Комментарии •

  • @vallerieanyona1034
    @vallerieanyona1034 5 месяцев назад +52

    Who else is here in 2024?❤‍🔥🔥

  • @user-iz7ez6qk8h
    @user-iz7ez6qk8h Год назад +81

    ngoma kali sanaaaa kama na ww unarudiaga mara kwa mara hii ngoma gonga like za kutoshaaa

  • @abdulhakimabdallah9392
    @abdulhakimabdallah9392 2 года назад +8

    Huyu mwanmke anafanya kazi safi kwanza hatukani na hatoi sentesi tata za matusi ila basata hawamuoni huyu dada yupo sawa

  • @josephachami3754
    @josephachami3754 3 года назад +227

    The most underrated artist in Kenya now..please Kenyans..let's support our own talent

  • @MsetoEastAfrica
    @MsetoEastAfrica 4 года назад +390

    Mashairi yenye uhalisia, majibizano yenye hisia, ngoma kubwa zaidi kwenye hii tasnia and NO sio kutoka Tanzania bali ngoma kali toka Kenya imepenya na kwenye chati imeingia. Congratulations Ally Mahaba, Akeelah and Shirko for making Mombasa Music Great again.
    "Inatosha"
    ~ Mzazi Willy Tuva = Mseto East Africa

    • @allymahabah
      @allymahabah 4 года назад +33

      Shukran Sana citizen redio na tv kw ujumla Kaka mzazi Tuva Allah akujaalie neema uweze kusapot wadgo zako

    • @allymahabah
      @allymahabah 4 года назад +18

      Shukran sana mzazi inshallah tutazidi kutia bidii

    • @martinmuithya2343
      @martinmuithya2343 4 года назад +9

      Noma sana

    • @martinmuithya2343
      @martinmuithya2343 4 года назад +12

      Vipaji vya kueleweka

    • @sheilamuhatia320
      @sheilamuhatia320 4 года назад +9

      Imeweza sana

  • @joehenry1953
    @joehenry1953 4 года назад +247

    Alieangalia hii video zaidi ya mala 10 na aijamchosha Kama mm naomba like kazi nzuri aichoshi

  • @Joramkatana
    @Joramkatana Год назад +4

    Usisemee hivyoooo...usinifanye hivyoooo.....kuipataka kazi sio rahisi mke wangu....

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 3 года назад +9

    Nimeanza kuisikliza sa 12 mpaka sa 3 usk narudia kila saa big up

  • @tanyamaraj3116
    @tanyamaraj3116 4 года назад +8

    Omggg i love uuu🥺❤️❤️💕💕💕😭😭😭🥺🥺❤️💕💕💕✨✨

  • @aishamonthe8295
    @aishamonthe8295 4 года назад +9

    Congratulations @AllyMahaba nice song yenye mafunzo kwa jamii #ujitume

  • @venessahatieno4681
    @venessahatieno4681 3 года назад +9

    Ata kama nimechelewa naombeni likes za Ally🔥🔥🔥🔥u Never disappoint

  • @manjels0326
    @manjels0326 4 года назад +8

    Second woman I can support after nyota ndogo ...uko juu sis akeelah na inshaallah utazid kua juu

  • @jongosudi8611
    @jongosudi8611 4 года назад +11

    Nimependa natural video hasa huyu dada hana makorokoro i see like hawa watu ni wa mombasani hivi naskia tone za sudi boy flan wana madrasa kwa mbaali hivi nice song haki vile ❤💕🤝

  • @jaycool1662
    @jaycool1662 4 года назад +226

    Kenya we are blessed lets support these talent

  • @musamusuku7746
    @musamusuku7746 2 года назад +7

    Mwenyewe nimewaelewa. Big up bro❤️❤️❤️💕🇹🇿🇹🇿

  • @linuspaulina8777
    @linuspaulina8777 2 года назад +5

    Hongera sana
    Tuliokuja huku
    kupata nyimbo full,
    toka tiktok tujuane

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 4 года назад +11

    Mambo kila kukicha yanazidi kuwa mazuri mubarikiwe nyimbo nzuri yakupambana na maisha. 🙌🙌🙌🙌

