MAANA NA TAFSIRI ZA NDOTO: SABABU 3 ZA KUOTA NDOTO ZAIDI YA MARA MOJA YAANI KUJIRUDIARUDIA /MUYO TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • There are three basic reasons to why your dream repeats twice or more. Its either God wants to prove the matter or you are not sensitive enough to take action to what is communicated to you through a dream.
    Sababu ziko 3 ambazo ni aidha Mungu anataka kuthibitisha ujumbe wake, au inajirudia kwa sababu hujali. Mwl Mussa Kisoma anafafanua zaidi.
    Subscribe na share pia.
    Ukiwa na jambo lolote tafadhali tuwasiliane kwa namba 0753469525 au email: kisomaking@gmail.com

Комментарии • 13

  • @NellyKombe
    @NellyKombe Месяц назад

    Amina

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie256 4 года назад +2

    Amen, mwanangu amechelewa kutembea na kuongea, nimeota mala nyingi sana kuwa nafurahia ananza kutembea na kuongea, asante mtumishi wa Mungu,

  • @neemambaraka4771
    @neemambaraka4771 2 года назад +1

    Mimi naota ndoto nmezaa na mkaka ambaye nilishawah kuw kweny mahusiano nae ila sas hatupo pamoj...nmeot ya kwanz nmezaa nae mtot wa kiume lakin akafaruk,ya pili nmezaa nae mtot wa kike,hii ya mwisho nmeota nmezaa nae mtot wa kike afu niko nafurah san nikaon niko pamoj nae na familia yake pia wote wananifurahia....nakosa kujua maan yake nisaidie tafadhali

  • @penuelinaamsi2146
    @penuelinaamsi2146 9 месяцев назад

    Mchungaji mm nimeota ndoto binti yangu wa kazi anatembeaa na mume wangu ,,hii ndoto nimeota zaidi ya mara 3 siku tofauti na leo nimeota tena kila nikiamka nikiamka inajirudia tena ,, naomba msaada wa kutafsiriwa

  • @rizikimarie6765
    @rizikimarie6765 3 года назад

    Asante sana mtumishi wangu mimi nilishaota mara 3 naombea watu wenye kufa nawanafufuka sijuwi nifanye nini naomba unisaidie nchungaji

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 10 месяцев назад

    Asante sana mtumishi wa Mungu

    • @BroMussaKisoma
      @BroMussaKisoma  10 месяцев назад

      Amen.
      Kupata masomo zaidi jiunge na channel yetu ya telegram gusa link hii: 👉🏾t.me/pastormussa1234
      Tunaweza kuwasiliana: 0753 469525
      Mungu akubariki.

  • @princessjumaa3398
    @princessjumaa3398 2 года назад

    Mimi nimeota babangu amefariki nikamuka nikaota tena nikashtuka nikaota tena.

  • @sharifubakari7058
    @sharifubakari7058 Год назад +1

    Mimi mpangaj mwenzang mke wa mtu namuota mara mara kwa mara tupo chumbn kwang hii ina maana gan?

    • @BroMussaKisoma
      @BroMussaKisoma  Год назад

      Kuna mtego wa shetani utapitia kwa mpangaji. Kuwa makini na omba Mungu kuharibu kila mipango ya Shetani