Best Naso -Mwambie (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • #BestNaso #Mwambie #SlideDigital
    (C) Slide Digital
    Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.bio/qwm8md
    Written & Performed by Best Naso
    Follow Best Naso on:
    www.facebook.c...
    / bestnasotz
    / bestnaso
    open.spotify.c...
    / yamoyoni-single
    www.boomplay.c...
    audiomack.com/...
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 412

  • @muindimusyoka7887
    @muindimusyoka7887 3 года назад +2

    Mm sichoki kusikiza best nasso hits bila shaka mshikaji ulibarikiwa na kipaji.......showing love to best nasso hits from +254.....

  • @athumanifadhil1918
    @athumanifadhil1918 3 года назад +152

    Wangapi tunamkubal nasso tujuane kabisa

  • @ambassadorpaul122
    @ambassadorpaul122 3 года назад +22

    Mwambie asiache kujichunga, dua njema namwombea ,mwambie sina Raha.
    Naomba likes za Best Naso

  • @ibrah9627
    @ibrah9627 3 года назад +1

    Mwamba fundi ila sijui ni nn kipi kwako mwamba wangu me sina raha bila yeye kwer tenah

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 3 года назад +55

    Mwambie shemela yani baada ya 20%,Best Naso unafata kwa uandishi wa mashairi mazuri👏
    nani anasupport?
    👇

  • @stewardcharles6540
    @stewardcharles6540 3 года назад +25

    Toto la msoma nip like wadau kwa mwamba huy wa kanda ya ziwa pia kwa taifa la🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @TIZZOBOYOFFICIAL
    @TIZZOBOYOFFICIAL 3 года назад +151

    From Kenya mi ndo wa Kwanza nitapta like 70 kweli?

    • @masatuadolfu8691
      @masatuadolfu8691 3 года назад

      umepata

    • @fecbookshirima7885
      @fecbookshirima7885 3 года назад

      Mimi nimewai kuyatoa machozi thidi ya mkali best I naso namkubali kitambo sanaaaa

    • @fecbookshirima7885
      @fecbookshirima7885 3 года назад

      Mimi nimewai kuyatoa machozi thidi ya mkali best I naso namkubali kitambo sanaaaa

  • @tuesdaymeli6893
    @tuesdaymeli6893 3 года назад +3

    Best naso namuelewa sana na ni msanii anawakilisha vidume wote wanaoteswa na mapenzi,,ila kujidhuru au kujiuwa kwa ajili ya demu ni uzwage🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃

  • @manchillahofficial7238
    @manchillahofficial7238 3 года назад +59

    Wa kwanza Leo like kwa naso jamani

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 года назад

    Maandalizi ya wimbo huu ndiyo ilisababisha mapapalaz wavumishe et best naso ajinyonga😀

  • @NGULYATI
    @NGULYATI 3 года назад +26

    Kaka kama kawaida yako hujawahi kufeli ngoma Kali sana blood kumbe uko hai nilijua tayali ushavuta mungu akusimamie kwenye kazi yako Ninja

  • @jaxflavour1180
    @jaxflavour1180 3 года назад +2

    King kutoka Kanda ya ziwa home boy respect 2 you my brother bonge la wimbo hujawah kosea

  • @adrophchristopherkazoya3609
    @adrophchristopherkazoya3609 3 года назад +19

    Uyu Jamaa Karudi Kivingine Kabisa, Big Up Sana, Tulikumiss Kwenye Music game

  • @kelvinmpinga5703
    @kelvinmpinga5703 3 года назад +44

    Mzee kiukweli una madini sana kichwani, Big up Sana Nasso.

    • @alexaiddan979
      @alexaiddan979 3 года назад +1

      Best naso 🔥🔥🔥🔥

    • @samweltv2064
      @samweltv2064 3 года назад +2

      jamaa uwa ana tumia akil ndefu sana haiseee ila nashangaa sna kutomuona fiester wala kupewa tuzo sijui kwann yani daaaah

