MASHALLAH , naweza kumwita first munsheed from Zanzibar maan kila nasheed ya kwake afaizu anayosoma Ni nzuri kupita maelezo ikiwemo AGASH , NIKIKUMBUKA na hii ewe nafsi kinai zote nzur na Sina budi kusema mashallah ili nisije nikakuhusudu MASHALLAH.
Luheta mm in kijana wako nafrahiashwa na kazi zako nikikuona namkumbuka R.I.P. brother wa ng mlikuwa mnasoma pa1 ISTIQAMA PEMBA ila ulimpoteza rafiki yako wa nguvu me mdogo wake nipo nakusapport brother keep it up
😢😢😢😢😢😭😭😭😭 Dah! Umenikumbusha mbali sana ndugu yangu! Ni kweli tulikua tunaishi vizur sana na kaka yako,tulikua tukisaidiana katika masomo na kushindana katika mitihani.maashaallah alikua mtu mwenye jitihada sana darasani,alikua ni kipenzi cha watu.kila mtu alikua ni rafiki yake.allah ampe makazi mema huko alipo.shukran sana ndugu yangu kwa kukubali kazi zangu.
@@AfaaizuLuheta a. alayqoum! luheta mm nikushauri tu! ikiwa haujaoa, najitolea kwa ajili y allah niwe mke wako ikiwa utaridhika, lkn jengine umenza vzur kaka yng, jitahid sana ucjekutubadilikia kama brother nassir, vilevile, ungeacha hata no ya M-pesa ili tukuchangie chochote kw kile tulichojaaliwa in xha allah.
Maxhallah brother naxheed iko vzr xana mm mwnyew nimeikubal Allah akufanyie wepesi inxhaalla ututolee vitu vikali zaid ya vikali pamoja xaaana na mxhabk wk enwar
Napenda sana kisikiliza nasheed zako yaan uko vzr my Young brother, also you are very resemble with my young brother is known as SAID GADAFI or SAID MBUYUNI from kilwa masoko
Mashallah navokupenda kwajili ya Allah mpaka mwanangu nimemuita jina lakooo
Allah nakuomba wazishie kheri walotufikishia ujumbe huu Nawapenda wenzangu kwajili ya Allah🙈🙈
MASHALLAH , naweza kumwita first munsheed from Zanzibar maan kila nasheed ya kwake afaizu anayosoma Ni nzuri kupita maelezo ikiwemo AGASH , NIKIKUMBUKA na hii ewe nafsi kinai zote nzur na Sina budi kusema mashallah ili nisije nikakuhusudu MASHALLAH.
Kweli kabs Mashallah❤
Yani ninavoipend
Mashallah,💝😘
Nilikuwa naisubr kwa muda now najivunia kuwa wa kwanza kutazama ipo vizuri Allah akufanikishe uzidi kutukumbusha
Maashaallah* Kiukweli ni nasheed Nzuri iliotugusa wengi wallah...Allah Akueke akhy Ili uzidi kutupa mazuri*
yani mpaka leo cjaipatia mwenzake hii nasheef❤❤❤❤❤❤
Mashaallah allah ibarki inshallah amen mungu akulnde snaa ndgu yngu na akubarki snaa
Mashallah mngu akuzidishie zaidi na zaidi❤
Luheta mm in kijana wako nafrahiashwa na kazi zako nikikuona namkumbuka R.I.P. brother wa ng mlikuwa mnasoma pa1 ISTIQAMA PEMBA ila ulimpoteza rafiki yako wa nguvu me mdogo wake nipo nakusapport brother keep it up
😢😢😢😢😢😭😭😭😭
Dah! Umenikumbusha mbali sana ndugu yangu! Ni kweli tulikua tunaishi vizur sana na kaka yako,tulikua tukisaidiana katika masomo na kushindana katika mitihani.maashaallah alikua mtu mwenye jitihada sana darasani,alikua ni kipenzi cha watu.kila mtu alikua ni rafiki yake.allah ampe makazi mema huko alipo.shukran sana ndugu yangu kwa kukubali kazi zangu.
