HOUSE GIRL EP 40 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 875

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Месяц назад +222

    Mwendo wabandika bandua kma unamkubali mama candy kua mkweli weka like hpa from Oman 🇴🇲

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад +6

      ❤❤❤

    • @user-hf7pk2lx4v
      @user-hf7pk2lx4v Месяц назад +4

      Candy heri upoteze vitu zote lakini kukana mama mzazi hiyo ni laana asiyeskia la mkuu huvujika guu

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 Месяц назад

      Tunawashukuru sana kwa Move nzuri ​@@busatitv

    • @user-uz7uq5lj5w
      @user-uz7uq5lj5w Месяц назад +2

      🎉🎉🎉🎉 Nawakubali Sana Jamani 🎉🎉🎉🎉kwahilo kofi la kwenye chavu 😮😮😮😮atari😂

    • @YasmeenKhalifa-zq1zk
      @YasmeenKhalifa-zq1zk Месяц назад +1

      🇴🇲

  • @JacksonVicent-i1t
    @JacksonVicent-i1t Месяц назад +33

    ❤ hii tamthilia cjalala nilikua nakusubir hiki kipande brothers mnajua sana

  • @YohanaKagundo
    @YohanaKagundo Месяц назад +41

    Wakwanza Leo Mimi naombeni like 10 kwajili ya dada wa kazi

  • @CarolineMurugi-bt5dz
    @CarolineMurugi-bt5dz Месяц назад +50

    From kenya guys,,,mwenye anaona kendo anamfanyia mamake vibaya ngonga like hapa jamani😅

  • @lovnell6462
    @lovnell6462 Месяц назад +73

    Mm kama shabiki naombeni likes ata Tano tw❤

  • @user-qd7ey5cp5s
    @user-qd7ey5cp5s Месяц назад +33

    Watu wa kuomba likes hapa kama watoto ni lini mtakuwa watu wazima sasa😏😏hakuna siku mtawahi ongea mambo ya muhimu kupitia hii filamu na mjifunze kitu hapa....acheni utoto😏😏😏mnaboo sana

  • @Mwanamvua-ze5ls
    @Mwanamvua-ze5ls Месяц назад +35

    Wangap wanamkubli kendi kuitwa shida 😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂gonga like apo

    • @queenyqadoty
      @queenyqadoty Месяц назад

      Hilo jina linamfaa sana😂😂😂😂

    • @queenyqadoty
      @queenyqadoty Месяц назад

      Hilo jina linamfaa sana😂😂😂

    • @Mwanamvua-ze5ls
      @Mwanamvua-ze5ls Месяц назад

      @@queenyqadoty 😀😀😀😀😆😂

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 Месяц назад +3

    Hongeren San Kwa Kaz nzur Mung awabarik sana nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @user-yp7qy2qf7k
    @user-yp7qy2qf7k Месяц назад +4

    Mama ni mama hata kama unamzidi elimu candy mamako na unamfanyia hivo 😢😢😢😢😢

  • @ministerlightnessrobert5342
    @ministerlightnessrobert5342 Месяц назад +95

    Wale tunao ona ndowa ya zuu na kahi itafungwa like apa😊

  • @JoselyneMutama
    @JoselyneMutama Месяц назад +3

    Yani sijui nisemeje kunawtu wnajua kucheza kbx nimepata funzo kbwa kbx.kazi nzuli sana.naw penda mno.

  • @brendakhasiala7343
    @brendakhasiala7343 Месяц назад +7

    Tangu EP 1 adi hii Leo Wacha ni comment aki nime fell mamake shida wah kweli kabisa hiyo ni uchungu, kumzaa adui yako 😢, like zi come basi

  • @Mariam55-hz8if
    @Mariam55-hz8if Месяц назад +4

    Huyu candy kiboko sana yaan mama ake anamjibu kama mke mwenzake na huyo masozi saut kama kaweza sabufaa😂😂😂😂😂kudangia vilema hii noma sana

