Mashairi yenye uhalisia, majibizano yenye hisia, ngoma kubwa zaidi kwenye hii tasnia and NO sio kutoka Tanzania bali ngoma kali toka Kenya imepenya na kwenye chati imeingia. Congratulations Ally Mahaba, Akeelah and Shirko for making Mombasa Music Great again. "Inatosha" ~ Mzazi Willy Tuva = Mseto East Africa
Nimependa natural video hasa huyu dada hana makorokoro i see like hawa watu ni wa mombasani hivi naskia tone za sudi boy flan wana madrasa kwa mbaali hivi nice song haki vile ❤💕🤝
The song is on point but the problem with us Kenyans is that we adore so much of tanzanian music than our own music here. Surely, it deserved more than a million views . Mbona tuna ngebe na miziki yetu hapa? Nimeupenda Sana. Mwanzo sikupenda kuutizama maana nlidhani ni muziki wa Tanzania. Niliposikia ni wakenya wenzangu walouimba, sasa hivi mimi huutizama kila wakati niamkapo na niendapo kulala. Jameni wakenya wenzangu tuiinue miziki yetu hapa haswa miziki inayoleta hadhi kama huu.
Dah hii nyimbo inanipeleka mbali na kunifanya nitie bidii zaidi Hadi mtoto wakike analalamika tujitumeni wanaume dah hongera bro Ally na siz akeelah mumetufanya pia tuthamini nchi yetu sio uarabuni eti ndio kwenye maisha hata kwetu yapo zamu yako ikifika utafanikiwa God bless you mumetufunza kitu hapa hizi ndio nyimbo tunafaa kuzingatia Kama wasanii nyimbo Zenye maadili na Zenye kutia moyo kitu unaskiliza kinakupa moyo na mafunzo ndani yake....hongera pia kwa producer shirko unawezo mku bwa sana wa kupanga kazi yako mungu pia akuweke zaidi Kaka maana Kaka Ally aliangaika sana na tangu uje ww tumeuona uwezo wake wa kazi na bidii yake hongera kwako...hongera pia kwa boss Matoo kwa kujitolea kwa moyo na kuwekeza kwa ndugu yetu Ally pia na wengine amemwaamini na kumsimamia Hadi tunaone level amemfikisha si rahisi mungu mkubwa mungu azidi kukupa moyo huohuo boss matoo. Hongera kwako amour pia mungu akuweke zaidi. Na hongera kwa wote wanaosupport mziki mzuri.
Hakika wa Mombasani wanajua kuimba Bana siyo kma wa nai waramba lolo Hakika tukipata waibaji kma Hawa 20 tu nyimbo za tz hazitachezwa Kenya sna kma Sasa mana mashari na kiswahili mashaAllah
My favourite song mana wangu pia ataki kujituma mpk nishachoka nahali hiyo mie ndio😥😥😥😥 mama majukumu wanaume angaikeni uvivu wenu unafanya tuozee gulf
Watanzania tumebarikiwa kila kitu...raha twajipea wenyewe...maliasili tunayo...raisi mchapa kazi mwaminifu...chakula tunalima...vipaji vyenye hadhi na ladha ya pekee🙂🙂..asante mungu kwa haya yote.
Kali Sana inanijenga kiukweli wimbo mzuri mafunzo mazuri 😍😍😍❤️🇰🇪💥💥💥 shukran kwa wimbo huuu ally MAHABA mumeutendea haki na metutendea haki sisi mashabiki zenuu
Who else is here in 2024?❤🔥🔥
Am here
Mimi hapa
ngoma kali sanaaaa kama na ww unarudiaga mara kwa mara hii ngoma gonga like za kutoshaaa
Fire 🔥 ita zima Moto 🚒
Huyu mwanmke anafanya kazi safi kwanza hatukani na hatoi sentesi tata za matusi ila basata hawamuoni huyu dada yupo sawa
The most underrated artist in Kenya now..please Kenyans..let's support our own talent
Say what? Are they not Tanzanians😳
@@millisseintbarraza5953 our own Kenyans
👏👏👏👏👍👍👍❤️❤️❤️❤️❤️❤️🤦🤨😌
Are they 🇰🇪 for real but the guy can sing
True
Mashairi yenye uhalisia, majibizano yenye hisia, ngoma kubwa zaidi kwenye hii tasnia and NO sio kutoka Tanzania bali ngoma kali toka Kenya imepenya na kwenye chati imeingia. Congratulations Ally Mahaba, Akeelah and Shirko for making Mombasa Music Great again.