  • @roziekay1356
    @roziekay1356 4 года назад +6

    Wow lovely song again ally mahaba napenda nyimbo zako uko poa my bro keep it up

  • @asharwanyangoma3090
    @asharwanyangoma3090 3 года назад +9

    Nikiwa na stress za life naskiliza hii ngoma kazi nzur kwenu

  • @anitahdee4721
    @anitahdee4721 3 года назад +4

    So sweet,,, I mean nice song. Nawaombea baraka kutoka kwa mwenyezi mungu

  • @mummiefrancie
    @mummiefrancie 4 года назад +25

    Ally jitume💖💖

  • @bahatirashid1755
    @bahatirashid1755 4 года назад +9

    Lucky Zamu ndio mimi
    @Ally Mahaba 🔥🔥🔥
    @Akeelah official 🔥🔥🔥

  • @ePlayPulse
    @ePlayPulse 3 года назад +3

    Kama hii ni ya Kenya nchi yetu basi Ally mahaba wewe ndo diamond wetu. Fan mpya

  • @wyattholmes1129
    @wyattholmes1129 3 года назад +46

    The song is on point but the problem with us Kenyans is that we adore so much of tanzanian music than our own music here. Surely, it deserved more than a million views . Mbona tuna ngebe na miziki yetu hapa? Nimeupenda Sana. Mwanzo sikupenda kuutizama maana nlidhani ni muziki wa Tanzania. Niliposikia ni wakenya wenzangu walouimba, sasa hivi mimi huutizama kila wakati niamkapo na niendapo kulala. Jameni wakenya wenzangu tuiinue miziki yetu hapa haswa miziki inayoleta hadhi kama huu.

    • @allymahabah
      @allymahabah 8 месяцев назад

      Asante sana ndgu yng shukran sana

  • @PeterkenyaOfficial
    @PeterkenyaOfficial 4 года назад +10

    Talent 💯..
    Mzazi Tuva..brought me here 🙌

  • @yescar693
    @yescar693 4 года назад +8

    BILA alikiba nisingeijua hii nyimbo
    Big up Sana ally mahaba 💪💪💪💪💪💪 bonge kazi

  • @williamnyongesa2049
    @williamnyongesa2049 2 года назад +3

    Wau nashukulu ujumbe mzito mashairi kibao mwanaume ni kujituma bana KAZI safi

  • @tinohmichaely5999
    @tinohmichaely5999 3 года назад +6

    safi sanaa kaka ally good work bro niceee wimbo huu umfikie kipenz changu tina john popote alipo,,,

  • @RickojeyzorecordsTV254
    @RickojeyzorecordsTV254 4 года назад +8

    Akeelah am proud of u♥♥

  • @mcharmo2544
    @mcharmo2544 4 года назад +6

    Dah!!!.. Ally huyu binti kamtoa wapi ana kipaji aiseee....

  • @antonymukhwana614
    @antonymukhwana614 3 года назад +7

    Kazi nzuri bro💛🧡♥️♥️🙏🙏👏🙏👏

  • @chefyouguyke2072
    @chefyouguyke2072 3 года назад +3

    Always my big tune... Poetic Justice walahi. Huwa napenda hii ngoma yangu yote.

  • @allyshee1179
    @allyshee1179 4 года назад +20

    Soom mumeweza snaa wallahy hilo goma hiko juuuh

  • @MohammedAli-vi9ji
    @MohammedAli-vi9ji 4 года назад +12

    Huyu mwanadada yani.... Mashairi yake yamefika chuo kikuu. yuwajua kazi yake. Kama munakubaliana nami nipeni LIKES zake

  • @gracekahugu3506
    @gracekahugu3506 3 года назад +3

    💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼❤️love from 🇬🇧🇬🇧🇰🇪🇰🇪👍🏽 the best 🙏🏽

  • @allymahabah
    @allymahabah 4 года назад +339

    Uko akuna lolote pamoja na miangaiko yao yte,na ujanja wao wote pesa wanazimaliza madam zote

