UISLAM BORA NI WA KATI KWA KATI SHEIKH ABDUL HAMID YUSUF MAHMUD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • #SHEIKHABDULHAMIDYUSUFMAHMUD#mawaidha #annusratv

Комментарии • 5

  • @AdidjaHassan-xn5tx
    @AdidjaHassan-xn5tx 3 месяца назад +2

    Maa shaa Allah tabaaraka llahu sheikh wetu Allah akuhifadhi na akuzawadie hisnul khaatimah kwa mapenzi yake Allah. Nakupenda li ajli llahi.
    Allah anizawadie mime mwenye elimu ya dini mchamungu na awe mvumilivu wa madhaifu yangu awe mwalim wangu
    Aamiina ya rabbi

  • @Vagaboy028
    @Vagaboy028 3 месяца назад +2

    🙏🙏🤲🤲

  • @fataw-sheikh-saleh-fawzan.
    @fataw-sheikh-saleh-fawzan. 2 месяца назад

    Uisilam wa kati kwa kati ni kuweka kila kitu mahali pake wewe abdul hamid mche Allah ! Kama wewe wataka jamii wa Burundi wakuone mtu mzuri basi hiyo utaharibu aqida yako mche Allah !
    أخرجه الإمام البخاري في صحيحه، وذكر فيه النبي صلى الله عليه وسلم أبغض أصناف الناس إلى الله؛ المُلحد في الحرم، والمبتدع في الإسلام سنة جاهلية، والساعي في قتل مسلم بغير حق،
    Wewe unataka tuwe na ma hizbi kitu kimoja tuwe na watu wa bida'a kitu kimoja, tuwe na ma shi'a kitu kimoja hiyo ni dini gani ?

  • @balkissMuhammad-sk1ic
    @balkissMuhammad-sk1ic 2 месяца назад

    Bismillah

  • @MariamUmande
    @MariamUmande 3 месяца назад +1

    Kunatofauti kati ya hasadi na dhana na yaliyo takeya Burundi
    Mtu alitaka kubadilisha maana akasema maulid na kongamano ni kitu kimoja kayazungumza wazi wazi mitandaoni
    Ulitaka wamfwate
    Abdul Hamid usiwe kama wanazoni wa kiyahudi kuwaukumu wanyonge
    Kama masheikh wa Burundi wasine simama na kukataza bidah basi maulid ingerudi Burundi