"Inatosha"
~ Mzazi Willy Tuva = Mseto East Africa
Shukran Sana citizen redio na tv kw ujumla Kaka mzazi Tuva Allah akujaalie neema uweze kusapot wadgo zako
Shukran sana mzazi inshallah tutazidi kutia bidii
Noma sana
Vipaji vya kueleweka
Imeweza sana
Alieangalia hii video zaidi ya mala 10 na aijamchosha Kama mm naomba like kazi nzuri aichoshi
Thank you
@@nakshibeiby5597 F
Siwezi kuchoka kusikiza huu wimbo kabla nilale naupenda💖💖
Kazi nzuri hakika.
Hatar
Usisemee hivyoooo...usinifanye hivyoooo.....kuipataka kazi sio rahisi mke wangu....
Nimeanza kuisikliza sa 12 mpaka sa 3 usk narudia kila saa big up
Omggg i love uuu🥺❤️❤️💕💕💕😭😭😭🥺🥺❤️💕💕💕✨✨
Congratulations @AllyMahaba nice song yenye mafunzo kwa jamii #ujitume
Asnte Sana
Ata kama nimechelewa naombeni likes za Ally🔥🔥🔥🔥u Never disappoint
Second woman I can support after nyota ndogo ...uko juu sis akeelah na inshaallah utazid kua juu
Nimependa natural video hasa huyu dada hana makorokoro i see like hawa watu ni wa mombasani hivi naskia tone za sudi boy flan wana madrasa kwa mbaali hivi nice song haki vile ❤💕🤝
Asante sana
Kenya we are blessed lets support these talent
Indeed we have to support them
True indeed let's support our artists
I just lov🥰 this song
Good
Yes we are blessed
Mwenyewe nimewaelewa. Big up bro❤️❤️❤️💕🇹🇿🇹🇿
Hongera sana
Tuliokuja huku
kupata nyimbo full,
toka tiktok tujuane
Mambo kila kukicha yanazidi kuwa mazuri mubarikiwe nyimbo nzuri yakupambana na maisha. 🙌🙌🙌🙌
Wow lovely song again ally mahaba napenda nyimbo zako uko poa my bro keep it up
Nikiwa na stress za life naskiliza hii ngoma kazi nzur kwenu
So sweet,,, I mean nice song. Nawaombea baraka kutoka kwa mwenyezi mungu
Ally jitume💖💖
Asnte Sana make up artist wng
Hello
Lucky Zamu ndio mimi
@Ally Mahaba 🔥🔥🔥
@Akeelah official 🔥🔥🔥
Hatar
Kali
Kama hii ni ya Kenya nchi yetu basi Ally mahaba wewe ndo diamond wetu. Fan mpya
The song is on point but the problem with us Kenyans is that we adore so much of tanzanian music than our own music here. Surely, it deserved more than a million views . Mbona tuna ngebe na miziki yetu hapa? Nimeupenda Sana. Mwanzo sikupenda kuutizama maana nlidhani ni muziki wa Tanzania. Niliposikia ni wakenya wenzangu walouimba, sasa hivi mimi huutizama kila wakati niamkapo na niendapo kulala. Jameni wakenya wenzangu tuiinue miziki yetu hapa haswa miziki inayoleta hadhi kama huu.
Asante sana ndgu yng shukran sana
Talent 💯..