    • @nakshibeiby5597
      @nakshibeiby5597 4 года назад +5

      Mwanaume unapenda ushindani Nami nfanyeje mtoto wakike 🔥🔥🔥🔥🔥🔥duuh

    • @chaliwamombasatv605
      @chaliwamombasatv605 4 года назад +3

      Qali sana

    • @mloleclassic-254
      @mloleclassic-254 4 года назад +3

      Brother ngoma kaliiii

    • @irenedzame752
      @irenedzame752 4 года назад +7

      Umesema hii ngoma umewaza na kuwazua ukatoa kitu iliyo makinika Hongera Ally Mahaba.

    • @nakshibeiby5597
      @nakshibeiby5597 4 года назад +3

      @@irenedzame752 Asante sana 🔥🔥🔥💪

  • @mloleclassic-254
    @mloleclassic-254 4 года назад +6

    Hiiii kaliiii kazi kubwaaa sanaaa big up sanaaaa

  • @josephekiwi2155
    @josephekiwi2155 3 года назад +3

    Ngonjera inayogusa hisia ...bravo kwa wasanii wa pwani

  • @williamwilliamlusige5970
    @williamwilliamlusige5970 Год назад +4

    Ooooh I love this song. ....kweli huwezi pata chochote bila kumkubatia mungu.....basi kaa wee nyumbani nami niede n kaagaike

  • @briantsuma189
    @briantsuma189 4 года назад +6

    Hawakuezi mwana
    Kali sana🔥

  • @babally9464
    @babally9464 4 года назад +13

    Kali ya mwaka hongera sana Ally mahaba na Akeelah kwa kazi safiii

  • @scolanalle7503
    @scolanalle7503 4 года назад +5

    Alieirudia hii ngoma tujuane hapa big up akeelah 💞💞🎼🎵🎼

  • @silaseeker
    @silaseeker 2 года назад +4

    Lydiah Njoki brought me here. I couldn't have known, such a good song. Kenya Kali 👍

  • @bigdaddyhahaz
    @bigdaddyhahaz 4 года назад +96

    Dah hii nyimbo inanipeleka mbali na kunifanya nitie bidii zaidi Hadi mtoto wakike analalamika tujitumeni wanaume dah hongera bro Ally na siz akeelah mumetufanya pia tuthamini nchi yetu sio uarabuni eti ndio kwenye maisha hata kwetu yapo zamu yako ikifika utafanikiwa God bless you mumetufunza kitu hapa hizi ndio nyimbo tunafaa kuzingatia Kama wasanii nyimbo Zenye maadili na Zenye kutia moyo kitu unaskiliza kinakupa moyo na mafunzo ndani yake....hongera pia kwa producer shirko unawezo mku bwa sana wa kupanga kazi yako mungu pia akuweke zaidi Kaka maana Kaka Ally aliangaika sana na tangu uje ww tumeuona uwezo wake wa kazi na bidii yake hongera kwako...hongera pia kwa boss Matoo kwa kujitolea kwa moyo na kuwekeza kwa ndugu yetu Ally pia na wengine amemwaamini na kumsimamia Hadi tunaone level amemfikisha si rahisi mungu mkubwa mungu azidi kukupa moyo huohuo boss matoo. Hongera kwako amour pia mungu akuweke zaidi. Na hongera kwa wote wanaosupport mziki mzuri.

  • @timothymuthaura1861
    @timothymuthaura1861 4 года назад +6

    Hii wimbo iko sawa zaidi.izi dizo nyimbo uwa nataka sinafunza

  • @johnmwangi4665
    @johnmwangi4665 3 года назад +4

    Aki lazima nijitume. Pure talent . Heko to Ally and the beautiful Queen

  • @amollodama4830
    @amollodama4830 2 года назад +19

    Why's this musician so underrated?this is a masterpiece 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @sistershanniez7876
    @sistershanniez7876 4 года назад +109

    Nomaa sana..... Sijapoteza bundles zangu na time yangu.....big up shirko!!!

