MABANTU ft WHOZU - KAMATULIVYO (Official video)
HTML-код
- Опубликовано: 13 фев 2019
- OFFICIAL KAMATULIVYO VIDEO BY MABANTU
MABANTU IS A URBAN BOY BAND FROM TANZANIA CONSISTING OF MUUH MABANTU AND TWAAH MABANTU MABANTU FT WHOZU KAMATULIVYO
PRODUCED BY KIMAMBO BEATS
DIRECTED BY JOMA
FOLLOW US ON SOCIAL MEDIA
/ mabantuoffi. .
/ muuh_mabantu
/ twaah_mabantu
Like//Comment//Subscribe Видеоклипы
WHOZU UMEUWA KINOMA KAMA UMEMKUBALI WHOZU NDO KAUWA GONGA LIKE TWENDE SAWA
KizaZi Sana wazee wangu , kazi kubwa sana baba @Mabantu & @Whozu
Nani anakubali maneno yangu kwamba Mabantu watatusua sana tu weka like hapa
Niki check commert sion commert yeyote ya ajabu kwaiyo ina onesha wazi mnajua na mnapendwa sana bless sana mabantuuuuuuuuu kazi nzuri tushazungusha kama 2livyo
Wadogo zangu mmetisha sana wenye nyumba mmekuja ngoja niwapishe na nyumba zenu maana nilikuwa na teswa sana na hawa wapangaji bora mlivyo rudi muwatimuwe timuwe 🏃
🌍richmuziki
mupya ya mujini......#njoo kwetu
Noma sana nyie Seema tatizo wabongo wagumu kuona hilo
Qaaaaal balaaaa zungusha kama tulivyo
Nishakuwa mmoja wa shabiki wako kazi nzuri toka inaandaliwa nilikuwepo na nilijua itatoka poa hongereni mabantu
Tuliomba tusu tukatusuaa wa vyuon buku Waka bukua
Hit song
Kigoma cha university kazeni jiji halina mwenyewe hata wao walianza kama nyinyi naamini mtafika mabantu ..HOT THIS YEAR.
Sema malahiii time wapa saport sanaa mungu awashike mkono hiii kalii zaid
Kali sana
Tuliomba tusu Tuka tusua eeebwanaaeeee whoz ukojuu mzeiyaAaa
Huyo dad jamani aliyovaa Sweta la pinki na sket nyekundu ya shule nimempanda
From kenya respect to this guys
Fire from USA
Tafuteni collabo na enock bella. Ngoma ingine itakuwa fire
... 🇯🇲🇯🇲🇯🇲
Mwanzo nkajuwa G nako kumbe Twaha...👍👍
nakubali sana kazi zako dancer kipepeo , gonga like kama unamkubali kipepeo dancer
WHOZU
uko juu
big up
bidii
Nakubariiiiiiii 😹😹😹😹😹
Weka weka 🌺❤️🥰
Kali sana. #Overdoz Kenya
kazi imekaa poapoapoa xaaana endeleeni kupambana wanangu wafaida
Mmeutendea haki huu wimbo... Club banger kali sana wanangu #Muuh #Kane #Whozu #Kenyanlove #SammieberryClassic 💥💥💥🔥💪
Mmetisha wana,big up sana
daaaaamn......classic....i love it
kweli mmetusua #mabantu 💥💥💥
Kali nishavunja kibubu nawaza nileweje♨♨♨♨♨
kama unaamin whozu kauwaaaaa
gongalike...
Whoxuuu anajuaaa
Kariiiiiiiiioi
nimekubali ngomaa kali
Ngoma kali xanaaaa mmetisha
Haikatai
Siwapingiiii 👍👍👍,!!!!!!
Natamani mje uku omani mje kufanya show mnajua sna mwaka wenu huuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Ili Goma motooo... One love from Mombasa. Ongeza kama tulivyo...
Zungusha kama tulivyo!! Qriii
Yes keep it up
nipe like Leo me wa 49 duh mabamtu noma km unawakubale naomba nione sapt yako
Ngoma Kali sana
Hapo Sasa wanangu kazi juu ya kazi
Wadogo zangu mumewasha sana naona kamewaka aiseee...#KisumuPresident
Mbona haijafika viewers 1 million
noma sana....love from kenya
Love from kenya, ,,,mtupe kama tulivyo,,,,kazi safi
Mmmhhh hatariii fireee
Haikatai kufa mala moja
Whouz mwanao sana
Hakuna kuchoka nawaaaminia sanaaaa
Mwaka huu zungusha Kama tulivyo mabantu
Wimbo mzuri
Ati Kama tulivu🤘👍👍👍
Mnajuaaaa Aseh
Kali. Mbeya boy nasema
nakubali kazi mzuri
My best group
Mabantu nawaelewa sanaa
Nice brothers
Nakubali hii hapa qali bro
B BRANTON naiona kazi yenu bro
Mabantu mnajua sana mungu akusimamie ni
Bonge Moja La Gonaaaaaa Mamaeeeee 🔥🔥👹 by @killerplatnumz
Madogo komaeni kabisa🔥🔥🔥
kubwaaa🇰🇪🇰🇪🔥
Iyoo Fire 🔥
Oh that's song👏👏👏WHOZU
I'm happy you guys come back
Dah kazi nzr sana vijana mungu aendelee kuwabarik...
haikatai kufa mara moja wapi mabantu ongeza Kama tulivyo
Ongezeni magoma Makali kama tulivyo
Huu mwaka nawaona mnavyopanda steji moja na kina naniliiii...
Uh guys are awesome
Whozu noma sna 💯
whozuh umeuwa
Hatarii saanaaa asee
Kisha niwaambie nilitaka nisemeje 😁nimependa
hataaaaaaaareeeeeeee sasa kweli kwa ngoma kali hv skuiz wasanii wazamani nao wanalialia hawapati airtime ...nan akupe airtime na mziki wako wa kizamani ? young generation tunataka hizi za kina mabantu ......wafikishieni ujumbe kina dudu baya ,mb dog na chidibenz kaz kulia lia 2
Nice one
Ongeza kama tulivyo
wozaaaaaa ingoma Ni nomaaaaa
Juuuu
Whovu ananyota ya Ustar mi namuona km msanii mkubwa sana E.AFRICA
Track kali sana🔥🔥
Aseee mungu huyu muacheni aitwe mungu
Kwann umeamuaa kuandika hivyo
Qally kinyam nmeikubl km ilivyooo
Asante sana whozu ww ni fireeeeee.
Mabantu ♥️💯🔥🔥🔥🔥
Mabantu without "KUMANISHA NINI, SIWANAPENDA KUBANG" 😂
Dope
Niko pamoja Na nyinyi
This one is liiit♡
like alafu katazame MEGA MYND-TURN AROUND noma
Noma bonge moja la ngoma
Give me those likes from #jordan 962 🇯🇴 real gem 🔥
🔥🔥🥶
Ngoma kaliiii
Mabantuuuuuu..
Whozu andasikoo umeuwa
Flyboy manu
Mnawezaa sanaaa kama kenya 🇰🇪 +254