Best Naso - Kalima (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- #BestNaso #Kalima #SlideDigital
(C) Slide Digital
Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/qwm8md
Written & Performed by Best Naso
For More Info:
+255 758 201 748
directormareys@gmail.com
Follow Best Naso on:
www.facebook.c...
/ bestnasotz
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Best naso anajua sana sema ndohivo tyu nipe like hatakama za kinafsi
Jamani nimechelewa ila nimecomment. Best naso uko juuu.😍😍😍😍😍😍😘😘
Hpa kama musoma
Yuko vzr kaka angu
Dog yupo vzr xn huw namuelew xn
Awa ndio wasanii tunaowahitaji East Africa....
Kazi ya sanaa ni kuelemisha na kuburudisha....
Vigezo vyote vimo.
💥💥💥 listening from KENYA.
Namkubari sana best naso
Huyu Jamaa Ninamkubali 120% wangapi wanaungana nami Nipe lake Zako
Ramadhani Pachella yupo vizur sem wabongo nyimb hz atuzipend jmn
Ramadhani Pachella namkubali sana Nasso.
Kazi nzuri
Sana
🙏🙏🙏
Haujawahi kuniangusha ńyimbo zako balaaaa 🔥
Wa TZ ifike mda tubadilike aiseë tusiwasaport wasanii wenye majina makubwa tu
Hii ndio nyimbo inayoelimisha jamii big up sana best naso hujawh kukosea vitu adim sanaa
Ndo nyimbo zako izi Nasso... Mbonge la ngoma . hujawah ni let down bro big up.
Safi sana best Nasso yaan bonge la nyimbo kudadadeki du together
Huyu ndeye msani natambua east Africa, from the bottom of my heart
Sio kwa wanawake hawa wa sasa ni heli nikae mwenyewe
Awilo ngomba
nakukubali mndu ghuangu wimbakuwa moyoni kabisa hadihuluma
Kwa tz tutachelewa kumpata msanii kama huyu,,,inabidi tunashukuru Mungu kwa kutubariki kipaji hiki
Leo nimekua wa kumi na sita bac msnipite hivi nipeni like apo
Kila wimbo wa Best Nasso umebeba ujumbe wenye mafunzo ya kumuelimisha msikilizaji. Wewe kweli ni msanii unayestahili kuitwa kioo cha jamii.
Kalima do kàma njaa ikikuuma nenda kwabibi utakula maziwa na mihogo haya best mungu akupe njia pasipo na njia
Hizi ndio nyimbo zako ulianzaa poteaaa,,,now your back 🙏🙏 welcome
Maxhalah b namkubali brow pamban manyar tuna kupenda tuna kupa b gap
Vizuri sana Naso MUNGU awepamoja nawe broo kumbuka ipo sku utafanikiwa zaidi ya hpo kk
Aise maisha yangu yote cjawahi ona msanii kma naso nampenda xana anaimba kwa elimixha jamii na uhalisia was maisha mpaka analiza 200%
Daaaaaa taangu na miaka kumi nikiwa mdogo sana ngoma zako nilkuwa na zikubali na mpaka mdaa huuu hujawai niangusha nazikubali sana 120
Sawa kaka,...nyimbo zako nazipenda sana nakumbka nikiwa primary ndo nilianza kuskia nyimbo zako na mpaka Leo naenjoy
Nimemkumbuka 20%. Hii ndiyo kazi ya sanaa yenye maudhui ya kujenga jamii kimaadili na kimtazamo.
Let's the true definition of the healer, , unatibu maradhi ya mioyo kwa mashairina tungo zako halisi, , go go go man
Anaelimisha sana watu, anaimba vitu ambavyo vipo na vyenye kufundisha sana, ukiwa mweny aliki timamu lazma utakubaliana nami.
watanzania sapoth mziki mziri uyu kaka anaimba nyimbozak nzur nyinyi mnapenda zile za niweke mate niteleze kama nyoka pangoni
Kazi nzuri nasso.director pia 100% ameitendea haki ngoma hii.
Kama umesikia hii sension ''kama ukinikumbuka cheki na 1500 iko chini ya mtungi na usiitumie vibaya itakusaidia siku 2 - 3 😂😂😂😂 naombeni like za nasso hapa.
Naikubali io sehhemu io bro
Yaaan bro music yako yananifundisha mambo meng sana bro wangu mungu akupe maisha marefu zaidi ya hapo
Daaamwanangu naso umenigusa
Wimbo mkali ila media zetu kuzipa nafasi nyimbo kama izi ni shida sana kidogo labda TBC
Jamaa huyu bwana utampendatu kwa jumbe zake Safi sana Kayombo Doctor
Kipaji sio ajira kusema utafukuzwa kazi, kipaji ni kipaji tu keep it up best naso i know you since (tutoke) when i was in form one at mbangamao sec school
Best nasso pamoja xana hujawah nianguxha ktk nyimbo inatia huruma
Mkali wangu nakukubali sana haisee uko vizuri ukikaa uktilia unakuja na baba lao
Km umeona huu wimbo ingeitwa tab za maisha twende sawa #naso nakukubal
Sana t
Daaah kaka we noma 😍😇
Nasso msanii wa ideas za kufundisha always! Gonga likes hapa kama na wee unaonaga hilo.
Po
Nakukubali mzee baba
Pw
haha Chini ya mtungi kuna buku jero
✔️
mmmmh love xana bro nyimbo imetulia sana inafundisha daah mungu azid kukupigania,,
Still 2024 naipenda...