    • @allymahabah
      @allymahabah 4 года назад +9

      Shukran Sana dada mlezi kw mda wako ulochukua kuwasapot wadogo zako

    • @martinmuithya2343
      @martinmuithya2343 4 года назад +3

      Shinizooo

    • @jumamwero4442
      @jumamwero4442 4 года назад +2

      Yani tupate shanniz kama kumi hapa coast chipukizzy wataenuka tu kwa uwe wa mungu.

    • @kakajaykenya6114
      @kakajaykenya6114 4 года назад +1

      Yeiyoo love kwa sana

    • @Joramkatana
      @Joramkatana 4 года назад +1

      Aminiaaa.....Shanny....ATL ndo kusema...SM salute kwakooo

  • @chainbre275
    @chainbre275 4 года назад +7

    Hakika wa Mombasani wanajua kuimba Bana siyo kma wa nai waramba lolo
    Hakika tukipata waibaji kma Hawa 20 tu nyimbo za tz hazitachezwa Kenya sna kma Sasa mana mashari na kiswahili mashaAllah

    • @allymahabah
      @allymahabah 4 года назад

      Kweli kabsa shukran sana pia kw mda wako wakuitazama kaz yang

  • @kaykayfilms5547
    @kaykayfilms5547 4 года назад +5

    Ngoma inazidi kuwa kubwa kila siku 😂. Masha Allah

  • @clintonshilisia2860
    @clintonshilisia2860 3 года назад +123

    No nudity
    No alcohol content
    No bad language
    100% pure talent

  • @OfficialMasauti
    @OfficialMasauti 4 года назад +12

    💯💯💯🇰🇪🔥🔥🙌🏾

    • @allymahabah
      @allymahabah 4 года назад +2

      Asante Sana Kaka mkbwa

  • @jacksonmangaro7238
    @jacksonmangaro7238 4 года назад +9

    Hii ngoma ingekua bongo ingekua na 1m views but guess what tuko Kenya nchi yenye mdomo mrefu wa siasa kuliko music.

  • @charlottedacha2644
    @charlottedacha2644 Год назад +2

    I sooo love this song ,napenda ngoma za kujibizana ivi ❤

  • @evansnjuguna2578
    @evansnjuguna2578 Год назад +5

    2023 and I'm still here..pure talent

  • @bellomusic4539
    @bellomusic4539 4 года назад +35

    Ngoma kali sana wanamuzkii wetu...mistari yenye ufundi. Afu shirkomedia uko🔥🔥🔥💥
    #shirkomedia
    #allymahaba
    #akeelah
    #atlmusic
    #armoury
    #001

  • @keivannymusic6194
    @keivannymusic6194 4 года назад +9

    👏👏👏hii ni tindo yakukomoa ubongo mkali wangu ally mahaba...100% sure

  • @retlawthewizzah3425
    @retlawthewizzah3425 Год назад +4

    My G 🇰🇪🇹🇿💥 vipi kama kolabo ikitokea mkali

  • @tashastanleys9880
    @tashastanleys9880 4 года назад +8

    This lady tho,,am inspired.. biggup to both

  • @mapesasautiyawengi1051
    @mapesasautiyawengi1051 4 года назад +8

    BigyTune.. Keep moving my Bro

  • @abdallahmwaungo3395
    @abdallahmwaungo3395 4 года назад +13

    BIG UP ALLY na dadaetu AKEELAH
    MUzidi kujituma na mbali mutafika...
    #A_T_Lmusic to the world
    #UJITUME imeweza

  • @mosesjoseph4473
    @mosesjoseph4473 4 года назад +2

    Huyu Akeelah mbona ana Balaa sana kweli Tanzania Mziki Mgumu huyu dada ni wakwenda kabisa, aisee

