Na maneno aloyazungumza Ustadh Said Omar ashiraziy ktk khutba ya Ijumaa ni ya ukweli kabisa mimi ni mmoja wapo nazifatiliya sana Mawaidha yako ushahidi upo wazi ktk mitandao labda uzi delete wewe ulipokuwa ukiyazungumza na ukaona watu wako kimnya ukajua kuwa hata watu wa Twariqa wanakuunga mkono lkni hukujua kama kifimbo kinakuja sasa tuliya wacha kutumiwa kuharibu majina ya watu
YAANI MTUME ALIBASHIRI WATATOKEA WANACHUONI WAJINGA WATAPOTEA NA WATAPOTEZA NDIO HUYU SHAFI JINGA TUU SHEIKH SAIDI WA MAMBRUI UKO SAWA MUNGU AKUPE KILA LA KHERI
Alafu nyinyi ni majahili kweli. Hamuelewi hata mfahamishweje.Tumesema hapa mipasho si mahali pake. Sheikh shafii kazungumza kielimu kwa hoja na dalili.Sasa nyinyi kama mnajiamini Vunjeni hoja kielimu
Yaa wewe Shafii ni mvuta bangi kweli. Ukitukanwa wewe binafsi usihusishe Utanzania na Ukenya unaleta balaa lingine kwa ajili ya Matamanio yako. Mimi ni mtanzania sikubaliani na ujinga wako huu.
asalam alykum ndugu zangu mm naomba kitu kimoja kwakua wote 2 mnatufundisha bc msigombane kwakua tunawapa maadau kuongelea dn yetu naomba sana kama na mm nimekosea mnisamehe ila tusigombane jamani
Kumbuka ushia ndilo dhehebu la kwanza kwenye madhahabu ya kiislam usiongee tu km mpumbavu anaongea mwingine unaingiza ushia ndani yake jaribu kuwa na akilia kwani shekhe shafihhi kakosea km njoo basi ww mwenye elimu utuweke sawa km vp
Endelea sheikh kwa kuwatowa watu kwenye giza ya uwahabi na kwa kuwapeleka kwenye nuru ya uislam na hata ikiwa wengineo hawataki kuskia na ndo sababu unakuta kwenye qoran takatifu allah anasema wengineo gawafahamu, hawataki kuskia,...... Mungu akubariki na akupe afia nzuri ndefu allahumma amiin
Huyu anayeitwa Shafi Al Basalam ni 100% ni mshia,na kwa wenye elimu ni rahisi kumuweka wazi Taqiyah zake,ambazo ni kawaida kwa mashia kutumia,ni watu wa Hila,tatizo jirani zangu waliojitwika sufiya,ambao chanzo chake kikubwa cha bidaa zao,ni zao la urithi kutoka kwenye upotofu wa ushia,mkimsikiliza kwa makini utamuona yupo katika kupiga Vita wema waliotangulia,huyu kış hakuna wazi kabisa na kusema asiyefuata ushia,huyo ni mpotofu,huyu ni mshia,na nia yake ni kuwachanganya waislamu,na kuwapotosha katika njia ya haki,ni mrongo,tenant anajaribu kutengeneza sumu yake yakugawa na kupotosha,Enyi masufiya fuateni njia ya haki,na wacheni kuwakumbatia mashia,hao ni maadui wa dini ya Allah,na njia ya haki.
Hapo labda umetukanwa wewe na sio Sisi Watanzania ushauli wangu elim ni adabu n'a Tabia njema ukiwa n'a Tabia njema utabeba elimu yenye manufaa. Pia elimu kaa chin ya mashekhe zako utawin
Kweli tutarejea kwa Allah kumuomba radhi kwasababu kila mja nimkosaji. Lakini ishu ya kusema muawiya na ibn taymiyah ni makafiri hapo haturudi nyuma hadi mtupe hoja za kielimu. Kwani jamaa kina washinda nini kujibu.
Hutaki mipasho hoja za kielimu Mtume S.A.W maisha yake yote hakuwai kutukana na kuwaita watu Makafir huyo shafii hapo ana vitabu kibao atoe tu kitabu kimoja Mtume S.A.W aliwai kuita mtu Makafir hata baada ya Vita vya Badr Mtume S.A.W alienda kuangalia wale Makafir walokufa kwa alama alizoziweka yeye kuwa abu jahal ataanaguka na wengeo alipofika pale walipokufa Mtume S.A.W hakuwaita kafir aliwaita kwa majina yao japo alijuwa walikufa na ukafiri. Kwa huyu asikae kukufurisha waislamu kwa kutumia jina la Twariqa tuna adabu zetu twamueshimu yoyote muislamu hata kama tumeikhtalifiana nae
@@abubakaromar6101 sheikh wangu naona unazidisha mipasho tu. Hivi nikuulize katika vitabu vyote vya masheikh na maulamaa wakiislam hamna neno ukafiri waislam wenyewe kwa wenyewe kuambizana.Marangapi watu wamewaita mashia makafiri? Alafu silazima mtume ataje ukafiri moja kwa moja.mtume kwenye hadithi anasema muawiya atakufa nje ya mila yakiislam. Je ukifa nje ya mila yakiislam wewe si kafiri? Nakama si kafiri ni nani?
