NITAKA KUINGIA NEW VERSION KUTOKA KWAYA KUU KKKT MSEWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 79

  • @humphreymushi
    @humphreymushi 15 дней назад

    Huu ni wimbo wa Imani ya kweli ya Kila mwenye lmani ya kweli ya Kristo! Ukisikiliza huu wimbo, Unahitaji wakristo waliojitoa kwa Yesu katika ulimwengu wa Roho Kwa Dhati ya Mioyo yao! Siyo kwa Maigizo!! Kwaya za waasherati na wazinifu, na wanaotafuta wachumba kwenye kwaya, Hapo siyo mahali pake!!!

  • @IREENKAIRUTHI
    @IREENKAIRUTHI 2 месяца назад

    The pianist enjoyed the whoooole song. Nices voces! God bless you all🙏🙏🙏

  • @VoH-Official
    @VoH-Official  Год назад +7

    I love the song aisee dear friends

  • @DavidMlimba
    @DavidMlimba 11 дней назад

    Ubarikiwe sanasana

  • @danstunmdoe3152
    @danstunmdoe3152 2 года назад +4

    Haya mashindano hujenga sana kwaya zetu na kuweka ushindani mzuri katika makanisa yetu ya kilutheri

  • @VoH-Official
    @VoH-Official  2 года назад +10

    Organist 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @ibmsingers
      @ibmsingers 2 года назад +1

      Organist is puting some perfomances...Yuko Vema

    • @ahazkulanga243
      @ahazkulanga243 Год назад

      @@ibmsingers Amazing organ!!!

    • @kennethzebedayo797
      @kennethzebedayo797 Год назад +1

      Huyu aliyepiga kinanda kwa kweli anajua kazi yake na ameutendea haki wimbo haswa. Nimerudia zaidi ya mara 3. Inapendeza kusikiliza tena na tena.

    • @VoH-Official
      @VoH-Official  Год назад

      Anamafuta yake ya kipekee

    • @patiufreddy
      @patiufreddy 4 месяца назад

      Amina Baba🙏

  • @catherinenjeeri649
    @catherinenjeeri649 Год назад +6

    Jamaaniiii 🥰🥰🤪wanaimba vizuri na walitupiga chini kwenye Reformation🙆😁

  • @halizonihongoli4686
    @halizonihongoli4686 Год назад +2

    Msewe my home❤

  • @rehemamkamba9027
    @rehemamkamba9027 Год назад +2

    Nimekuja huku mbio baada ya kuwaona kijitonyama Mungu aendelee kuwatumia watumishi wa Mungu muwe na moyo mkuu

  • @danielmwakabumbe5304
    @danielmwakabumbe5304 2 года назад +4

    Aiseee msewe napenda mnavyoimba Sanaa mungu azidi kuwainua zaidi.

  • @SalvatoryJosephine-uq1kz
    @SalvatoryJosephine-uq1kz 10 месяцев назад

    Naikumbuka sana hii kwaya tulikutana segerea kwenye mashindano Mungu Aibariki sana uduma yenu.

  • @georgemburu2647
    @georgemburu2647 Год назад +1

    Hongereni Sana Waimbaji Tanzania kwa uimbaji mko 🔥🔥....naomba huu wimbo full kutoka Kwaya hiiii

  • @edwardobreymarunda496
    @edwardobreymarunda496 2 года назад +4

    PATIU safi saaana nasikia vidole vyako ndugu yangu....

  • @fredmhiche3614
    @fredmhiche3614 Год назад

    Naomba mkarekodi huu wimbo studio tafadhali

  • @VoH-Official
    @VoH-Official  Год назад +4

    I love this version 😢😢😢😢😢

  • @mwemamella1483
    @mwemamella1483 Год назад +4

    Beautifuly rendered... Tenors and sopranos performed 🤏

  • @PriskasatielSatiel
    @PriskasatielSatiel Год назад

    Msichoke kuitenda kazi yabwan❤❤❤❤

  • @nkamangi4707
    @nkamangi4707 Год назад +1

    Amaaaaaaaang amaaaaazing

  • @Tshiko84oslo
    @Tshiko84oslo 2 года назад +2

    Great voices! This choir makes one feels God’s presence. I am moved by everything.
    Hongera kwaya.

  • @mollelmeliack1016
    @mollelmeliack1016 Год назад +2

    Aisee kweli hiyo ni remix na wameitendea haki

  • @jenifakihwelu3194
    @jenifakihwelu3194 Год назад +1

    Huu wimbo huwa unanipa faraja sana kila ninapousikiliza. Mbarikiwe sana na mungu azidi kuwainua.

