Hatari kubwa yaani unatisha kwakutoa vitu adimu hakuna anaekufikia kama ile ya saidi nayo adimu kisa chenyekueleweka maashallah Allah akulipe kheri na akuzidishie zaidi nazaidi
SubhanaAllah😭SubhanaAllah 😭Heart Touching Nasheed😭😭😭So sad wallah😭😭😭Can't explain😢May Allah protect us from doing Such Sins🙏Ma shaa Allah Akhy Afaaizu ❤Ujumb mzri sanaaaaa weny kusikitisha😢Allah Barik🙏Kwa kazi yakoo😍
Wallah kaka Afaiz imenitoa machozi yaani nilipokuwa nikisikiliza mwanzoni nilijisemea kwamba mwisho wake utakuwa mzuri.wallahi kweli usilolijua nikama usiku wa kiza. Allah atujaalie mwisho mwema .
Hii anasheed ina ujumbe mzito sana, ndio maana Rasuul akatutajadharisha na rafiki wabaya. Lakini pia Rasuul ametutaka tuwe tunaomba khatma njema. Usia wangu kwa wanaotoa anasheed wajitahidi kutotia beat au sauti zinazofanana na Ala ya mziki. Wajitahidi iwe sauti natural kwa sbb mziki na zumari ni haraam. Pia Mtume alitutahadharisha kuacha kitabu cha Allah na kupenda mashairi. Kwa maana hiyo kitabu na sunna iwe asilimia 99% na mashairi 1% wallah aalam. Barakallah fiik.
Kazi nzuri mashaAllah .ila kaka afaiz kuna kama ala za makofi .hili tunaliangaliaje ili wale wasioupenda Uislaam wakapata la kusema.naomba uliangalie kaka Afaiz maana tunathamini sana mchango wako katika kuuokoa umma wa KIISLAAM.
هناك نجوم في حياتنا تتلألأ نشعر بالسعادة عندما تظهر، ونحزن عندما تختفي وانت نجمنا الذي يضئ لنا حياتنا. ما شاء الله عليك.. يا أخي .. لله درك .. نشيد جميل ورائع 💫💫💫
Imenifunza vitu vingi .nayipenda Japo kila nikiyiskiliza napashwa kuliya nawaza mengi sana.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Dakika ya mwisho imenisikisha sana🤲👋🤲🤲🤲 Allah atupe mwisho mwema.nayipenda sana naweza yisikiliza ATA Mara Kumi nikiendeleya kuliya😭
Dah! Bigapi sana mwanangu wew fundi ulifikilia nini hadi ukatunga kitu adhwiim kama hiki kweli unahaki ulie kwamuda mrefusa tena machozi yamvua pole sana hatari hatari tena hatari kubwa sanaaa.
Dah! Bigap sana mwanangu wew fundi ulifikilia nini hadi ukatunga kitu adhwiim kama hiki kweli unahaki ulie kwamuda mrefusa tena machozi yamvua pole sana hatari hatari tena hatari kubwa sanaaa.
Mashallah Kuna mtu anaimba hii Aggash Kama ww Yani utazani Yuko studio kumbe hakuna hata ,ndiye alisababisha nikaanza kukufatilia...Ni hatariiiiiii sana 🙌🙌🙌🙌
Follow me insta:instagram.com/p/COljp5Rp4Lp/?