Huyu anayeitwa Shafi Al Basalam ni 100% ni mshia,na kwa wenye elimu ni rahisi kumuweka wazi Taqiyah zake,ambazo ni kawaida kwa mashia kutumia,ni watu wa Hila,tatizo jirani zangu waliojitwika sufiya,ambao chanzo chake kikubwa cha bidaa zao,ni zao la urithi kutoka kwenye upotofu wa ushia,mkimsikiliza kwa makini utamuona yupo katika kupiga Vita wema waliotangulia,huyu kış hakuna wazi kabisa na kusema asiyefuata ushia,huyo ni mpotofu,huyu ni mshia,na nia yake ni kuwachanganya waislamu,na kuwapotosha katika njia ya haki,ni mrongo,tenant anajaribu kutengeneza sumu yake yakugawa na kupotosha,Enyi masufiya fuateni njia ya haki,na wacheni kuwakumbatia mashia,hao ni maadui wa dini ya Allah,na njia ya haki.
We ulitak awe nani au ulitaka awe ww ila haqi itabainika kt yane na sisi wasema kweli niwakina nani sheria ya kuwafwata mahalifa wa nne mmepata wp ndo mtasema ila siwezi shangaa sisi na nyie nitofauti nyie elimu yenu mmepitia dirishani na sisi elimu yetu tumepia mlangoni uwoni nivitu viwili tofauti kabisa Mtume mwenyewe kasema Anamadina tulielmu wa ali yubabuh
SHAFI ww si ulisema maneno ya kilaanisi, wajua maana yake vile ww si mswahili ndo mana ukaona si matusi, sisi ambao ni waswahili twajua kwamba ulaanisi ndo tusi kubwa zaidi kuliko hayo ambayo umesema ww umetukanwa
Akili zako ziko kwenye kishundu wewe nae mawahabi wako wapi hapo Hapo ni nyie masufi na mashia mnazinguana halafu usiseme mawahabi unafanya zambi sema watu wa sunna wahabi ni ni jina la Allah
Dah! Mzungumzaji RUWAYBIDHWA halafu Nyuma yake wapo mashabiki wasioelewa hili wala lile. Enye wafuasi tahadharini na WALINGANIAJI KATIKA MILANGO YA MOTO kama alivyosema Swalla llahu alayhi wasallam.
Kuna Jambo muhimu sana lifahamike kuwa hii Sheria ilotokwa Kwa Allah(sw) Ni ya watu wote wala hakuna MTU yeyoye YUPO juu ya Sheria nadhani Kwa hili sote takubakiana
Khalid bin walid ndio muuwaji wa Malik bin muwaira na akamuoa mjane wake siku hiyo hiyo,huyo swahaba alikataa kutoa zake za wafuasi wake kwa Abubakar kwa kuwa hakuutambua ukhalifa wake uliopatikana Saqifa kwa njia ya udanganyifu.
Ria ktk dini haifai mtaingia motoni na elimuzenu uchamungu ndio njiasahihi jihadidi iliobakia ni jihadi nnafsi nafsizenu chafu jikindeni na kuzilea nafsi hiomijadala itakuingizeni pabaya
Ukiona mtu au Shekh anamwandama Shekh Said Omary ujue huyo ni mjukuu Wa shetani na ni pepo wachafu Kama wasipo acha ujinga huu watadharirika kabla ya mauti yao, Msitafute umarufu kupitia ustadhi Said Omary. Acheni.
@@Khalifani-w7g Ungekuwa muumini wa kiislam usingeropoka hivo ila kwakuwa unaweza kusema na kutamka ukaona utoe povu hilo, Acheni ujinga Someni dini na misingi sahihi ya kulingania waislam na wasio waislam. Msitafute umarufu kupitia ustadhi Said Omary. Kwani yeye ndie mumeona nikikwazo katika kulingania uislam kwa wasio waislam na kukumbushana mema baina yetu waislam?
Wewe Shafii wacha uongo si kweli pia hufai kuitwa shekhe eti hapa kichwa ya maneno umeandika Majibu ya Malalamiko ya Saidi Omari -baada ya kushindwa kujibu hoja za Sheikh Shafii hapa umeongea urongo sio eti Ustadh ameshindwa kujibu hoja zako Ustadh Said alikutabanaisha kuwa watu wanao kutumia wanakuleka njia si za Twariqa Ahlu Sunna Wal jamaa alikuweka sawa uwache hizo Tabia wewe watumiwa
abiabi hakuna hoja za kuiteteya kwa kutukana kulaani au kukufurisha watu kama nilivyo kutangulia kukueleza Mtume S.A.W maisha mpaka kufa kwake hakuwai kutukana kulaani au kukufurisha watu kama kiko kitabu chochote Mtume S.A.W alifanya hivo atupe yeye shafii asituletee porojo zake za kishia kama ametumwa kuharibu jina la watu hiyo sio adabu na Akhlaq za Twariqa Ahlu Sunna Wal jamaa
@@abubakaromar6101 sheikh wewe naona unazunguka sana na kutaka kupoteza point.Alichokusudia sheikh shafii nikusema kuwa muawiya ibn abisufyan si mtu mwema na akataja hadith ya mtume inayosema muawiya atakufa nje ya mila ya kiislam. Pia ipo hadith inayosema muawiya nikatika kipote kiovu.kwahiyo lengo la sheikh shafii kutahadharisha watu kumkumbatia muawiya na kumtetea. Kwani huo ni upotoshaji. Kwahivyo wewe hoja yako nini.ulitaka sheikh shafii akaye kimya?