  • @rachaelmwanje6331
    @rachaelmwanje6331 3 года назад +3

    Mwanaume ni kujituma kweli, safi sana bros👍👍👌👌

  • @joeltete6783
    @joeltete6783 4 года назад +66

    Came here because of Akeelah❤❤❤🔥🔥🔥🔥 Msichana si una sauti🙌🙌🙌🙌

  • @babally9464
    @babally9464 4 года назад +39

    Big up my crew big up Shirkomedia for a big tune

  • @ixhaqueen8642
    @ixhaqueen8642 3 года назад +3

    Xijawah angalia ngoma Kali kama hii xijaona wakuludia kam hawa watu xichoki kuangalia nimeweka MB kwajir yao😢😢😢😢😢😢😢

  • @mustafaabichi6901
    @mustafaabichi6901 3 года назад +6

    The girl is real, wooow shes real hakuna madoido

  • @martinmuithya2343
    @martinmuithya2343 4 года назад +63

    Thanks Mombasa for the massive massive support.
    The launch was superb 👌🙌👌
    Chacha the don
    Tuva the mzazi.
    Nyota ndogo
    Chapatizzo
    Kama ulikua gonga like

  • @dativagabriel672
    @dativagabriel672 4 года назад +7

    💃💃💃💃💃hadi raha,naona umeturudisha kwenyewe sio kukata kiuno mwanaume mzima 😍😍😍😍

  • @user-dm5gx1jo3c
    @user-dm5gx1jo3c 4 года назад +7

    Hii nyimbo nimerudia mara nyingi sana,sauti tamu na mafunzo.good talent watoto wa nyumban

  • @toshian9300
    @toshian9300 Год назад +3

    Ka si tiktok singe jua this beautiful song.. Pure talent ❤️

  • @amoury_001
    @amoury_001 4 года назад +16

    #UJITUME kazi ilioenda..ina hadhi na uwezo wa kipekee sauty za kipwani...SUPPORT ALLY MAHABA X AKEELAH..... Moto sanaaah

    • @allymahabah
      @allymahabah 4 года назад +1

      Shukran sana kw kutuelekeza njia kila Mara utuchoki wadgo zko

    • @aminajuma6861
      @aminajuma6861 4 года назад +1

      Iko.poa tuu sana. Naipenda💗💗

  • @princevince4330
    @princevince4330 4 года назад +7

    Kijana wa mtaa Ally nmekukubali mzima mzima.. Kazi Safi..
    Nakuombea kila laheri mwana.. Tamba kote kote wakutambue

  • @faithmwalimu4416
    @faithmwalimu4416 4 года назад +2

    Inatosha ×3 nataka ujitume wewe ndio mume .....wow what a great song 👌👌👌👌....nimekua nikitafuna ni nani kauwimba huu wimbo

  • @nishahsharon8611
    @nishahsharon8611 3 года назад +6

    Nimependa huwa naskiza karibu 20 tyms a day ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @habibtyruuhy9174
    @habibtyruuhy9174 4 года назад +6

    Ally mahabba 💘 sijui nikupe zawadi gani

  • @viberecords100
    @viberecords100 4 года назад +6

    Nyimbo nzuri sana wadogo zangu nyinyi ndio munatembea na masikio yetu sasa msituangushe. Mungu awabariki.

  • @xtashrayvash2996
    @xtashrayvash2996 2 года назад +3

    Nlikua wapi kuusikiliza mziki mzuri 💯..... Keep going ally mahaba

  • @salahali3743
    @salahali3743 3 года назад +5

    Finally he hits 1 mill views

  • @AsyaSOmar
    @AsyaSOmar 4 года назад +14

    Watakoma safari hii, ATL Music rules!!!!!!

  • @ailamofficial6757
    @ailamofficial6757 4 года назад +7

    Dope kaka nyimbo kaliii

  • @annmakena2580
    @annmakena2580 4 года назад +7

    Lazima nicheze huu wimbo mara kama nne asubuhi bfo niende job...naiiipenda

  • @mbitiruchege4870
    @mbitiruchege4870 4 года назад +3

    Wakali wa hizi kazi......shairi limekubalika kaka

  • @dullahenzi2582
    @dullahenzi2582 4 года назад +11

    Safi sana jomba💪💪💪

  • @mctcher524
    @mctcher524 4 года назад +10

    Song imeweza sana na sana tu big up my bro en sister Akila

  • @bshsjzhzhz1019
    @bshsjzhzhz1019 3 года назад +2

    Watching nikiwa pale saudia during Ramadan season 😍😍😍😍🤗

  • @abdulswamaduathumani2791
    @abdulswamaduathumani2791 4 года назад +6

    Yani hili goma halichoshi nimerudia Mara nane Sasa dah kaza brother ALLY MAHABA hakika iko poa sana

