Best Naso - Kalima (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #BestNaso #Kalima #SlideDigital
    (C) Slide Digital
    Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.bio/qwm8md
    Written & Performed by Best Naso
    For More Info:
    +255 758 201 748
    directormareys@gmail.com
    Follow Best Naso on:
    www.facebook.c...
    / bestnasotz
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 531

  • @halimameledy6926
    @halimameledy6926 3 года назад +4

    Best naso anajua sana sema ndohivo tyu nipe like hatakama za kinafsi

  • @dianafyondi9048
    @dianafyondi9048 4 года назад +26

    Jamani nimechelewa ila nimecomment. Best naso uko juuu.😍😍😍😍😍😍😘😘

  • @abdulazizosman6124
    @abdulazizosman6124 4 года назад +6

    Awa ndio wasanii tunaowahitaji East Africa....
    Kazi ya sanaa ni kuelemisha na kuburudisha....
    Vigezo vyote vimo.
    💥💥💥 listening from KENYA.

    • @AllenBoay
      @AllenBoay 10 месяцев назад

      Namkubari sana best naso

  • @ramadhanipachella2430
    @ramadhanipachella2430 4 года назад +280

    Huyu Jamaa Ninamkubali 120% wangapi wanaungana nami Nipe lake Zako

  • @christophersoty101
    @christophersoty101 4 года назад +57

    Haujawahi kuniangusha ńyimbo zako balaaaa 🔥
    Wa TZ ifike mda tubadilike aiseë tusiwasaport wasanii wenye majina makubwa tu

  • @eliasgembe934
    @eliasgembe934 4 года назад +13

    Hii ndio nyimbo inayoelimisha jamii big up sana best naso hujawh kukosea vitu adim sanaa

  • @immamasese8615
    @immamasese8615 4 года назад +7

    Ndo nyimbo zako izi Nasso... Mbonge la ngoma . hujawah ni let down bro big up.

  • @karimuhaifai4434
    @karimuhaifai4434 2 года назад +1

    Safi sana best Nasso yaan bonge la nyimbo kudadadeki du together

  • @clkangwengwe7942
    @clkangwengwe7942 4 года назад +24

    Huyu ndeye msani natambua east Africa, from the bottom of my heart

  • @AwadhiAlfani-bd5pj
    @AwadhiAlfani-bd5pj 9 месяцев назад +1

    nakukubali mndu ghuangu wimbakuwa moyoni kabisa hadihuluma

  • @Lumbapa
    @Lumbapa 4 месяца назад

    Kwa tz tutachelewa kumpata msanii kama huyu,,,inabidi tunashukuru Mungu kwa kutubariki kipaji hiki

  • @allynambilili9580
    @allynambilili9580 4 года назад +71

    Leo nimekua wa kumi na sita bac msnipite hivi nipeni like apo

  • @isdorykitunda
    @isdorykitunda 4 года назад

    Kila wimbo wa Best Nasso umebeba ujumbe wenye mafunzo ya kumuelimisha msikilizaji. Wewe kweli ni msanii unayestahili kuitwa kioo cha jamii.

  • @kingdogdog2628
    @kingdogdog2628 4 года назад

    Kalima do kàma njaa ikikuuma nenda kwabibi utakula maziwa na mihogo haya best mungu akupe njia pasipo na njia

  • @shabanimushi3034
    @shabanimushi3034 4 года назад +9

    Hizi ndio nyimbo zako ulianzaa poteaaa,,,now your back 🙏🙏 welcome

    • @nancygodfrey8765
      @nancygodfrey8765 2 года назад

      Maxhalah b namkubali brow pamban manyar tuna kupenda tuna kupa b gap

  • @James-mb1vm
    @James-mb1vm 10 месяцев назад

    Vizuri sana Naso MUNGU awepamoja nawe broo kumbuka ipo sku utafanikiwa zaidi ya hpo kk