abiabi عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي». [حسن] - [رواه ابن حبان] haya ndio mambo Mtume S.A.W akiwatahadharisha Maswahaba watatokea Mashekhe kazi yao kuwaita watu mushrik au kaafir قال ابن كثير رحمه الله : " إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) . ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ ajue shafii ya kuwa hii Hadithi umwite mwenzako kafir na kama hana ukafiri wamrudiya yeye
Haha huwo mdahalo ndiyo tunao utaka.maana mtakujakusikia mambo ambayo hamjawahi kuyasikia kabla. Lakini nakuapia Saidi Omar hana ubavu wakufanya Mdahalo na sheikh Shafii
Huyu Shafii itikadi yake ni matusi. Ameshawatukana sana Maswahaba Radhwiya LLAHU a'nhum, ktk mada yake aliyoiita :"Maswahaba wote sio waadilifu".Ni bingwa ktk fani ya kutusi watu.
Wewe ni jahili mwengine usiye weza kutofautisha kulosoa na kutukana. Nikisema muawiya ni muovu kwa kumuua Swahaba Ammar ibn yasir hapo nitakuwa nimemtukana au nimesema kweli? Na anaye Dhani nimedanganya athibitishe kielimu.
@@ahmadmzoa74 Hata umma wa nabii nuhu,lut na mitume mengine ni umma uliopita lkn mbona Allah amewataja kwenye Quran. Lazima tujifunze kutokana na makosa ya watu waliopita ili tusirudie kama wao.hiyo ndiyo maana yakusoma historia
@@abiabi9353 Ndo maana kama utakumbuka nimelieleza jambo hilo visa vya Mitume na Manabii Alayhim Ssalaam limebainishwa wazi katika Quran Tukufu. Hikma yake nini?Hali ya kuwa Hayatu swahaba haikuelezewa mfano wao ni nini Hikma yake?? Arrasikhuna fil I'lm ktk Elimu walizopewa kuna maeneo hawakugusa bali walinukuu kama ilivyokuja Kitabu wakichelea makosa kama binadamu. Na huo ndo uchaMungu wa kweli kwa kutambua kuwa Wahyi ulishakatika baada ya kufa Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam. Lakini leo kuna watu wamejitoa fahamu hata ayatu muhkamaatun na Mutashabihaatun wanazijadili bila ujuzi kwa mchezo na Istihizai. Halafu vipenzi vyao wanawaambia MAASHAALLAH, MASHAALLAH. Najaribu kukumbusha mambo japo mwanzo mwa ujumbe ndo ulikuwa lengo.
Lakini mimi najiuliza mbona ikiwa sheikh ayaongea kuhusu maswahab pale ambapo wameteleza kama binadamu wanamutuhum eti ni shia na akiwa anatumia vitabu vya kisuni?? Maana yake ni kwamba kuna mambo mashia wanaoyasema ni ukweli likin hawa mawahabi wanaficha 😢
Sheikh Allah (SWT) Azidi kukujaza kheri, na umri wa kutosha ili ututoe matongotongo ya macho. AMINA.
Amin
Muawiya ni ahlu sunnah na anaweza tetewa na ahlu sunnah wenzake wala sio said ama Yusuf diwani ama wasufi wengine bcoz they don't know him
Laana imeingia kwa shafii hadi anatukana maswahaba wa mtume Muhammad
Kijana kasoma jibuni hoja zake
Sheikh Said nakusihi kaa kimya utasalimika huyu kijana ni mwanachuoni mkubwa tofauti na unavyomchukulia
Hili Ni wazi kuwa asilimia kubwa ya twariqa hawafanyi buhooth ZA kielimu.
Swadakta
Bas ufanywe mdahalo kama wa said na Bachu tukaona Bachu kajikojolea n kukimbia au said anamuogopa jamaa huyu😊
Huyu ni Shia ata usishindane nae . Ana rada ya Maswahaba
@@suuahmed71 muawiyah anpouwa maswahaba mbona hampingi wakati historia inaonyesha amemuuwa Ammar kijana cha sumeiyya Shahidi wa mwanzo katika uislamu.
SHIA LAANATULLAH ALAYHIM
Mawahabi laanatullah a'laihim
Shia hapa yaingia wapi? Kwanza kua na elimu na kujuwa USUNNI na USHIA
@@omadal1 Nawe ni wale wale.
@@alternativeislamicmedicine8396 Wewe ni khabiith
We kweli mpumbavu kijana elimu huna unaujua ushia au unajitamkia tu
Miaka yote mliambiwa na watu wa sunnah kwamba masufi/twariqa na mashia ni moja na hii shahidi
Huyu shafi ni rafikiye Yusuf diwani 😂😂😂
Mashia acheni kutukana maswahaba hizo pesa mkifa mtaziacha tu acheni njaa. 16:34
Ni KWELI ILA WALIVYOLETA MASHIA na sisi pia tuviache
We mshia tu
Shaafi wewe ni mshia Acha kutukana maswahaba mbwa koko wewe.
