KELVIN KOMBA" MCHEZAJI BORA WA MECHI/SAFARI CHAMPIONS DHIDI YA YANGA SC/NATAMANI KUCHEZA TIMU KUBWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 июн 2024
  • Leo June 29,2024 katika uwanja wa Benjamin Mkapa utachezwa mchezo kati ya Safari Champions dhidi ya Young African HARMONIZE
  • СпортСпорт

Комментарии • 5

  • @TunsumeCharless
    @TunsumeCharless 5 дней назад +1

    Hongera hom boy dogo WA kitaa

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 5 дней назад

    Waandishi wetu ndio wana U- yanga na U- simba tazama hapo anavyo mlazimisha dogo awe na upande kati ya hizi timu mbili lkn dogo ajaribu kumkwepa.

  • @EliaMkumbo-wn7bm
    @EliaMkumbo-wn7bm 5 дней назад +1

    Kijana yuko fiti sana aje tu kwetu yanga namkubali sana viongozi muangalieni huy kijana atakujakuwa staa mzuri badae

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 5 дней назад

    Mwamba huyu hapa ameupiga mwingi sana