Grandes e lindas vozes dessas madres, junioras, noviças, postulantes e aspirantes👌👌👌. Deus seja louvado em todos os momentos🙏🙏. Deus abençoe e fortifica as vocações dessa congregação 🙏🙏🙏 🇦🇴🇦🇴🇦🇴
Ee mwenyezi Mungu uwalinde watoto wako hawa. Sauti za kimalaika. Mbinguni sijui panafananaje .Makerubi na maserafi .Nimepata faraja na kuinuliwa mpaka juu
Hongera sana Masista wa Convent ya Imiliwaha kwa Maandalizi ya Jubilei ya Miaka 50 ya Nyumba yenu na Utume katika Jimbo Katoliki Njombe. Ora et Labora Daima.
Du nimekumbuka seminar itaga nikiwa kidato cha kwanza muhula wa pili masifu ilikuwa jioni mpaka machozi yamenitoka mungu yu mwema asante masista mungu awabariki
Mmenilea katika njia bora na njema ya kumpendeza Mungu utiii ikiwa nguzo bora kwangu barikiwa sana watawa wote wa nyumba ya mt.Gertrude imiliwaha
Mungu yu mwema. Nawashukuru masista wetu ...nimekumbuka mbali sana miaka ya 1992 nikiwa Pre Seminary Matola...nimebarikiwa sana...
Asante Mungu kwa zawadi ya watawa. Hongereni sana kwa jubilei ya miaka 50 katika nyumba ya Imiliwaha
Hongera sana masista wa imiliwaha, Bwana awatunze daima
Mungu awabariki masista wote duniani. Nimeikumbuka shule yetu st.gertrude.2008
Shetani anahaha akiona hivi. Mbarikiwe kwa kujitoa na kutuombea.
Bila kusahau waliotangulia mbele za haki wakapunguziwe adhabu ya kaburiii wakapate kustarehe kwa amani👏
Mungu Awabariki waimbaji wote kwa nyimbo za kumtukuza Mungu
Matron wangu Sr. Eliza, Sr.kanisia, sir. (Makodo) jina la utani Sr. Angela (rip). Sr Alexia Sr wency nawapenda Sanaa
Sir Agape umemsahau
Mungu wangu uwe nasi siku zote amina
Asie mpenda mama malia yesu amsamehe maana hajuwi analolitenda,mungu awabaliki milele na milele amen
This reminds me of my life in formation house, I love what I'm seeing. May God be praised
Grandes e lindas vozes dessas madres, junioras, noviças, postulantes e aspirantes👌👌👌. Deus seja louvado em todos os momentos🙏🙏. Deus abençoe e fortifica as vocações dessa congregação 🙏🙏🙏 🇦🇴🇦🇴🇦🇴
Nimekumbuka shule masifu ya jioni yalikuwa kitu nisicho kosaa😍😍
Inapendeza.
Super. Mungu awatunze masista wetu
Mwenyezi Mungu awatunze na kuwalinda katika imani kwa ajili ya Bwana wetu Yesu kristo
Nafurahia masifu haya,najiona kuwa kwenye uso wa Yesu
Ongera kwenu enyi wanakwaya Mungu awabariki sana kwa kutupatia kibao kitamu. Na muzidi kumwimbia nyimbo za mafundisho
God bless more to more agein
Ee mwenyezi Mungu uwalinde watoto wako hawa. Sauti za kimalaika. Mbinguni sijui panafananaje .Makerubi na maserafi .Nimepata faraja na kuinuliwa mpaka juu
Hongereni masista mnaimba juu sana duuuu mpaka wengine kikohozi kinawashika mpiga kinanda ajitahidi ku tune funguo za kawaida zisizo umiza koo
I pray for my young brother who died few years ago, I hope he heard this when the angels carried him away
Nimeyamiss sana masifu jamani.mjini sijui kukoje.
Hakika, Mungu awatunze kwa kujitoa kwenu ilikumtumikia yeye,Amina.
Mungu ibariki jumiya yetu ya Imiliwaha!!
Salamu masista pia hongereni kwa utume
Mungu awatie nguvu katika kumtumikia yeye
Mungu awatie nguvu siku zote za utume wao
Nimevutiwa sana
Asante mungu kwa watawa wote na watumishi wako. Amen
Safi Sana Dada zetu mungu awalinde sanaaàaaaa
Nimebarikiwa sana na masifu haya usiku wa leo.. kupitia watawa nimeuona uso wa Yesu
Wow! It is so beautiful. Thank you sisters.
Mungu awabariki
Hongera sana Masista wa Convent ya Imiliwaha kwa Maandalizi ya Jubilei ya Miaka 50 ya Nyumba yenu na Utume katika Jimbo Katoliki Njombe. Ora et Labora Daima.
Hongereni Masista wetu Mungu atukuzwe daima
Sifa kwako Ee Kristo.
Nimependa muno mungu azidishe imani katolic amin
Muumba yu mwema atawalipa kila mmoja atakavyomgusa kwa imani yake. Mutuombee nasi wenye mapungufu.
Mungu wabariki Masista wote
Ee Mungu tunakusifu
Mungu awasadie mdumu katika wito wenu ambao mungu amewaitia.
safi sana watawa
mungu atudumishe ktk wito huu mt.
Maria Mlwilo ....
Mungu awapiganid
Asante Sana mungu uliye juu
God bless you and wishing Almighty to be with you all.
Mungu ibariki jumuiya yetu na
Glory be to God
Walezi wangu
mtuombee katika ibada zenu.
Ee Mungu ibariki jumuiya yetu
Mungu awaongoze
Du nimekumbuka seminar itaga nikiwa kidato cha kwanza muhula wa pili masifu ilikuwa jioni mpaka machozi yamenitoka mungu yu mwema asante masista mungu awabariki
@@thobiasfuraha2709 Amina
Furaha ya milele umpe ee bwana apumzike kwa amani mdogo angu George kilanga Maganya
Let God be praised forever
Nafurahia Sana watawa wote duniani
...nimekumbuka na ile zaburi...yanamacho hayaoni, yanamasikio hayasikii..., yanapua hayanusi,...yanamikono hayapapasi.....
Jamani, haya bhana nimecheka Kwa nguvu. Hongera Kwa kukumbuka, MPE MUNGU UTUKUFU.
Nimebarikiwa sana nimehama dunian kw mda nkawa peponi
Hongereni sana. Mungu awabatiki. Nimekumbuka vespere ya Peramiho na akina Sr Faraja, sr. Fredeswida, + sr Martina na wengine jamani tuombeeni na sisi
❤🙏❤
Nawaomba sala zenu,
Bwana akujibu siku ya Dhiki na kila umwitapo akuitikie. Jina LA MUNGU WA YAKOBO Likuinue. Akupelekee Msaada wake toka PATAKATIFU PAKE. Amina.
Mungu wangu uwe nasi siku zote amina