Kwani katuna maswahaba hapo au nyie wa pumbavu mnapokea mambo kwa akili zenu zilizo jaa maji
Muawiya kalaaniwa kwa dalili nyingi
Maashallah Sheikh Shafii.
Mungu amlaani Muawiyh pamoja na wafuasi wake
Baba Yako ndyo amelaaniwa
Acheni upuzi kz mumekua ni kuichezea Dini Qur an i na Hadithi za Bwana Mtumi pamoja na kuwabuudhwi maswahaba wa Bwana mtumi hamna jipya
shafii anapenda umaarufu sn
Jamani tusha waambie mipasho kauzeni kwa watu wa kanga.sisi hapa tunataka mjibu hoja.
We Shafii mshamba tu
Haha mshamba ni wewe unaye andika vi comment vya hovyo
Jibuni hoja za Shafi acheni kumtukana
Na maneno aloyazungumza Ustadh Said Omar ashiraziy ktk khutba ya Ijumaa ni ya ukweli kabisa mimi ni mmoja wapo nazifatiliya sana Mawaidha yako ushahidi upo wazi ktk mitandao labda uzi delete wewe ulipokuwa ukiyazungumza na ukaona watu wako kimnya ukajua kuwa hata watu wa Twariqa wanakuunga mkono lkni hukujua kama kifimbo kinakuja sasa tuliya wacha kutumiwa kuharibu majina ya watu
Wewe unaumwa nini.sasa unamtisha nani na kifimbo.swahiba wako saidi Omar kapigwa nyundo yakichwa sasa hajitambui anababika tu.sasa aende aendaka tunawasubiri hapa na masheikh wake kama anaweza aje ajibu hoja kielimu.siyo kulialia tu
Acha ujinga kasome usikariri maneno ya shekhe wako utakuwa mpumbavu sanaa
Haya ni maajabu siku hizi hata makafiri yataka kubishana na waislamu
YAANI MTUME ALIBASHIRI WATATOKEA WANACHUONI WAJINGA WATAPOTEA NA WATAPOTEZA NDIO HUYU SHAFI JINGA TUU SHEIKH SAIDI WA MAMBRUI UKO SAWA MUNGU AKUPE KILA LA KHERI
Kweliii my friend
Alafu nyinyi ni majahili kweli. Hamuelewi hata mfahamishweje.Tumesema hapa mipasho si mahali pake. Sheikh shafii kazungumza kielimu kwa hoja na dalili.Sasa nyinyi kama mnajiamini Vunjeni hoja kielimu
Wemyewe kwa wenyewe wacha wapotoshane
Ya acheni mabishano
Masufi mtafanya niqash kweli😂😂😂 ama ni kutafuta umaarufu tu
Wewe maaluuni
Yaa wewe Shafii ni mvuta bangi kweli. Ukitukanwa wewe binafsi usihusishe Utanzania na Ukenya unaleta balaa lingine kwa ajili ya Matamanio yako. Mimi ni mtanzania sikubaliani na ujinga wako huu.
Shafii basalim
HUYO SAIDI OMAR, ALIKAUSHWA DAMU NA MUHAMMAD BACHU, UNADHANI ATAWEZA KUJA KUJIBY HOJA ZAKO...😂😂😂
asalam alykum ndugu zangu mm naomba kitu kimoja kwakua wote 2 mnatufundisha bc msigombane kwakua tunawapa maadau kuongelea dn yetu naomba sana kama na mm nimekosea mnisamehe ila tusigombane jamani
Umesema ukweli kabisa
Umesema kweli ila kuna vijana wengine wakisikia jambo kwa shekhe wake basi yeye nae hulipeleka km lilivyo alitafti usahihi
Wewe ni mshia golo Allah akuangamize
Kumbuka ushia ndilo dhehebu la kwanza kwenye madhahabu ya kiislam usiongee tu km mpumbavu anaongea mwingine unaingiza ushia ndani yake jaribu kuwa na akilia kwani shekhe shafihhi kakosea km njoo basi ww mwenye elimu utuweke sawa km vp
Endelea sheikh kwa kuwatowa watu kwenye giza ya uwahabi na kwa kuwapeleka kwenye nuru ya uislam na hata ikiwa wengineo hawataki kuskia na ndo sababu unakuta kwenye qoran takatifu allah anasema wengineo gawafahamu, hawataki kuskia,...... Mungu akubariki na akupe afia nzuri ndefu allahumma amiin
Huyu anayeitwa Shafi Al Basalam ni 100% ni mshia,na kwa wenye elimu ni rahisi kumuweka wazi Taqiyah zake,ambazo ni kawaida kwa mashia kutumia,ni watu wa Hila,tatizo jirani zangu waliojitwika sufiya,ambao chanzo chake kikubwa cha bidaa zao,ni zao la urithi kutoka kwenye upotofu wa ushia,mkimsikiliza kwa makini utamuona yupo katika kupiga Vita wema waliotangulia,huyu kış hakuna wazi kabisa na kusema asiyefuata ushia,huyo ni mpotofu,huyu ni mshia,na nia yake ni kuwachanganya waislamu,na kuwapotosha katika njia ya haki,ni mrongo,tenant anajaribu kutengeneza sumu yake yakugawa na kupotosha,Enyi masufiya fuateni njia ya haki,na wacheni kuwakumbatia mashia,hao ni maadui wa dini ya Allah,na njia ya haki.