090
Sawa
Afaiz nitumie namba ya uyu agash si yupi huku huku oman 🇴🇲 nataka nimtafute
❤❤
Alhamdulilah
inahuzunisha kweli Allah atupe mwisho mwema waislam sote na wasokua waislam waufate uislam na sote utuingize peponi Yaa Allah
Hatari kubwa yaani unatisha kwakutoa vitu adimu hakuna anaekufikia kama ile ya saidi nayo adimu kisa chenyekueleweka maashallah Allah akulipe kheri na akuzidishie zaidi nazaidi
Mashaallah! Km wampenda affaizu luhetha plzzzz lyk plzzz
Kwa nasheed za mafundisho MAA SHAA LLAH mwanangu endelea hivo hivo ALLAH akupe umri mrefu wenye kheri na baraka tele na mwisho mwema Ameeeen
Amiin
Ameen
Amiin
SubhanaAllah😭SubhanaAllah 😭Heart Touching Nasheed😭😭😭So sad wallah😭😭😭Can't explain😢May Allah protect us from doing Such Sins🙏Ma shaa Allah Akhy Afaaizu ❤Ujumb mzri sanaaaaa weny kusikitisha😢Allah Barik🙏Kwa kazi yakoo😍
Mashallah mashallah mashallah ni nzuri sana
masha allah afaaizy
mashallah allah shall love u barka is you my friend
mashallah allah shall love u barka is you my friend
Inshaallahh allah atupe tawfiiq njema
afaaizu Mashallah hatari kubwa sana sanaa💯
Inahuzunisha sana allah atupe mwisho mwema ... hongera mashallah nasheed nzuri😊
Inshallah
saana dah
Amiin
Ila hao wanao dislike hii nasheed ni kwa sababu gani wana dislike au kwa kuwa pameongelewa ukweli .
Ma
Mashaa Allah nasheed nzr yny kuhuzunisha pia😭😭
Ismail khamis
Maashallah inahuzunisha kwel
MashaAllah, ujumbe mzuri, Allah atujaalie mwisho mwema.
Wallah kaka Afaiz imenitoa machozi yaani nilipokuwa nikisikiliza mwanzoni nilijisemea kwamba mwisho wake utakuwa mzuri.wallahi kweli usilolijua nikama usiku wa kiza.
Allah atujaalie mwisho mwema .
Aamin
Kweli
Amiin
Hii anasheed ina ujumbe mzito sana, ndio maana Rasuul akatutajadharisha na rafiki wabaya. Lakini pia Rasuul ametutaka tuwe tunaomba khatma njema.
Usia wangu kwa wanaotoa anasheed wajitahidi kutotia beat au sauti zinazofanana na Ala ya mziki. Wajitahidi iwe sauti natural kwa sbb mziki na zumari ni haraam.
Pia Mtume alitutahadharisha kuacha kitabu cha Allah na kupenda mashairi. Kwa maana hiyo kitabu na sunna iwe asilimia 99% na mashairi 1% wallah aalam. Barakallah fiik.
Mashaallah nice nasheed
Inamafunzo mazuri sana💖💖💖💖💖💖💖💖💖
❤❤
😭😭😭 sisemi kitu,ila Allah Akuzidishie mashallah,hakika wewe ni fakhari yetu 😘😘😘
Maa shaa Allah tabarak Allah hakika nasheed inamafunzo makubwa sana nimejikuta namwaga machozi
Kazi nzur mashallah❤❤💪
Kazi nzuri mashaAllah .ila kaka afaiz kuna kama ala za makofi .hili tunaliangaliaje ili wale wasioupenda Uislaam wakapata la kusema.naomba uliangalie kaka Afaiz maana tunathamini sana mchango wako katika kuuokoa umma wa KIISLAAM.
Effect ile haina shda sio makofi hasa kma umeiskiliza pepo ya duniani mama ya sheikh Yussuf ktu kma ichi kipo...
@@bigmoto4965 ila makofi ni ibada za mayahudi.au ikoje ? MAna some times anakuwa ni yule director na cio munsheed aliye apply.
Mashallah nzr sna
هناك نجوم في حياتنا تتلألأ نشعر بالسعادة عندما تظهر، ونحزن عندما تختفي وانت نجمنا الذي يضئ لنا حياتنا.
ما شاء الله عليك.. يا أخي .. لله درك ..
