Tanzania 🇹🇿 to France 🇫🇷 (Part 2)
HTML-код
- Опубликовано: 6 июн 2024
- Don’t forget to subscribe.
#RayC
#Blogger
#Vlogger
#RUclipsr
#Vlogging
#Vlog
#DailyVlog
#ShortsVlog
#TravelVlog
#VloggingTips
#VloggerLife
#youtubeshorts
#youtube
#peace
#love e - Видеоклипы
The same experience I had. Niliondoka Tanzania Kwa sababu nilitaka kutafuta my peace. mtu mnafki umwogope kama ugonjwa wa Ukoma!!! Watanzania tunawivu sana.. wanafki, tunaanza kujikomba komba ukiwanacho.. ukishuka kidogo tu.. hadi jirani yako atasema hakufahamu 😂. I just love you since years. I was praying for you so much after what happened to you. Girl hakuna kitu kikubwa chenye Thamani ambayo huwezi ukanunua kama kuwa na Amani!! I am also so grateful and I have my peace here in Germany with my Kids, husband. Upo jirani sana na Mimi.. visit us anytime . Ukiwa na Muda. Njoo Mrembo.. Hakuna kama Ray C , na hatakuja kuwepo!!! Watanzania tukiacha wivu na unafki tutaendelea sana. Well done 👍🏾, Mimi mnyalu mwenzio am proud of you!!! God Bless you and your beautiful family ❤
Watanzania tupunguze unafki ...wakati huu yuko vizur wapo kimya kipind kile kateleźa maneno kibao
Kabisaa yaan
Kabisa, hatuna nguvu ya ku supotiana ili tufike wote...loh..a
Hongera sana Ray C, tunakufatilia tangu enzi hizo tunakuelewa ❤watoto wa 2000 watupishe kidogo
Congratulations 🎉 Ray C yaani umekaa vizuri vile tulikujua mwazo. You look beautiful girl, endelea kuishi positive life clean from bad lifestyle. Tunakupenda wengi🇰🇪
Hongera sana,umepitia mengi lakini ume prove yourself to he stronger na sasa uko vizuri sana
Nimempenda ulichangua furaha God bless you ❤
Am happy for you girl keep shinning
Nmekumiss my lovely sister ❤kitambo sana cjakuona namiss wimbo wako wa sogeasogea
Nimependa unaongea vizuri wala haujidai, nitafutie mzee mmoja wa uko wakuzikana nae nimpende anipende awe wangu maisha❤, waafrica kitandawiri unapenda paspot kupendwa mwanamme Ana episode za maisha utasema isidingo the need😢, nataman kutafuta aman ya moyo ulaya
Wakati wa Mungu ndio sahihi kipenzi changu. Hapo ulipo ndio muda wa Mungu kwako. Endelea kumtumaini Mungu aliyekuvusha kwa magumu ndio huyo atakufanya uwe na ushuhuda. nakupenda sana dada yangu.
Jamani tuwekee video virefu kidogo ❤❤❤❤ beautiful Ray C
am proud of you rayc.........your such an inspiration to many
U luk so lovely Ray C......jmn nimeumia sana
Never loose hope. Live your life at the fullest. Keep going and don’t look back but see what you can do the next day. Good luck .
We love you ❤❤
Am proud of you sister ❤❤❤❤
Congratulations 👏👏 May God be with you and bless you. His grace is sufficient to all
I ❤️ U 😘 Mwenyezi Mungu azidi kukutunza mwaya 🤲🤲
She still very beautifully
❤❤❤❤Nakupenda siku zote
U still the best 🇹🇳🇹🇳
My sister baki huko huko usirudii,u deserve kuishi huko,huku no no no no,
Hongera Sana We Love You 🇦🇺
Wewe ni mzuri talented na huko vizuri
Mwenyez mungu azid kukulinda siku zote za maisha yako. Piga kazi hukoseagi mwanangu.❤❤💕
Hongera mpak hapo ulipofikia Allah atakufungulia milango ya heri ❤❤❤
💕
Akili anakumiss sana jaman mpka leo nakumbuka wmbo nakupenda Rgina .Akil the bran...jamn jinsi hyoo tunacheza hzo nyimbo.nmecheza saana kwnye kipaimara za watu..hi disco mtaan.nmecheza saan love you my sister wangu ❤❤❤
Hongera dada
❤❤❤
Usirudi unafiki tu huku kaa fanya maisha yako
Wish you all the best nakumbuka nilitaka kuimba nawe ila Allah hajabless na nyimbo bado sijazirikodi yote na yote nakupenda sana na najua pengine usichokijua Tanzania inakupenda wewe ni queen wa bongo fleva pia
Alisoma na Watoto wangu Kabojja Uganda
Kuteleza cyo kuanguka my Dada. Mungu akupe neema sana.
