UTUKUFU-MISA YA MT. ANNA BY FR. KAYETTA- KWAYA YA MT SECILIA MFIA DINI UDOM
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Karibu mpendwa mtazamaji kuangalia uimbaji kama ulivyofanywa na Kwaya ya Mt SECILIA mfia dini UDOM wakiimba Utukufu misa ya Mt. Anna.
*UTUKUFU-MTAKATIFU ANNA*
*GREGORY KAYETTA*
*KWAYA YA MTAKATIFU SECILIA-UDOM*
*Fabiano Michael*
Usisahau kusubscribe tafadhali, ubarikiwe sana 🙏
Usisahau kusubscribe tafadhali
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu wetu wa kweli😂
😊
❤❤❤❤❤🎉 hongereni kwa sauti nzuri iliyonyooka
asante sanaaa mkuu
Nitamu sana
@@josephkikuni9631 nakubali
Masebene😁😁😁😁sina Cha kusema apa kwa kayeta nazan unajua❤️🔥
uhakika mkuu
Unyama 🎹🎹🎹🎹❤️❤️❤️
🥰
Utukufu, kwa Mungu Mbinguni,
Na amani dunaini (kwa watu) kwa watu wenye mapenzi mema
Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabudu tunakutukuza
Tuankushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu (ee Bwana)
Ee Bwana Mungu mfalme wa Mbinguni
(Mungu Baba) Mungu Baba Mwenyezi,
Ee Bwana Yesu (Kristu) Mwana wa pekee
Ee Bwana Mungu Mwanakondoo wa Mungu
Mwana wa Baba (Mungu) wa Mungu Mwana wa Baba
Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie
Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia
(pokea) pokea ombi letu
(ewe) Mwenye kuketi kuume kwa Baba
Utuhurumie (Bwana) utuhurumie
Kwa kuwa ndiwe uliye (peke) peke yako mtakatifu
(Peke) peke yako Bwana (peke) peke yako mkuu
(Yesu) Yesu Kristu,
Pamoja na Roho Mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba
Katika utukufu, katika utukufu wa Mungu Baba
Katika utukufu wa Mungu Baba
(katika) Utukufu wa Mungu amina amina
Katika utukufu wa Mungu (Baba) Amina amina
Aminaaaa
hongereni sanaaaa
asante sanaaa
Mko vzr
Amina
Utukufu, kwa Mungu Mbinguni,
Na amani dunaini (kwa watu) kwa watu wenye mapenzi mema
Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabudu tunakutukuza
Tuankushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu (ee Bwana)
Ee Bwana Mungu mfalme wa Mbinguni
(Mungu Baba) Mungu Baba Mwenyezi,
Ee Bwana Yesu (Kristu) Mwana wa pekee
Ee Bwana Mungu Mwanakondoo wa Mungu
Mwana wa Baba (Mungu) wa Mungu Mwana wa Baba
Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie
Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia
(pokea) pokea ombi letu
(ewe) Mwenye kuketi kuume kwa Baba
Utuhurumie (Bwana) utuhurumie
Kwa kuwa ndiwe uliye (peke) peke yako mtakatifu
(Peke) peke yako Bwana (peke) peke yako mkuu
(Yesu) Yesu Kristu,
Pamoja na Roho Mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba
Katika utukufu, katika utukufu wa Mungu Baba
Katika utukufu wa Mungu Baba
(katika) Utukufu wa Mungu amina amina
Katika utukufu wa Mungu (Baba) Amina amina