  • @saymongwaltu9546
    @saymongwaltu9546 4 года назад

    Aise maisha yangu yote cjawahi ona msanii kma naso nampenda xana anaimba kwa elimixha jamii na uhalisia was maisha mpaka analiza 200%

  • @azaliaclemence5847
    @azaliaclemence5847 3 года назад

    Daaaaaa taangu na miaka kumi nikiwa mdogo sana ngoma zako nilkuwa na zikubali na mpaka mdaa huuu hujawai niangusha nazikubali sana 120

  • @madylimbe3806
    @madylimbe3806 4 года назад

    Sawa kaka,...nyimbo zako nazipenda sana nakumbka nikiwa primary ndo nilianza kuskia nyimbo zako na mpaka Leo naenjoy

  • @oswardndilahomba2903
    @oswardndilahomba2903 4 года назад

    Nimemkumbuka 20%. Hii ndiyo kazi ya sanaa yenye maudhui ya kujenga jamii kimaadili na kimtazamo.

  • @petermichael8652
    @petermichael8652 2 года назад

    Let's the true definition of the healer, , unatibu maradhi ya mioyo kwa mashairina tungo zako halisi, , go go go man

  • @shedracksumila5307
    @shedracksumila5307 4 года назад

    Anaelimisha sana watu, anaimba vitu ambavyo vipo na vyenye kufundisha sana, ukiwa mweny aliki timamu lazma utakubaliana nami.

  • @nica6662
    @nica6662 3 года назад

    watanzania sapoth mziki mziri uyu kaka anaimba nyimbozak nzur nyinyi mnapenda zile za niweke mate niteleze kama nyoka pangoni

  • @directorbray9713
    @directorbray9713 4 года назад +7

    Kazi nzuri nasso.director pia 100% ameitendea haki ngoma hii.

  • @willymtanzania5394
    @willymtanzania5394 4 года назад +112

    Kama umesikia hii sension ''kama ukinikumbuka cheki na 1500 iko chini ya mtungi na usiitumie vibaya itakusaidia siku 2 - 3 😂😂😂😂 naombeni like za nasso hapa.

    • @samsamran405
      @samsamran405 4 года назад

      Naikubali io sehhemu io bro

    • @marselmatle4453
      @marselmatle4453 4 года назад +1

      Yaaan bro music yako yananifundisha mambo meng sana bro wangu mungu akupe maisha marefu zaidi ya hapo

    • @mustanrajab1914
      @mustanrajab1914 4 года назад

      Daaamwanangu naso umenigusa

  • @elinadhamsuya876
    @elinadhamsuya876 4 года назад +38

    Wimbo mkali ila media zetu kuzipa nafasi nyimbo kama izi ni shida sana kidogo labda TBC

  • @faustinekawe742
    @faustinekawe742 4 года назад

    Jamaa huyu bwana utampendatu kwa jumbe zake Safi sana Kayombo Doctor

  • @innocentpascaryndomba7643
    @innocentpascaryndomba7643 4 года назад +5

    Kipaji sio ajira kusema utafukuzwa kazi, kipaji ni kipaji tu keep it up best naso i know you since (tutoke) when i was in form one at mbangamao sec school

  • @masungamwandu4960
    @masungamwandu4960 4 года назад

    Best nasso pamoja xana hujawah nianguxha ktk nyimbo inatia huruma

  • @abdullomary7320
    @abdullomary7320 4 года назад

    Mkali wangu nakukubali sana haisee uko vizuri ukikaa uktilia unakuja na baba lao

  • @davidgitenga8290
    @davidgitenga8290 4 года назад +25

    Km umeona huu wimbo ingeitwa tab za maisha twende sawa #naso nakukubal

  • @evaristmusic1913
    @evaristmusic1913 3 года назад +1

    Daaah kaka we noma 😍😇

  • @alaburtonmalovee1583
    @alaburtonmalovee1583 4 года назад +163

    Nasso msanii wa ideas za kufundisha always! Gonga likes hapa kama na wee unaonaga hilo.

