MSIGWA AMLIPUA VIBAYA MBOWE BAADA ya KUHAMIA CCM - AFICHUA MADUDU ya CHADEMA - ''HATUNA UHALALI''...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • MSIGWA AMLIPUA VIBAYA MBOWE BAADA ya KUHAMIA CCM - AFICHUA MADUDU ya CHADEMA - ''HATUNA UHALALI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 316

  • @MweraRiro
    @MweraRiro 3 месяца назад +11

    Sio mbaya chadema mda si mrefu watapokea jembe la kisukuma kutoka simiyu❤❤❤❤❤❤❤

    • @JestinaTweve
      @JestinaTweve 3 месяца назад

      Ee nani Tena huyo kipenzi

  • @furahamwikombo-p7g
    @furahamwikombo-p7g 3 месяца назад +10

    Kama ungepata uwenyekiti kanda ya nyasa....Je hayo ungeyasema.... Sema wewe unataka vyeo,,,,sio kutetea watu,,,Yaani wewe kama upo hapo kutetea watu bora ungesema ACT,,,kuliko CCM hiyo ya wadhalimu...

  • @MwesigePoul-bg4jd
    @MwesigePoul-bg4jd 3 месяца назад +11

    Wewe njaaa hunalolote unapotea kisiyasa

  • @JacksonMahende-ho2wb
    @JacksonMahende-ho2wb 3 месяца назад +19

    Umekosea sana watanzania

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 3 месяца назад

      Weweee acha hizo watanzania gani wamekosewa we sema amewakosea sana mashabiki wa chadema maana hakuna chama pele labda saccos, kwani yeye ni wakwanza kuondoka, aliondoka zito kabwe ijekuwa yeye wameondoka wabunge wanawake zaidi 19 na wapo wengine wengi tu huwaoni uje umuone yeye ndio amekosea, ana haki ya kwenda au chagua anachotaka au anachoona kinamfaa ni haki kikatiba. Jifunze kuwa muelewa.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 месяца назад +11

    Karibu kwenye chama chetu CCM tujenge nchi yetu.

  • @PaulKabungo
    @PaulKabungo 3 месяца назад +11

    Njaa mbaya Sana

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 3 месяца назад +6

    Hallo,hakika lisu kiboko nakumbuka lisu akiwa ziara ya kukijenga chama alipofika iringa miezi iliyopita huku kukiwa na vuguvugu la uchaguzi ndani ya chama ,nakumbuka tundu lisu alisema kuna fedha zimeingizwa chadema na kuna watu wamesha fika bei naakasema wanachama wajihadhari na wanachama malayamalaya kumbe msigwa ulikuwa unachanwa big up lisu kwa kuliona hilo mapemaaa na kuwa tahadharisha wana chama ,mimi nasema mbowe nikiongozi maakini na nashauri chadema mitano tena kwa mbowe uenyekiti

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 3 месяца назад +1

      Andante Kwa maoni mazuri Sana!!! Mimi MH. Mbowe ninamwita MAMBA WA SIASA SAFI NCHINI NI NANI WA KUMFANANISHA NAYE?

  • @AlexMakala-s7k
    @AlexMakala-s7k 3 месяца назад +3

    Chadema ni Gali kubwa ukishuka wengine wanapanda tutaenda nayo mpaka mwisho wa hukombozi kama ww umekata tamaa ni njaa na tamaa ya vyeo ninafas na wengine wapate kujulikana kafie uko umengana na watesi wetu haufiki kokote utatumika kama kondom Kisha utafika uko

  • @prospermiraji8473
    @prospermiraji8473 3 месяца назад +1

    Kovi lako msigwa! Mtumishi wa mungu Malaya nafuu hata dada poa!!

  • @LovelyFishingRod-ij7mk
    @LovelyFishingRod-ij7mk 3 месяца назад +8

    Njaa hizi zinafanya watu wengine awe wana bweka bweka 😂😂😂

  • @frankevaristo6918
    @frankevaristo6918 3 месяца назад +3

    Kwisha habari yako ww huna jipya msigwa

  • @edwindezidery632
    @edwindezidery632 3 месяца назад +1

    Mi nilisha muelewa tundu lissu muda mrefu alisema hizo ela kama sio za abdul na mama yake nizanani we uliongwa na njaa

  • @godfreyisaac1665
    @godfreyisaac1665 3 месяца назад +3

    Aliondoka Kashinji sahiv hatumsikii, we ni mpumbavu tu. Tutaona hatima Yako.

