The Mafik - Bobo (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #TheMafik #Bobo #NgommaTz
Bobo by The Mafik (C) 2019 Kwetu Studio Management
BOBO OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
MKITO: mkito.com/song...
iTunes: itunes.apple.c...
Spotify: open.spotify.c...
Dezeer: www.deezer.com/...
Written & Performed by: The Mafik : Dir: Kwetu Studio
For Bookings: TheMafikTz@gmail.com | mxcartertz@gmail.com |
Follow The Mafik on:
/ themafik_
/ themafik_
/ themafiktz
R.I.P mbalamwezi tutakukumbuka kwa sauti yako ya kipekee😢😢
Rip😭
Kaka sikuoni tena mmm kaka rudi kaka angu ndio umelala dahhhj jamn binadamu mambwa sana yarabi mpunguzie adhabu ya kaburi rip kaka
Hatali san 🙏🙏🙏
R.I.P
so sad Mbalamwezi kaenda zake kupumzika.... RIP 😢
Stev Nkungu inauma xn
No comments,,, zaidi ya kumuangalia mbalamwezi peke yake ,,kwan imeniuma sana mpaka najionea huruma
Bonge la hit song!!. Beat hili sio la dunia hii.
R.I.P #Mbalamwezi . Gone too soon!. See u again bro.
Nice song jaman mbalamwez mungu akupunguzie azab ya kabur
yan uyo jamaa wa mwish anaimba vzr na anasaut ya kipekee sana dadekii.... kam umemuelew kam mie gonga like twende sawa.. BOBO
hayupo tena masikini
Ndo hvyo hatupo nae tena we will miss him
@@abdoulpainite2501 wenye vipaji wanakufa tu😭😭😭
Yani
Jaman mbalamwez ulivyo na saut nzur pumzka kwa aman
amen
How could you believe dat MBALAMWEZI is not around any more.....!! We will never hear his tender melody voice forever..... So sad!!!
Rip mbalamwez
Kama bado una feel this sound tia like 👍
My bobo rest in peace dullah mbalamwezi waliokudhulumu kutoa uhai wako bx allah atawahukumu.
Mbalamwezi R. I .P
01 /01 /2020
Ngoma bado kali, like japo kumi wadau
Nakupendeni sana the mafik naukubali mziki wenu mnajua
Mimi nikutokea ncheni burundi🔥🔥🔥🔥💫
If only efforts za wasanii wote zingekua zinakua recognised...hii nyimbo nzuri
IMENIDI NIANGALIE SONG ZAO CZ ALIEKUFA SIMJUI DAH SOOO SAD REST IN PEACE NYIMBO SMART SANA
IF GOD SAY YES. NO BODY CAN SAY NO. wa mwisho kuimba ndo alofariki
IF GOD SAY YES. NO BODY CAN SAY NO. mwenye ameimba sauti ya mwisho mkaka mdogo kwa mwili name mbalamwezi 😢😢😢
Kifo ni kitu ambacho kimeanza toka enzi na enzi na kinajulikana kwa kila aliye hai na mwenye akili timamu but, one thing that we need to know is, kifo hakizoeleki Yan kila kinapotokea haijalishi ni kwa ugonjwa/ajali/ghafla, n.k hua linaonekana kua ni tukio jipya 😭😭😭😭😰😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 it's so hard to forget you bro, But hatuna budi kukubaliana na hali iliyo sasa. Rest in peace, tangulia nasi tutakuja japo kwa wakati tofaut tofaut,
Mimi ni Mama,kila nikimkumbuka huyu mtoto nalia kama nimemzaa
Mungu ampunguzie adhabu ta kaburi
Absolutely yes☹️☹️
My boboo daaaah RIP mbaramwezi uliuwa sana kwenye hii ngomaa mzee Mwenyezi Mungu akupe pumziko jema
Nawapenda the Mafik mpaka naumwaa, nawahakikishia kwa Mungu huyuhuyu ipo siku mtapata viewers milions of millions, kama unawakubali kama mimi gonga like hapa.
rip mbalamwezi kama na wewe umekuja huku gonga like
rip mbalamwezi
Mbalamwezi,,, in the world,, never see you again,,,R.I.P
Wasenge kweli nyie JAMAA so kwa song hili mnanifanya liwe goma Lang la siku kila sku lazma mala 9 on line da ninomaaa Sana wazee wa mzki mzuli
Ebwanaaaaaeaeeeeee hamjakoseaaa Kabisaa wananguu Hii ni Bonge moja LA Ngomaaaaa... Mnauwezo mkubwa sanaa
*RIP Mbalamwezi* Dullah Mbalamwezi, Msanii wa Bongo Flava wa *_Kundi la The Mafik Band_* ameaga dunia. Makubwa na mapya yaibuka! Tazama video: Ifuate katika njia *YOU TUBE /MSONOBARI /VIDEOS* au uifuate tu kwenye channel yangu mara moja!