  • @tinohmichaely5999
    @tinohmichaely5999 3 года назад

    mmmmh love xana bro nyimbo imetulia sana inafundisha daah mungu azid kukupigania,,

  • @MakalaSimulizi
    @MakalaSimulizi 2 месяца назад

    Still 2024 naipenda...
    Iliniliza hii ngoma 2019/2020😢
    Ninachokukumbushaaa mimba yangu usitooeee😢😢😢😢

  • @marselmatle4453
    @marselmatle4453 4 года назад

    Kaka unatufundisha jinsi yakuishi maisha ya shida kweny familia zetu bro
    Maak majaribu kweli bro nyumb za kupanga ni shida afu na hyo posa hatar 1500 inaniuma sana bro

  • @kasimmohammed4318
    @kasimmohammed4318 4 года назад

    Fundi kitaaaambo sana tupo pamoja kibanda cha mchicha njiwa , yana mwisho, helena morogoro, kilema, pombe, fahari, mwajuma, utabamba, halima, ngongingo, wanamake, pesa, kunatana, tutoke, na nyingine kibao sarut kwake best naso

  • @shedracksumila5307
    @shedracksumila5307 4 года назад

    Wadau Eeeee? Mwanzo mwisho namkubali best nasso zaidi ya anavo jikubali yeye mwenyewe,na mshabik na mdau wake mkubwa kupta wote dunian ni mm ndo wengne mnafuata.

  • @vitalresgalus8460
    @vitalresgalus8460 4 года назад

    Binafsi nakufuatilia sana hatakama upo mwanza home ujawai kosea Kaka upo Good kama Alikiba brother Big up my brother

  • @benadictoalloys7752
    @benadictoalloys7752 4 года назад

    Dah kiukweli yuko vzr kaamua kuirudia hii safi sana👋👋👋

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb1814 4 года назад

    Kichupaa kizuriii hasaa sisi wenye wapenziiiii

  • @kimolaking1005
    @kimolaking1005 4 года назад +87

    Kama unamkubar nasso gonga like 10000000.

    • @mujibushemboze2755
      @mujibushemboze2755 4 года назад +1

      Kimola King huyu jamaanamkubali sana tangu ile nilud kijijin

    • @tonganekwizayo9642
      @tonganekwizayo9642 4 года назад

      🤔🙄 hee! Like👉

    • @kimolaking1005
      @kimolaking1005 4 года назад

      @@mujibushemboze2755 unaona eeee noma sana ila huyo angekuwa wcB angekuwa mbali sana ila tu hapend magroup

    • @abdallakhalufani3944
      @abdallakhalufani3944 4 года назад

      anajua.sana

  • @olebulaligo6791
    @olebulaligo6791 4 года назад

    Kuja huku Kenya nasso tunakusapot tamu sana manzeee

  • @felistadagira8665
    @felistadagira8665 2 года назад

    Ningekua mtoaji wa tunzo zote zingeishia kwako hongera sana

  • @athumanifyilili1890
    @athumanifyilili1890 4 года назад

    Sana nasso kuna vitu uninifudisha nakukubar brooo

  • @mselotz3066
    @mselotz3066 4 года назад +1

    Noma sana vitu tamuuuu

  • @updatednewstz.9877
    @updatednewstz.9877 4 года назад +5

    We jamaa ni unajua sana, mm nakuelewa, huna kazi mbovu. Chamsingi media Fanya media tour zakutosha ili kupush za ngoma. You deserve to be the best as your name itself called.