  • @boniphacewambura1427
    @boniphacewambura1427 3 месяца назад +9

    Njaa mbaya sana kwahyo ulipokosa unyekit ndio chamade kikawa saccos
    Unatuchukuliaje

  • @JamesLaizerMoko-l8t
    @JamesLaizerMoko-l8t 3 месяца назад +16

    Mchungaji wa ovyo sana huyu msaliti tuuu

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha 3 месяца назад

      Huyu si mchungaji bali mchunaji kama akina Gwajima, Gamanywa, Kakobe na matapeli wengine wa kidini.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 3 месяца назад

    figisu kwa chadema ni kama maziea,umesahau aliyoyapitia ZUBERI ZITTO KABWE?

  • @JosaphatTemu
    @JosaphatTemu 3 месяца назад +4

    Dalili zako tuliziona ck nyingi maana ulikua unatishia kuhama mara ubishane na viongozi yaani tulikuvumilia maana ulikua unatafuta pakutokea kwa kiki na ulijua humuwezi sugu ukaandaa propoganda kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi. Kwahiyo ni walewale

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 3 месяца назад +3

    Yaani baada ya kukosa uongozi chadema imekuwa mbaya. Msigwa vip

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 3 месяца назад +9

    Njaaa ni mbaya

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 3 месяца назад

    Huyu ni baada ya kushindwa kwenye UCHAGUZI wao Tamaa ya MADARAKA na kule CCM akikosa uongozi atahama tena . POPO !!!!

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 3 месяца назад +1

    Duuhh,
    Hili pandikizi sasa hivi lingekuwa limwenyekiti na kanda ya nyasa. Lingebomoa chama mpaka kikome .

    • @ModestRitte
      @ModestRitte 3 месяца назад +1

      Umeniwahi, tumeponea chupu chupu, angepata uwenyekiti angekiuza chama, tupumuwe, tumepona.

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 3 месяца назад

    Hufai hata kuitwa mchungaji.
    Njaa inakusumbua. Msaliti mkubwa!
    Ulikuwa unangoja nini kuondoka hadi ulipokosa kuteuliwa?
    Don't fool people.

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 3 месяца назад +2

    We c ndo ulikuwa wa kwanza kutukana ccm,tena kwa matus bila ukomo sasa kilchokugusa kwenda ccm nini?..hauna lolote nawewe ni chumia tumbo unataka uongoz ccm unajikomba kwa samia ili upate uongoz!..

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 3 месяца назад

    Kumbe wewe ndo mbinafisi kabisa..hautaki kukosolewa ...unataka upewe uwenyekiti

  • @IsmailKidongo
    @IsmailKidongo 3 месяца назад +9

    Sasa ccm nzuri kwanini uskae bill chama unakumbuka ccm uliisema sana Sasa unaisafisha kaniki aiwai kuwa nyeupe

  • @BeatusLyasenga
    @BeatusLyasenga 3 месяца назад

    Umechelewa kujiunga ccm ungeingoa kipindi Cha Magufuli ungepiga bao

  • @AdamsonSikazwe
    @AdamsonSikazwe 3 месяца назад

    Ni bora ungenyamaza ukalinda heshima yako,, kuliko kuanza kulopoka hivyo. Unajidhalilisha. Uroho wa madaraka tuu. Ungeshinda uwenyekiti wa kanda sidhani kama ungehama Chadema.

  • @dizzosukariyaoSukariyao
    @dizzosukariyaoSukariyao 2 месяца назад

    Sasa ngoja Chadema tushike nchi tuone utaificha wap sura yako

  • @suzysam6002
    @suzysam6002 2 месяца назад

    Hakika kuingia mbinguni njia Ni nyembamba mnoo ,Kama YESU alisalitiwa kwa vipande selathini ww Ni Nani usiwageuke wenzio

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 3 месяца назад

    Ukosahihi chadema nichamba chambowe hatavitimaarumu wanachaguliwa wachagatu ukosahihi

