🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA HAMZA SEHEMU YA 05 - 19 JULY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • 🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA HAMZA SEHEMU YA 05 - 19 JULY
    Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
    Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
    -
    Follow Us On:
    INSTAGRAM:
    Efmtanzania:
    TWITTER:
    Efmtanzania
    FACEBOOK:
    Efmtanzania:

Комментарии • 24

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 Месяц назад +7

    Yaan sisi wanawake bwana sijui kwann hua haturidhiki jaman alietuloga alishakufa duuh

  • @dearmama4336
    @dearmama4336 Месяц назад +5

    Mama white atangangania nyumba ya hamza

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 Месяц назад +4

    Mmh Mungu amsaidie huyo kaka asije akatekwa kimapenzi na huyo mama 😢

  • @SatuParmukh
    @SatuParmukh Месяц назад +3

    Mungu wangu! Hamza asije akala mzigo wa Mama white!😢 dah..hatari sanaa..😱

  • @mocranaburugi3486
    @mocranaburugi3486 Месяц назад +3

    Mama white mbona kama inaonekana atangangania nyumba mzee akifa

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Месяц назад

    Konyagi

  • @abdulmjungu5687
    @abdulmjungu5687 Месяц назад +1

    Mtakua live na show ya daznunda??

  • @user-jo5ig8ww1b
    @user-jo5ig8ww1b Месяц назад

    😢😢😢😢😢Ooh my god hamza anaweza kuzama

  • @yusuphmachaku7225
    @yusuphmachaku7225 Месяц назад +1

    Dada velo ukindu

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Месяц назад

    Ukindu au mialal

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Месяц назад +1

    Malaya malaya tu kuacha ningumu sana

  • @naimamalekela812
    @naimamalekela812 Месяц назад

    Sijui mwisho wa huyu Hamza ni mzr or Mbaya mana msimamo kwakwe zero

  • @irenejoh1242
    @irenejoh1242 Месяц назад

    Huyo hamza alimtonba mama white ndo maana simulizi inaendelea

  • @RachelGunda-h3r
    @RachelGunda-h3r Месяц назад

    Vero huyu kijana naye hajitambui anajua mama ni mgonjwa kwanini anajipeleka kwenye mitego au na yeye anataka huyu mama!!!!

  • @charitylema
    @charitylema Месяц назад

    Da vero habari. Nauliza imekuwaje saivi baadhi ya watu hatuwezi ku download video zako za simulizi tena?
    Au ndo unataka kufanya kama kipindi cha simulizi ya upendo ulipokuwa unataka tulipie kupata simuliz?
    Kwan hawa watu wanao leta mikasa yao kwako huwa unawalipa?
    Na kama lengo lako la dhati kabisa ni kuwafikia watu wote, kwann sasaivi video zako mtu ku download ni mpaka uwe premium? Wengine hatuna uwezo huo na nna uhakika ni idadi kubwa ya watu wanakumbana na hili tatizo. Tafadhali naomba ushughulikie hili jambo vinginevyo siku za mbeleni huko nnaona viewers watapungua kwa kiasi kikubwa tuuuuu. Ni mawazo yangu na ombi pia

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 Месяц назад +2

    Jaman hyu mama wite ni kiboko kama ni ukahaba umevuka daraja kwahyo anataka kumzawadia Hamza k yake kwahyo k ya baba Hamza leo anataka kumzawadia na Hamza jaman mungu nisaidie nisiwe mwanamke wa hovyoooo Kama mama wite looooh hatal

  • @user-ju1fo1fq5i
    @user-ju1fo1fq5i Месяц назад

    Toka we ulikua unataka

  • @user-ue8lw4re2e
    @user-ue8lw4re2e Месяц назад

    Uyo hamza nae malaya tu hana lolote na inategemea na kabila lake kwamaana makabila mengne

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k Месяц назад

    MALAYA M'BWAAAAA🐕‍🦺YANI MUMEO KALAZWA💉💊 UJASIRI WAKUPELEKA SIMI LAKE GEST SIJUI ALIUTOA WAPI💔💔💔💔