  • @PamelaJonas-dh6lg
    @PamelaJonas-dh6lg Год назад

    God bless you best naso ❤❤❤❤❤ Mungu akupe maisha marefu

  • @athumanimmasa2461
    @athumanimmasa2461 3 года назад

    Nakukubal sana naso kila cku nikopa1naww kwenye nyimbo zako

  • @georgeludakulo6848
    @georgeludakulo6848 4 года назад

    Lakini wabongo wataona ngoma mbaya bro respect hujawahi niangusha kaka

  • @mussajacob8346
    @mussajacob8346 4 года назад

    Fundi uyo jaman ongera nasso izi ndo nyimbo zako pamoja nasso

  • @omoiteasante
    @omoiteasante Год назад

    Naso sitachoka kusema you are my role model in music

  • @boazimaganga
    @boazimaganga 4 года назад +7

    Best nakukubali sana
    Gonga
    LIKE
    Kwa
    Best nasoro

  • @pastamusafiriemmanuel8598
    @pastamusafiriemmanuel8598 2 года назад

    yaliwai nifikiya
    ila wanawake siwagi
    hata uwasumbukiye hawana shukrani

  • @muindimusyoka7887
    @muindimusyoka7887 3 года назад

    Shine shine Mshikaji.........kazi safi sana

  • @selinamarwa4063
    @selinamarwa4063 4 года назад

    Namkubali msanii huyu wa Tanzania toka anzee

  • @babsheby2964
    @babsheby2964 4 года назад +5

    Dah jamaa anatisha mnooo fundi sanaa💪💪💪💪💪💪

  • @RomwardWM
    @RomwardWM 4 года назад

    Nyimbo nzuri sana sema support ndogo sana but Mungu ni mwema atakuinua endelea kujituma .

  • @Marsemo
    @Marsemo 4 года назад +1

    Nakukubali sana mwanangu

  • @rajabomary6743
    @rajabomary6743 4 года назад

    Cku nikioa takuarika use msanii cku hiyo akuonyeshe umenigusa akina diamond tupa Kyle uko juu

  • @innocentjohnson3880
    @innocentjohnson3880 4 года назад

    Amenikumbusha Mbali hayo Mazingra kama yakule kwetu

  • @rajabomary6743
    @rajabomary6743 4 года назад

    Best nasso ninaona we ndo msanii Bora tz

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 4 года назад +10

    Nmependa sana 💕💕❤❤

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 4 года назад +1

    Siku zote uko juu Best Naso nyimbo zako zinatia moyo sana yani ni kama Gospel vile

  • @jamesclement3066
    @jamesclement3066 4 года назад +2

    "Kupata majariwa"
    Pamoja sana bro napenda sana nyimbo zako cz huwa zina ujumbe mzuri na wenye busara.

  • @erickfidelis942
    @erickfidelis942 4 года назад

    Nazipenda sana nyimbo za best nasso zina mafunzo sana nakukubali kaka

  • @linahnicodemus3169
    @linahnicodemus3169 4 года назад +5

    Nakukubalii sana best naso kwa kazi nzuri god blessed you🙏🙏

  • @mathewjoel7951
    @mathewjoel7951 4 года назад +7

    Hii ndio komesha yao nasso hongera umekubali gonga like hapa

  • @ndamayapejr7725
    @ndamayapejr7725 4 года назад

    Bonge moja langoma Nakubal Mara boy

  • @yahayazedy9779
    @yahayazedy9779 4 года назад +26

    Huyo ndio msani tume baki nae anae imba nyimbo za hisia

  • @MakalaSimulizi
    @MakalaSimulizi 2 месяца назад

    My belove song mwaka 2019/2020 .
    Hii yangu kabisa

  • @goodluckymassawe4718
    @goodluckymassawe4718 4 года назад +1

    ataliii saa kaka

  • @Mayboy254
    @Mayboy254 Год назад

    Big up broo nakukubali kishenzi nahisi pia mm naeza Imba kama ww

  • @nanjingasaidi1257
    @nanjingasaidi1257 4 года назад +1

    Bigup xanaaa

  • @kelvinrichard9567
    @kelvinrichard9567 4 года назад +1

    Well done bestnaso man from MUSOMA kama nawe umemwona mmama anatungua embe sema yeahhhhh