  • @masikitotv
    @masikitotv Месяц назад +6

    Busati tv mambo ni moto MR TASHA umetisha sana

  • @user-jr1qx1sj8t
    @user-jr1qx1sj8t Месяц назад +7

    Ucmdharau mzazi ata kama ana magumu kumbuka yy alikulea akiwa na maisha hayo hayo ya dhiki 2heshimu sana wazaz 2uangalie kisa cha candy na kai 2kielwe nawapenda wote❤❤

  • @user-mq3zd9vk2p
    @user-mq3zd9vk2p Месяц назад +3

    Pole sana mama candy waaah hii movie ina Mafunzo mengi sana big up sana 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f Месяц назад +28

    Leo130 naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Месяц назад +9

    Cendi Wwe Aya Kma Ndio Maisha Kweli Cjui Ungekuaje Maana Naona Mtto Uliepatikana Kwa Shuda Ungekuwa Unamfita Mmako Machozi Aliopitiya Yuma Nawe Ila Funzo Zuri❤❤❤❤

  • @PurityWaithira-ud2vj
    @PurityWaithira-ud2vj Месяц назад +3

    Mie naombeni msamaha kazi imekuwa nyingi huku qatar😢, naombeni like tafadhali ingawa ni saa chelewa

  • @UniceMsomi
    @UniceMsomi Месяц назад +10

    Naona watu hamlali duh sio pw jaman Ata dakika1 haijaisha ila watu mpo😂😂😂Aya bana kutoka zanzibar apa ❤

  • @Emeraldlady16920
    @Emeraldlady16920 Месяц назад +10

    Wawooooh hatimaye mama lend kuonyesha ukweli kuhusu kandy

  • @SleepingEyes-ej3ir
    @SleepingEyes-ej3ir Месяц назад +9

    Wa Kwanzaa nipeni like wapenzi much love from Canada ❤❤

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol Месяц назад +1

    Aya Aya Tena kumekucha Tena Jiji amuogopi Aya wale wif zake zuu kutoka 🇴🇲🇴🇲 kwenda tz tujuwane bas ukiwa na waif za Bure za warabu raha busat tv akiweka nimooooo Hila pole sana mama cend

  • @mauamshindo2558
    @mauamshindo2558 Месяц назад +9

    Sehem ya comment ni yakutoa mawazo na mlichojifunza nyie mnaomba like😂😂😂🙌

  • @JacksonVicent-i1t
    @JacksonVicent-i1t Месяц назад +10

    Shabiki no one member NN mm APA mkurya niso na baya tarime moja kichwa radi panga sheria nawakubali sana wakongwe kai zuh hii part unyama sana ❤❤❤

  • @user-xn7ru6fl6q
    @user-xn7ru6fl6q Месяц назад +16

    Wa tatu leo like zenu

  • @RehemaSospeter-vu4ms
    @RehemaSospeter-vu4ms Месяц назад +9

    Yan kwenye tamthilia zingine watu hawaombi like km humu jmn....hemu acheni

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 Месяц назад +33

    Yaani comment zilizojaa ni kuomba like tuu !! Hebuu kuweni watu wazima basi acheni utoto. Mnakeraaa😏😏😏😏😏

  • @user-ti5mt6cr7v
    @user-ti5mt6cr7v Месяц назад +3

    Wanao mkubari mam cendy kusema ukweli weka like

  • @user-dn3sn2fk9v
    @user-dn3sn2fk9v Месяц назад +8

    40 ep house girl here we go❤❤❤❤❤❤❤❤❤ I wish isiishe iendelee Tu at ad 1000ep😂😂😂

    • @juma3473
      @juma3473 Месяц назад +1

      Kweli kabisa nzuri sana sana usimalize jamani iwe kama ya kihindi ❤❤❤❤❤❤❤

    • @user-os3tt6ru7k
      @user-os3tt6ru7k Месяц назад

      Hahahaha

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t Месяц назад +98

    Nimewahi naombaeni like kidogo please 😢😂😂😂❤❤❤

  • @kalambonews
    @kalambonews Месяц назад +7

    Mbona dada wakazi ajawai like comment yangu au Hana smart phone adi sasa 🤔🤔🤔

  • @Asha-xc1nc
    @Asha-xc1nc Месяц назад +1

    Yani Kila kukicha movi n 🔥🔥🔥nawapenda jaman sana🎉🎉🎉from🇰🇪🇸🇦

  • @AdelaLudovick
    @AdelaLudovick Месяц назад +4

    Wanaoniunga mkono kuwa waongeze dakika like zenu tafazali

  • @JasminiSabun
    @JasminiSabun Месяц назад +5

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭kumbe watoto wakubakwa ndo wako hivo

