SUNDAY SURVICE :REV NIMROD SWAI -UBATIZO WA MAJI MENGI-TAREHE21/8/2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 16

  • @njarasnerciwellah5875
    @njarasnerciwellah5875 7 дней назад

    Listening to this in the morning before I go to Jordan River kubatizwa. Shukrani

  • @TinaKibena
    @TinaKibena Год назад

    Najua mwaka unaenda sasa tangu ulipo ondoka dodoma,binafsi mimi nakuelewa sana baba yangu

  • @akothchristine4752
    @akothchristine4752 11 месяцев назад

    Amiina

  • @ChedyMlwale-kx9ms
    @ChedyMlwale-kx9ms 6 месяцев назад

    Barikiwa mchungaji kwa fundisho

  • @EliyaJames-fn3dz
    @EliyaJames-fn3dz Год назад

    Wewe ni mwl mzuri sana

  • @MustaphaMasobe
    @MustaphaMasobe Год назад

    Nashukuru Kwa Neno,lakini usihukumu,kazi ya Mungu kuhukumu,katika habari ya ubatizo, wa maji mengi yaani ubatizo wa Toba,Mitume walibatiza Kwa Roho mtakatifu,naktaftia andiko ,utufafanulie!

  • @AyubuSimkoko
    @AyubuSimkoko Год назад

    Safi

  • @EvahNyassa-xh2fo
    @EvahNyassa-xh2fo Год назад

    Upo vzr saaaana

  • @amedesamki425
    @amedesamki425 3 месяца назад

    Yesu alimwambia nicodemo mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuingia ufalme wa .mbinguni

  • @marymax4520
    @marymax4520 Год назад +1

    Biblia haijaandika mambo yote,ila sisi kama wafuasi wa kristo tunatakiwa kumfata Yesu kama alibatizwa kwa maji mengi nasi tubatizwe kwa hayo maji mengi. Neno linasema kikombe nilichokinywea mimi nanyi mtakinywea na ubatizo niliobatizwa mimi nanyi mtabatizwa (marco 10:39)full stop.kikubwa ni kuomba tu ili Mungu afungue fahamu zetu tuyajue na maandiko 🙏🙏🙏

  • @EvahNyassa-xh2fo
    @EvahNyassa-xh2fo Год назад

    Good

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Год назад

    Ufahamu huja kupitia roho, hivyo ubatizo halisi hujui, na huyo roho ni wa ufahamu wa uongo, jiufunze kwa mjumbe wa agano Duniani upate ufahamu wa Roho Mtakatifu.

  • @MustaphaMasobe
    @MustaphaMasobe Год назад +1

    Mchungaji,Kama Cornelio,alibatizwa na Familia yake yote,hapakuwa na watoto?,

    • @lauthandondile
      @lauthandondile 10 месяцев назад

      Unamaanisha nin? Watoto wa umri Gani? Coz hata babu ni mtoto Kwa mzazi wake