The Mafik - Bobo (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #TheMafik #Bobo #NgommaTz
    Bobo by The Mafik (C) 2019 Kwetu Studio Management
    BOBO OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    MKITO: mkito.com/song...
    iTunes: itunes.apple.c...
    Spotify: open.spotify.c...
    Dezeer: www.deezer.com/...
    Written & Performed by: The Mafik : Dir: Kwetu Studio
    For Bookings: TheMafikTz@gmail.com | mxcartertz@gmail.com |
    Follow The Mafik on:
    / themafik_
    / themafik_
    / themafiktz

Комментарии • 642

  • @abduljumbetfujujgfypuujjiu7472
    @abduljumbetfujujgfypuujjiu7472 5 лет назад +129

    R.I.P mbalamwezi tutakukumbuka kwa sauti yako ya kipekee😢😢

  • @stevnkungu7505
    @stevnkungu7505 5 лет назад +75

    so sad Mbalamwezi kaenda zake kupumzika.... RIP 😢

  • @elidadnyalema3799
    @elidadnyalema3799 5 лет назад +80

    No comments,,, zaidi ya kumuangalia mbalamwezi peke yake ,,kwan imeniuma sana mpaka najionea huruma

  • @deoonline_4212
    @deoonline_4212 5 лет назад +70

    Bonge la hit song!!. Beat hili sio la dunia hii.
    R.I.P #Mbalamwezi . Gone too soon!. See u again bro.

    • @vishalkumar-oz7hn
      @vishalkumar-oz7hn 4 года назад +1

      Nice song jaman mbalamwez mungu akupunguzie azab ya kabur

  • @happywinn5077
    @happywinn5077 5 лет назад +23

    yan uyo jamaa wa mwish anaimba vzr na anasaut ya kipekee sana dadekii.... kam umemuelew kam mie gonga like twende sawa.. BOBO

  • @christinamsuya5150
    @christinamsuya5150 5 лет назад +35

    Jaman mbalamwez ulivyo na saut nzur pumzka kwa aman

  • @nyigomakunza4285
    @nyigomakunza4285 5 лет назад +51

    How could you believe dat MBALAMWEZI is not around any more.....!! We will never hear his tender melody voice forever..... So sad!!!

  • @bouweengabriel2477
    @bouweengabriel2477 4 года назад +13

    Kama bado una feel this sound tia like 👍

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 5 лет назад +9

    My bobo rest in peace dullah mbalamwezi waliokudhulumu kutoa uhai wako bx allah atawahukumu.

  • @chrisnditi1805
    @chrisnditi1805 4 года назад +5

    Mbalamwezi R. I .P
    01 /01 /2020
    Ngoma bado kali, like japo kumi wadau

  • @abdunnasser9580
    @abdunnasser9580 5 лет назад +14

    Nakupendeni sana the mafik naukubali mziki wenu mnajua
    Mimi nikutokea ncheni burundi🔥🔥🔥🔥💫

  • @alexmakundi5006
    @alexmakundi5006 5 лет назад +16

    If only efforts za wasanii wote zingekua zinakua recognised...hii nyimbo nzuri

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 лет назад +23

    IMENIDI NIANGALIE SONG ZAO CZ ALIEKUFA SIMJUI DAH SOOO SAD REST IN PEACE NYIMBO SMART SANA

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 5 лет назад +1

      IF GOD SAY YES. NO BODY CAN SAY NO. wa mwisho kuimba ndo alofariki

    • @gaonechinago3493
      @gaonechinago3493 5 лет назад

      IF GOD SAY YES. NO BODY CAN SAY NO. mwenye ameimba sauti ya mwisho mkaka mdogo kwa mwili name mbalamwezi 😢😢😢

  • @xandermathew8029
    @xandermathew8029 5 лет назад +7

    Kifo ni kitu ambacho kimeanza toka enzi na enzi na kinajulikana kwa kila aliye hai na mwenye akili timamu but, one thing that we need to know is, kifo hakizoeleki Yan kila kinapotokea haijalishi ni kwa ugonjwa/ajali/ghafla, n.k hua linaonekana kua ni tukio jipya 😭😭😭😭😰😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 it's so hard to forget you bro, But hatuna budi kukubaliana na hali iliyo sasa. Rest in peace, tangulia nasi tutakuja japo kwa wakati tofaut tofaut,

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 4 года назад

      Mimi ni Mama,kila nikimkumbuka huyu mtoto nalia kama nimemzaa
      Mungu ampunguzie adhabu ta kaburi

    • @itikanzubili8910
      @itikanzubili8910 2 года назад

      Absolutely yes☹️☹️

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 5 лет назад +6

    My boboo daaaah RIP mbaramwezi uliuwa sana kwenye hii ngomaa mzee Mwenyezi Mungu akupe pumziko jema

  • @rebeccandenga4566
    @rebeccandenga4566 5 лет назад +3

    Nawapenda the Mafik mpaka naumwaa, nawahakikishia kwa Mungu huyuhuyu ipo siku mtapata viewers milions of millions, kama unawakubali kama mimi gonga like hapa.

