 20 часов назад +1

    Mchezaji wa kulipwa ambaye mkataba wake umekwisha kabla ya
    kipindi cha usajili anaweza kusajiliwa nje ya kipindi cha usajili, TFF
    itahitaji kujiridhisha juu ya kuaminika kwa hali nzima ya kumalizika
    huko kwa mkataba na maombi mapya ya usajili yanayokusudiwa, hali
    hii haitamhusu mchezaji ambaye mkataba wake umesitishwa au
    umevunjwa.

  • @4revertv523
    @4revertv523 20 часов назад

    Nimeelewa vyema,

  • @Yuleyule-u6c
    @Yuleyule-u6c 7 часов назад

    Ayub Tayari siyo mchezaji wa Simba alishatolewa alimpisha Camara SEMA Bado analipwa kama mwajiriwa