  • @aziziupatu1519
    @aziziupatu1519 3 месяца назад

    Wewe ni mnafki mchungaji gani wewe mchumia tumbo😊😊😊😊

  • @BarakaMgallah-bv7wd
    @BarakaMgallah-bv7wd 3 месяца назад

    Peter Msigwa ni mpigaji tu kashindwa uchaguzi wa kuwa m/kiti kanda ya nyasa kaanza kutapatapa tu kwa kukosa madaraka yeye ni nani? Hana cha maana wewe Msigwa ni Bendera fata upepo.... Umepata wapi? hayo mawazo ya kishetani.... Kama wao viongozi wa CCM wanakosoana na kupigana vita iwe wewe usie jua chama kilivyo 😂😂😂😂 acha polojo waambie hao ccm ninanjaa naomba kula kupitia ccm sio kuongea ubaya ambao sisi kama Watanzania tunafahamu hilo

  • @fugameza6011
    @fugameza6011 3 месяца назад +1

    Mchungaji una mshukuru mungu tenaa hee yaani mtu akikuita mjinga pigana mpaka ufee

  • @Maajabutop5
    @Maajabutop5 3 месяца назад

    Kukosa cheo nayo shida

  • @JemeslaizerJemeslaizer
    @JemeslaizerJemeslaizer 3 месяца назад

    Umehongwa mpina kasha Sema.... Huna jipya....

  • @MonicaBeni
    @MonicaBeni 3 месяца назад

    ivi unafikiri kwakuondoka kwako Msigwa unadhani kwamba ndyo kuiuwa chadema? Au unafikiri chadema ndyo itapungua kasi? We nenda tu

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 3 месяца назад

    Unatafuta ubunge tuuu kupitia Ccm njaa zinawakumba sasa, na Chadema mbona kimesha kufa kitambo tuuu hata Mbowe na Lisu haziendi ila wanaficha tuuuu ila wakizingua Chadema kitapotea kama kilivyo Potea CUF

  • @sulaymanmohd1563
    @sulaymanmohd1563 3 месяца назад

    Kama mchezaji wa mpira anaweza kuchezea timu yoyote yenye maslahi sasa wewe mwenye chama chako utabaki kwenye chama hicho milele wenzio wanakuja wanaangalia maslahi kama hakuna ndio kama mchungaji alivyofanya anaanza mbele .😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 3 месяца назад

    Kunawatu. Wakipewa rudhwa na ccm watapokea. Chadema wameanza kununuliwa na pesa za DPW. Kuweni k

  • @prospermiraji8473
    @prospermiraji8473 3 месяца назад

    Hata ukiwa CCM bila kujishughukisha na personal economy ukategemea siasa ikuletee uchumi nako utachoka. Sugu ni mjasiliamali hategemei siasa. Ila wewe ni Kapuku Masikini kabisaa lazima uwe Dalali

  • @MaryMwamwezi-xm3iz
    @MaryMwamwezi-xm3iz 3 месяца назад

    Bado sugu na lema. Tunawakaribisha ccm

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 3 месяца назад

    Huwezi kutumikia mabwana wawili huku mchungaji huku mwanasiasa ovyo sana mch wa mchongoo

  • @joshuakasemelo1675
    @joshuakasemelo1675 3 месяца назад

    Msigwa acha poyoyo ulishabunguliwa miaka mingi sana,ulitumiwa na ccm kuvuruga uchaguzi wa kanda ili ung'ang'anie

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 3 месяца назад

    Mshamba wewe kwann siku zote ukusema ivyo.umekufa kisiasa .Mh lissu alisema kwahiyo hautusbui kichwa pesa chafu mchungaji umeanza kula njaa kali ww

  • @SteveShemsanga-il3ct
    @SteveShemsanga-il3ct 3 месяца назад

    Msigwa wewe nikengetu hunamaana wewe unatamaa yamadaraka harafu unajiita mchungaji wahovyo sana akili yako nifupi kama ulivyo mfupi wewe mwenyewe

  • @blessmoarusha1990
    @blessmoarusha1990 3 месяца назад

    Ifke mahali tuelewe kwamba siasa ni ajira, ila ukiamua kuwa mwanaharakat usiweke kigezocha siasa kuwa ajira.....n vgum sana kumpata mwanaharakat mwenye msimamo. Watu tuliowapenda walipokuwa wakisimama bungeni na kuwatetea wananchi leo wanaamua kujiunga na utawala ambayo bila kupata watu sahihi wa kyiajibisha kama wao wanakimbia duu. Hakka tz.....!!!!!??