    • @lestutaleo7220
      @lestutaleo7220 3 года назад

      @@samweltv2064 tatizo nyota

    • @anahanah9145
      @anahanah9145 3 года назад

      Dah hapo niliuona nikajua kajinyonga

  • @pendaelimolell3510
    @pendaelimolell3510 3 года назад +1

    Nakukubali mtu wangu best naso yani umenikumbusha mbali kinoma

  • @issasalum7284
    @issasalum7284 3 года назад +1

    huyu Mwamba Namkubaligi sanaaaa..... Anajua

  • @musaking8838
    @musaking8838 3 года назад +1

    Hujawahi niangusha baba la baba

  • @mahamodmkali1083
    @mahamodmkali1083 3 года назад

    Tanzania kuna wasanii wawili tu 1) 20parsent na best nasso kubali kataa

  • @s_topizzo3710
    @s_topizzo3710 2 года назад +1

    Besti Naso my best artist from tz, napenda utunzi wako. Am listening from kenya

  • @musaguga
    @musaguga 3 года назад +2

    Ngoma kali sana naso, Hivi naso we msambaa au kabila gani, coz nilisikia goma lako,smart boy na mosi, umepiga kisambaa ataree.

  • @rizzodetygertz6981
    @rizzodetygertz6981 3 года назад +14

    Huyu ndy msanii🔥🔥🔥🔥🔥

    • @jeremiahzacharia4482
      @jeremiahzacharia4482 3 года назад

      Kweli mabiti wasiku hizi wana pande wenye hele xijuwi kwaninitu

  • @andrewkim110
    @andrewkim110 3 года назад +1

    mwanangu u mkali sana toka narudi kijijini hadi mwambie samti sana bro

  • @johnngollo
    @johnngollo 3 года назад +100

    Kama umeiludia mara mbili mbili kama mimi ngonga like hapa twende sawa

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 3 года назад

    Mwanajeshi anae pambana kivyake vyake huku redio zikimpotezea

  • @kawambwakawambwa1850
    @kawambwakawambwa1850 3 года назад +61

    Siku best nasso akifa Kila redio zitacheza ngoma zake wacha wamchukulie poa Sasa ivi ila watamkumbuka kama magufuli

  • @Influvesselstz
    @Influvesselstz 3 года назад +1

    Bonge moja la songii kutoka kwa best

  • @brissermusic5512
    @brissermusic5512 3 года назад +2

    Kazi nzuli sana 👏👏👏

  • @nicksontarimo4340
    @nicksontarimo4340 3 года назад +1

    apo sasa nimekubali baba,ume swech

  • @vitalresspeter7295
    @vitalresspeter7295 3 года назад

    best naso binafsi nakufuatilia toka mamu wa dar kweli iko poa sana

  • @Lumbapa
    @Lumbapa 3 месяца назад

    Uwe na sababu zako ,,,si bule ukimchukia naso

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 3 года назад

    Aisee ngoma kali sana alafu DIJALO ALUNGU (TBC FM) anamuacha mdogo wake huyu alafu anapiga promo ngoma zingine ambazo azani ujumbe 🤔🤔👏👏👏👊👊

  • @nawabunsabimana6409
    @nawabunsabimana6409 3 года назад +2

    🇹🇷🕊NASSO NAKUKUBALI MZAZY

  • @mapesa1425
    @mapesa1425 3 года назад +1

    Kwan best nasso amewakosea nn mpaka anakosa haki zake jmn

  • @wanderenyeura9011
    @wanderenyeura9011 3 года назад

    Maana ya hizo picha kwenye wimbo ni kufa ,ko Jamaa atakufa mdada huyo akimuacha

  • @user-ty5nm4zs7s
    @user-ty5nm4zs7s 7 месяцев назад

    kazi nzur sana mungu akulinde na akuwepushe na mabaya

  • @florencenditi749
    @florencenditi749 2 года назад +1

    Eti ivi nipo zangu nasoma nachoka akili mm huyo naweka kagoma ka Best Naso jamani

  • @joelrunandi2770
    @joelrunandi2770 3 года назад

    Safi sana wa nyumbani natamani saiv umshilikishe hamonize kwenye wimbo wako mmoja