  • @tunnybby5932
    @tunnybby5932 4 года назад +8

    😍 😍 🔥 🔥 🔥 love the beats ❤❤#jitume 👍

  • @UndersqoMuzik
    @UndersqoMuzik 4 года назад +6

    Huyu mwana anajua sana..afu mrembo naye ana vocals safi

  • @sharonwanza9953
    @sharonwanza9953 2 года назад +4

    🥰🥰i finally got It woow

  • @shikoshicqsakabrowny8511
    @shikoshicqsakabrowny8511 3 года назад +3

    Sauti ya huyu manzi inaeza toa nyoka pangoni😍

  • @sitikisheto4804
    @sitikisheto4804 4 года назад +5

    My favourite song mana wangu pia ataki kujituma mpk nishachoka nahali hiyo mie ndio😥😥😥😥 mama majukumu wanaume angaikeni uvivu wenu unafanya tuozee gulf

    • @martinmuithya2343
      @martinmuithya2343 4 года назад +1

      Twajituma nyie ndo mwatupea presha hamna subra

    • @sitikisheto4804
      @sitikisheto4804 4 года назад

      @@martinmuithya2343 nasituna subir hila mnatuvunja nguvu kbs wanaume siku hiz wamesahau majukumu yao sana wallah

  • @jaelalusiola8989
    @jaelalusiola8989 4 года назад +24

    I am not crying 😭😭.....you are!!!!
    Akeelah I see you going places 😘😘
    I love love this ❤️❤️❤️

  • @raphaelgitonga1715
    @raphaelgitonga1715 Год назад +3

    Nairobi Kenya 🇰🇪💪 nice song✅💞♥️💞♥️

  • @ommythegreatblog7040
    @ommythegreatblog7040 4 года назад +4

    Watanzania tumebarikiwa kila kitu...raha twajipea wenyewe...maliasili tunayo...raisi mchapa kazi mwaminifu...chakula tunalima...vipaji vyenye hadhi na ladha ya pekee🙂🙂..asante mungu kwa haya yote.

  • @mfalmemooher254
    @mfalmemooher254 4 года назад +12

    Kali Sana inanijenga kiukweli wimbo mzuri mafunzo mazuri 😍😍😍❤️🇰🇪💥💥💥 shukran kwa wimbo huuu ally MAHABA mumeutendea haki na metutendea haki sisi mashabiki zenuu

  • @mctcher524
    @mctcher524 4 года назад +590

    Naomba like kwa wanaoikubali hii song kua ni hatari🔥

    • @allymahabah
      @allymahabah 4 года назад +13

      Hatari Kaka

    • @babayaga8289
      @babayaga8289 4 года назад +6

      PITIA LINK HII UTOJUTIA
      ruclips.net/video/xGxs8Micpw8/видео.html

    • @carolsheddy4855
      @carolsheddy4855 4 года назад +5

      hatari

    • @allyzicko8149
      @allyzicko8149 4 года назад +5

      Saf

    • @raymondkazungu6261
      @raymondkazungu6261 4 года назад +9

      ALLY MAHABA umenifanya ile bidi yangu niongeze zaid alaf hii ngoma lazima wife wangu aisikize ndio maana nmebonyeza download button

  • @watsonjesse8300
    @watsonjesse8300 4 года назад +3

    Ngoma kalii xanaah ila akeel umetixhaa....

  • @dennisdaskalos733
    @dennisdaskalos733 2 года назад +2

    Leo ndio nimejua hii ngoma imetoka KENYA!

  • @kombom335
    @kombom335 4 года назад +8

    Really Touching HIT 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥🔥🔥