Iliniliza hii ngoma 2019/2020😢
Ninachokukumbushaaa mimba yangu usitooeee😢😢😢😢
Kaka unatufundisha jinsi yakuishi maisha ya shida kweny familia zetu bro
Maak majaribu kweli bro nyumb za kupanga ni shida afu na hyo posa hatar 1500 inaniuma sana bro
Fundi kitaaaambo sana tupo pamoja kibanda cha mchicha njiwa , yana mwisho, helena morogoro, kilema, pombe, fahari, mwajuma, utabamba, halima, ngongingo, wanamake, pesa, kunatana, tutoke, na nyingine kibao sarut kwake best naso
Wadau Eeeee? Mwanzo mwisho namkubali best nasso zaidi ya anavo jikubali yeye mwenyewe,na mshabik na mdau wake mkubwa kupta wote dunian ni mm ndo wengne mnafuata.
Binafsi nakufuatilia sana hatakama upo mwanza home ujawai kosea Kaka upo Good kama Alikiba brother Big up my brother
Dah kiukweli yuko vzr kaamua kuirudia hii safi sana👋👋👋
Kichupaa kizuriii hasaa sisi wenye wapenziiiii
Kama unamkubar nasso gonga like 10000000.
Kimola King huyu jamaanamkubali sana tangu ile nilud kijijin
🤔🙄 hee! Like👉
@@mujibushemboze2755 unaona eeee noma sana ila huyo angekuwa wcB angekuwa mbali sana ila tu hapend magroup
anajua.sana
Kuja huku Kenya nasso tunakusapot tamu sana manzeee
Ningekua mtoaji wa tunzo zote zingeishia kwako hongera sana
Sana nasso kuna vitu uninifudisha nakukubar brooo
Noma sana vitu tamuuuu
We jamaa ni unajua sana, mm nakuelewa, huna kazi mbovu. Chamsingi media Fanya media tour zakutosha ili kupush za ngoma. You deserve to be the best as your name itself called.
God bless you best naso ❤❤❤❤❤ Mungu akupe maisha marefu
Nakukubal sana naso kila cku nikopa1naww kwenye nyimbo zako
Lakini wabongo wataona ngoma mbaya bro respect hujawahi niangusha kaka
Fundi uyo jaman ongera nasso izi ndo nyimbo zako pamoja nasso
Naso sitachoka kusema you are my role model in music
Best nakukubali sana
Gonga
LIKE
Kwa
Best nasoro
yaliwai nifikiya
ila wanawake siwagi
hata uwasumbukiye hawana shukrani
Shine shine Mshikaji.........kazi safi sana
Namkubali msanii huyu wa Tanzania toka anzee
Dah jamaa anatisha mnooo fundi sanaa💪💪💪💪💪💪
Nyimbo nzuri sana sema support ndogo sana but Mungu ni mwema atakuinua endelea kujituma .
Nakukubali sana mwanangu
Cku nikioa takuarika use msanii cku hiyo akuonyeshe umenigusa akina diamond tupa Kyle uko juu
Amenikumbusha Mbali hayo Mazingra kama yakule kwetu
Best nasso ninaona we ndo msanii Bora tz
Nmependa sana 💕💕❤❤
Siku zote uko juu Best Naso nyimbo zako zinatia moyo sana yani ni kama Gospel vile
"Kupata majariwa"
Pamoja sana bro napenda sana nyimbo zako cz huwa zina ujumbe mzuri na wenye busara.
Nazipenda sana nyimbo za best nasso zina mafunzo sana nakukubali kaka
Nakukubalii sana best naso kwa kazi nzuri god blessed you🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏
Hii ndio komesha yao nasso hongera umekubali gonga like hapa
Bonge moja langoma Nakubal Mara boy
Huyo ndio msani tume baki nae anae imba nyimbo za hisia
My belove song mwaka 2019/2020 .
Hii yangu kabisa
ataliii saa kaka
Big up broo nakukubali kishenzi nahisi pia mm naeza Imba kama ww
Bigup xanaaa
Well done bestnaso man from MUSOMA kama nawe umemwona mmama anatungua embe sema yeahhhhh
hii nyimbo in sure nimeimbiwa mimi kabisa
DAAAAAH!!!!!!!! wewe ndie BEST NASO
REAL STORY , REAL LIFE
Ngoma zako zinamafunzo kaka Angu unajitahid San Ila ndohivy wenye vipaji hawaangaliwi
Daima nakukubalii Nasso
Endelea ivo ivo na hizo nyimbo zako zenye ujumbe mzito utafika mbali
Kama na wewe unamkubal best nasso achia like
Bestinaso oji sana
Daah cjui niseme nn jamani ngoma kali
Best nasso you are always an effective teacher of my ups and down efforts toward success
Best nasso
Wewe ndo msanii unae jua kama Kuna masikini
love sna best naso ulipotelea wap bro
Hakika mungu Akubaliki xana kwakila Atua njema
daaaa ungeimba lisaa kabisa kama muv subiri nikanunue spika kubwa
Hongera kaka kwa kuimba wimbo wenye uhalisia
Let make this guy famous by sharing his songs he is damn talented
Best naso hua nazikubal sana nyimbo zako
upo juu sana kaka angu nakupenda sanaaa
Home boy uko vizur
Miaka yote hizi ndo ngoma za Best Nasso zakuelimisha nakubali bro✌🏻🔥🔥
Good job mzee papa 💯🙏🙏🙏🙏🙏
hata mm namkubali sana tena akiimba wimbo kama huu wenye wafunzo hua anapenda san💖💖💖 tena hakuna cha mauno wala nini tena wimbo bdo ni🔥🔥🇰🇪🇰🇪
Kalima xta bem recebido ak em Moçambique,saluty best nasso
Hatali Sana best naso salut kwako
kaka yangu nakukubali toka nianze kukujuwa
Nakubali mkal best nasso uko juuu baba
Sante kaka nimeielewa sana
Good ladha nyingine jmn
Bestnaso karudi kwenye stage yake
Lake zake jmn