@@AfaaizuLuheta a. alayqoum!
luheta mm nikushauri tu!
ikiwa haujaoa, najitolea kwa ajili y allah niwe mke wako ikiwa utaridhika, lkn jengine umenza vzur kaka yng, jitahid sana ucjekutubadilikia kama brother nassir, vilevile, ungeacha hata no ya M-pesa ili tukuchangie chochote kw kile tulichojaaliwa in xha allah.
@@halimajuma5515 ni wa tanga au Kenya uyu kaka??,, nmempnda wallah
@@abdallamwinyikombo6557 mmmmmh mwnzng mm ata cielewi yuko wapi.
@@halimajuma5515 sawa
Maasha Allah hongera kaka kazi nzuri tupo pamoja
Mashalllah
Allah akutilie wepesi ndg yng mesej imetufikia vzuri maa sha Allah na sheed ina ujumbe mzito sana
Kila nnapohc uzuni naskilza hii kaswida mashallah inaujumbe mzuri
Ma Shaa Allah kaka afaaizu luheta Allah akujaalie in shaa Allah 🤲
M.a ,afaizu luheta ,nilikuwa nakuoenda since 2019, uko wapi ,Kenya ama Zanzibar coz nimependezwa na anashid zako
Naenda hii nasheed inanipeaga moyo wakati wa mitihani ya madrasa
Mashallah napenda nasheed zako
KUTOKEA WAPI DOGO
Mashallah mashallah
Mashalllah barka llahu fik
I like that your nasheed
Mashaallah kpnz changu ❤you are the only best munsheed from Zanzibar ❤huna baya hujawah kutuangusha 😊
❤❤❤ nakupend xan kwaajili ya Allah ❤❤❤
MashaAllah nasheed nzuri kweli rayuu kutoka kenya
Masha allah kila la kher bro Allah akujaalie nafsi yenye kinai ww na ss amiin🤲🌹 tunakupenda Sanaaaaaaa❤️
Mashaallah allah akuzidishie kila la kheri napenda sana nashid zako
This nasheed give me lesson
Mashaallah Allah atuongoze inshallah
nipe like zangu kwanz baba afaaizu umetishaaa🤲
Mwenyez mungu atujalie nafsi ikinai mambo ya dunia kwan tunapita tuelekee kwa Allah tuu
SAWA
Allah tupee nafs zenye kukinai na subra
Maashallah akhui... a very beautiful nasheed. ALLAH akuzdshie kheri 👍👍🤝🤝🥰
Marsha allah
Thanks were kept best songs(qwasida)from serengoh or shabdifa
Maxhallah brother naxheed iko vzr xana mm mwnyew nimeikubal Allah akufanyie wepesi inxhaalla ututolee vitu vikali zaid ya vikali pamoja xaaana na mxhabk wk enwar
X or s
Maa sha Allah nasheed nzuri sana sana
Shukran
Masha allah naipend sana hii nasheeed na ww piah affaizu umetufunza kitu kizur sana kuhuc maixha yetu allah akubarik 🥰🥺👌
Allah akuzidishie hekima nabusara
Masha'Allah 💞 Wallah ninapokumbwa na wazo naja hapa kila mda
Nasheed, inanipa matumaini Kua nitatoboa, kikubwa subr
Mashallahu mungu akubark Kwa ukumbusho
Mashaallah. Ujumbe mzur
Mashaallah laahaula walaquwwata illaabillah unazid kuwapa wat moyo juu ya mitihan wanayopitia ktk maisha ya sasa
So good nasheed zak nazipend sana yan sapport ip ucjli
Mashaallah ujumbe umefika Allah akujalie Kila la kher akuepushe na fitna,husda na vijicho vya watu
Mashallah
Inshallah
Masha Allah naomba Namba yako kaka
Mashallah safi sana shukran
Nashed zako nzr sn yn hp dukani nimewafanyisha watu mpk kuzipnd na kua nz ktk nfc zao.mola akupe wepes
Limeliwazika sanna na hii nasheed
Imenifanya nijione tajir ijapokua masikini
Ni hatar mwaka huu..
