Msafara wa JPM baada ya kutua Zanzibar kushiriki maadhimisho miaka 56 ya Mapinduzi
HTML-код
- Опубликовано: 9 янв 2020
- #JPM #Zanzibar #Miaka56Mapinduzi
Rais Dk John Magufuli amewasili kisiwani Zanzibar kushiriki maadhimisho ya miaka 56 ya mapinduzi ya Zanzibar yanayotarajiwa kufanyika katika uwanja wa Amani jumapili hii.
Kuna gar iyo imekaa kama komvoyi nyeusi haikosi kwenye msafara WA JPM achia kama na weye umeiyona achia like yako
Hatar sn JPM Yupo juu
Will always miss you Chuma 😭😭😭
Nimemisi hizi purukushani za magari ya mkuu wa nchi...!! Miss you magufuli
Zenjy imedamsh