  • @allyminasi1512
    @allyminasi1512 5 лет назад +246

    rip mbalamwezi kama na wewe umekuja huku gonga like

  • @elidadnyalema3799
    @elidadnyalema3799 5 лет назад +16

    Mbalamwezi,,, in the world,, never see you again,,,R.I.P

  • @juliusfungo2754
    @juliusfungo2754 5 лет назад +10

    Wasenge kweli nyie JAMAA so kwa song hili mnanifanya liwe goma Lang la siku kila sku lazma mala 9 on line da ninomaaa Sana wazee wa mzki mzuli

  • @raimajimoto1122
    @raimajimoto1122 5 лет назад +57

    Ebwanaaaaaeaeeeeee hamjakoseaaa Kabisaa wananguu Hii ni Bonge moja LA Ngomaaaaa... Mnauwezo mkubwa sanaa

  •  5 лет назад +12

    *RIP Mbalamwezi* Dullah Mbalamwezi, Msanii wa Bongo Flava wa *_Kundi la The Mafik Band_* ameaga dunia. Makubwa na mapya yaibuka! Tazama video: Ifuate katika njia *YOU TUBE /MSONOBARI /VIDEOS* au uifuate tu kwenye channel yangu mara moja!

  • @shivamyaakrammuhammad9906
    @shivamyaakrammuhammad9906 5 лет назад +3

    PUMZIKA KWA AMANI NYINYI NAWAITA KING'S OF MELODY TUTAMPAT WAPI TENA MTU KAMA MBALAMWEZI NEVER NEVER AAaaahaaah😭😭😭😞

  • @salmaothuman9762
    @salmaothuman9762 5 лет назад +25

    Hivi domo anaimbaga nn hawa jamaa ni nomaaa 🔥✌the mafiki

  • @clqudiaemmanuel7740
    @clqudiaemmanuel7740 5 лет назад +1

    Wamekatisha maisha ya kijana mdogo kwa Mungu sijui tutajibugi nin jaman

  • @mukhsinkilangilo2220
    @mukhsinkilangilo2220 5 лет назад +15

    daah rip mbalamwezi.
    the mafiki bila mbalamwezi hakuna tena

  • @yuvenalalphonce5978
    @yuvenalalphonce5978 5 лет назад +32

    now hatuangaiki na masauti cjui nn...Yan easy tu unarelax afu kitu ikooooo😁🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥#bobo...Music ni dar..

  • @jacobkisinza48
    @jacobkisinza48 5 лет назад +7

    Iko vzr sema kale ka style kenu nimekapenda afu director hajakaonyesha vzr

  • @jildow4533
    @jildow4533 5 лет назад +5

    Poleni sana ndugu zangu #TheMafik kwa kuondokewa na ndugu yetu #Mbalamwezi. Mungu ahilaze roho ya marehemu mahala pema peponi. Never give up .. Keep it up na kumswali Mwenyezi Mungu kila wakati. 🙏🏽

  • @donboy2125
    @donboy2125 5 лет назад +43

    Kubabakeeeee mnajuaaaaaaa Mimi shabiki yenu toka passenger hadi leo

  • @ibrahtalent8627
    @ibrahtalent8627 5 лет назад +33

    Ivinyie wadudu mulishawai kukoseaga et? Dah yani kila mukitoangoma kinakua bongechupa asee Kama #Jamaica_nipeni #Likezangu

  • @isaachenry9588
    @isaachenry9588 5 лет назад +3

    Daaah,,,kama huchoki kulicheki hili goma gonga like apa chini,,,

  • @fahadphocaskabuhaya744
    @fahadphocaskabuhaya744 5 лет назад +5

    Alikiba katutuma tuje kuwacheki namjue kingi kiba akipostr nyimbo razima tuje kama wote akika ninoma sana kingis music the mafik sarut

  • @maparanews9918
    @maparanews9918 5 лет назад +1

    huu muziki upo good sana nice guys(R.I.P mbalamwezi)tutakukumbuka with your nice voice....