  • @ahazkulanga243
    @ahazkulanga243 7 месяцев назад

    Mchungaji @Gwakisa hii ulirekodi na camera au simu!! tone colour well captured!

  • @Kmmmm2022
    @Kmmmm2022 Год назад +1

    Mependa iyo sare yenu

  • @happytweve3568
    @happytweve3568 2 года назад +1

    Hongereni Sana kwaya kuu Msewe, mmechangamka kwa kweli. Mungu awape nguvu msichoke njiani

    • @VoH-Official
      @VoH-Official  2 года назад

      👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @janethlyimo8045
    @janethlyimo8045 2 года назад +1

    Hao wanaoinua mikono wanaimba kwa hisia hadi raha❤

  • @franktheson
    @franktheson Год назад

    Remind me of the days! Well done kwaya kuu.

  • @eliufoosimonchuri4160
    @eliufoosimonchuri4160 2 года назад +1

    Nyimbo za TMW ni nzuri sana. Barikiwa waimbaji

  • @joelsamwel2580
    @joelsamwel2580 2 года назад +3

    Wamechangamka adi rahaa 😊

    • @VoH-Official
      @VoH-Official  2 года назад +2

      Mnooooo niliwapenda

    • @nitikemwakyusa3786
      @nitikemwakyusa3786 2 года назад

      Ahsante sana mchungaji, tunakupenda pia mwimbaji mwenzetu. Karibu sana Msewe

    • @pendomoocha877
      @pendomoocha877 2 года назад

      @@VoH-Official niliupenda huo wimbo ila ulinikumbusha mbali😭

    • @VoH-Official
      @VoH-Official  Год назад

      @@pendomoocha877 Mungu akuimarishe

    • @inesmtoi7344
      @inesmtoi7344 Год назад

      Ni raha kutumika ndani ya yesu

  • @VoH-Official
    @VoH-Official  Год назад +1

    Sauyi ya pili uwiiiiii😢❤❤❤❤

    • @inesmtoi7344
      @inesmtoi7344 Год назад +1

      Ya kwanza mimi inanikosha Sana hasa solo artist wao ananibariki Sana, Wana good tonation Hawa watu Mungu azidi kuwainua

  • @elibarikmafie7490
    @elibarikmafie7490 Год назад

    Mungu awabariki Msewe mnaimba kwa uchangamfu sana

    • @VoH-Official
      @VoH-Official  Год назад

      Amina ndugu yangu. Mungu azidi kuwainua juu juu zaidi

  • @eddamsalilwa4876
    @eddamsalilwa4876 Год назад

    Mungu awabariki Sana Msewe, Mko Vizuri Sana.

  • @Tshiko84oslo
    @Tshiko84oslo Год назад +2

    Where in Tanzania is this church?
    I would like to visit this church one day

  • @elifurahajulius7597
    @elifurahajulius7597 2 года назад

    Yaani wamefanya vizuri Sana Hongereni msewe tumebarikiwa

  • @warenkeke7673
    @warenkeke7673 2 года назад +1

    Napenda vile wamepanga sauti. Mungu awabariki

  • @lupyanasamuel9425
    @lupyanasamuel9425 2 года назад +2

    😭😭

  • @Willygs18
    @Willygs18 Год назад

    To God be the glory!

  • @janethtuuli8766
    @janethtuuli8766 Год назад

    I love this🙏🙏🙏👌

  • @obadiabahizirearmand8977
    @obadiabahizirearmand8977 2 года назад

    Ooh my! I feel like flying

  • @exceedexpectationstourssaf5607
    @exceedexpectationstourssaf5607 2 года назад

    Absolutelty amazing

  • @ibmsingers
    @ibmsingers 2 года назад +1

    🔥🔥

  • @pharmkakema8845
    @pharmkakema8845 2 года назад

    Nabarikiwa sana.!!!! Napenda sauti ya tatu wamenibariki zaidi. Mungu akuongoze mtumishi tuendelee kubarikiwa na channel hii. 🥰

    • @VoH-Official
      @VoH-Official  2 года назад

      Yaaan mm zaidi mnoo

    • @innocentnnko2146
      @innocentnnko2146 Год назад

      Hakika sauti ya tatu inatuaminisha hakika nikishikwa na shida Yesu anatuwazia yaliyo mema sauti yenye msisitizo sana najisikia mtiririko wa chozi namkumbuka mwalimu wangu wa muziki Anthony Kambona Chaka Mungu ampe pumziko la milele.

    • @VoH-Official
      @VoH-Official  Год назад

      Aaaamen

  • @daggieoketch6239
    @daggieoketch6239 Год назад

    Plain goosebumps😅😅😅

    • @IREENKAIRUTHI
      @IREENKAIRUTHI 2 месяца назад

      @@daggieoketch6239 nice nice