Hii nasheed siwezi kuichoka naitazama muda wote
Mashaallah 🙏Allah akuongoze Inshaallah
Allah ajaalie nafc zetu ziwe zenye kutuamrisha mema in sha allah
Allah zijalie familia zinazo angaika kwa chakula pia sehem ya kulal nyakati izii za matatizo ya magonjwa
Maashaanlah nakupenda sana kwaajili ya anlaa❤
Maashallah jazakallahu khailan
Thiz guy iz 0n 🔥🔥🔥 Masha'Allah
Allah akujaalie amin💖💖💖💖💖
Hongera sna mwalim wetu afaiz allah akujaalie khatma njema ishaalah mbele ya kipaji chako
Ujumbe mzur Sanaa Allah akup kher nying akhy
Mashaallah mung akuzdixhie kipaj
Mashallah kingne mid mwnywe ntka new munsheed kwaio nahtaji msaada
Mungu atuongoze inshallah.
Jamani hii nasheed hii nyiee acheni tuuh naipenda sijui nielezeeje
Congratulations on your well-deserved success
ALLAH awabarik ujumbe mzur
Masha Allah naipenda saana hii nasheed
Dah! Mungu akujalie offcourse unakipaji baba
Nani mwengine afanya kuskiza moree than ten times ha hachoki nayoo
Mashaallah ,Nasheed zako mzuri sana Allah akujaalie afya njema ili uendelee kutuelimisha kupitia nasheed
Allah akujaalie pema amiiiiiin
Wallah kaka uko sawa,,,ma shaa Allah
Allah awajarie herii
Mashaallah Ndugu Yangu Ktk Imani
Luheta... ALLAH akupe mwisho mwema kaka
ماشاء الله عليك
جزاك الله خيرا
Mungu atupe nafsi njema
Ma sha allah.....ewe nafc kinai....bro napenda nasheed zko sana allah akuongezee ujuz wko akulinde na mahacd
Mashallah nice nasheed Allah akulinde na hasdi kwel dunia tunapita mattO tumeubiwa
Mashaallah nasheed nzury brother ALLAH akujaze khery
Mashallah ur the king of nasheed very proud for you dude
mashallah🥰 i love you ❤️so much i nasheed🎼 your mashallah 🥰allah bless you inshallah 🤲
Mashallah nice video
Maaa shaaa Allah Afaaiz.... I cant stop listening to this song. I loove it :-)
Namimi naomba kujiunga.
Masha Allah bro I can't stop watching it
Huna mbaya ktk nashees mashallah Allah akuzidishie
Mashaallah I like it .it's the beutifull one broooo👍👍👌👌👌💖💖💖
Hizo ndio kaswida zimebeba ujumbe mzito sio kaswida zasikuizi kama taarabu
Kwa nasheed hii umeweza sana yaani sichoki
ماشاءاللہ علیك الله یسعدك ویفقك ع کل شیء 😘
Penda Sanaa qaswida mashallah
Napenda sana kisikiliza nasheed zako yaan uko vzr my Young brother, also you are very resemble with my young brother is known as SAID GADAFI or SAID MBUYUNI from kilwa masoko
Mashaallah allah akuzidishie nazipenda san nasheed zak
Mashallah nashid nzur sana
MASHA'ALLAH KWA KWELI NI NZURI KUANZIA SAUTI HADI MASHAIRI ***WALLAHI IMENIPA FUNZO...✍
Allah akuhifadh ❤
Mashaallah 🙏🙏🙏 Allah akuhifadhi kaka
Mashallah tabaaraka Rahman 😍😍
Mashallah nzuri👍
Na pia nasheed zako ni nzur hazina ala za music na pia inatoa funzo
Asante sana mungu akuweke🥰🥰
That song is good mashallah❤❤
Mashallah✨💫🌟🌙😰😰😰🙏☝️❤️😰
🤔😰😰😰🙏🌺🌺🌺🌺🌺
Iko poa😻😻😻😻😻😻
Nakupendaa kwaajl ya allah
Nimeikubali
Mbona ukifungua kasda unakutana kwanza natangazo lanyimbo VP ndowazamini wenu au
Mashaallah allaha akubariki
Allah akuongoze usije badilika kama nasiri
Mashallah alla akuzidishie nashid zako ziko vizur
Masha Allah upo vizur kaka ni kweli sote nyumba yetu ni kabur
Tusipo kinai yatatupata kama yasaidi .naitwa fadhil murid.
Mashaala Allah akuifazi
Jazaka ALLAHU khair 😭😭😭