Mungu ampumzishe kwa aman
PUMZIKA KWA AMANI NYINYI NAWAITA KING'S OF MELODY TUTAMPAT WAPI TENA MTU KAMA MBALAMWEZI NEVER NEVER AAaaahaaah😭😭😭😞
Hivi domo anaimbaga nn hawa jamaa ni nomaaa 🔥✌the mafiki
Kila mtu na ladha yake we mjinga nn
Wamekatisha maisha ya kijana mdogo kwa Mungu sijui tutajibugi nin jaman
daah rip mbalamwezi.
the mafiki bila mbalamwezi hakuna tena
Hapana ndugu, hamadai 💪
now hatuangaiki na masauti cjui nn...Yan easy tu unarelax afu kitu ikooooo😁🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥#bobo...Music ni dar..
Iko vzr sema kale ka style kenu nimekapenda afu director hajakaonyesha vzr
Poleni sana ndugu zangu #TheMafik kwa kuondokewa na ndugu yetu #Mbalamwezi. Mungu ahilaze roho ya marehemu mahala pema peponi. Never give up .. Keep it up na kumswali Mwenyezi Mungu kila wakati. 🙏🏽
Kubabakeeeee mnajuaaaaaaa Mimi shabiki yenu toka passenger hadi leo
Ivinyie wadudu mulishawai kukoseaga et? Dah yani kila mukitoangoma kinakua bongechupa asee Kama #Jamaica_nipeni #Likezangu
Daaah,,,kama huchoki kulicheki hili goma gonga like apa chini,,,
Alikiba katutuma tuje kuwacheki namjue kingi kiba akipostr nyimbo razima tuje kama wote akika ninoma sana kingis music the mafik sarut
huu muziki upo good sana nice guys(R.I.P mbalamwezi)tutakukumbuka with your nice voice....
One among the top chart coming crew it's the mafik but i wonder who is figure out Mbalamwezi! R.I.P R.I.P bro Mbalamwezi, the time will come and we will all realize that we need you here
mmmh hii video nyoko kumamayo uyu msafiri mbona anatoa vichupa vikali sana duuh
nitakukumbaka sana mbalamwez nikisikia passenger
Daaaaaaah mamamamaaalaaaaminiiinaa zenuu nyieee jamaaa hamfaaaii n mnajuaaaaa kiiiiinyaaaaamaaaaaaraaai💣🔥🔥🔥🔥
Muziki ni dawa😭😫😭😭sweet voice Daah Rip mbalamwezi
Aliyesikia beat la wimbo linakick Kama teyamo Rihanna agonge like hapa
Letting go by Sean Kingston
@@S_Mallema kwa asilimia zote zote teyamo hii duh nouma
Logo Flavour KATOMBWEEE
Ahahhhhha hiv vitu bana havitakiki hasira ni uamuzi tuu😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌 tishaaa sana
I never knew you bro Mbalamwezi, but you were the best, your voice is something else bro.
Hawa majamaa noma kwa hii ngoma imetikisa dunia kwa wanaoskiliza kwa makini
Rip mbalamwezi kumbuka ww ni mwanadam wala simnyama japo kua kifo chako kimekua ni cha kinyama na mnahiyo ninaamini kupitia serikali yetu waliohusika watapatikana nasheria itachukua mkondo wake kwani wamekukatili haki yako ya kikatiba ndugu yangu rip kaka mbele yako nyuma yetu
Mm nadhani hii adhabu yakifo kwa watuhumiwa wanaopatikana na hatia ya mauaji ya kudhamilia kwa wanadamu wenzao ingetekelezwa ipasavyo ilikuwafundisho kwa watu wote ambao wenyenia ovu yakutenda makosa ya mauajii kama haya kwani katiba yetu yatanzania ibala ya14 ina sema kila mtu anayo haki ya kuishi so kwann kunawatu wanavunja ibala hiii jamaani daaa rip young mbalamwezi
Rip mbalamwez mwenyezimungu akupe makazi mema
Feeling it from Kenya its a hiiit song definatly... Africa we getting it
Cameroon 🇨🇲🇨🇲🇨🇲🇨🇲🇨🇲 +237 in the house yo all the way from the USA.
listening to you guys from china this is the future music rip to mbalamwezi alikua na style moja ya kimamtoni kama kina jeremiah or chris brown
Huyu jamaa wa verse ya mwisho ana kipaji sanaaaa
Dah!ndio amefariki maskini
Duuuuuh jaman mmekuwa kimziki nakifikraaaaa saaaana bonge la beat aiseeeeeeeeeeeeh
Sijawah kuwakubali ila hapa nimekubali
Daaah!!! Yaani Hawa Jamaa Mziki Wao Siyo Wa Nchi Hii Kabisaa, Nawakubali Sana.
Mungu akulaze mahala pema mbala
kaikubali fund kiba kaka mkubwa me nan niskubali makn sana nawakubali 🔥🔥🔥🔥
Club Banger Flan ivi ambayo Haitoi jasho.