  • @MgeniNyela
    @MgeniNyela 3 месяца назад

    Kwendraaa huna lolote umeona unako elekea maisha yatakukanda huna lolote

  • @abrahamrubeni5905
    @abrahamrubeni5905 3 месяца назад

    Viongozi wengi ni njaa kukosa kiti chadema mbaya ukikosa ccm bado itakuwa mbaya wewe ni mchugaji uwe mkweli

  • @MashakaFundi-wt9mc
    @MashakaFundi-wt9mc 3 месяца назад

    Ni aibu sana MTU mzima kuwa kigeugeu ,we we unakosa mno kuzungumzia kwa ubaya chadema ,hii haitakusaidia chochote uzalendo umekushinda ,umefilisika kisiasa kiutu na kukosa huruma na huwezi huwezi .

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 3 месяца назад

    Sikujua kuwa Msigwa ni changudoa kisiasa na mchumia tumbo anayeweza kuramba matapishi yake hadharani hivi. Njaa na tamaa, we acha.

  • @AidanMabuga
    @AidanMabuga 2 месяца назад

    Wanasiasa wanachezea wanachi kwa maslahi yao.Msigwa umewakosea Wana Iringa.

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 3 месяца назад

    Tangu kipindi cha Magufuli ulikuwa umeshahama haya unayoyafanya ni maigizo tu

  • @FrancisNgereja
    @FrancisNgereja 3 месяца назад

    Chadema ni sakosi ya mbowe nyie vipi wabongo,mkiti yeye kl cku,ukitaka kmkosoa anakupiga vita msigwa yuko sahihi

  • @JushuaBugali
    @JushuaBugali 3 месяца назад

    Wewe huwajui ccm hapowameshakumaliza kisiasa uliza habali za mtumoja alieitwa shitambala wa mbeya kamayupo ccm utafitika kamawingi siimda mlefu

  • @FrankGabriely-up5yo
    @FrankGabriely-up5yo 3 месяца назад

    Njaa kali umeharibu mwanangu hicho siyo chama

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu3819 3 месяца назад

    Mwanasiasa malaya,mchungaji wa mchongo aweza toa utu kwa cheo hovyo

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 3 месяца назад

    Acha ujinga hizo fedha za rushwa zitakuja kukurudi

  • @Snoker101
    @Snoker101 3 месяца назад

    Sasa uko ccm hayo yote uliyo yakosa chadema utayapata uko. Msigwa umesaliti

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 3 месяца назад +1

    Aiseee!! Nyie ndo wachungaji aiseee!! Kwahiyo sasa tukuelewe vip???

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 3 месяца назад

    Asingekosa nafasi angehama?kweli siasa ni mchezo mchafu

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 3 месяца назад

    Mbele ya njaa Kuna anaefulukuta kwer😂😂 msigwa kaona msinitanie nyie nishinde njaa kisa nin 😅😅

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 3 месяца назад

    Mungu gani unaemshukuru wewe mnafiki wewe, umekula mlungula

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 3 месяца назад

    Wewe mchungaji gani mnafiki mkubwa mungu atakuona

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад

    MWISHO WA SIKU MAOKOTO MUHIM LAZIMA YAZINGATIWE SAS MLITAKA AENDELEE KUKAA SEHEM AMBAPO HAPAT MAOKOTO WAKAT ANAUWEZO WA KUHAMIA KWENYE MAOKOTO😂😂😂 MWENYEWE NINGEHAM 😂😂😊

  • @JemeslaizerJemeslaizer
    @JemeslaizerJemeslaizer 3 месяца назад

    Ulifuata masilahi binafisi huna jipya....

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 месяца назад

    Msigwa huna jipya,na wanaokupokea pia hawana jipya wewe kale matapishi yako,uteremshie na pesa za kuchota ila usisahau kuulinda uchungaji wako usimuasi Mungu maana siku hazigandi zinapita hima sijui huko kwa wenye imani zao utajiunga ama utawapiga injili wamrudie Mungu wa kweli hayo ni yako na Mungu!.

  • @chemstry409
    @chemstry409 3 месяца назад

    DJ anataka kuwa Mwenyekiti wa Maisha....😂😂😂

  • @JoshuaJulius-jk7ct
    @JoshuaJulius-jk7ct 3 месяца назад

    Mnafiki mkubwa sana,amenunuliwa,kama katiba na mifumo ya chama cha chadema haikuwa sawa mbona hakuondoka mapema mpaka amekaa miaka zaid ya 20? Alikuwa anafanya nn?na ccm nilipi walilolilekebisha kwenye katiba na mifumo yao ni ipi inayomvutia mpaka akaihama chadema?hakuwa mpinzani wa kweli,njaa ndo ilikuwa inamsumbua.mbona hajawa kama akina zitto kabwe mbona wenyewe hawakuhamia ccm?angetafta chama kingne cha siasa tofaut na ccm ningemuelewa lakin kuungana na ccm ambao wametesa sana wapinzan ni ushamba wa madaraka.umaskini utawatesa wengi.