  • @robertmtipuka
    @robertmtipuka Год назад

    hii nyimbo in sure nimeimbiwa mimi kabisa

  • @innocentpascaryndomba7643
    @innocentpascaryndomba7643 4 года назад +24

    DAAAAAH!!!!!!!! wewe ndie BEST NASO
    REAL STORY , REAL LIFE

  • @jasminsalum336
    @jasminsalum336 4 года назад

    Ngoma zako zinamafunzo kaka Angu unajitahid San Ila ndohivy wenye vipaji hawaangaliwi

  • @abdulazizitwalib5859
    @abdulazizitwalib5859 4 года назад +5

    Daima nakukubalii Nasso

  • @rishmizuka
    @rishmizuka 4 года назад

    Endelea ivo ivo na hizo nyimbo zako zenye ujumbe mzito utafika mbali

  • @edwingwesso129
    @edwingwesso129 4 года назад +83

    Kama na wewe unamkubal best nasso achia like

  • @beatricefaraji4852
    @beatricefaraji4852 4 года назад

    Daah cjui niseme nn jamani ngoma kali

  • @tuonekinaki3514
    @tuonekinaki3514 4 года назад +5

    Best nasso you are always an effective teacher of my ups and down efforts toward success

  • @nyongojchumas1615
    @nyongojchumas1615 2 года назад

    Wewe ndo msanii unae jua kama Kuna masikini

  • @nadhifajuma6485
    @nadhifajuma6485 4 года назад

    love sna best naso ulipotelea wap bro

  • @maulidimpindo6155
    @maulidimpindo6155 2 года назад

    Hakika mungu Akubaliki xana kwakila Atua njema

  • @damianjeremia3821
    @damianjeremia3821 4 года назад

    daaaa ungeimba lisaa kabisa kama muv subiri nikanunue spika kubwa

  • @godfreymangalu1940
    @godfreymangalu1940 4 года назад

    Hongera kaka kwa kuimba wimbo wenye uhalisia

  • @erastusmukira2631
    @erastusmukira2631 4 года назад +5

    Let make this guy famous by sharing his songs he is damn talented

  • @neemashabani8431
    @neemashabani8431 3 года назад

    Best naso hua nazikubal sana nyimbo zako

  • @biusimohamed1049
    @biusimohamed1049 4 года назад

    upo juu sana kaka angu nakupenda sanaaa

  • @misanamisana1225
    @misanamisana1225 4 года назад +1

    Home boy uko vizur

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699 4 года назад +2

    Miaka yote hizi ndo ngoma za Best Nasso zakuelimisha nakubali bro✌🏻🔥🔥

  • @violachemutai3888
    @violachemutai3888 3 года назад

    Good job mzee papa 💯🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mamalaozphilemon.8800
    @mamalaozphilemon.8800 4 года назад

    hata mm namkubali sana tena akiimba wimbo kama huu wenye wafunzo hua anapenda san💖💖💖 tena hakuna cha mauno wala nini tena wimbo bdo ni🔥🔥🇰🇪🇰🇪

  • @armandoleonardo3643
    @armandoleonardo3643 4 года назад +12

    Kalima xta bem recebido ak em Moçambique,saluty best nasso

  • @siwemaking8321
    @siwemaking8321 4 года назад

    kaka yangu nakukubali toka nianze kukujuwa

  • @khadijajumanne2455
    @khadijajumanne2455 4 года назад

    Nakubali mkal best nasso uko juuu baba

  • @nkubamizingo3651
    @nkubamizingo3651 4 года назад

    Sante kaka nimeielewa sana

  • @workfiretvonline
    @workfiretvonline 4 года назад +9

    Good ladha nyingine jmn
    Bestnaso karudi kwenye stage yake
    Lake zake jmn