  • @maelezomaelezo9057
    @maelezomaelezo9057 3 года назад +2

    Mwimbo huu umenisisimua Sana. Mapezi bana 👽👽👽👽

  • @petermichael8652
    @petermichael8652 2 года назад

    Yeeeaap mwambie sina raha, , aga aga, , hatari

  • @Mtumbaya09
    @Mtumbaya09 3 года назад +12

    Ndo nikashangaa at haupo kumbe wimbo congrats boe

  • @abdrazackhashim6549
    @abdrazackhashim6549 3 года назад +1

    imekaa poa best naso

  • @swamweliteobady4496
    @swamweliteobady4496 3 года назад

    Nasso kipaji unacho sema nyota ndio una lkn mwamba unajua

  • @makutajr
    @makutajr 3 года назад +40

    Wakwanza Ku View Like zangu

  • @michaelevarist5518
    @michaelevarist5518 3 года назад +1

    Nimependa izo pichi mbili ziliopo ndani ata mm nawaz mikiwa na nyumba yang niwe nazo izo za mashujaa wetu Nyereree na magufulii 😭😭😭😭

  • @goodluckymassawe4718
    @goodluckymassawe4718 3 года назад +21

    Goma la kuinjoi nalo like za best nasoo

  • @jovannyboy6585
    @jovannyboy6585 3 года назад

    Best naso skupingi brother jovanny boy umeniachia vita kubwa mkoani huku

  • @simonmaige3580
    @simonmaige3580 3 года назад +1

    Hapo sawa naso nimeanza kukuelewa jamaa Safi Sana mwambie

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 года назад +2

    Mwambie Sina raha 🥰🥰🥰🥰🥰🇴🇲🇹🇿

  • @goodluckjoseph2203
    @goodluckjoseph2203 3 года назад

    Huyuu jamaaa anaimba jaman msimchukulie poa

  • @luvboywcbnyamz534
    @luvboywcbnyamz534 3 года назад +3

    Daaah.....umeweza.......ila sio kwa njia hizoooooooooooo

  • @mwendokaudanzi6822
    @mwendokaudanzi6822 3 года назад

    Huyu jamaa anajua kuimba balaa

  • @salomeawuor8785
    @salomeawuor8785 3 года назад +1

    Best uko poa kwa kuimba

  • @kusinimediatz6747
    @kusinimediatz6747 3 года назад +1

    Kuna baadhi ya watu nilishawahi kuwasikia wanasema best nasso siku hizi anatoa nyimbo mbaya sana nikajisikia aibu sana coz mi ni shabiki wako tangu ladha za afrika mashariki TBC FM na dijalo arungu sasa hapa ndo tunauwasha moto #muambie on fire.....

  • @daggysekut9046
    @daggysekut9046 3 года назад +6

    Wimbo mzuri brother 🇰🇪

  • @rajabdallahathuman4745
    @rajabdallahathuman4745 3 года назад +2

    Nasooooooooo piga like kwa nasooooooooo

  • @bashirumussa7045
    @bashirumussa7045 5 месяцев назад

    Ngoma kali sana brother.. huwa inanikumbusha mbali sana.

  • @noblechild5652
    @noblechild5652 3 года назад +1

    100 % ngoma tamu 🥰🥰 likes za Wakenya🇰🇪🇰🇪 zikam

  • @bitunisebarua3884
    @bitunisebarua3884 3 года назад +1

    Best naso mzee wa kubembeleza kulalamika yaan mpaka moyo una furahi 🙏

  • @victoirekatembo6169
    @victoirekatembo6169 3 года назад

    Kupitiya wewe nilijuwa kukatiya demu, kama munamukubali gonga tano🖐️

  • @mackrobert7290
    @mackrobert7290 3 года назад

    Hapa umenikosha best naso..

  • @Pplenizecomedy
    @Pplenizecomedy 3 года назад +1

    Ngoma kali aidia kali video nzur

  • @humphreynduye6239
    @humphreynduye6239 3 года назад

    Sema huyu jamaaa ,,,s cjui anakwamaga wap ,,,,
    ,,hanaga jina ,,,
    Au kiki toka tuma ringa

  • @alexaiddan979
    @alexaiddan979 3 года назад +2

    Best ngoma balaa na nusu

  • @SalimSalim-bv3wb
    @SalimSalim-bv3wb 2 года назад

    Hiyu ni star wa mtaani hata wakimbania anaskika

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 3 года назад +2

    nakubali mazima kabisaaa

  • @annugimburablal6928
    @annugimburablal6928 3 года назад

    Best
    Best nasso ww bonge la msanii

  • @alexmiage7115
    @alexmiage7115 3 года назад +11

    The best songs
    To beat nasor
    We're is like from Kenya
    Uganda south africa
    Sudan show love to best nasor

