Huu ni wimbo wa Imani ya kweli ya Kila mwenye lmani ya kweli ya Kristo! Ukisikiliza huu wimbo, Unahitaji wakristo waliojitoa kwa Yesu katika ulimwengu wa Roho Kwa Dhati ya Mioyo yao! Siyo kwa Maigizo!! Kwaya za waasherati na wazinifu, na wanaotafuta wachumba kwenye kwaya, Hapo siyo mahali pake!!!
Hakika sauti ya tatu inatuaminisha hakika nikishikwa na shida Yesu anatuwazia yaliyo mema sauti yenye msisitizo sana najisikia mtiririko wa chozi namkumbuka mwalimu wangu wa muziki Anthony Kambona Chaka Mungu ampe pumziko la milele.
Huu ni wimbo wa Imani ya kweli ya Kila mwenye lmani ya kweli ya Kristo! Ukisikiliza huu wimbo, Unahitaji wakristo waliojitoa kwa Yesu katika ulimwengu wa Roho Kwa Dhati ya Mioyo yao! Siyo kwa Maigizo!! Kwaya za waasherati na wazinifu, na wanaotafuta wachumba kwenye kwaya, Hapo siyo mahali pake!!!
The pianist enjoyed the whoooole song. Nices voces! God bless you all🙏🙏🙏
I love the song aisee dear friends
Ubarikiwe sanasana
Haya mashindano hujenga sana kwaya zetu na kuweka ushindani mzuri katika makanisa yetu ya kilutheri
Hutuimarisha mnooo
Organist 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Organist is puting some perfomances...Yuko Vema
@@ibmsingers Amazing organ!!!
Huyu aliyepiga kinanda kwa kweli anajua kazi yake na ameutendea haki wimbo haswa. Nimerudia zaidi ya mara 3. Inapendeza kusikiliza tena na tena.
Anamafuta yake ya kipekee
Amina Baba🙏
Jamaaniiii 🥰🥰🤪wanaimba vizuri na walitupiga chini kwenye Reformation🙆😁
Lakini wote tulimtukuza Mungu
Ameen hakika kabisa
Haha, poleni! Hapo lazima mpigwe
Msewe my home❤
Nimekuja huku mbio baada ya kuwaona kijitonyama Mungu aendelee kuwatumia watumishi wa Mungu muwe na moyo mkuu
Walikuwe kijitonyama
@@VoH-Official ndio nimewaona kwenye ibada
@@VoH-Official Tutakuja na azania front
Karibuni sana
@@VoH-Official asante tunasubilia mualiko wako any time tutafika kutoa huduma
Aiseee msewe napenda mnavyoimba Sanaa mungu azidi kuwainua zaidi.
Naikumbuka sana hii kwaya tulikutana segerea kwenye mashindano Mungu Aibariki sana uduma yenu.
Hongereni Sana Waimbaji Tanzania kwa uimbaji mko 🔥🔥....naomba huu wimbo full kutoka Kwaya hiiii
Msewe lutheran church choir
PATIU safi saaana nasikia vidole vyako ndugu yangu....
Asante sana Brother
Naomba mkarekodi huu wimbo studio tafadhali
I love this version 😢😢😢😢😢
Can I get full video of this choir singing this song??
Beautiful version....too devine
Beautifuly rendered... Tenors and sopranos performed 🤏
Msichoke kuitenda kazi yabwan❤❤❤❤
Amaaaaaaaang amaaaaazing
Great voices! This choir makes one feels God’s presence. I am moved by everything.
Hongera kwaya.
Aisee kweli hiyo ni remix na wameitendea haki
Penda sana Mungu awabariki
❤❤❤
Huu wimbo huwa unanipa faraja sana kila ninapousikiliza. Mbarikiwe sana na mungu azidi kuwainua.
Mchungaji @Gwakisa hii ulirekodi na camera au simu!! tone colour well captured!
Simu tu
Mependa iyo sare yenu
Hongereni Sana kwaya kuu Msewe, mmechangamka kwa kweli. Mungu awape nguvu msichoke njiani
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Hao wanaoinua mikono wanaimba kwa hisia hadi raha❤
Remind me of the days! Well done kwaya kuu.
Nyimbo za TMW ni nzuri sana. Barikiwa waimbaji
Wamechangamka adi rahaa 😊
Mnooooo niliwapenda
Ahsante sana mchungaji, tunakupenda pia mwimbaji mwenzetu. Karibu sana Msewe
@@VoH-Official niliupenda huo wimbo ila ulinikumbusha mbali😭
@@pendomoocha877 Mungu akuimarishe
Ni raha kutumika ndani ya yesu
Sauyi ya pili uwiiiiii😢❤❤❤❤
Ya kwanza mimi inanikosha Sana hasa solo artist wao ananibariki Sana, Wana good tonation Hawa watu Mungu azidi kuwainua
Mungu awabariki Msewe mnaimba kwa uchangamfu sana
Amina ndugu yangu. Mungu azidi kuwainua juu juu zaidi
Mungu awabariki Sana Msewe, Mko Vizuri Sana.
Where in Tanzania is this church?
I would like to visit this church one day
@msewe lutheran church choir
Dares alam
Yaani wamefanya vizuri Sana Hongereni msewe tumebarikiwa
Napenda vile wamepanga sauti. Mungu awabariki
Nzuri mnoo
😭😭
To God be the glory!
I love this🙏🙏🙏👌
Ooh my! I feel like flying
True
Absolutelty amazing
🔥🔥
Nabarikiwa sana.!!!! Napenda sauti ya tatu wamenibariki zaidi. Mungu akuongoze mtumishi tuendelee kubarikiwa na channel hii. 🥰
Yaaan mm zaidi mnoo
Hakika sauti ya tatu inatuaminisha hakika nikishikwa na shida Yesu anatuwazia yaliyo mema sauti yenye msisitizo sana najisikia mtiririko wa chozi namkumbuka mwalimu wangu wa muziki Anthony Kambona Chaka Mungu ampe pumziko la milele.
Aaaamen
Plain goosebumps😅😅😅
@@daggieoketch6239 nice nice