  • @FosterBwalya-rh9lh
    @FosterBwalya-rh9lh 3 месяца назад

    Kama wewe ni mchungaji sikahubili tu habali njema ? Kuliko kuwa kigeugeu kama kinyonga baada yakushindwa tu uwenyekit wa Kanda tayali chadema sio chama Tena acheni kuchafuana Tena wema nenda zako usiji changanye

  • @danielhumble4292
    @danielhumble4292 3 месяца назад

    Ushaona umepoteza imani kwa chadema ukaona utengeneze makundi na uondoke navyo lkn pamoja na hivyo chadema itabaki imara ndani ya mioyo ya watanzania hivyo wewe nenda kaunge mkono hoja za watekaji Fala kabisa wewe

  • @sulaymanmohd1563
    @sulaymanmohd1563 3 месяца назад

    Kuna watu hawaelewi kuwa viongozi wa siasa hiyo kwao ndio ajira yao sasa anaweza kwenda popote kwenye maslahi na yeye ili akafanye kazi au kutumikia ili ajenge maisha yake sasa wewe mwananchi ndio hairuhusiwi kuhama utabaki na chama chako .😂😂😂😂😂😂😂

  • @kanzalemwangungulu2207
    @kanzalemwangungulu2207 3 месяца назад

    sijamuona aliyetoka ccm akamsema aliyemlea kwa jeuri na kejeri akina msigwa mliobakia chadema mjitafakari huko muundako nao sio wajinga wataka na nyie kwa machale hivi mashinji yupo wapi?

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 3 месяца назад

    Ungepeqa cheo usingeyase.a haya jaman.

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 3 месяца назад +6

    Maamuzi yako Msigwa hakuna anaeyapinga lakini nafsi yako pekee itakusuta kwa yote unayoongea! nakupa pole pamoja na uchungaji wako nakwambia umekurupuka sana! Tunajua ccm inavyowalaghai wapinzani kwa vipande vya pesa! yaani wewe hapo umeenda kujimaliza kisiasa! Wakati utaongea! Pole sana ndugu Msigwa kwa kuhamia chama cha mafisadi uliyokuwa unawapinga!

    • @bakarikikwaruto6248
      @bakarikikwaruto6248 3 месяца назад

      Hana democras kashindwa kura kahama Chama

    • @herybertsabai6503
      @herybertsabai6503 3 месяца назад +1

      jibu hoja zake kwanza, Zito kabwe alishawai kulalamika kwa hoja hizohizo we ujiulizi

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 3 месяца назад

      @@herybertsabai6503 Hoja gani? angepata uenyekiti wa kanda ya nyasa asingebwabwaja hovyo hapo angekaa kimya! amekosa uenyekiti amehama kwa kukurupuka na tamaa,hana hoja ni njaa tu!

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 3 месяца назад

    Chadomo ni chama cha wachaga makabila mengine ni geresha tu hayana nafasi, na mbowe ni mwenyekiti wa kudumu ndani ya chadema
    Hata lissu hana namna ila Tundu lisu hamkubali mbowe

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад

    HII NDO CCM NNAYO IJUA NAAMIN MPAKA UCHAGUZ UFIKE HAO WAKINA RISU MNYIKA MDEE WOTE WATAKUWA WASHA KULA UZI WA KIJAN 😂😂 MBOE HICHO CHOMA KWA SABABU N CHAKO TAFTA MTU UMUUZIE KABLA HAKIJASHUKA THAMAN MAANA SIKU ZINAVYO ZID KWENDA KINASHUKA TU UTAJIKUTA UNABAK MWENYEW 😂😂

  • @MedardBenedictoRwabutondogoro
    @MedardBenedictoRwabutondogoro 3 месяца назад

    Njaa ndo imekupeleka huko huna maana mshenzi mtupu

  • @frankpeter-of8xp
    @frankpeter-of8xp 3 месяца назад

    hayo yote baada ya kukosa uenyekiti kanda ya nyasa alafu alikuwa anataka uenyekiti taifa shenzi angeiuza chadema mbowe endelea uenyekiti.

