Nashukuru Kwa Neno,lakini usihukumu,kazi ya Mungu kuhukumu,katika habari ya ubatizo, wa maji mengi yaani ubatizo wa Toba,Mitume walibatiza Kwa Roho mtakatifu,naktaftia andiko ,utufafanulie!
Biblia haijaandika mambo yote,ila sisi kama wafuasi wa kristo tunatakiwa kumfata Yesu kama alibatizwa kwa maji mengi nasi tubatizwe kwa hayo maji mengi. Neno linasema kikombe nilichokinywea mimi nanyi mtakinywea na ubatizo niliobatizwa mimi nanyi mtabatizwa (marco 10:39)full stop.kikubwa ni kuomba tu ili Mungu afungue fahamu zetu tuyajue na maandiko 🙏🙏🙏
Ufahamu huja kupitia roho, hivyo ubatizo halisi hujui, na huyo roho ni wa ufahamu wa uongo, jiufunze kwa mjumbe wa agano Duniani upate ufahamu wa Roho Mtakatifu.
Listening to this in the morning before I go to Jordan River kubatizwa. Shukrani
Najua mwaka unaenda sasa tangu ulipo ondoka dodoma,binafsi mimi nakuelewa sana baba yangu
Amiina
Barikiwa mchungaji kwa fundisho
Wewe ni mwl mzuri sana
Nashukuru Kwa Neno,lakini usihukumu,kazi ya Mungu kuhukumu,katika habari ya ubatizo, wa maji mengi yaani ubatizo wa Toba,Mitume walibatiza Kwa Roho mtakatifu,naktaftia andiko ,utufafanulie!
Huyu hajahukumu ila anaekeza kweli ya neno
Safi
Upo vzr saaaana
Yesu alimwambia nicodemo mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuingia ufalme wa .mbinguni
Biblia haijaandika mambo yote,ila sisi kama wafuasi wa kristo tunatakiwa kumfata Yesu kama alibatizwa kwa maji mengi nasi tubatizwe kwa hayo maji mengi. Neno linasema kikombe nilichokinywea mimi nanyi mtakinywea na ubatizo niliobatizwa mimi nanyi mtabatizwa (marco 10:39)full stop.kikubwa ni kuomba tu ili Mungu afungue fahamu zetu tuyajue na maandiko 🙏🙏🙏
Good
Ufahamu huja kupitia roho, hivyo ubatizo halisi hujui, na huyo roho ni wa ufahamu wa uongo, jiufunze kwa mjumbe wa agano Duniani upate ufahamu wa Roho Mtakatifu.
Huna hoja
Mchungaji,Kama Cornelio,alibatizwa na Familia yake yote,hapakuwa na watoto?,
Unamaanisha nin? Watoto wa umri Gani? Coz hata babu ni mtoto Kwa mzazi wake