  • @josephmarandu8044
    @josephmarandu8044 5 лет назад +7

    One among the top chart coming crew it's the mafik but i wonder who is figure out Mbalamwezi! R.I.P R.I.P bro Mbalamwezi, the time will come and we will all realize that we need you here

  • @felisterjohn7258
    @felisterjohn7258 5 лет назад +9

    mmmh hii video nyoko kumamayo uyu msafiri mbona anatoa vichupa vikali sana duuh

  • @kadashizo3973
    @kadashizo3973 5 лет назад +1

    nitakukumbaka sana mbalamwez nikisikia passenger

  • @ancelinhoonlinesport4235
    @ancelinhoonlinesport4235 5 лет назад +6

    Daaaaaaah mamamamaaalaaaaminiiinaa zenuu nyieee jamaaa hamfaaaii n mnajuaaaaa kiiiiinyaaaaamaaaaaaraaai💣🔥🔥🔥🔥

  • @nancyruoruo1025
    @nancyruoruo1025 5 лет назад +5

    Muziki ni dawa😭😫😭😭sweet voice Daah Rip mbalamwezi

  • @mobbael9473
    @mobbael9473 5 лет назад +65

    Aliyesikia beat la wimbo linakick Kama teyamo Rihanna agonge like hapa

    • @S_Mallema
      @S_Mallema 5 лет назад +1

      Letting go by Sean Kingston

    • @mangofish9079
      @mangofish9079 5 лет назад

      @@S_Mallema kwa asilimia zote zote teyamo hii duh nouma

    • @kbmsouth
      @kbmsouth 5 лет назад

      Logo Flavour KATOMBWEEE

  • @boscotones31
    @boscotones31 5 лет назад +12

    Ahahhhhha hiv vitu bana havitakiki hasira ni uamuzi tuu😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌 tishaaa sana

  • @DrSanai
    @DrSanai 5 лет назад +12

    I never knew you bro Mbalamwezi, but you were the best, your voice is something else bro.

    • @samsonisamsoni5989
      @samsonisamsoni5989 4 года назад +1

      Hawa majamaa noma kwa hii ngoma imetikisa dunia kwa wanaoskiliza kwa makini

  • @mayungampanduzi8152
    @mayungampanduzi8152 5 лет назад +1

    Rip mbalamwezi kumbuka ww ni mwanadam wala simnyama japo kua kifo chako kimekua ni cha kinyama na mnahiyo ninaamini kupitia serikali yetu waliohusika watapatikana nasheria itachukua mkondo wake kwani wamekukatili haki yako ya kikatiba ndugu yangu rip kaka mbele yako nyuma yetu

    • @mayungampanduzi8152
      @mayungampanduzi8152 5 лет назад

      Mm nadhani hii adhabu yakifo kwa watuhumiwa wanaopatikana na hatia ya mauaji ya kudhamilia kwa wanadamu wenzao ingetekelezwa ipasavyo ilikuwafundisho kwa watu wote ambao wenyenia ovu yakutenda makosa ya mauajii kama haya kwani katiba yetu yatanzania ibala ya14 ina sema kila mtu anayo haki ya kuishi so kwann kunawatu wanavunja ibala hiii jamaani daaa rip young mbalamwezi

  • @jumaramadhan3380
    @jumaramadhan3380 4 года назад +1

    Rip mbalamwez mwenyezimungu akupe makazi mema

  • @brianmuraguri
    @brianmuraguri 5 лет назад +26

    Feeling it from Kenya its a hiiit song definatly... Africa we getting it

  • @GeorgeGBD
    @GeorgeGBD 4 года назад

    Cameroon 🇨🇲🇨🇲🇨🇲🇨🇲🇨🇲 +237 in the house yo all the way from the USA.

  • @flimcmbvevo7414
    @flimcmbvevo7414 5 лет назад +12

    listening to you guys from china this is the future music rip to mbalamwezi alikua na style moja ya kimamtoni kama kina jeremiah or chris brown

  • @raynelson4231
    @raynelson4231 5 лет назад +1

    Huyu jamaa wa verse ya mwisho ana kipaji sanaaaa

  • @ayubunzunda9937
    @ayubunzunda9937 5 лет назад +4

    Duuuuuh jaman mmekuwa kimziki nakifikraaaaa saaaana bonge la beat aiseeeeeeeeeeeeh

  • @gbbuku4714
    @gbbuku4714 5 лет назад +2

    Sijawah kuwakubali ila hapa nimekubali

  • @ignasmartin2627
    @ignasmartin2627 5 лет назад +2

    Daaah!!! Yaani Hawa Jamaa Mziki Wao Siyo Wa Nchi Hii Kabisaa, Nawakubali Sana.