    • @adelinaomani9012
      @adelinaomani9012 Месяц назад

      Wengi wao wasumbufu sabu ya waliomzalisha hiyo ndo ndo tabia sasa mtoto piahulisi

  • @user-qm7jn4bn6f
    @user-qm7jn4bn6f Месяц назад +1

    Nakubal sana kazi yenu

  • @irenengowi8657
    @irenengowi8657 Месяц назад +1

    Sahvi hta sio nzurii hii movie jaman zuu the way awamuonyeshi sana na kai

  • @user-gu2yu2wp1z
    @user-gu2yu2wp1z Месяц назад +1

    Aisai sio kwa kibuli hicho,,kwa hpo ilipofika kuna kakitu kana kuja,waigizaji n mashabiki wenzang nawapendeni snaaa snaa ❤

  • @user-or7bm5ui5f
    @user-or7bm5ui5f Месяц назад +9

    Wa kwanza jaman naomba like 2

  • @Tumasalo99
    @Tumasalo99 Месяц назад +3

    Busati Wamejua kuuvaa uhalisiaa bhnaaaa 🎉🎉🎉🎉Twende kazii 41......

  • @user-hp3vn4kc4s
    @user-hp3vn4kc4s Месяц назад +2

    Kazi nzuri Mr. Kai

  • @IshakaMachanoMakame-sb2xx
    @IshakaMachanoMakame-sb2xx Месяц назад +2

    Mnazingua banaaaa

  • @ShakilaHussein
    @ShakilaHussein Месяц назад +1

    Mashallah move nzuli Sana mwenyezi mungu azidi kuwapa ufaham na ujuzi makubwa zaidi ya hapa inshallah nawapenda Sana ❤❤❤❤❤🙏🙏

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j Месяц назад +1

    Waaaaah yan moto juu ya fire 🔥 tu saiii yan mngemuacha ajiue man anadharau sana huyo nawakubali sana much love from saudi ❤❤❤❤kai hapo usijishaulishe ukampenda tena fanya yote ila umutafute zuu kai ❤❤❤❤

  • @christine7744
    @christine7744 Месяц назад +4

    Waaa candy jamani weee hata kma ni move ata nalia much love you guys❤❤❤

  • @MizeMatano-nb9pj
    @MizeMatano-nb9pj Месяц назад +21

    Wenye tumeisubiria kwa hamu tujuane hapa mnipe like ata tatu🎉🎉🎉

  • @GreatestSwordsman
    @GreatestSwordsman Месяц назад +3

    Hizo like mnazo omba mnaenda kupanguzia mavi au, mnakera sana

  • @AshaNzara
    @AshaNzara Месяц назад +3

    😂😂😂kaeni kwa kutulia

  • @NathanaelSimoni-cu4wk
    @NathanaelSimoni-cu4wk Месяц назад +2

    Kazi nzuri sana

  • @Franciscah-ks5zq
    @Franciscah-ks5zq Месяц назад +8

    nilisubiria kwa hamu na ghamu hii

  • @LovenessValentine-nn7wm
    @LovenessValentine-nn7wm Месяц назад +2

    Nimewahi Leo jamani maana house girl inanifanya nikeshe mie but nawapenda❤

  • @mariamsalehabdulla6825
    @mariamsalehabdulla6825 Месяц назад +5

    Wa kwanz mm leooo nilikuw naisubr kw hamuuu

  • @aishaqassim1777
    @aishaqassim1777 Месяц назад +4

    Leo nimewahi wakwanza ila nawapenda 😊😊😊mungu awabaliki kwakazi nzuli ❤❤❤❤

  • @jofumwakalambo1097
    @jofumwakalambo1097 Месяц назад +3

    Kwanza mm jaman toka sumbawanga

  • @zanishaikhonge7296
    @zanishaikhonge7296 Месяц назад +4

    Kidogo nimewahi jaman kazi nzur pamoja sana

  • @sussymtunga3673
    @sussymtunga3673 Месяц назад +1

    Mambo imechemka hku sana waaa aki 😂😂😂😂😂 candy uko na vitisho...... very interesting nangoja the next part 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ElizabethOuma-j4s
    @ElizabethOuma-j4s Месяц назад +2