  • @vocatusmecksedeck5793
    @vocatusmecksedeck5793 3 года назад +1

    Safi sana mziki mzuri

  • @amangervacy879
    @amangervacy879 3 года назад +1

    Best naso kama best naso 👑👑👑

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 года назад +2

    Sichoki kusikiliza hii ngoma 😍😍😍🔥🔥🔥🔥

  • @iddysanga4053
    @iddysanga4053 3 года назад +1

    Broo ukovizuri nakubali kazizako sana

  • @iddallahshabani1763
    @iddallahshabani1763 3 года назад

    Kaka tafuta nafasi kings music basss au unasemajeeee ilituwauwe vizur

  • @johnmanywele2060
    @johnmanywele2060 3 года назад

    Nakubali mzee Baba tuache uwongo jamaa anajua

  • @nyamangumu3147
    @nyamangumu3147 3 года назад +1

    Braza unajuwa sana

  • @jacksonrwechungula9479
    @jacksonrwechungula9479 3 года назад +4

    Nice kaka naso kaza buti tupo wote

  • @LovelyTz
    @LovelyTz 3 года назад +2

    Duuuuh imenikuna atari brother kali sana brother safiii sana 😭😭😭😭😭

  • @hawa-luumiwrty3144
    @hawa-luumiwrty3144 3 года назад +1

    Ngoma- Kali Sana

  • @mungwetv945
    @mungwetv945 3 года назад +1

    Huu wimbo nikiboko

  • @bahatevagre933
    @bahatevagre933 3 года назад +8

    Nakubali sana best uko poa,MWAMBIE AJE NITAMWOA MAZIMA

  • @aliboss2736
    @aliboss2736 3 года назад +1

    Diamond 💎 wasanii n kma hawa wape nafasi ya kuperfoam umekazana na kina giggy tu

  • @mosespeter5441
    @mosespeter5441 3 года назад +2

    Bonge moja la ngoma sema limekosa tu promo

  • @ezman8528
    @ezman8528 3 года назад +5

    Kaka umeua yaani hii ngoma ni hatari.one love my brother.

  • @mirriamseneto2773
    @mirriamseneto2773 3 года назад +1

    Unajua mpaka unakera

  • @wambassaonline1940
    @wambassaonline1940 3 года назад +1

    Mbona unakuwa ivo jmaaaa

  • @dyziboy5237
    @dyziboy5237 3 года назад +1

    Uko vzr best naso usikate tamaa msanii wetu tz

  • @zaidathuman6067
    @zaidathuman6067 3 года назад

    Ukimuona muulize au anataka nijiue

  • @henrycheaka5807
    @henrycheaka5807 3 года назад

    Yani ngugu nakuku bali tangia tumalinga ww ndyo kioo chajamii

  • @captainnyotatv001
    @captainnyotatv001 3 года назад +1

    From Mombasa 001. Tunakukubali mia mia

  • @mozeekamana
    @mozeekamana 3 года назад +1

    Safii. Kazi nzuriii sana

  • @asnabughe4220
    @asnabughe4220 3 года назад

    Best nasso nitakupenda daima

  • @ommy21media91
    @ommy21media91 3 года назад +1

    Wimbo wangu bora wa 2021

  • @davidsalikoki6319
    @davidsalikoki6319 3 года назад +2

    Pisi ya kwenda😍😍

  • @qassimkhamidally3143
    @qassimkhamidally3143 3 года назад +1

    Bestnasso good unaimba kiuhalisia ya mambo kwenye jamii

  • @emanuelbusumabu7041
    @emanuelbusumabu7041 3 года назад

    Kutoka morogoro kusini nasso nimekusoma

  • @younggzzoy2417
    @younggzzoy2417 3 года назад +9

    My favorite artist nakubali Sana'a naso hii ngoma ni Kali sanaaa bless up

  • @suncheeally8681
    @suncheeally8681 3 года назад

    Bonge la ngomaa #mwambie sinaa

  • @franksilas7886
    @franksilas7886 3 года назад

    Kazi nzuri nzuri xana naso me nakubaligi Sana kazi yako hongera

  • @yohanaernest7039
    @yohanaernest7039 3 года назад +1

    Ngoma kali balaa

  • @angelinajames3321
    @angelinajames3321 2 года назад

    Kaka ww n fire na moto wako cjaona wa kuuzima

  • @leonardnaano6980
    @leonardnaano6980 2 года назад

    Kweli kaka wape naqbali sana nassoro