MIGUU ILIYOHAMISHWA (IV) - PASTOR JOHN SEMBATWA
HTML-код
- Опубликовано: 8 мар 2022
- UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RUclips: ruclips.net/channel/UC67L...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando RUclips
/ @pastorsunbellakyando
Ameni Ameni mungu kwaimani napokea uponyaji kwenye mwili wangu mungu kwaimani Emanueli mnyogele arudi kwenye mikono yangu Ameni 🙏 mungu wafungue ninao Wadai madeni wanilipe kwaimani mungu naomba simama pamoja nami
Amen Lord
🎉
Kwaimani mungu waguse wazazi wangu mungu kwaimani waponye familia yangu esta jackrini bitrice waponye na kuwarinda
AMEN🙏❤️
Amen amen amen.. Am free in Jesus mighty name. Amen
Tumebarikiwa Sana❤️🙏Hakika Bwana ndie mkombozi wetu
Mimi nimebarikiwa sana 🙏🙏🙌🙌
Mtumishi unapatikana wapi maana umeongea maisha yangu nahitaji kukuona
Amen nikumbuke mungu
AMEN
Amen
Asante Yesu mwaka huu mwanapunda anakwenda Jerusalem
Wa Mwisho amekuwa wa Kwanza ktk Kristo Yesu
Ameen Mtumishi wa Mungu
Uyu pastor anapatikana wapi
Huu Ni mwaka wa kanisa ktk Kristo Yesu
Ameen, wiki iliyopita niliota ndoto kwamba ninapewa passport na inamajina zangu zote sinui inamaanisha Nini maana hakuna ninaye mjua kutoka nje yanchi yetu Kenya.
Naweza nikapata namba ya huyu mtumishi
Mimi Nina hiyo shida wakati tu naota Nyoka kilakitu kitu kizuri kwangu kina haribiha hatakama Ni mausiano please nahitaji maombi nimeteseka Kwa mudamurefu
Una Vita ya nyoka pambana mpaka umuue huyo nyoka
Amen