    Isay mnabamba hapa mie Niko shule wee mnabadilsha matendo yanyu well done

  • @OfficialZuli-ve5kh
    @OfficialZuli-ve5kh Месяц назад +2

    🎉🎉🎉 nzuriii yenyee kuvutia kuelimisha na kuburudisha

  • @user-bg3it2pf6r
    @user-bg3it2pf6r Месяц назад +3

    Naombeni mumuache candy ajiuwe😂😂😂mfungieni chumba afe kiroho safi😂😂😂

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 Месяц назад +6

    Heee washajaa kila mahali

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад +2

    Candy alopiga mamake jiwe la kichwa kisa chakula kai ndie ulitarajia awe mkeo😢...inasikitisha, watoto tuwapende na kuwajali mama zetu hata watokee kutupata katika mazingira gani

  • @user-le6xc6ei5x
    @user-le6xc6ei5x Месяц назад +3

    Wakwanza leo 😂😂team zuu miko juu

  • @Dayana-o4z
    @Dayana-o4z Месяц назад +3

    😂😂😂waaah wewe sio cendy wewe n shida

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Месяц назад +3

    Huyo ndio shida bhana sio Candy tena duuuh

  • @MymunaMuna-qn5lo
    @MymunaMuna-qn5lo Месяц назад +5

    hata kwenye tivi nyumbani wambieni wawape like kwenye tivi maana kwenye simu tumechoka like like khaaaa mnachosha

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf Месяц назад +2

    😂😂😂aty candy anaitwa nani??? Mama candy wewe ni bonge la mama sasa poor shida kubali 😂shida ni dramatic woman kajiue basi😅 nawapenda guys kwa kazi nzuri ❤❤

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj Месяц назад +2

    Jamn msimlaumu cendy vile alivyo ni kwasababu cendy anababa sita yaan ajulikani baba😅

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx Месяц назад +3

    Hii movie aky inamafunzo lkn sijui kama nayaona mm au pia nyinyi waomba like mnaona au nivip, anyway tuwapende wazz wetu na tusiwe wepesi wepesi wa kuamini marafika tukaacha mashauri ya wzz, napia kugawa sio poa unajidhalilisha 😂😂 yaaan kugawa kitumbuaaa 😂😂😂

  • @user-cy2rb4pf7e
    @user-cy2rb4pf7e Месяц назад +3

    Safi sana kay, like tu jamani

  • @chandigamoses05
    @chandigamoses05 Месяц назад +3

    Wakwanza leo ❤❤❤

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 Месяц назад +4

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉 woyoo tupo chonjo team zuu

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx Месяц назад +4

    Uyo mimi sasa

  • @Jumambogo123
    @Jumambogo123 Месяц назад +3

    Mimi sitaki like zenu

  • @user-lu7vs8wd8v
    @user-lu7vs8wd8v Месяц назад +1

    Mimba ya candy aka shida ilitakiwa kutibiwa na p 2 mapema sana

  • @dottonangemo2166
    @dottonangemo2166 Месяц назад +2

    Huyo ndio candy ukisikia mwengine photocopy tupo sambamba na we candy mpaka radhi ikutafune😂

  • @AjathSwaibu
    @AjathSwaibu Месяц назад +23

    Leo nimekua wakwanza naombeni like jaman wapendwa na mpenda sana zuu na Kai

  • @user-gy1tu7wv8d
    @user-gy1tu7wv8d Месяц назад +2

    Candy kweli ni Shida😅😅😅si bure ya iyo kina lake😂😂😂😂si wamwache hajiue

  • @WeddyMithika
    @WeddyMithika Месяц назад +3

    Much love from kenya🇰🇪

  • @AidatAmadi
    @AidatAmadi Месяц назад +2

    Iiih kipande ata sio nzur Yan maadis yamekuwamengi

  • @user-ky7cf6nm8d
    @user-ky7cf6nm8d Месяц назад +2

    Mmewai ila namimi nimewai team kai 🎉🎉🎉🎉

  • @Igra254
    @Igra254 Месяц назад +3

    Uchungu wa mwana ajuaye ni mama usimdharau mama mzazi hata mamamlezi samahani ❤Kwa upendo likes za mamake candy

