DKT BASHIRU Ampongeza POLEPOLE Kwa KUTEULIWA, AMUONYA - "UMEPANDA JUKWAA GUMU"..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 38

  • @paulinaslaa7440
    @paulinaslaa7440 3 года назад

    Hongera sana komredi Polepole

  • @sophialaurent2876
    @sophialaurent2876 3 года назад +1

    Polepole anastahili pongezi amefanya kazi kubwa sana kipindi cha kampeni

  • @chikumansab1173
    @chikumansab1173 3 года назад

    Asalaam alaikum hongera you deserve it karibu lumumba me dada yako natamani nikuone nikupongeze face to face ccm oyee

  • @hawamaricca4003
    @hawamaricca4003 3 года назад

    Anastahili Kwa kweli kapiga sana kaz ya ujarbu mwenezi

  • @isaackalenge8194
    @isaackalenge8194 3 года назад +1

    Makabulu walijitahidi Sana licha ya kuwabagua watu weusi,Lakini walitengeneza Katiba nzuri,Wangeendelea kutawala Mpaka leo,Lakini wanaona nchi hiyo sio yao peke yao,

  • @alfredyjustinian6984
    @alfredyjustinian6984 3 года назад +1

    Ongera saana Mr polepole

  • @aludomakori4230
    @aludomakori4230 3 года назад +2

    Humphrey mwendokasi hongera saaana

  • @rinovarthiliwi1314
    @rinovarthiliwi1314 3 года назад +1

    CHADEMA niwakumbushe jambo moja muhimu sana. Wakati CCM walisema wakiwa Singida 2017 kuwa watahakikisha watamaliza "WAPINZANI", walikuwa hawamaanishi Wapinzani walimaanisha CHADEMA. Hii ni kutokana na CHADEMA kuwa chama kikubwa sana na kimekuwa tishio kwa CCM. Ninachowaonya CHADEMA ni kwamba mkitumia mihemko ya baadhi wanachama na viongozi wenu kufukuza wanachama kila kukicha hawa CCM watawachukua viongozi wenu na wanachama wenu muhimu sana kwa kukosa busara. CHADEMA ni chama kinapigwa vita sana na CCM na baadhi ya Watanzania wanaotumiwa kwa kulipwa na CCM. Hivyo kama hamtatumia busara na weledi mjue CCM watawachukua hawa wabunge 19 na wameshatamka na nia yao ni kuchukua na wengine ndani ya CHADEMA ili kila mwaka kazi yenu iwe ni kuanza upya. "MSIPOZIBA UFA MTAJENGA UKUTA"

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 3 года назад +2

    Polepole apige kazi sasa

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 года назад

    Hongera sana polepole unastahili kupanda kwani ulifanya kazi nzuri sana kila la kheri

  • @marymaige6466
    @marymaige6466 3 года назад +1

    Polepole unastahili.Safii

  • @gracelaurent3929
    @gracelaurent3929 3 года назад

    Bashiru noma nshomire but no kozi

  • @edithhassan4196
    @edithhassan4196 3 года назад

    Ukweli Huyu mheshimiwa sote tulikuwa tunaomaba aonwe na kaonwa hongera songa mbele

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 3 года назад

    Polepole ameipigania Ccm jino kwa jino kwa kweli na yeye ni size ya mabeberu na matraitors wake.🇹🇿👍💥

  • @donaldkawacha9875
    @donaldkawacha9875 3 года назад

    Nimefurahi

  • @isaackalenge8194
    @isaackalenge8194 3 года назад

    Pole pole ameshindwa kutetea Katiba mpya pamoja nanasi aliyo kuwa nayo,Anafahamu udhaifu wa Katiba ya sasa

  • @sylvesterjose3286
    @sylvesterjose3286 3 года назад +1

    Tunapongezana kweupe, macho meupe, nisijue mioyoni..... !

  • @hoseamtiro4439
    @hoseamtiro4439 3 года назад

    Hongera mwendokasi hakika unasitahili

  • @alimitumba8712
    @alimitumba8712 3 года назад +1

    Wizi wizi wiz oyeeeeeeee

  • @fidelludemwa2943
    @fidelludemwa2943 3 года назад

    Kawa nani mbona sijasikia

    • @godblesskessy5516
      @godblesskessy5516 3 года назад

      Hongera huhrey unastahili Ilakini sio kwa zawadi meds Jimbo I kapambane na wenzio kwa kura Soo kwa zawadi

  • @gabrielgeorge2831
    @gabrielgeorge2831 3 года назад +1

    Pongezaneni tu hamna shida ila kaeni mkijua kwenye mioyo ya waTanzania hampooooo

  • @alfredyjustinian6984
    @alfredyjustinian6984 3 года назад

    Ongera saana Mr polepole

  • @gabrielgeorge2831
    @gabrielgeorge2831 3 года назад +1

    Pongezaneni tu hamna shida ila kaeni mkijua kwenye mioyo ya waTanzania hampooooo

    • @josephatmakaranga7043
      @josephatmakaranga7043 3 года назад

      Watanzania gani zaidi ya wengi tuliowachagua

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 3 года назад

      @@josephatmakaranga7043 kwa kweli hata mie nashangaa. Watu tumepiga kura tena kwa kutoka alfajiri na familia nzima halafu eti wanasema wameibiwa kura 😏

    • @josephatmakaranga7043
      @josephatmakaranga7043 3 года назад

      @@aminasittusaid3830 hao hawajielewi walidhani watanzania wote ni chadema, waliridhika na mashabiki kuliko wapiga kura.

    • @ashtube1333
      @ashtube1333 3 года назад

      84% tupo Pamoja Watanzania

    • @nurdinkisaria9476
      @nurdinkisaria9476 3 года назад

      Wewe Makaranga hujitambui

  • @gabrielgeorge2831
    @gabrielgeorge2831 3 года назад +1

    Pongezaneni tu hamna shida ila kaeni mkijua kwenye mioyo ya waTanzania hampooooo