@@bagalucha ikiwa kweli ni mushia basi washia wana haqqi kwa juu ana dalili la kila jambo analoliongea ndani ya vitabi vya kisunni
Mashaa Allah, unautaratibu
Na hapa ndipo inapopatikana shida ya masufi kushirikiana na hawa mashia
Kwani wapi katukana watanzania inaonekana uelewa wako mbovu Sana
Jaman naomba haya malumbano yasisi kwasisi mpakalini
Mara nyingi huwa hayatisaidii kutatuwa matatizo tulonayo Lau watajishuhulisha na kutatuwa shida zanaowakuba wafuwasi wao hawengekiwa na huu mda
Hapo labda umetukanwa wewe na sio Sisi Watanzania ushauli wangu elim ni adabu n'a Tabia njema ukiwa n'a Tabia njema utabeba elimu yenye manufaa. Pia elimu kaa chin ya mashekhe zako utawin
Shafii umejaza😢 vitab vya shia apo
Nawe kajaze vyako basi juu
Wenyewe Kwa wenyewe watu wa matwalagaa, sisi yetu macho na masikio
Hata nyinyi mawahabi mwatwangana masalaf jadeed hawasikizani na masalaf kadeem, sisi kwetu hatukanyagani huyu anarekebishwa anaharibu jina la Twariqa
Yawahusu sana anayezungumziwa Ibn Taymiya😂
Hata muawiya (Mungu amlaani)ni mheshimiwa kwenu mawahabi
ilmu yako haina barka kabisaa
rejea nafsi yako na uombe msamaha kw Mwenyezi Mungu
Kweli tutarejea kwa Allah kumuomba radhi kwasababu kila mja nimkosaji. Lakini ishu ya kusema muawiya na ibn taymiyah ni makafiri hapo haturudi nyuma hadi mtupe hoja za kielimu. Kwani jamaa kina washinda nini kujibu.
kumbe wamfwatilia huyu
Mambo laxima yasemwe muda wa nuru kuchanua umeshafika
Watu wanao watching masahaba ni mashia na maibadhi
Sheikh uko sahihi ila yaliyojiri baina ya maswahaba ni vizuri kuyanyamazia kuwapa heshma yao, kulikoni kuyazungumza kwa awwaam.
Uyo shafi hna radhi kweli za mashekhe zake
Jamani hiyo mipasho yenu sisi hatuhitaji. Tunachotaka mjibu hoja kielimu
WEWE SHAFI NA MAVITABU YAKO YAKIPUMBAVU PELEKA KWENU UJINGA UJINGA NDIO WATAKA KUELIMISHA WATU MWANACHUONI MJINGA NDIO WEWE
Kumbe wewe ni jahili
Nendeni mkasome acheni kubishana mitandaoni,,,, pigianeni simu muelezane , acheni ,sio tabia za kiislamu.
Mm sijasoma nakuliza hivi ndiyo mtume wako alikuambiya ufanye dawa kwanjiya hiyo huoo niuzukaa kama hujui nawala hauna kitu ujuachoo
Jamani tumeshasema mipasho hatuhitaji.tunataka hoja za kielimu
Hutaki mipasho hoja za kielimu Mtume S.A.W maisha yake yote hakuwai kutukana na kuwaita watu Makafir huyo shafii hapo ana vitabu kibao atoe tu kitabu kimoja Mtume S.A.W aliwai kuita mtu Makafir hata baada ya Vita vya Badr Mtume S.A.W alienda kuangalia wale Makafir walokufa kwa alama alizoziweka yeye kuwa abu jahal ataanaguka na wengeo alipofika pale walipokufa Mtume S.A.W hakuwaita kafir aliwaita kwa majina yao japo alijuwa walikufa na ukafiri. Kwa huyu asikae kukufurisha waislamu kwa kutumia jina la Twariqa tuna adabu zetu twamueshimu yoyote muislamu hata kama tumeikhtalifiana nae
@@abubakaromar6101 sheikh wangu naona unazidisha mipasho tu. Hivi nikuulize katika vitabu vyote vya masheikh na maulamaa wakiislam hamna neno ukafiri waislam wenyewe kwa wenyewe kuambizana.Marangapi watu wamewaita mashia makafiri? Alafu silazima mtume ataje ukafiri moja kwa moja.mtume kwenye hadithi anasema muawiya atakufa nje ya mila yakiislam. Je ukifa nje ya mila yakiislam wewe si kafiri? Nakama si kafiri ni nani?