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ Месяц назад +26

    Mnaoomba like mnaenda kupika kama mbogas au niadje

  • @GivenessJamal
    @GivenessJamal Месяц назад +1

    Hongerani kwa kutufunza na kutuburudisha

  • @LUKASNGOMBANIZA
    @LUKASNGOMBANIZA Месяц назад

    Mnastahir sifa kwasababu kazi yenu ninzuri tunaipenda Sana ofcourse inatuelimisha wanajamii wenzenu. Ahsanten na mungu azidi kuwafunulia maarifa yakutoa mafundisho kwasababu tunaamini bado mnamengi yakutufunza zaidi.❤❤❤

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Месяц назад +1

    Jmn sofia ni mwiko wa pilau lkn kajeuri sanaa kimbaombao

  • @VioletGerald-dl9wr
    @VioletGerald-dl9wr Месяц назад +23

    Nimewah leo jaman wap like

  • @VaneGesare-wf7oq
    @VaneGesare-wf7oq Месяц назад +3

    Weuh kendi mbona humkatae mama kazi kwl kendi cio poa

  • @ShazzLizz
    @ShazzLizz Месяц назад +4

    Hadi Mimi nataka likes jamani kutoka Kenya❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @marynabwile4086
      @marynabwile4086 Месяц назад

      Aki,usituangushe wakenya huwa hatuombi likes huku likes ni kama wimbo

    • @LINDAKARANI-jx3dr
      @LINDAKARANI-jx3dr Месяц назад

      ​@@marynabwile4086mwambie

  • @user-sr7pk7vb8o
    @user-sr7pk7vb8o Месяц назад +2

    Jamanii wa kwanza leooo😅

  • @zaharahamadi3784
    @zaharahamadi3784 Месяц назад

    Nawapenda san inamafuzo mengi sana ala awabariki sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ❤❤

  • @Nailah736
    @Nailah736 Месяц назад +2

    Yenye nimekumbuka kwa hii movie 😢😢😢😢😢eeeh mola nijazie neema na ujasiri 😢

  • @AnicethaLaurent
    @AnicethaLaurent Месяц назад +1

    Aaaah nanyie mnatuma tusehemu tufupi sana ongezeeni dk kidogo bas...tunasublia sehemu ya 41 msitucheleweshee jamani

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ Месяц назад +81

    Nyie watu sio WAZURI mmeshafika kumbe ila acheni kuomba like mnazingua aiseeee

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 Месяц назад +2

    Wapeni wenzenu hongera na sio kuomba like jamani kwani mnataka mzipeleke wapi hizo like mbona akili hamna

  • @nasmaramdhan-bf3bm
    @nasmaramdhan-bf3bm Месяц назад +6

    Naomben like jaman

  • @user-lz1qv1xe4w
    @user-lz1qv1xe4w Месяц назад +2

    😂😂😂😂😂leteni next episode nataka kujuwa shida ambaye ni candy atafanya nn hii kipindi emenifunza mengi sana

  • @annwanalo7813
    @annwanalo7813 Месяц назад +2

    Jamani Leo nimewai 🎉🎉❤jamani ata like Moja tu ❤

  • @HalimaBakari-hg5py
    @HalimaBakari-hg5py Месяц назад +2

    Shida nae 😅😅😅😅😅

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula Месяц назад

    Shinda ana ujeuri kweli, Anyway hongera sana busati tv, Nimekua wa mwisho kutoka kenya 🇰🇪 Wale wa kwanza rudi mnipe likes kwanza❤❤❤❤

  • @user-uo2xk2et5n
    @user-uo2xk2et5n Месяц назад

    Waah,,nnasema silali paka niione ❤❤🎉🎉