نشيد جميل ورائع 💫💫💫
اللهم اجعل له خير وزد عليه أجرا
كتبت التعليق بالعربية لكن هذ منشد انشد بالسواحلية هل انت تفهم هذه اللغة
Mashaallah
Subhanalla
Good
ice voice
Maashallah khattary khattary
Yahya Ally khaswaa khatyaryy
Daa kweli hatarii
Uyo #Habibu hata ukimuimbia kasida hawez kuacha bangi kwasababu mazoea yana tanu
weweeeee ahhh
Kwaiyo baada ya kifo ana hukmu gn
Maasha Allah kazi nzr❤️❤️❤️
An amazing nasheed Allah bless you
Masha allah masha Allah masha Allah masha Allah is beautiful masheed are you are feeling Allah yeah😍😍😍
Mashallah nasheed nzri sanaaa♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Pole Sn Aggash Kwa Kilichomkuta
Ila Affaizu Kaz Nzr 💟💝 Mashallah
Imenifunza vitu vingi .nayipenda Japo kila nikiyiskiliza napashwa kuliya nawaza mengi sana.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Dakika ya mwisho imenisikisha sana🤲👋🤲🤲🤲 Allah atupe mwisho mwema.nayipenda sana naweza yisikiliza ATA Mara Kumi nikiendeleya kuliya😭
Emotional 😢❤️, May Allah guide us all
Afaaizu luheta haifai kuigiza namno hiyo kwa madhumuni ya kufundisha watu kama Kuna nasheed yako moja mtu alikuwa anavuta sigara
Inahuzunisha Sanaaaa Wallah , Maa Shaa Allah Bwana Mkubwa Kazi Nzuri Sanaaa
Daaah hii nasheed inaweza kukufanya usiwe na marafki
ما أجمل النشيد! اللهم اهدنا الصراط المستقيم
aswamsu😅
Allah atupe mwisho mwema
Mashaa allah hatar kubwa sana 🔥🔥🔥
Aggash kaz nzur sana
Umejitahidi ustadh habibu....maa sha allah....kweli wahuni c watu wazuri
Hatari kubwa sana imetendeka ndani ya luheta record ,nasheed ya kiwango mashaallah...
Sheikh Habiib asante
Hatari hatari hatari 🔥🔥🔥🔥
Maaashallah fundi wangu kaz mzuri wallah imenitoa machoz
Mashaalah hongera xana kazana kjana
Mashallah aggash nimeipenda sana hongera sana
Mashallah tabarakallah 😭allah atuhifadhi INSHALLAH
Mashallahh hakika nasheed hii imenigusa sana na nimepata funzo kubwa sana mashallahh allah akuzidishie Amiin! Amiin! Amiin! Ya rabal alamiin🙏🙏😭😭❤️❤️
Mashallah allah akuzidishie
Mashallah allah atakuzidishia broo😔
Aameen
Asalam alyku majid vip kijana
Dah! Bigapi sana mwanangu wew fundi ulifikilia nini hadi ukatunga kitu adhwiim kama hiki kweli unahaki ulie kwamuda mrefusa tena machozi yamvua pole sana hatari hatari tena hatari kubwa sanaaa.
Kakangu Yuko hivyo nataka mtu ambadilishe 😢😢 inshallah 😢😢💯
Mashallah mashallah inatia huzuni napia inafunza maskinii inaskitishaa😪😭
Mashaallah
Mashaallah maashaallah wallah nasheed inahuzunisha😭
Allah atulinde na atuelekeze kwa njia ya uwongofu.Na atujalie mwisho mwema. Amiin
Dah! Bigap sana mwanangu wew fundi ulifikilia nini hadi ukatunga kitu adhwiim kama hiki kweli unahaki ulie kwamuda mrefusa tena machozi yamvua pole sana hatari hatari tena hatari kubwa sanaaa.
BIGAP
Masha Allah
Mashaallah Allah atupe mwisho mwema
Mashaallah ni nasheed nzur na yenye mafunzo makubwa
mashaa-allalh allalh atujaalie mwisho mwem
Mashallah mashallah mashallah ni nzuri sana
Kaz nzur kaka afaiz allah atuepushe na maovuu kma hayaaa ameen😢😢😢😢😢😢
والله هذا هو حيتنا 😭😭 اللهم خعلن حسن جتم😭
yaani wewe ukiimbaga nashidi za namna hii untisha sana ndugu yangu
Kwa kweli hii Nasheed imeniliza Mashallah uko vizuri.
