Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kama umefurahishwa na kiwango cha azizi na yanga kwa ujumla like here pls🎉🎉
Hivi mabeki Hawa mabeki hawajui Nini maana ya UKUTA, yaani karuka Mmoja tu', mmempa kipa wakati mgumu..👏👏👏👏👏
Mwanyeto ndo yake😁
Kaluk ww
mwamnyeto tunakupenda bt jitahidi kurekebisha makosa yako😢 gift Fred pass zake🔥👏👏👏
Ila Gifti Freddy pasi zake NI hatarii 🔥
Jamani hivi na nyinyi umouona mchango wa magori mawili ya Yanga kutoka kwa beki mganda Gift Freddy hakika hawe napewa muda acheze.
Mbona gift iko wazi ni mchezajii mzuri sema yake ina waru bora mnoo
Kama kaka yake Aucho Angalia vzr magoli mengi huwa yanatengenezwa na AUCHO.
Kama hauna D mbili umefeli 😂😂😂
Huyu gift kaonekana lakini😮😮
❤FREEDOM FIGHTERS
Daimond
🙏
Bacca anaonekana hajafurahi kabisa aziz ki kufunga hatric alitaka mzanzibar mwenzie achukue kiatu
Imeonekana
Asituletee udugu hpa.
@@Rodgers_01wanapenda ubaguz xana watu wakutokea kule,..
Ila yanga watatuuwa kwa furaha mwaka tunashinda hadikero tn😂😂
Juu moto chini moto😂😂😂😂😂
Naskia fei alitapika sana jana 😂
Nani mwingine amegundua hizo goli zote zimepigwa Upande mmoja
Mwanyeto na mshery wamezingua asa
Kilichobakia tunataka kombe lililobakia furaha hizidi na tuna hasira na rambaramba walituumizia wachezaji wetu mpaka kieleweke
Mwamnyeto should and must be stripped of the captaincy, he's a flop who doesn't deserve to be a leader of this great teamGive the armband to JOB DICKSON
Mutwambie sasa nyie makolo munamsapot fei achukuwe kiatu au munapambania nafas ya pili
Na ww kachukuwe iyo bahasha
Utopolo wazee wa bahasha
Toeni na nyie mfikie malengo maana tuliwapa bahasha mara mbili mkatuzawadia goli 7 point 6
Et bahasha halafu n mwanaume unaesem hivi
Kama umefurahishwa na kiwango cha azizi na yanga kwa ujumla like here pls🎉🎉
Hivi mabeki Hawa mabeki hawajui Nini maana ya UKUTA, yaani karuka Mmoja tu', mmempa kipa wakati mgumu..👏👏👏👏👏
Mwanyeto ndo yake😁
Kaluk ww
mwamnyeto tunakupenda bt jitahidi kurekebisha makosa yako😢 gift Fred pass zake🔥👏👏👏
Ila Gifti Freddy pasi zake NI hatarii 🔥
Jamani hivi na nyinyi umouona mchango wa magori mawili ya Yanga kutoka kwa beki mganda Gift Freddy hakika hawe napewa muda acheze.
Mbona gift iko wazi ni mchezajii mzuri sema yake ina waru bora mnoo
Kama kaka yake Aucho
Angalia vzr magoli mengi huwa yanatengenezwa na AUCHO.
Kama hauna D mbili umefeli 😂😂😂
Huyu gift kaonekana lakini😮😮
❤FREEDOM FIGHTERS
Daimond
🙏
Bacca anaonekana hajafurahi kabisa aziz ki kufunga hatric alitaka mzanzibar mwenzie achukue kiatu
Imeonekana
Asituletee udugu hpa.
@@Rodgers_01wanapenda ubaguz xana watu wakutokea kule,..
Ila yanga watatuuwa kwa furaha mwaka tunashinda hadikero tn😂😂
Juu moto chini moto😂😂😂😂😂
Naskia fei alitapika sana jana 😂
Nani mwingine amegundua hizo goli zote zimepigwa Upande mmoja
Mwanyeto na mshery wamezingua asa
Kilichobakia tunataka kombe lililobakia furaha hizidi na tuna hasira na rambaramba walituumizia wachezaji wetu mpaka kieleweke
Mwamnyeto should and must be stripped of the captaincy, he's a flop who doesn't deserve to be a leader of this great team
Give the armband to JOB DICKSON
Mutwambie sasa nyie makolo munamsapot fei achukuwe kiatu au munapambania nafas ya pili
Na ww kachukuwe iyo bahasha
Utopolo wazee wa bahasha
Toeni na nyie mfikie malengo maana tuliwapa bahasha mara mbili mkatuzawadia goli 7 point 6
Et bahasha halafu n mwanaume unaesem hivi