Ebby Ramadhani kizuri hakidumu
mziki wanaofanya haewa jamaaa sio wa nchi hiiii
Rhino king mtoto wa kibiriz umeua bhana🙌🙌🙌
RIP mbalamwezi love from Europe ❤🙏
Ngoma nzuri nilikuwa siwafahamu KIBA ndo kanambia
Tunataka vitu vikali kama hivi back to back sasa cio mnatoa ngoma moja mnakaa kmya mda mrefu
Geoffrey Calvin hyo ndo point maana hawa vijan wakitoa ngom moja had tunawahau
Watching after seeing this band performing at Sauti za Busara 2020
Daaah bwanaeeeh hii ngm khtr
Siku zote kiongozi Bora akifa bhaasi nchi huangamia hivyo bhaasi the mafik wameangamia baada ya Mbalamwez kufa R.I.P brother still tunapenda kazi zenu 😢❤😢
Hakika hatuwez kukusahau kakaetu mpendwa Mbalamwezi hasa Kwa umahiri na sauti yako kwenye muziki mungu akulaze mahala pema pumzika Kwa amani
Da ukimya huu unasababishwa na matatizo nimekumbuka. Mzki mzuli wa the mafk jaman da mbalamwezi R I P ,,
jamaa mungu awalinde msije mkagawanyika ngoma zenu kali.
Hii ngoma ni Fire 🔥🔥 Mazee TheMafik wametisha knorma noma
Ngoma KALI SAAAANA
Kaz kaz kazi
Ngoja Nii download.
To be honest I like the 🎧🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊 its sound very 👩❤️💋👩👩❤️💋👩 #Yeebaba# the Mafik #BOBO# 👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽🔊📢🔉📣🎧 my B.🅾️B.🅾️
Nakubali bro mumeweza sanaaa jamaaa bt nkiremembe #Mbalamwezi machozi yanidondoka walai 😢😭😢 Allah amlaze mahali pema peponi Ameeni
Mtu tatu kwa moja fire/bit kal amazng sound ndan
Ngoma kari kinima 🇹🇿💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Mmh kitambo sanaa❤
Mbalamwezi nenda bro, inatosha kunlengesha machoz!!!!! Kipande chako kngekuwa wimbo mzma ebo!@#
Kwa mara ya kwanz kucheki kichupa chao cha passenger kiukweli ckujua km ni wabongo daah majamaa mafundio hawa.....ila Mungu ampe kauli thabit Abdalllah🙏🙏😢😢(mbalamwezi )
Uyo jamaa aendelee t kulapu ana uwezo
Aseeeee bonge la ngoma...
So creative n flexible
Gonga like km imeikubal #bobo 👍👍
Huu mzk xo wa hapa 😉😉😉
Bosco ton nomasana anajuwa uyujamaaa❤❤❤❤
Duuuuuuh chuma balaa yaaaane ni kitu ya mbeleee
Allah akupunguzie adhabu ya kabur balamwezi sote njia yetu moja
Nywele jamani zinanifanya mwili wangu usisimke. Kama wadudu!!! 😶😶😶😶
Binadamu sisi wabaya sana yanikakahuyu wamemuuwa duuu
Yessss hawa ndo the mafik sasa
huyo wa mwsho ndo kakalisha kabsaaa...
Yeeeeeeeess kubwa tu fanyeni tour zakutosha mpaka Nigeria na Uk USA
R.i.p mbaramwezi umenifunza vitu vingi sana naumia sana😪😥😭😭
E bana ee the mafic ni danger natimba inboboo gonga like apa kama unapenda mziki mzuri
Awa jamaa ni nomaaaaa
Kama unamuona mbalamwezi kwa mbali kama anafanana na Rich mavoko gonga like hapa tujuane na pia R.I.P
Wanafanana sana
Dah!!!RIP Mbalamwezii😭😭😭😭😭
Duh!!marehemu husifiwa sanaa..tujaribu kuwasifia wakiwa wazima
Hatasijui ilikuwaje jamani wakamuuwa kaka wawatu duu. Mibinadamu mingine nyokokweliyan
Hatariiiii
R.I.P Mbalamwezi Nakukumbuka kwa Vocal zako kariiiii
Verse ya pili ilitakiwa ianze,kisha ya 3 iwe ya pili. Ya kwanza sjaielewa kabisa. Wimbo mkali 🤲🧜♂️ #Bobo🍆
Jmn kwan huyu wa mwisho ni nan mbn kaumiza sana aaaaghhh
iyi ngoma na king wa bongo flev kaikubali weye una pingaje gonga like hapa twende sawa
aaah qumamake!!!! verse ya pili na wa mwisho kaumizaa sanaa🙌🔥🔥
Golden gunz mbalamwezi hakoseagi
Mbaramwezi umeua sana mwanangu
Aisee bonge la song tam tam bobo yaaani my bobooo 🐯🐯🐯🐯
naangalia nyimbo za THE MAFIK ZOTE KWA HISAN YA MBALAMWEZI
vijana kwa huo mdundo n mwendo wa kukuanyaga...... ..............mond.