Mtunza Hazina Mkuu wa TAG, Nimrod Swai | Uzinduzi Maadhimisho Miaka 85 ya Kanisa la TAG

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Mtunza hazina Mkuu wa TAG Taifa, Mchungaji Nimrod Swai akizungumza katika siku ya uzinduzi rasmi wa sherehe za maadhimisho ya miaka 85 ya kanisa la TAG.
    Uzinduzi huu umefanyika leo tarehe 6 Januari, 2023 katika viwanja vya shule ya ATLAS ilioko Madale, Dar es Salaam.
    Endelea kutufuatilia kwa habari zaidi kuhusu tukio hili pamoja na mengi yatakayokuwa yanaendelea hivi karibuni kuelekea kilele cha maadhimisho haya yatakayofanyika Dar es Salaam katika uwanja wa Uhuru mwezi wa Julai.

Комментарии • 1