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 3 месяца назад

    Ndo mchungaji anakua muongo harafu anakufundisha meno ra mungu dini biashara pesa madaraka mchungaji akitaka gari waumini mnichangie muumini akitaka mafinikio rete bichwa rako na mikono nikuombee +)Mr business bongo rara amka acha kushinda kanisani mckitini amka uji pambanie na usi toe sada nyingi kwa baba mchungaji wara fungu ra kumi maisha ya urafiki wa kupe na ng,ombe kura nyasi nikunyonye damu 😂

  • @josehkasuru7244
    @josehkasuru7244 3 месяца назад +1

    Na huko CCM ukikosa na fasi ya kugombea ubunge wa Iringa mjini utakimbilia wapi?

    • @ModestRitte
      @ModestRitte 3 месяца назад

      Kwa kosa hili alilolifanya ni mwisho wake kupata kura halali za wananchi, sasa zimebaki za wizi na kutengenezewa na ccm.

  • @vumiliaBryson-lx9yi
    @vumiliaBryson-lx9yi 2 месяца назад

    Huna lolote mbwa ni njaa imekupeleka huko

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 3 месяца назад

    Sugu kakimbizi msaka vyeo😂

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 3 месяца назад

    Viongozi WA kiafrika wengi mijiizi tu

  • @shabanikigogo2444
    @shabanikigogo2444 3 месяца назад

    Sio kosa lako.. tunajua ni Abduli huyooo.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 3 месяца назад

    msigwa si mtu wa kuganga njaa,figisu zimemshinda!!

  • @sindaslyvester1007
    @sindaslyvester1007 3 месяца назад

    Umekwisha kisiasa
    Tunza hii tweet

  • @NgombaleNgombale
    @NgombaleNgombale 3 месяца назад

    Nimecheka kwasauti 😂😂😂😂

  • @IbrahimKasambala-ts8re
    @IbrahimKasambala-ts8re 3 месяца назад

    Msigwa huna maana umeshindwa uchaguzi kwa kura unahama chama ulitaka ushinde wewe tu aibu hiyo

  • @deogratiusjulian188
    @deogratiusjulian188 3 месяца назад

    Hata slaa alipiga porojo hivi hivi je hajarudi

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 3 месяца назад

    Utakuwa umetumwa kuchunguza ccm wewy

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 3 месяца назад

    Mnatukera sana wanasiasa mimi naona siasa za Tanzania bado vyama vyote ni kutafuta chakula basi mimi ninaona wanasiasa wengi uhama vyama vyao baada ya kushindwa kuchaguliwa ni mmoja tu aliyehama kwa chama kuleta shida naye ni Chifu Mkwawa kahoro

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 3 месяца назад

    Msigwa ni nani chadema si punje tu huyo

  • @FloraMashaka
    @FloraMashaka 3 месяца назад

    Ww ulitaka madaraka tu na baada ya kuukosa uenyekiti Kanda ya Nyasa ukaona uhame chama Ili kutafuta maslahi. Hakuna lolote

  • @Mussapeter-ct1fu
    @Mussapeter-ct1fu 3 месяца назад

    kwanini usishauriane na wanachama wenzako kwan lazima kuhamia ccm

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 3 месяца назад

    Msigwa wewe ni mbwa na msaliti mkubwa hutapata ubunge

  • @gerionkweka4182
    @gerionkweka4182 3 месяца назад

    Wewe si mchungaji?

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 3 месяца назад

    sisi maskini uku mtaani tuna kaza wewe njaa kidogotu ume shindwa kukaza njaa iyoo msigwa

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад

    NAMUUNGA MKONO HUYU JAMAA N KWEL KABISA CHADEMA WAKO VIZUR KWENYE KUIKOSOA SERIKAL WAKAT KWAO KUNAMADUDU KILA MTU ANAUHURU WA KUCHAGUA PA KWENDA HONGERA KWA MAAMUZI WALA WASIKUPANGIE PA KWENDA WAAMBIE NA WAO WAKITAKA WAHAMIE CCM

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 3 месяца назад

    wewe humo nongwa za kukosa uenyekiti wa kanda unasahau watu wanapigania haki ata chama wengine hawana chama wewe nenda msigwa soku zote tulikua tunakujua mapema ndio tukampa sugu nafasi hutoshi nenda kwenye jamahuti ya walaji msigwa

  • @amurjimbwe4273
    @amurjimbwe4273 3 месяца назад

    ww ndo ushakufa kisiasa mbee