Masha alha, nami nimeielewa sana, alha awajaalie kheyri, Huyu khashyat hua namfuatilia sana tangu yupo Raudha kids, naimani atafika mbali zaidi Alha amjaalie na amlinde kwa majaribu ya kidunia
Mashaallah kweli masikini nae ni mtu ila amekosa thamani kwa watu, ila masikini anayo thamani kwa Mungu, enyi matajiri mlojaaliwa mali na Allah wangalieni watu wenye hali duni,
Masoud Rashid shehe usimuhukum MTU kabulla ukish ona kubw kabulla ya dogo bs dog haliwez kukuliz Ila litakusononesh 2 haye ishaallh tumutakie bit nyot njem 2
Nahisi tukisikiliza izi nasheed zetu waislm twafarijika sana tujitoeni kwenye nyimbo za kidunia kwani hazina mafunzo zaidi kutuletea moto katika nyumba zetu.
acheni masikhara bana mtu washindwa kulia kwa kusoma qur ani utalia kwa maneo ya mtu tena apo nafsi ndoo yazid kutweteka sabab kuna waislam huon kam wanapata thawabu kuskiliza izi taluuma bado yahitajika katika jamii ALLAH TUNAKUOMBA UTUONGOZE NA UTUONDOLEE MARADH HAYA
NIMEPENDA ILA TATIZO LIPO KTK STARA KWA BINTI HUYO, STARA KW BINTI WA KISLAAM HAIFAI HSTA KUIGIZA TU KUWA HANA STARA,, PONGEZI KWENU KTK UTUNZI, MAA SHA ALLAH 🤲🏿, UJUMBE MZURI : ASALAAM ALEIKUM WA RAHMATULLULAH WA BARAKAT 👋
Kwakwel mmejitahid sana mungu atawalipa kila lakher mana mlichokifanya nikitu cha muhimu sanaaa
Mashaallah
Masha'Allah Allah akulipeni kheri duniani na akhera
hii nimeikubalii ni nzurii sanaaa
Mashaa Allah napend Sana nashed مشا الله
dah imegusa sana hii nashid , Allah akulipeni kher
MashaAllah nasheed nzur, ❤❤❤❤❤
Mungu ata wafunguluya mea mungu simbali
Ma shaa Allah,,,nasheed nzur ina mafunzo yakuzingatia,,,,Allah awaongoze mpka mwsho wenu
Jamani uyu mtot ndo yuanilza kabisaa
Wallahi nasheed imenitoa machozi
asante kwa ukumbusho mzuri
Mungu awabalik mulicho nacho IPO siku mungu atawaonyeshea riziki japokuwa na m sina uwezo
mashaaaa allah nasheed nzurii 🌹🌹🌹👌👌👌🌹🌹🌹
Mashaalahh!! Jamani mmeimba vizuri sana kwa kweli Mungu awajalie hekima
Masha alha, nami nimeielewa sana, alha awajaalie kheyri,
Huyu khashyat hua namfuatilia sana tangu yupo Raudha kids, naimani atafika mbali zaidi
Alha amjaalie na amlinde kwa majaribu ya kidunia
Amin Allahumma Amin
Waislamu tusikie na tufanyie kazi haya.
Maashaallah ujumbe mzuri xana ,jazallah khàir
Mashallah nawaombea wasijehamia kwenye matarab na mabongo fleva maana watakuja ushawishi kipajikipaji mwisho dini kwaheri dunia mbele
Ma sha Allah
ma shall ah nimeipenda
Mashallah iko saf sna nmeipenda
Mashallah mashallah mashallah
Mashallah Allah tabaraka Allah
Mashaallah
NAIPATAJE ILI NIWE NAISIKILIZA NYUMBANI
Mashallah nashid nnzuri sana
Rashda bint Jumanne M@shaAllah endeleni kutua hamasa kwa wenye nacho . kila la kher Allah awafanyie wepes watu waelew ujumbe wenu
MashaAllah best anashid according to me
Mashaallah kweli masikini nae ni mtu ila amekosa thamani kwa watu, ila masikini anayo thamani kwa Mungu, enyi matajiri mlojaaliwa mali na Allah wangalieni watu wenye hali duni,
Mansahalh nakuombea mungu uingie janatul firdauws inshalah, anashid zako zinapendeza juu hakuna muziki , nasema manshalah tena nasema ongeza nyingi
Fatuma Adan mashallah, tumuombee dua aepukane na vikwazo ili azidi kuielimisha jamii
Amin
Nikwer kabisa ujumbe mkubwa sana binadamu tuseidiane
Mashallah kweli yametuingia asante kwa ukumbusho
Mashaallah mashaallah mashaallah
mashallh good mamy allh akuondolee husda akujaalie ukutane na mm tufikishe ujumbe unaostaiki pamoja
Nzuri sana mashaaAllah iko poa sana
ماشاءاللہ
Cute khashyat love so much may Allah bless you and make your dream comes true in sha Allah. ....