Free Free Palestine 🇵🇸
Huyu anayeitwa Shafi Al Basalam ni 100% ni mshia,na kwa wenye elimu ni rahisi kumuweka wazi Taqiyah zake,ambazo ni kawaida kwa mashia kutumia,ni watu wa Hila,tatizo jirani zangu waliojitwika sufiya,ambao chanzo chake kikubwa cha bidaa zao,ni zao la urithi kutoka kwenye upotofu wa ushia,mkimsikiliza kwa makini utamuona yupo katika kupiga Vita wema waliotangulia,huyu kış hakuna wazi kabisa na kusema asiyefuata ushia,huyo ni mpotofu,huyu ni mshia,na nia yake ni kuwachanganya waislamu,na kuwapotosha katika njia ya haki,ni mrongo,tenant anajaribu kutengeneza sumu yake yakugawa na kupotosha,Enyi masufiya fuateni njia ya haki,na wacheni kuwakumbatia mashia,hao ni maadui wa dini ya Allah,na njia ya haki.
We ulitak awe nani au ulitaka awe ww ila haqi itabainika kt yane na sisi wasema kweli niwakina nani sheria ya kuwafwata mahalifa wa nne mmepata wp ndo mtasema ila siwezi shangaa sisi na nyie nitofauti nyie elimu yenu mmepitia dirishani na sisi elimu yetu tumepia mlangoni uwoni nivitu viwili tofauti kabisa Mtume mwenyewe kasema Anamadina tulielmu wa ali yubabuh
SHAFI ww si ulisema maneno ya kilaanisi, wajua maana yake vile ww si mswahili ndo mana ukaona si matusi, sisi ambao ni waswahili twajua kwamba ulaanisi ndo tusi kubwa zaidi kuliko hayo ambayo umesema ww umetukanwa
Mawahabi laanatullah a'laihim
Akili zako ziko kwenye kishundu wewe nae mawahabi wako wapi hapo
Hapo ni nyie masufi na mashia mnazinguana halafu usiseme mawahabi unafanya zambi sema watu wa sunna wahabi ni ni jina la Allah
Sio wahabi huyo ni shiaa wewe kua na Akili
SAidi pale kwa pachu ulifanya utumbo lakn kwa huyu achana nae ni msanii hatokuelewa na hatokuelewesha bora bachu
MAWAHABI wanawaza kujilipua
KWELI ADABU HAKUNA 😢
Hujashambuliwa tuuuub illla Allah.
Dah! Mzungumzaji RUWAYBIDHWA halafu Nyuma yake wapo mashabiki wasioelewa hili wala lile. Enye wafuasi tahadharini na WALINGANIAJI KATIKA MILANGO YA MOTO kama alivyosema Swalla llahu alayhi wasallam.
Kukushambulia wewe na nani? Na umesema huko mrengo wowote 😂😂😂
وما جرى بين الصحاب نسكت
Makhawaarij pia ni maswahaba lkn wao hawanyamazwi wanatukanwa au mwenye haki ya kunyamazwa ni Muawiya tu lkn wengine si hakki!!!???
حقا
لماذا نسكت فيما جرى بينهم؟
لأن قال قائل .الساكت عن الحق الشيطان الأخرص
Kuna Jambo muhimu sana lifahamike kuwa hii Sheria ilotokwa Kwa Allah(sw) Ni ya watu wote wala hakuna MTU yeyoye YUPO juu ya Sheria nadhani Kwa hili sote takubakiana
Nikweli mayaka huyajui kwani niurogho amekwambiya kweli mzuka wachoni kiyemba utaona ninyumba yatughu😂😂😂
😂😂😂😂😂 imekuwa snema ya kihindi??!! Hilo bandage kichwani ni dalili ya kuwa wewe ni mvuta bangi... 😂😂😂😂😂 mpaka kichwa kimepasuka kikatiwa bandage!!!
Khalid bin walid ndio muuwaji wa Malik bin muwaira na akamuoa mjane wake siku hiyo hiyo,huyo swahaba alikataa kutoa zake za wafuasi wake kwa Abubakar kwa kuwa hakuutambua ukhalifa wake uliopatikana Saqifa kwa njia ya udanganyifu.
MASHIA MUNASEMA NI WASHENZI MBONA VITU WALIVYOLETA MULIVICHUKUA?
Anayewalaani maswahaba kabula ajesma masuhaba nimaluuuni yeye anakuwa wakwnza kulaaaniwa
Mshia ataka niqashi sisi tushachoka nikashi Sheikh said ebu achana na juhq
Kama sheikh shafii ni shia na saidi Omar ni wahabi
Unabweka sanaaaa shafii wewe nikichaaaa una laana wewe ndio maana watukana ulamaaaa
Haha unachekesha sana. Yani ibn taymiyah pia naye ni ulamaa?
@@abiabi9353 bas ulamaa babasko
Tunawafahamu ovyo
Acheni wazimu nyie munaacha kukaa mukafkiria ndugu zetu wailsam wa Palestine 🇵🇸 tukawaombea kwamaafa yanoyowafika kazi yenu kushindana ujinga tu,kunawa mavi yenu hamjuwi
Shekhe said humuwez
Sheikh Shafii usitaabike si wengi wanafanya bahthi za kielimu,bora ni kuwazindua watu unavofanya wewe.
Kwhy ww swahaba gan kwakoh ndyo mwema ww shafi!?