  • @zunguboyclasc4951
    @zunguboyclasc4951 4 года назад +1

    Mungu akulaze mahala pema mbala

  • @dogoshazzy7032
    @dogoshazzy7032 5 лет назад +2

    kaikubali fund kiba kaka mkubwa me nan niskubali makn sana nawakubali 🔥🔥🔥🔥

  • @ebbyramadhani
    @ebbyramadhani 5 лет назад +8

    Club Banger Flan ivi ambayo Haitoi jasho.

  • @barnabasmayunga2081
    @barnabasmayunga2081 5 лет назад +1

    mziki wanaofanya haewa jamaaa sio wa nchi hiiii

  • @shahilmmasai2989
    @shahilmmasai2989 5 лет назад +4

    Rhino king mtoto wa kibiriz umeua bhana🙌🙌🙌

  • @rosemuba2532
    @rosemuba2532 5 лет назад +4

    RIP mbalamwezi love from Europe ❤🙏

  • @teddykanyawela9861
    @teddykanyawela9861 5 лет назад +5

    Ngoma nzuri nilikuwa siwafahamu KIBA ndo kanambia

  • @geoffreycalvin2288
    @geoffreycalvin2288 5 лет назад +5

    Tunataka vitu vikali kama hivi back to back sasa cio mnatoa ngoma moja mnakaa kmya mda mrefu

    • @givasmwananzumi5941
      @givasmwananzumi5941 5 лет назад +1

      Geoffrey Calvin hyo ndo point maana hawa vijan wakitoa ngom moja had tunawahau

  • @elvisjohn6626
    @elvisjohn6626 4 года назад +1

    Watching after seeing this band performing at Sauti za Busara 2020

  • @kelvinsmallineah3975
    @kelvinsmallineah3975 5 лет назад +1

    Daaah bwanaeeeh hii ngm khtr

  • @LuleTetian
    @LuleTetian 3 месяца назад

    Siku zote kiongozi Bora akifa bhaasi nchi huangamia hivyo bhaasi the mafik wameangamia baada ya Mbalamwez kufa R.I.P brother still tunapenda kazi zenu 😢❤😢

  • @oceanocean9585
    @oceanocean9585 5 лет назад

    Hakika hatuwez kukusahau kakaetu mpendwa Mbalamwezi hasa Kwa umahiri na sauti yako kwenye muziki mungu akulaze mahala pema pumzika Kwa amani

  • @juliusfungo2754
    @juliusfungo2754 5 лет назад

    Da ukimya huu unasababishwa na matatizo nimekumbuka. Mzki mzuli wa the mafk jaman da mbalamwezi R I P ,,

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 5 лет назад +4

    jamaa mungu awalinde msije mkagawanyika ngoma zenu kali.

  • @sabatelemichael5269
    @sabatelemichael5269 5 лет назад +11

    Hii ngoma ni Fire 🔥🔥 Mazee TheMafik wametisha knorma noma

  • @katanicarter0568
    @katanicarter0568 5 лет назад +6

    Ngoma KALI SAAAANA
    Kaz kaz kazi
    Ngoja Nii download.

  • @jildow4533
    @jildow4533 5 лет назад +1

    To be honest I like the 🎧🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊 its sound very 👩‍❤️‍💋‍👩👩‍❤️‍💋‍👩 #Yeebaba# the Mafik #BOBO# 👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽🔊📢🔉📣🎧 my B.🅾️B.🅾️

  • @LilyooKamone
    @LilyooKamone 5 лет назад +8

    Nakubali bro mumeweza sanaaa jamaaa bt nkiremembe #Mbalamwezi machozi yanidondoka walai 😢😭😢 Allah amlaze mahali pema peponi Ameeni

  • @ezrakenyanya7399
    @ezrakenyanya7399 5 лет назад +6

    Mtu tatu kwa moja fire/bit kal amazng sound ndan

  • @basamtz8674
    @basamtz8674 5 лет назад +4

    Ngoma kari kinima 🇹🇿💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @mubaraksaidi3026
    @mubaraksaidi3026 7 месяцев назад +1

    Mmh kitambo sanaa❤

  • @michaelmongasyo5972
    @michaelmongasyo5972 4 года назад

    Mbalamwezi nenda bro, inatosha kunlengesha machoz!!!!! Kipande chako kngekuwa wimbo mzma ebo!@#

  • @sweetmama6223
    @sweetmama6223 5 лет назад

    Kwa mara ya kwanz kucheki kichupa chao cha passenger kiukweli ckujua km ni wabongo daah majamaa mafundio hawa.....ila Mungu ampe kauli thabit Abdalllah🙏🙏😢😢(mbalamwezi )