mashaaallh
Mungu wangu
lovely nasheed and melodious voice of a young pretty girl mashallah
Maa sha Allah kweli kama hujamwaga chozi ww sio mwanaadamu wa kawaida kwa kweli ina mafundisho mazuri makubwa sana
سبحان الله
Mmh
Maashallah
Nilazima ikulize
Masoud Rashid shehe usimuhukum MTU kabulla ukish ona kubw kabulla ya dogo bs dog haliwez kukuliz Ila litakusononesh 2 haye ishaallh tumutakie bit nyot njem 2
Mashallah
Mashallah💑💑
Jazzakallahu kher 😭
Masha Allah shukran maskin nae mtu
Allah akbalu
maashaallah maashaallah 🥰🥰
Mashaallah sauti nyororo
Fantastic 👍👍👍👍🤲🤲🤲
Mashalh. Ni raha tu .jamani nyumbani🎉🎉❤😘
Mashaallah nasheed nzur sana.
Mashaallah kwa nashidi
Mashaallah nzuri sana
Mashllh👌👌👌
Mashaaa Allah ilo nalo neno
😔😔😔😍😍
Nimeipenda
Subhanallah Swadaq llah adhwym
Masha Allah
Mashallah hongera
Nahisi tukisikiliza izi nasheed zetu waislm twafarijika sana tujitoeni kwenye nyimbo za kidunia kwani hazina mafunzo zaidi kutuletea moto katika nyumba zetu.
Masha Allah ilajitahidini stara kwahuyo binty maana kajifunga juu ila nywele zaonekana napia shingo yote wadhi samahann kama nimewakosea
Ukumbusho ni sehmu ya dini yetu hajakosea Mashaalah
Mashaallah kwel maskin nae mtu
Maashallwah 💜💚💛
mashalla nimeipenda
Mashaallah 😘😘😘😘
Mashaallah 🤲🤲
MashaAllah 👍💕💕
mashallah
Mashallaha mashallaha
inavutia mashallah
Maashaallah🙏
acheni masikhara bana mtu washindwa kulia kwa kusoma qur ani utalia kwa maneo ya mtu
tena apo nafsi ndoo yazid kutweteka sabab kuna waislam huon kam wanapata thawabu kuskiliza izi
taluuma bado yahitajika katika jamii
ALLAH TUNAKUOMBA UTUONGOZE NA UTUONDOLEE MARADH HAYA
MashAllah
يا سلم
Mashaallah mashaallah 👏👏👏👏
Hongereni
Uko good
Keep it up hashyat may Allah bless you my dear lov u kwa sana hashyat mommy
Mashallah very nice 😙😙
Mashaalhaa
Barakallah
Mzur
mashallah mashallah
Mashaallaha🙏
Mashaallah
Marsha Allah
Manshaallah
🤲🤲🤲 mashaallah
ما شاء الله
MashaAllah nimeipenda
MaashaaALLAH, Rizki humpa manani... Tafadhali maana ya manani ni nini? Mnisaidie na maana yake. Ndugu kutoka Nairobi
Mashaallah❤️❤️❤️
Daaaah
Daa maashaallah hizi ndo qaswida sio zile zenye minanda
Nice
hamisi mapalala amiin in shaa allah
ASC
Alo rejea zaidi ya ma5 tujuane
MAashaallah barakallah
الحَمْدُ ِلله
MASHAALLAH KAZ IMESIMAMA KABISA
hakika
@@RiyadhTvOnlineZnz shukran mkuu
Iko sawa
Mashaallah,
Mashaallwah
iko vyema sanaaaaa
MANENO MAZURI YENYE HEKIMA
NIMEPENDA ILA TATIZO LIPO KTK STARA KWA BINTI HUYO, STARA KW BINTI WA KISLAAM HAIFAI HSTA KUIGIZA TU KUWA HANA STARA,,
PONGEZI KWENU KTK UTUNZI, MAA SHA ALLAH 🤲🏿, UJUMBE MZURI :
ASALAAM ALEIKUM WA RAHMATULLULAH WA BARAKAT 👋
MAASHAALLAH
UJUMBE UMETUFIKIA WOTE
Will have to call my baby girl khashyat in shaa Allah, may Allah bless me 🙏
MashaAllahu
Mashaallah nimeipenda
Machozi yanantoka Sana..
Gonga like kama umeipenda nasheed hiii
Allah bless u all
Mnaswihini huyu msichana ajuwe kujifinika na kujistiri vzur shingo na nywele na kadhalika au la sivyo ataelekea pabaya.