Mzazi Tuva..brought me here 🙌
karibu
Mzazi wa vipaji
BILA alikiba nisingeijua hii nyimbo
Big up Sana ally mahaba 💪💪💪💪💪💪 bonge kazi
Wau nashukulu ujumbe mzito mashairi kibao mwanaume ni kujituma bana KAZI safi
safi sanaa kaka ally good work bro niceee wimbo huu umfikie kipenz changu tina john popote alipo,,,
💣🔥🔥🔥
Akeelah am proud of u♥♥
Dah!!!.. Ally huyu binti kamtoa wapi ana kipaji aiseee....
Kazi nzuri bro💛🧡♥️♥️🙏🙏👏🙏👏
Safi
Always my big tune... Poetic Justice walahi. Huwa napenda hii ngoma yangu yote.
Soom mumeweza snaa wallahy hilo goma hiko juuuh
Huyu mwanadada yani.... Mashairi yake yamefika chuo kikuu. yuwajua kazi yake. Kama munakubaliana nami nipeni LIKES zake
💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼❤️love from 🇬🇧🇬🇧🇰🇪🇰🇪👍🏽 the best 🙏🏽
Uko akuna lolote pamoja na miangaiko yao yte,na ujanja wao wote pesa wanazimaliza madam zote
Mwanaume unapenda ushindani Nami nfanyeje mtoto wakike 🔥🔥🔥🔥🔥🔥duuh
Qali sana
Brother ngoma kaliiii
Umesema hii ngoma umewaza na kuwazua ukatoa kitu iliyo makinika Hongera Ally Mahaba.
@@irenedzame752 Asante sana 🔥🔥🔥💪
Hiiii kaliiii kazi kubwaaa sanaaa big up sanaaaa
Ngonjera inayogusa hisia ...bravo kwa wasanii wa pwani
Ooooh I love this song. ....kweli huwezi pata chochote bila kumkubatia mungu.....basi kaa wee nyumbani nami niede n kaagaike
Hawakuezi mwana
Kali sana🔥
Kali ya mwaka hongera sana Ally mahaba na Akeelah kwa kazi safiii
Asnte sana
Alieirudia hii ngoma tujuane hapa big up akeelah 💞💞🎼🎵🎼
Lydiah Njoki brought me here. I couldn't have known, such a good song. Kenya Kali 👍
Thank you Lydia njoki. Pls share to more people
Dah hii nyimbo inanipeleka mbali na kunifanya nitie bidii zaidi Hadi mtoto wakike analalamika tujitumeni wanaume dah hongera bro Ally na siz akeelah mumetufanya pia tuthamini nchi yetu sio uarabuni eti ndio kwenye maisha hata kwetu yapo zamu yako ikifika utafanikiwa God bless you mumetufunza kitu hapa hizi ndio nyimbo tunafaa kuzingatia Kama wasanii nyimbo Zenye maadili na Zenye kutia moyo kitu unaskiliza kinakupa moyo na mafunzo ndani yake....hongera pia kwa producer shirko unawezo mku bwa sana wa kupanga kazi yako mungu pia akuweke zaidi Kaka maana Kaka Ally aliangaika sana na tangu uje ww tumeuona uwezo wake wa kazi na bidii yake hongera kwako...hongera pia kwa boss Matoo kwa kujitolea kwa moyo na kuwekeza kwa ndugu yetu Ally pia na wengine amemwaamini na kumsimamia Hadi tunaone level amemfikisha si rahisi mungu mkubwa mungu azidi kukupa moyo huohuo boss matoo. Hongera kwako amour pia mungu akuweke zaidi. Na hongera kwa wote wanaosupport mziki mzuri.
Shukran sana
Bigdaddyhahaz nikweli jamani tujitahidini
Wameiinua mombasani
Hii wimbo iko sawa zaidi.izi dizo nyimbo uwa nataka sinafunza
Aki lazima nijitume. Pure talent . Heko to Ally and the beautiful Queen
Why's this musician so underrated?this is a masterpiece 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Nomaa sana..... Sijapoteza bundles zangu na time yangu.....big up shirko!!!