😭😭😭😭😭😰allah huakɓar congratulation kaka allah azidish kipaj mashallah
Mashallah afaiz mungu akuengezee kipaji
Mashallah ..it's amazing sadly nasheed
Masaallah aggash inamafunz ya kwl mung akujalie kutufunza ivyivy
Kiukweli inasikitisha sana
2022 STILL THE BEST NASHEED WITH A TOUCHING MESSAGE
ALLAH ATUJAALIE HUSNUL HATIMA🤲
Mwenyezi mungu atulinde
Amin ya Rabb
000😊
@@shuuasany8520 ❤️
@@salmamalole9364 🤲🏾
Masha Allah nasheed nzuri sna hongera sana💖💖💖💖💖
Masha Allah be blessed broo for a very beautiful nasheed 💟💟💟
Allah Akbaru Yaa Rabbby Sote Atupe mwisho mwema
Mashallah nasheed nzry, so sad, Allah atujaalie mwsho mwema🤲
Maashaallah Allah akuepusha na fitna mbal mbal broo na akupe ikhlasw❤️❤️❤️
Subhanallah, 😥 Allah atujaalie mwisho mwema na atuepushe na marafiki wabaya
Mashallah
A alaykum ukiskiliza inafika mpaka kwenye sehem husika ya huzuni Mungu atupe mwisho mwema
جزاكم الله خيرا و احسن الجزء
اهلا وسهلا بك
Mashaallah
Maaa sha aallah nasheed nzuri na mafunzo makubwa ndani yake
Mashallah hongera Sana kaka
Masha Allah. Hakika nasheed hii yahuznish endeleza kazi hii nzur😭
Allah akulipe malipo mema.
Mashaallah nasheed😥😥😥 YA ALLAH tujaalie mwisho mwema 🤲🏻🤲🏻jazzakallah kheir kwa ukumbusho
Wazanzibar muutunze mji wetu wa kiislam...maana hii ndo Madina yetu kwa hapa Afrika mashirika..sie wa Bata hijira yetu Ni huko Zanzibar
Nice nashed and so 😔 for us
Subhanallah! inasikitisha sana😢
Allah Atujaalie Mwisho Mwema.
Afaaizu Kazi Nzuri Sana Maashallah 😍Allah Akuzidishie kufanya Vizuri Zaidi inshaallah.
Hongera broo ujumbe mzuri
Mashaallah ,Allah atujaalie mwisho mwema
Afaaiz luheta.Aggash²
Ni maneno machache yenye mafunzo teleeeee
Chakusema sina,ila nimeizunika sana... Kwakweli tunamkose sana ALLAH....
Ahsante Sana
Allah atujaalie mwisho mwema!!!
Mashaallah sauti yenye malengo na kufikisha ujumbe allah atupe mwisho mwema sisi na vizazi vyetu
Masha'Allah an0ther 0ne fr0m mah fav0urite Munashid🤙❤️
😰😰😰😰😰😰😰🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️😰😰😰😰😰😰😰😰😰😰😰😰😰
Masha Allah Masha Allah heart touching nasheed I love it 😍😔😔😔❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Maasha llah baarakallahu lakumaa, kizazi cha ISTIQAAMA TUNGUU ZANZIBAR 😍👍
Mashaallah huwa naisikiliza kila siku huwa najiuliza mwisho wangu ni upi nakosa majibu ,Ewe Allah twakuomba utupe mwisho mwema kwa huruma zako, aamiin
Mashaallah Ilove you nasheed
2024 wanaisikiliza hii 😊inaujumbe mzuri Sana allah atuepushe na marafiki wabaya
Mashallah Kuna mtu anaimba hii Aggash Kama ww Yani utazani Yuko studio kumbe hakuna hata ,ndiye alisababisha nikaanza kukufatilia...Ni hatariiiiiii sana 🙌🙌🙌🙌
Inahuzunisha sana Allah atupe mwisho mwema
Kiukwel haichosh kuckilza allah akulipe mtunz wa nasheed hii kiukwel umetufunz meng
Alla atupe mwisho mwema
Kaz nzur sana kaaka nakukubal sana
Afaizu ww nifundi wngu nenge0mba ck mm0ja unixhirikishe kwny utunzu tutunge pam0ja maxhaallah allah akuzidixhie 👍
Your the best my brother nice masha Allah
اللهم جعلنا حسن الخاتمة 😭😭
ماشاء الله