😘😘😘🙏🏾🙏🏾🙏🏾
We want more stories, I would like to know how you got your stage name Ray C.
I think her name is Rehema Chalamila ..
Nzuri nimejifunza kitu
Vizuli sana
Acha heshima ikufate
Aki mi napenda ray c i swear to God nkiwa tu idle natukianga nmeanza kuimba song zako expecilly nataka niwe na wewe milele na uko wapi nkuone niambie nipajue then umenikata bila sababu i just love them ray c just say hi to me ni feel good ❤❤❤❤🎉
Thank you❤
@@RayCOfficial welcome dear 😘😘
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakupata ongeza mtoto mwingine wawe2 kuzaliwa mekeako ni uzuni
Uko 👌
Rayc don't look what people say just follow your heart ❤❤
I love you my sister
Ray c uzuri wako hauchuji jmn 🥰
Anajichubua hakua hivo. Alikuwa maji ya kunde.
Jamani huyu ni Rais au Recho yule anayeongea Sana maana Wana fanana
Sasa Upload nyimbo zako za kitambo hapa basi.
Umeona eehq
Yani nimekumic sana wewe mdada ni basi tu😢😢
Nakumbuka kipindiiko ray c anakaa kawe
Bora Ray C hajabadilika Yuko France 5 years anaongea kiswahili kile kile Ila Kuna yule kaenda marekani weee anajidai kiswahili hakijui Tena 😏🙌😄
Umeamkajee uwa wanajishauaa san
Umeamkajee uwa wanajishauaa san
Sorry my sister very sorry
I’m so happy for you 😢 Tanzania is a good country but very toxic
Sister yangu kwani utuweke nyimbo zako zote kitambo
Kamwene mnyalukolo
Husiseme mengi kumbuka Kuna Leo na kesho
Hata nikifa leo ntazikwa huku maana mwanangu mzaliwa wa hapa bora niwe karibu nae.
What do you do now?
Mambo
Mimi shabiki wako sana
Ila michongo muhimu
Mimi mpishi wa vyakula vingi
Kama India food
Italian food
American food
Swahili food
Naomba unisaidie kupata mchongo huko
Naitwa Pascal mmaje
Niko DAR es Salaamu
Unaweza kutafuta kazi ulaya hata kama upo hapo ulipo si lazma utafutiwe
Don't go back in Tanzania dear stay there kwenu wananyimanaga amani kabisaa
DADA USIOGOPE KWA SABABU MAPITO KAUMBIWA MWANADAMU.
👏👏👏👏 you don't know how to fake.
Achana na watu, jiangalie wewe,
Sina hata habari nao nashare tu my true feelings
Yani ninavyokuangalia sasa hivi,namtukuza sana Mungu kwa ajili yako.
Nikikumbuka vipindi vigumu ulivyopitia pale katikati.🙌
Anyways, nakutakia afya njema na mafanikio.
Unaongea French?
Naelewa zaidi ya kuongea
@@RayCOfficial d'accord ni vzr, tumekumiss Tanzania, vraiment surtout moi
Acha kudanganya Ray c huwezi pata residence ya ulaya kwa mda wa mwaka mja nanusu tu wewe umekuwa unapo sema ubongo usisahau kuwa wapo watu ambao wapo ulaya na wanajua sheria zote zaulaya kwanza wewe sizani kama hata hapo ulipo una makaratasi maana ungekuwa nayo ungesha enda bongo hata kumtembelelea mamayako hanamtu anaweza kukaa sehemu moja for five years bilakuichoka hiyo sehemu wajanja tunaelewa
wew nae
We nae kila mtu nabahati yake
Inawezekana mm naishi Belgium niliipata ndani ya miaka 2 na familiya yangu yote kisha mwaka wa 3 na uraia pia tukapata. So kila mtu na jinsi unajitetea unapofika nchini. Anything is possible
Kila mtu na bahati yake mpenzi sina sababu yoyote ya kudanganya
Ray c awa wabongo hawakosagi kukosoa tu uyu lidya ana wivuuuu
Ray c ❤❤❤ love you to death
Kwani your Ex boyfriend halikukataza kufanya kazi?
❤❤❤