Shukran Sana dada mlezi kw mda wako ulochukua kuwasapot wadogo zako
Shinizooo
Yani tupate shanniz kama kumi hapa coast chipukizzy wataenuka tu kwa uwe wa mungu.
Yeiyoo love kwa sana
Aminiaaa.....Shanny....ATL ndo kusema...SM salute kwakooo
Hakika wa Mombasani wanajua kuimba Bana siyo kma wa nai waramba lolo
Hakika tukipata waibaji kma Hawa 20 tu nyimbo za tz hazitachezwa Kenya sna kma Sasa mana mashari na kiswahili mashaAllah
Kweli kabsa shukran sana pia kw mda wako wakuitazama kaz yang
Ngoma inazidi kuwa kubwa kila siku 😂. Masha Allah
No nudity
No alcohol content
No bad language
100% pure talent
Asante sana
Hahahah
Nomaa sana
@@davidnyerere2016 a
@@davidnyerere2016 ❤a❤aaa❤❤❤❤❤❤1❤❤❤❤❤❤❤❤a😮 asap the same
💯💯💯🇰🇪🔥🔥🙌🏾
Asante Sana Kaka mkbwa
Hii ngoma ingekua bongo ingekua na 1m views but guess what tuko Kenya nchi yenye mdomo mrefu wa siasa kuliko music.
I sooo love this song ,napenda ngoma za kujibizana ivi ❤
2023 and I'm still here..pure talent
Ngoma kali sana wanamuzkii wetu...mistari yenye ufundi. Afu shirkomedia uko🔥🔥🔥💥
#shirkomedia
#allymahaba
#akeelah
#atlmusic
#armoury
#001
Asnte Sana
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I like the conversation mulifanya
Akheella ni madini adim na ghali sokoni ana brighter future
👏👏👏hii ni tindo yakukomoa ubongo mkali wangu ally mahaba...100% sure
Asante kaka
Naikubali xan hii nyimbo
My G 🇰🇪🇹🇿💥 vipi kama kolabo ikitokea mkali
This lady tho,,am inspired.. biggup to both
BigyTune.. Keep moving my Bro
BIG UP ALLY na dadaetu AKEELAH
MUzidi kujituma na mbali mutafika...
#A_T_Lmusic to the world
#UJITUME imeweza
Huyu Akeelah mbona ana Balaa sana kweli Tanzania Mziki Mgumu huyu dada ni wakwenda kabisa, aisee
Mwanaume ni kujituma kweli, safi sana bros👍👍👌👌
Came here because of Akeelah❤❤❤🔥🔥🔥🔥 Msichana si una sauti🙌🙌🙌🙌
babyyy girl I told you Allah got you love💝...Ma Shaa Allah
Ntamuoa
@@jimmycarter84 inakubalika pia😂
Hadi rahaa...
Ye she so 🔥🔥🔥🔥🔥
Big up my crew big up Shirkomedia for a big tune
Yeiyoooo
Xijawah angalia ngoma Kali kama hii xijaona wakuludia kam hawa watu xichoki kuangalia nimeweka MB kwajir yao😢😢😢😢😢😢😢
The girl is real, wooow shes real hakuna madoido
Thanks Mombasa for the massive massive support.
The launch was superb 👌🙌👌
Chacha the don
Tuva the mzazi.
Nyota ndogo
Chapatizzo
Kama ulikua gonga like
Imetufuraisha na kutujenga zaid
thanks
Sikua lakini nimegonga like ....song hatari hii
MARTIN MUITHYA in
Wowww
💃💃💃💃💃hadi raha,naona umeturudisha kwenyewe sio kukata kiuno mwanaume mzima 😍😍😍😍
Hii nyimbo nimerudia mara nyingi sana,sauti tamu na mafunzo.good talent watoto wa nyumban
Iko poa xna gd aidia
Ka si tiktok singe jua this beautiful song.. Pure talent ❤️
#UJITUME kazi ilioenda..ina hadhi na uwezo wa kipekee sauty za kipwani...SUPPORT ALLY MAHABA X AKEELAH..... Moto sanaaah
Shukran sana kw kutuelekeza njia kila Mara utuchoki wadgo zko
Iko.poa tuu sana. Naipenda💗💗
Kijana wa mtaa Ally nmekukubali mzima mzima.. Kazi Safi..
