UTUKUFU-MISA YA MT. ANNA BY FR. KAYETTA- KWAYA YA MT SECILIA MFIA DINI UDOM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Karibu mpendwa mtazamaji kuangalia uimbaji kama ulivyofanywa na Kwaya ya Mt SECILIA mfia dini UDOM wakiimba Utukufu misa ya Mt. Anna.
    *UTUKUFU-MTAKATIFU ANNA*
    *GREGORY KAYETTA*
    *KWAYA YA MTAKATIFU SECILIA-UDOM*
    *Fabiano Michael*
    Usisahau kusubscribe tafadhali, ubarikiwe sana 🙏

Комментарии • 19

  • @fabbymichael8913
    @fabbymichael8913  Год назад +2

    Usisahau kusubscribe tafadhali

  • @tukenselachungu8336
    @tukenselachungu8336 Год назад +3

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu wetu wa kweli😂

  • @angelakweka2607
    @angelakweka2607 8 месяцев назад +1

    😊

  • @SafariGurty
    @SafariGurty 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤🎉 hongereni kwa sauti nzuri iliyonyooka

  • @josephkikuni9631
    @josephkikuni9631 11 дней назад +1

    Nitamu sana

  • @johnmasala7376
    @johnmasala7376 Год назад +2

    Masebene😁😁😁😁sina Cha kusema apa kwa kayeta nazan unajua❤️‍🔥

  • @bhonybhose598
    @bhonybhose598 Год назад +2

    Unyama 🎹🎹🎹🎹❤️❤️❤️

  • @josephkimitingunjiri5479
    @josephkimitingunjiri5479 7 месяцев назад +1

    Utukufu, kwa Mungu Mbinguni,
    Na amani dunaini (kwa watu) kwa watu wenye mapenzi mema
    Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabudu tunakutukuza
    Tuankushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu (ee Bwana)
    Ee Bwana Mungu mfalme wa Mbinguni
    (Mungu Baba) Mungu Baba Mwenyezi,
    Ee Bwana Yesu (Kristu) Mwana wa pekee
    Ee Bwana Mungu Mwanakondoo wa Mungu
    Mwana wa Baba (Mungu) wa Mungu Mwana wa Baba
    Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie
    Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia
    (pokea) pokea ombi letu
    (ewe) Mwenye kuketi kuume kwa Baba
    Utuhurumie (Bwana) utuhurumie
    Kwa kuwa ndiwe uliye (peke) peke yako mtakatifu
    (Peke) peke yako Bwana (peke) peke yako mkuu
    (Yesu) Yesu Kristu,
    Pamoja na Roho Mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba
    Katika utukufu, katika utukufu wa Mungu Baba
    Katika utukufu wa Mungu Baba
    (katika) Utukufu wa Mungu amina amina
    Katika utukufu wa Mungu (Baba) Amina amina

  • @johnpaul3491
    @johnpaul3491 Год назад +1

    hongereni sanaaaa

  • @msambi1251
    @msambi1251 Год назад +1

    Mko vzr

    • @fabbymichael8913
      @fabbymichael8913  Год назад +1

      Amina

    • @josephkimitingunjiri5479
      @josephkimitingunjiri5479 7 месяцев назад

      Utukufu, kwa Mungu Mbinguni,
      Na amani dunaini (kwa watu) kwa watu wenye mapenzi mema
      Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabudu tunakutukuza
      Tuankushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu (ee Bwana)
      Ee Bwana Mungu mfalme wa Mbinguni
      (Mungu Baba) Mungu Baba Mwenyezi,
      Ee Bwana Yesu (Kristu) Mwana wa pekee
      Ee Bwana Mungu Mwanakondoo wa Mungu
      Mwana wa Baba (Mungu) wa Mungu Mwana wa Baba
      Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie
      Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia
      (pokea) pokea ombi letu
      (ewe) Mwenye kuketi kuume kwa Baba
      Utuhurumie (Bwana) utuhurumie
      Kwa kuwa ndiwe uliye (peke) peke yako mtakatifu
      (Peke) peke yako Bwana (peke) peke yako mkuu
      (Yesu) Yesu Kristu,
      Pamoja na Roho Mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba
      Katika utukufu, katika utukufu wa Mungu Baba
      Katika utukufu wa Mungu Baba
      (katika) Utukufu wa Mungu amina amina
      Katika utukufu wa Mungu (Baba) Amina amina