Naomba namba yako shafii nitaka ninunue hizo vitabu vyako but nko Nairobi
Uwo mfungo wa kilemba tuu unajua kama shafi si msomi anafosi tuu
Jamani hamuelewi.sisi tushawaambie mipasho hatu hiyaji .tunahitaji hoja za kielimu.kama mnaweza mwambieni jamaa yenu aandaye mdahalo.
Wewe ni jahili kweli.yani elimu ya mtu inapimwa kwa kilemba
Boxing 🥊 zianze sasa 🥊🥊
Saidi ni mtu wakujifuafua tu lkn naamini hamuezi sheikh shafii
Hata ukitukanwa nisawa tu wew nikubwa jinga
Jibuni hoja mipasho hazitowasaidia
Sikiliza mbwa anavyobweka utamjua bwana wake!
Sheikh hiyo ni mipasho tu kawauzie watu wa kanga labda utapata hela.lkn hapa hatutoki hadi saidi hajibu hoja kielimu
Hapa said mpaka aseme na atasema 😂😂😂
Wewe ndio maluuni
Ria ktk dini haifai mtaingia motoni na elimuzenu uchamungu ndio njiasahihi jihadidi iliobakia ni jihadi nnafsi nafsizenu chafu jikindeni na kuzilea nafsi hiomijadala itakuingizeni pabaya
Hio ni aibu waislam munatuaibisha
WWE Wacha matusii YA masahabaaaa
Wewe ni mshamba huna ujualo.hivi muawiya aliye muua swahaba mkubwa kama Ammar bin yasir unaweza kumtetea kweli. Na wewe umelaanika piya labda
@@abiabi9353 WWE hiyo si kazi yako Na yangu Kwa Na hishima mashabaa was mutmee wotee tocheka رضي الله عنهم
Mimi sio mtu wa maulidi,,,,lakini kwahili saydi uko swahihi kabisa....huyu shafi kichaa ana laana
Hiyo ni mipasho tu.sisi tunataka hoja za kielimu
bc kuwa wewe swahaba shafii wewe wafaa kuwa swahaba wa mashoga
Au ww tayari umekuwa shonga
wko wngi sanaa
Ndio anavofundisha mtume maulamaa wasutane .nyote mepotoka
Vipitena washawaingilia kwenye ngomazenu manaake shekhe said kwenye ngoma hunampinzani
Ukiona mtu au Shekh anamwandama Shekh Said Omary ujue huyo ni mjukuu Wa shetani na ni pepo wachafu Kama wasipo acha ujinga huu watadharirika kabla ya mauti yao, Msitafute umarufu kupitia ustadhi Said Omary. Acheni.
Shekhe said omar ndo nani kwanz ndo kasoma juzi juzi kija huyo ambae bado elimu yake ndogo
@@Khalifani-w7g Ungekuwa muumini wa kiislam usingeropoka hivo ila kwakuwa unaweza kusema na kutamka ukaona utoe povu hilo, Acheni ujinga Someni dini na misingi sahihi ya kulingania waislam na wasio waislam. Msitafute umarufu kupitia ustadhi Said Omary. Kwani yeye ndie mumeona nikikwazo katika kulingania uislam kwa wasio waislam na kukumbushana mema baina yetu waislam?
Nenda kafiri wewe huna lolote
ACHANA NA SHK. SAID. UTAUMBUKA
Shekhe said omar elimu hana kwa bacho kagoma na swali moja hilohilo km mtoto
Wewe Shafii wacha uongo si kweli pia hufai kuitwa shekhe eti hapa kichwa ya maneno umeandika Majibu ya Malalamiko ya Saidi Omari -baada ya kushindwa kujibu hoja za Sheikh Shafii hapa umeongea urongo sio eti Ustadh ameshindwa kujibu hoja zako Ustadh Said alikutabanaisha kuwa watu wanao kutumia wanakuleka njia si za Twariqa Ahlu Sunna Wal jamaa alikuweka sawa uwache hizo Tabia wewe watumiwa
Wewe hujaelewa bado.sisi tumekwambia hatutaki mipasho. Saidi Omar kama anakiamini avunje hoja za sheikh shafii
abiabi hakuna hoja za kuiteteya kwa kutukana kulaani au kukufurisha watu kama nilivyo kutangulia kukueleza Mtume S.A.W maisha mpaka kufa kwake hakuwai kutukana kulaani au kukufurisha watu kama kiko kitabu chochote Mtume S.A.W alifanya hivo atupe yeye shafii asituletee porojo zake za kishia kama ametumwa kuharibu jina la watu hiyo sio adabu na Akhlaq za Twariqa Ahlu Sunna Wal jamaa
@@abubakaromar6101 sheikh wewe naona unazunguka sana na kutaka kupoteza point.Alichokusudia sheikh shafii nikusema kuwa muawiya ibn abisufyan si mtu mwema na akataja hadith ya mtume inayosema muawiya atakufa nje ya mila ya kiislam. Pia ipo hadith inayosema muawiya nikatika kipote kiovu.kwahiyo lengo la sheikh shafii kutahadharisha watu kumkumbatia muawiya na kumtetea. Kwani huo ni upotoshaji. Kwahivyo wewe hoja yako nini.ulitaka sheikh shafii akaye kimya?
abiabi عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي».