Nakuombea kila laheri mwana.. Tamba kote kote wakutambue
Ameen
Inatosha ×3 nataka ujitume wewe ndio mume .....wow what a great song 👌👌👌👌....nimekua nikitafuna ni nani kauwimba huu wimbo
Asante sana ndugu
Nimependa huwa naskiza karibu 20 tyms a day ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Ally mahabba 💘 sijui nikupe zawadi gani
Yyte ntafuraia
Nyimbo nzuri sana wadogo zangu nyinyi ndio munatembea na masikio yetu sasa msituangushe. Mungu awabariki.
Kabisa
Shukran sana produza shirko
Nlikua wapi kuusikiliza mziki mzuri 💯..... Keep going ally mahaba
Finally he hits 1 mill views
Watakoma safari hii, ATL Music rules!!!!!!
Dope kaka nyimbo kaliii
Lazima nicheze huu wimbo mara kama nne asubuhi bfo niende job...naiiipenda
Asante sana
Hio hatari
Wakali wa hizi kazi......shairi limekubalika kaka
Safi sana jomba💪💪💪
Aminia
Song imeweza sana na sana tu big up my bro en sister Akila
Watching nikiwa pale saudia during Ramadan season 😍😍😍😍🤗
Yani hili goma halichoshi nimerudia Mara nane Sasa dah kaza brother ALLY MAHABA hakika iko poa sana
Asante sana
😍 😍 🔥 🔥 🔥 love the beats ❤❤#jitume 👍
Shukran sana
Huyu mwana anajua sana..afu mrembo naye ana vocals safi
Safi
🥰🥰i finally got It woow
Sauti ya huyu manzi inaeza toa nyoka pangoni😍
My favourite song mana wangu pia ataki kujituma mpk nishachoka nahali hiyo mie ndio😥😥😥😥 mama majukumu wanaume angaikeni uvivu wenu unafanya tuozee gulf
Twajituma nyie ndo mwatupea presha hamna subra
@@martinmuithya2343 nasituna subir hila mnatuvunja nguvu kbs wanaume siku hiz wamesahau majukumu yao sana wallah
I am not crying 😭😭.....you are!!!!
Akeelah I see you going places 😘😘
I love love this ❤️❤️❤️
Ameen In Shaa Allah
Safi
Nairobi Kenya 🇰🇪💪 nice song✅💞♥️💞♥️
Watanzania tumebarikiwa kila kitu...raha twajipea wenyewe...maliasili tunayo...raisi mchapa kazi mwaminifu...chakula tunalima...vipaji vyenye hadhi na ladha ya pekee🙂🙂..asante mungu kwa haya yote.
Kali Sana inanijenga kiukweli wimbo mzuri mafunzo mazuri 😍😍😍❤️🇰🇪💥💥💥 shukran kwa wimbo huuu ally MAHABA mumeutendea haki na metutendea haki sisi mashabiki zenuu
AKEELAH yuko vizuri Sana pongezi kwake
Safi
Naomba like kwa wanaoikubali hii song kua ni hatari🔥
Hatari Kaka
PITIA LINK HII UTOJUTIA
ruclips.net/video/xGxs8Micpw8/видео.html
hatari
Saf
ALLY MAHABA umenifanya ile bidi yangu niongeze zaid alaf hii ngoma lazima wife wangu aisikize ndio maana nmebonyeza download button
Ngoma kalii xanaah ila akeel umetixhaa....
Leo ndio nimejua hii ngoma imetoka KENYA!
Really Touching HIT 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥🔥🔥