Makabulu walijitahidi Sana licha ya kuwabagua watu weusi,Lakini walitengeneza Katiba nzuri,Wangeendelea kutawala Mpaka leo,Lakini wanaona nchi hiyo sio yao peke yao,
CHADEMA niwakumbushe jambo moja muhimu sana. Wakati CCM walisema wakiwa Singida 2017 kuwa watahakikisha watamaliza "WAPINZANI", walikuwa hawamaanishi Wapinzani walimaanisha CHADEMA. Hii ni kutokana na CHADEMA kuwa chama kikubwa sana na kimekuwa tishio kwa CCM. Ninachowaonya CHADEMA ni kwamba mkitumia mihemko ya baadhi wanachama na viongozi wenu kufukuza wanachama kila kukicha hawa CCM watawachukua viongozi wenu na wanachama wenu muhimu sana kwa kukosa busara. CHADEMA ni chama kinapigwa vita sana na CCM na baadhi ya Watanzania wanaotumiwa kwa kulipwa na CCM. Hivyo kama hamtatumia busara na weledi mjue CCM watawachukua hawa wabunge 19 na wameshatamka na nia yao ni kuchukua na wengine ndani ya CHADEMA ili kila mwaka kazi yenu iwe ni kuanza upya. "MSIPOZIBA UFA MTAJENGA UKUTA"
@@josephatmakaranga7043 kwa kweli hata mie nashangaa. Watu tumepiga kura tena kwa kutoka alfajiri na familia nzima halafu eti wanasema wameibiwa kura 😏
Hongera sana komredi Polepole
Polepole anastahili pongezi amefanya kazi kubwa sana kipindi cha kampeni
Asalaam alaikum hongera you deserve it karibu lumumba me dada yako natamani nikuone nikupongeze face to face ccm oyee
Anastahili Kwa kweli kapiga sana kaz ya ujarbu mwenezi
Makabulu walijitahidi Sana licha ya kuwabagua watu weusi,Lakini walitengeneza Katiba nzuri,Wangeendelea kutawala Mpaka leo,Lakini wanaona nchi hiyo sio yao peke yao,
Ongera saana Mr polepole
Humphrey mwendokasi hongera saaana
CHADEMA niwakumbushe jambo moja muhimu sana. Wakati CCM walisema wakiwa Singida 2017 kuwa watahakikisha watamaliza "WAPINZANI", walikuwa hawamaanishi Wapinzani walimaanisha CHADEMA. Hii ni kutokana na CHADEMA kuwa chama kikubwa sana na kimekuwa tishio kwa CCM. Ninachowaonya CHADEMA ni kwamba mkitumia mihemko ya baadhi wanachama na viongozi wenu kufukuza wanachama kila kukicha hawa CCM watawachukua viongozi wenu na wanachama wenu muhimu sana kwa kukosa busara. CHADEMA ni chama kinapigwa vita sana na CCM na baadhi ya Watanzania wanaotumiwa kwa kulipwa na CCM. Hivyo kama hamtatumia busara na weledi mjue CCM watawachukua hawa wabunge 19 na wameshatamka na nia yao ni kuchukua na wengine ndani ya CHADEMA ili kila mwaka kazi yenu iwe ni kuanza upya. "MSIPOZIBA UFA MTAJENGA UKUTA"
Hapo wameshabomoa upizani haupo
Wamekosea kufukuza wote sasa watakuwa CCM bila ubishi.
Polepole apige kazi sasa
Hongera sana polepole unastahili kupanda kwani ulifanya kazi nzuri sana kila la kheri
Polepole unastahili.Safii
Bashiru noma nshomire but no kozi
Ukweli Huyu mheshimiwa sote tulikuwa tunaomaba aonwe na kaonwa hongera songa mbele
Polepole ameipigania Ccm jino kwa jino kwa kweli na yeye ni size ya mabeberu na matraitors wake.🇹🇿👍💥
Nimefurahi
Pole pole ameshindwa kutetea Katiba mpya pamoja nanasi aliyo kuwa nayo,Anafahamu udhaifu wa Katiba ya sasa
Tunapongezana kweupe, macho meupe, nisijue mioyoni..... !
Hongera mwendokasi hakika unasitahili
Wizi wizi wiz oyeeeeeeee
Mwizi ni wewe namba 1
Kawa nani mbona sijasikia
Hongera huhrey unastahili Ilakini sio kwa zawadi meds Jimbo I kapambane na wenzio kwa kura Soo kwa zawadi
Pongezaneni tu hamna shida ila kaeni mkijua kwenye mioyo ya waTanzania hampooooo
Ongera saana Mr polepole
Pongezaneni tu hamna shida ila kaeni mkijua kwenye mioyo ya waTanzania hampooooo
Watanzania gani zaidi ya wengi tuliowachagua
@@josephatmakaranga7043 kwa kweli hata mie nashangaa. Watu tumepiga kura tena kwa kutoka alfajiri na familia nzima halafu eti wanasema wameibiwa kura 😏
@@aminasittusaid3830 hao hawajielewi walidhani watanzania wote ni chadema, waliridhika na mashabiki kuliko wapiga kura.
84% tupo Pamoja Watanzania
Wewe Makaranga hujitambui
Pongezaneni tu hamna shida ila kaeni mkijua kwenye mioyo ya waTanzania hampooooo
Wew ndio haupo unawasemea watu
Jamani azidi kueneza