[حسن] - [رواه ابن حبان] haya ndio mambo Mtume S.A.W akiwatahadharisha Maswahaba watatokea Mashekhe kazi yao kuwaita watu mushrik au kaafir
قال ابن كثير رحمه الله :
" إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) .
ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ ajue shafii ya kuwa hii Hadithi umwite mwenzako kafir na kama hana ukafiri wamrudiya yeye
abiabi Hadithi haikutoa hukmu yake ni maelezo vile atakavyo kuwa lkni yeye shafii atoa hukmu zitizamine tena hizo hadith
Ata uzuka ww unakipi bro keti udanghanye watu tuu
Ww mwenyewe hujasoma maneno Yako tuu yanajuliaha kibaka wa mitaani utajuaje haki na batili
Tunajua kama Hill shaking ni jishia
Akwambiye nini nawewe nimnafik ulizughumza naye kwavizuri hakukujuwa kama wewe nikhabithi liamali mshezi wewe odhosha jilako kwenye vitabu vamaulamau wajifanya niwewe kumbe zina wenyewe jahili mkubwa wewe lakini nimwana halali au😂😂😂
Jamani waty wengine musiwajibu wanataka umaarufu tu. Ahasantyyy shekh said 😂😂😂
Saidi wako mropokaji tu hazungumzi kielimu
Bachu alikua ataka uumatufu khatimae amezama na ww wataka umaarufu
@sheelali bachu Yuko sawa swali liko pale pale wapi wanyama waliongea?
Hhhhhhh makhuraafi bwaaana😂
Sheikh wetu Saidi Muandalie Mdaharo moto huyo bwege wa Kishia
Haha huwo mdahalo ndiyo tunao utaka.maana mtakujakusikia mambo ambayo hamjawahi kuyasikia kabla. Lakini nakuapia Saidi Omar hana ubavu wakufanya Mdahalo na sheikh Shafii
We wataka umaarufu hata huupaty nyau wewe
Huyu Shafii itikadi yake ni matusi. Ameshawatukana sana Maswahaba Radhwiya LLAHU a'nhum, ktk mada yake aliyoiita :"Maswahaba wote sio waadilifu".Ni bingwa ktk fani ya kutusi watu.
Wewe ni jahili mwengine usiye weza kutofautisha kulosoa na kutukana. Nikisema muawiya ni muovu kwa kumuua Swahaba Ammar ibn yasir hapo nitakuwa nimemtukana au nimesema kweli? Na anaye Dhani nimedanganya athibitishe kielimu.
"تلك أمة قد خلت..."
@@abiabi9353 Pamoja na ujahili wangu. Ule ni umma uliopita.
@@ahmadmzoa74 Hata umma wa nabii nuhu,lut na mitume mengine ni umma uliopita lkn mbona Allah amewataja kwenye Quran. Lazima tujifunze kutokana na makosa ya watu waliopita ili tusirudie kama wao.hiyo ndiyo maana yakusoma historia
@@abiabi9353 Ndo maana kama utakumbuka nimelieleza jambo hilo visa vya Mitume na Manabii Alayhim Ssalaam limebainishwa wazi katika Quran Tukufu. Hikma yake nini?Hali ya kuwa Hayatu swahaba haikuelezewa mfano wao ni nini Hikma yake?? Arrasikhuna fil I'lm ktk Elimu walizopewa kuna maeneo hawakugusa bali walinukuu kama ilivyokuja Kitabu wakichelea makosa kama binadamu. Na huo ndo uchaMungu wa kweli kwa kutambua kuwa Wahyi ulishakatika baada ya kufa Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam. Lakini leo kuna watu wamejitoa fahamu hata ayatu muhkamaatun na Mutashabihaatun wanazijadili bila ujuzi kwa mchezo na Istihizai. Halafu vipenzi vyao wanawaambia MAASHAALLAH, MASHAALLAH. Najaribu kukumbusha mambo japo mwanzo mwa ujumbe ndo ulikuwa lengo.
Mkawalinganie wakrsto wasilim sio waislam kwa waislam hi ni dalili za kiyama acheni upuuzi
Yuwajaribu kumuiga said kamal haidar
Chu ni nyingi sana chu na kina nani?
Lakini mimi najiuliza mbona ikiwa sheikh ayaongea kuhusu maswahab pale ambapo wameteleza kama binadamu wanamutuhum eti ni shia na akiwa anatumia vitabu vya kisuni?? Maana yake ni kwamba kuna mambo mashia wanaoyasema ni ukweli likin hawa mawahabi wanaficha 😢
Kila mpizani wenu ni wahabi!!!? Saidi ni mpiga ngoma mtu wa maulidi leo kuna wahabi wa mangoma na maulidi?
Masikini wanisikitisha nimwana wachoni simwana wachuoni nyinyi.mwaona uwana wachuoni nikuvazilemba kama nymba yathughu hahahhhhhh
Ndo umesema nini hapo.bado mnamipasho tu.sisi tunataka mjibu hoja
😂😅😅😂😂😂
si mkutane tuone debate basi? nyote ni waoga.