HAT-TRICK YA AZIZ KI ALIVYOMALIZA MCHEZO WETU WA MWISHO WA LIGI | YANGA 4-1 PRISONS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 31

  • @januzaaj
    @januzaaj 4 месяца назад +9

    Kama umefurahishwa na kiwango cha azizi na yanga kwa ujumla like here pls🎉🎉

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 4 месяца назад +3

    Hivi mabeki Hawa mabeki hawajui Nini maana ya UKUTA, yaani karuka Mmoja tu', mmempa kipa wakati mgumu..👏👏👏👏👏

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 4 месяца назад +2

    mwamnyeto tunakupenda bt jitahidi kurekebisha makosa yako😢 gift Fred pass zake🔥👏👏👏

  • @chazlaw6730
    @chazlaw6730 4 месяца назад +1

    Ila Gifti Freddy pasi zake NI hatarii 🔥

  • @bahatichikoko6362
    @bahatichikoko6362 4 месяца назад +3

    Jamani hivi na nyinyi umouona mchango wa magori mawili ya Yanga kutoka kwa beki mganda Gift Freddy hakika hawe napewa muda acheze.

    • @gladnesschavala9131
      @gladnesschavala9131 4 месяца назад

      Mbona gift iko wazi ni mchezajii mzuri sema yake ina waru bora mnoo

    • @ChristopherKisarika
      @ChristopherKisarika 4 месяца назад

      Kama kaka yake Aucho
      Angalia vzr magoli mengi huwa yanatengenezwa na AUCHO.

  • @gregorysixmund2020
    @gregorysixmund2020 4 месяца назад +2

    Kama hauna D mbili umefeli 😂😂😂

  • @SaidHamid-yc9ub
    @SaidHamid-yc9ub 4 месяца назад

    Huyu gift kaonekana lakini😮😮

  • @Ba63828
    @Ba63828 4 месяца назад

    ❤FREEDOM FIGHTERS

  • @HBABUHASSANI
    @HBABUHASSANI 3 месяца назад

    Daimond

  • @MichaelJohn-ep2dw
    @MichaelJohn-ep2dw 4 месяца назад

    🙏

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 4 месяца назад +1

    Bacca anaonekana hajafurahi kabisa aziz ki kufunga hatric alitaka mzanzibar mwenzie achukue kiatu

  • @yuzomaneno
    @yuzomaneno 4 месяца назад

    Ila yanga watatuuwa kwa furaha mwaka tunashinda hadikero tn😂😂

  • @MsumariMdoe-th8gm
    @MsumariMdoe-th8gm 4 месяца назад

    Juu moto chini moto😂😂😂😂😂

  • @daughterofthemoon680
    @daughterofthemoon680 4 месяца назад

    Naskia fei alitapika sana jana 😂

  • @mashoo6781
    @mashoo6781 4 месяца назад

    Nani mwingine amegundua hizo goli zote zimepigwa Upande mmoja

  • @edwardlesian9318
    @edwardlesian9318 4 месяца назад

    Mwanyeto na mshery wamezingua asa

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 4 месяца назад

    Kilichobakia tunataka kombe lililobakia furaha hizidi na tuna hasira na rambaramba walituumizia wachezaji wetu mpaka kieleweke

  • @joesenior3193
    @joesenior3193 4 месяца назад

    Mwamnyeto should and must be stripped of the captaincy, he's a flop who doesn't deserve to be a leader of this great team
    Give the armband to JOB DICKSON

  • @mgenikhalfan7471
    @mgenikhalfan7471 4 месяца назад

    Mutwambie sasa nyie makolo munamsapot fei achukuwe kiatu au munapambania nafas ya pili

  • @mgenikhalfan7471
    @mgenikhalfan7471 4 месяца назад

    Na ww kachukuwe iyo bahasha

  • @amanizavala
    @amanizavala 4 месяца назад

    Utopolo wazee wa bahasha

    • @radhiamussa1629
      @radhiamussa1629 4 месяца назад +1

      Toeni na nyie mfikie malengo maana tuliwapa bahasha mara mbili mkatuzawadia goli 7 point 6

    • @gladnesschavala9131
      @gladnesschavala9131 4 месяца назад +1

      Et bahasha halafu n mwanaume unaesem hivi