  • @africanboyvevo8413
    @africanboyvevo8413 5 лет назад +2

    Uyo jamaa aendelee t kulapu ana uwezo

  • @kilazahm3717
    @kilazahm3717 5 лет назад +8

    Aseeeee bonge la ngoma...
    So creative n flexible
    Gonga like km imeikubal #bobo 👍👍

  • @OmaryMawingo
    @OmaryMawingo Месяц назад

    Bosco ton nomasana anajuwa uyujamaaa❤❤❤❤

  • @chrisjohn1092
    @chrisjohn1092 5 лет назад

    Duuuuuuh chuma balaa yaaaane ni kitu ya mbeleee

  • @hudahope8613
    @hudahope8613 5 лет назад

    Allah akupunguzie adhabu ya kabur balamwezi sote njia yetu moja

  • @jemidahkulanga8994
    @jemidahkulanga8994 5 лет назад +2

    Nywele jamani zinanifanya mwili wangu usisimke. Kama wadudu!!! 😶😶😶😶

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 4 года назад

    Binadamu sisi wabaya sana yanikakahuyu wamemuuwa duuu

  • @eliudmsey7925
    @eliudmsey7925 5 лет назад +3

    Yessss hawa ndo the mafik sasa

  • @mariammwakimbi5956
    @mariammwakimbi5956 5 лет назад +1

    huyo wa mwsho ndo kakalisha kabsaaa...

  • @wailesdeus3764
    @wailesdeus3764 5 лет назад +2

    Yeeeeeeeess kubwa tu fanyeni tour zakutosha mpaka Nigeria na Uk USA

  • @D-mox
    @D-mox 3 года назад

    R.i.p mbaramwezi umenifunza vitu vingi sana naumia sana😪😥😭😭

  • @danielmaleko4938
    @danielmaleko4938 5 лет назад +1

    E bana ee the mafic ni danger natimba inboboo gonga like apa kama unapenda mziki mzuri

  • @gaspernhende4623
    @gaspernhende4623 5 лет назад +1

    Awa jamaa ni nomaaaaa

  • @goodluckkipingu4247
    @goodluckkipingu4247 5 лет назад +23

    Kama unamuona mbalamwezi kwa mbali kama anafanana na Rich mavoko gonga like hapa tujuane na pia R.I.P

  • @mulhatwarama9882
    @mulhatwarama9882 4 года назад +1

    Dah!!!RIP Mbalamwezii😭😭😭😭😭

  • @denniskiango6901
    @denniskiango6901 5 лет назад

    Duh!!marehemu husifiwa sanaa..tujaribu kuwasifia wakiwa wazima

  • @kijolysahaly1323
    @kijolysahaly1323 4 года назад

    Hatasijui ilikuwaje jamani wakamuuwa kaka wawatu duu. Mibinadamu mingine nyokokweliyan

  • @godfreyeugentarimo101
    @godfreyeugentarimo101 5 лет назад +2

    Hatariiiii

  • @abduldjay3034
    @abduldjay3034 5 лет назад +3

    R.I.P Mbalamwezi Nakukumbuka kwa Vocal zako kariiiii

  • @DenyoReigns
    @DenyoReigns 5 лет назад +2

    Verse ya pili ilitakiwa ianze,kisha ya 3 iwe ya pili. Ya kwanza sjaielewa kabisa. Wimbo mkali 🤲🧜‍♂️ #Bobo🍆

  • @ghadeerali6363
    @ghadeerali6363 5 лет назад

    Jmn kwan huyu wa mwisho ni nan mbn kaumiza sana aaaaghhh

  • @K25795
    @K25795 5 лет назад +3

    iyi ngoma na king wa bongo flev kaikubali weye una pingaje gonga like hapa twende sawa

  • @leopodyagusti9658
    @leopodyagusti9658 5 лет назад +23

    aaah qumamake!!!! verse ya pili na wa mwisho kaumizaa sanaa🙌🔥🔥

  • @nyamangatv2004
    @nyamangatv2004 5 лет назад +1

    Mbaramwezi umeua sana mwanangu

  • @youngnelly6272
    @youngnelly6272 5 лет назад

    Aisee bonge la song tam tam bobo yaaani my bobooo 🐯🐯🐯🐯

  • @johnmasinga3698
    @johnmasinga3698 5 лет назад +1

    naangalia nyimbo za THE MAFIK ZOTE KWA HISAN YA MBALAMWEZI

  • @givasmwananzumi5941
    @givasmwananzumi5941 5 лет назад +1

    vijana kwa huo mdundo n mwendo wa kukuanyaga...... ..............mond.